MAPOKEZI ya TEVEZ Kama MFALME..!
Yanga Imesema Haitokwenda Kuchukuwa Zawadi Yake ya Ubingwa
Timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam imesema haitokwenda kuchukua zawadi yake ya ubingwa itakayotolewa julai tatu na kampuni ya simu ya Vodacom ambao ndiyo wadhamini wa ligi hiyo kwa madai ya kucheleweshewa.
Kama Uliikosa, Video ya Wema Sepetu Alivotoka Nduki EATV
Baada ya wema kukataa kujibu maswali yanayo muhusu diamond sam alimlazisha na wema akavua mic na kuondoka huku akimuacha meneger wake.
Rais wa Sri Lanka, Mahinda Rajapaksa Kuwasili Nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya Siku Mbili.27, 2013


Rais wa Sri Lanka, Mhe. Mahinda Rajapaksa anatarajiwa kuwasili nchini tarehe 27 Juni, 2013 kwa ziara ya kitaifa ya siku mbili. Siku ya kwanza ya ziara yake, Mhe. Rajapaksa atafanya mazungumzo rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete na kushiriki Dhifa ya Kitaifa.
Tarehe 28 Juni 2013, Mhe. Rajapaksa atatembelea Hekalu la Kibudha lililopo Upanga, Jijini Dar es Salaam lililojengwa na Sri Lanka miaka 93 iliyopita.
Aidha, Mhe. Rajapaksa anatarajiwa kushiriki katika Jukwaa la Ushirikiano kwa Manufaa ya Wote (Global 2013 Smart Partnership Dialogue) utakaofanyika kuanzia tarehe 28 Juni hadi 01 Julai 2013. Ataondoka nchini tarehe 29 Juni 2013 kurejea nchini kwake.
IMETOLEWA NA: WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, DAR ES SALAAM
26 JUNI, 2013
Princely Trafficking (Saudi Drug Smuggling)
Documentary about Saudi Prince Nayef Al-Shaalan, who was sentenced in absentia to ten years in jail on charges of involvement in a cocaine-smuggling gang. The prince was one of ten people handed jail terms in connection with an operation which landed two tonnes of cocaine outside Paris in 1999. He was accused of using his diplomatic immunity to smuggle drugs to France on board a private jet. Was the grandson of founding Saudi monarch Abdulaziz, and son-in-law to the Saudi deputy defence minister, trying to covertly raise money for black operations?
ULINZI WA OBAMA HAUJAWAHI TOKEA AFRICA

Dar es Salaam. Ulinzi katika ziara ya Obama ni wa hali ya juu kuliko ulinzi wa aliyewahi kupewa Rais yeyote wa Marekani kwa safari yake ya Afrika mwaka huu.
Tayari jeshi la nchi hiyo limewasili nchini, kuweka mambo sawa na kukagua maeneo yote ya karibu na sehemu atakazotembelea na kupita wakati wa ziara hiyo. Maaskari na majasusi zaidi ya 500 wapo Dar es Salaam kuhakikisha usalama huo na kuweka vifaa mbalimbali vya mawasiliano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.
Licha ya hilo, ziara yake kutakuwa na askari 1,687 wakataokuja kwa meli maalumu kubwa ya kivita iliyosheheni silaha mbalimbali, ikiwamo ndege sita za kivita aina ya AV-8B Harrier na helikopta za kivita 23, ambazo zinatarajiwa kupasua anga la Tanzania kuimarisha ulinzi.
Meli hiyo ya kisasa aina ya Wasp Class (Uk 1), pia itakuwa imebeba meli nyingine zaidi ya tano maalumu kwa kubeba vifaru, magari ya deraya, askari na vifaa vingine itatia nanga Bahari ya Hindi kuongeza nguvu iwapo lolote litatokea.
Taarifa inaonyesha italazimika kuwapo kwa meli tatu za aina hiyo wakati wa ziara yake nchini Senegal, Tanzania na Afrika Kusini kwani mwendo wake siyo kasi hivyo kulazimika kutumia zote hizo kwa ajili hiyo.
Meli hiyo kubwa imeundwa kuwezesha askari wa Marekani kuingia kwa urahisi eneo la vita kwa brigedi nzima, kwani wanaweza kutumia aina zote za vita majini, angani na ardhini. Ni meli aina hiyo zilizotumika vita vya Marekani na Iraq. Licha ya mitambo ya kivita, ina hospitali kubwa yenye uwezo wa kulaza zaidi ya wagonjwa ya 600.
Tayari jeshi la nchi hiyo limewasili nchini, kuweka mambo sawa na kukagua maeneo yote ya karibu na sehemu atakazotembelea na kupita wakati wa ziara hiyo. Maaskari na majasusi zaidi ya 500 wapo Dar es Salaam kuhakikisha usalama huo na kuweka vifaa mbalimbali vya mawasiliano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.
Licha ya hilo, ziara yake kutakuwa na askari 1,687 wakataokuja kwa meli maalumu kubwa ya kivita iliyosheheni silaha mbalimbali, ikiwamo ndege sita za kivita aina ya AV-8B Harrier na helikopta za kivita 23, ambazo zinatarajiwa kupasua anga la Tanzania kuimarisha ulinzi.
Meli hiyo ya kisasa aina ya Wasp Class (Uk 1), pia itakuwa imebeba meli nyingine zaidi ya tano maalumu kwa kubeba vifaru, magari ya deraya, askari na vifaa vingine itatia nanga Bahari ya Hindi kuongeza nguvu iwapo lolote litatokea.
Taarifa inaonyesha italazimika kuwapo kwa meli tatu za aina hiyo wakati wa ziara yake nchini Senegal, Tanzania na Afrika Kusini kwani mwendo wake siyo kasi hivyo kulazimika kutumia zote hizo kwa ajili hiyo.
Meli hiyo kubwa imeundwa kuwezesha askari wa Marekani kuingia kwa urahisi eneo la vita kwa brigedi nzima, kwani wanaweza kutumia aina zote za vita majini, angani na ardhini. Ni meli aina hiyo zilizotumika vita vya Marekani na Iraq. Licha ya mitambo ya kivita, ina hospitali kubwa yenye uwezo wa kulaza zaidi ya wagonjwa ya 600.
ZAVARA Introduce "In The Congo - Rhyme Like A Girl Ft Nasambu (Video)
Ni Zavara hapa.
"In The Congo", is the first major musical collaborative effort of its kind to raise awareness on what some are calling the third World War. Calling for a new wave of Green Technology and Fair Trade Electronics, this music video highlights the main cause of rape and genocide in the Eastern Congo region as a desperate scramble for the minerals that power every cell phone and laptop. Produced and directed by Tanzanian Hip Hop guru, Zavara Mponjika, the video features US Hip Hop Ambassador Toni Blackman’s collective, Rhyme Like A Girl, alongside California based Kenyan Afro-Soul artist and founder of Activate Afrika, Nasambu. In times when the mainstream media rarely highlights issues of consequence, leaving many people in a state of ignorance, these artists have joined together across time, space, and geographical borders to express their views on this global war and human rights catastrophe that is urgently.
Nawatambulisha kazi mpya niliyofanikiwa kuipakua siku hizi za karibuni.. Hii kazi ni limbo uitwao In The Congo, limbo huh unahusisha kundi la Hip Hop tok a new York, Marekani liitwalo Rhyme Like A Girl wakimshirikisha mwanadada aitwae Nasambu msanii wa Afrosoul wa California Marekani ambaye ana asili ya kenya. Wimbo huu ni juhudi za ushirikiano baina ya wasanii na mimi muandaji kujumuika na jamaa zetu wanaotaabika huko Kongo. Kuna wimbo pamoja na video, pia viungo vyenye makala kadhaa zilokwisha andikwa kuhusu mradi huu.
"In The Congo", is the first major musical collaborative effort of its kind to raise awareness on what some are calling the third World War. Calling for a new wave of Green Technology and Fair Trade Electronics, this music video highlights the main cause of rape and genocide in the Eastern Congo region as a desperate scramble for the minerals that power every cell phone and laptop. Produced and directed by Tanzanian Hip Hop guru, Zavara Mponjika, the video features US Hip Hop Ambassador Toni Blackman’s collective, Rhyme Like A Girl, alongside California based Kenyan Afro-Soul artist and founder of Activate Afrika, Nasambu. In times when the mainstream media rarely highlights issues of consequence, leaving many people in a state of ignorance, these artists have joined together across time, space, and geographical borders to express their views on this global war and human rights catastrophe that is urgently.
Nawatambulisha kazi mpya niliyofanikiwa kuipakua siku hizi za karibuni.. Hii kazi ni limbo uitwao In The Congo, limbo huh unahusisha kundi la Hip Hop tok a new York, Marekani liitwalo Rhyme Like A Girl wakimshirikisha mwanadada aitwae Nasambu msanii wa Afrosoul wa California Marekani ambaye ana asili ya kenya. Wimbo huu ni juhudi za ushirikiano baina ya wasanii na mimi muandaji kujumuika na jamaa zetu wanaotaabika huko Kongo. Kuna wimbo pamoja na video, pia viungo vyenye makala kadhaa zilokwisha andikwa kuhusu mradi huu.

In The Congo video yake ilizinduliwa kwa mara ya kwanza kwenye tamasha la filamu huko Malaysia tarehe 30 ya mwezi wa tano mwaka huu. ulifanyika uzinduzi rasmi Nairobi kenya wiki iliyopita, video hiyo imeteuliwa pia kuonyeshwa Zanzibar International film Festival, Salam Kivu tamasha la filamu huko Kongo mwezi wa saba. Husika kwenye huu mradi kwa kusaidia kusambaza huu wimbo kwenye mitandao ya jamii na wote mnowasiliana nao, ujumbe wake ni WITO kwa jamii kulizingatia suala la Kongo na kufanya kila wawezalo kuondoa jamii ya huko kwenye MAANGAMIZI. Asanteni na karibuni
Ni Zavara hapa.
Ni Zavara hapa.
Subscribe to:
Posts (Atom)