Pages

PEP GUARDIOLA, UTAMBULISHO RASMI KUWA KOCHA WA BAYERN MUNICH

PEP GUARDIOLA
PEP GUARDIOLA BAYERN MUNICH
BAYERN MUNICH

JAY KAH ft SULTAN WA PWAN - KISRANI (Audio)

 JAY KAH ft SULTAN WA PWAN - KISRANI

Sugu Amegoma Kufuta Kauli Yake, Amesiitiza kwa Kimombo. Soma Tweet

Sugu
Naskia kuwa watu wanasema kwamba eti nimefuta kauli yangu kuhusu waziri mkuu na amri yake kwa polisi kupiga wananchi?!...sina sababu ya kufuta wala kuomba radhi, na nasimamia kauli yangu to the end...kwanza 'upumbavu' sio tusi,upumbavu kwa kiingereza ni stupidity-which is lack of knowledge and understanding...so hata uwe na cheo gani kama ukishindwa kuwa na 'understanding' juu ya madhara ya kauli zako kwa taifa u are stupid...ambayo kwa kiswahili ndio mpumbavu"

Exclusive ''Chris Brown Accused of Assaulting Girl In Nightclub!!

Chris Brown has  
Chris Brown has been accused of badly injuring a 24-year-old girl inside an Orange County nightclub Saturday night ... and the alleged victim says it was so violent she might need surgery.
Deanna Gines tells TMZDeanna Gines tells TMZ ... she was in the VIP section with Chris at Heat Ultra Lounge in Anaheim -- where he had just performed. When the bar was about to close, she claims Chris shoved her to the ground. Deanna tells us, the shove was deliberate and she fell hard on her knees.
Deanna tells us she filed a police report, and a rep for the Anaheim PD says a female did indeed file a report for assault inside the club, but the rep won't disclose the name. Cops are investigating.
Deanna says she went to the hospital and doctors told her she had torn ligaments in her right knee. She's going to see another doc later this week and she says she's already been told she may have to go under the knife.
Chris Brown's rep, Nicole Perna, tells TMZ, "I'm unaware of the incident, as is Chris' lawyer and his entire team. He was in a great mood after Powerhouse." Perna adds, "None of this makes sense."

Lawrence Smear Claims 'Unspeakable Tragedy'

Stephen Lawrence
Claims that police tried to smear murder victim Stephen Lawrence's family will be investigated by two ongoing inquiries, Theresa May has said.
The home secretary also told MPs there should be a "ruthless" purging of corruption from police ranks.
It comes after undercover officer Peter Francis said he was instructed in 1993 to find information that could discredit the Lawrence family.
Stephen's father, Neville, said "only a judge-led public inquiry will suffice". 'Unspeakable tragedy'
Shadow Home Secretary Yvette Cooper said there needed to be a "specific independent investigation into these allegations" and a "clear timetable of getting to the truth".

Scotland Yard has refused to confirm or deny the claims made in the Guardian newspaper by Mr Francis.
Prime Minister David Cameron said earlier he wanted to "get the full truth out" about "horrific" allegations and called for an immediate investigation.

Mrs May told the Commons that the latest allegations would be looked into by Mark Ellison QC and also as part of Operation Herne, which is an investigation into undercover policing at the Metropolitan Police.
She said the Lawrence family had "experienced an unspeakable tragedy".
She continued: "Their pain was compounded by the many years in which justice was not done and these allegations still coming 20 years after Stephen's murder only add to their suffering."
Any investigations should be "ruthless in purging" corruption and wrongdoing from police ranks, Mrs May said.

Neville Lawrence said the latest news had taken away the faith he had started to build in the police.
"It is unthinkable that in the extremely dark days and months after my son's murder that my family were subject to such scrutiny," he said in a statement.
"I understand that the Home Secretary has announced that she will extend the inquiries of Mark Ellison QC and Operation Hearn, I would like to make it clear that I find this completely unsatisfactory.
He added: " I have no confidence that the measures announced today will get to the bottom of this matter."

Mshukuru Mungu kwa Kila Jambo Mtu Wetu

Mshukuru Mungu

DJ Vigi Ft KO and AKA - God's Will (Video)

NEY WA MITEGO AMEONGELEA ISHU YA OMMY DIMPOZ, SOMA TWEET

NEY WA MITEGO  

 OMMY DIMPOZ,

AWAMU YA PILI YA MAJINA YA WALIOHITIMU KIDATO CHA SITA NA KAMBI ZA JKT WALIZOPANGIWA...TAREHE YA KURIPOTI NI LEO...!!

JESHI LA KUJENGA TAIFA
JESHI LA KUJENGA TAIFA (JKT) LINAWATANGAZIA VIJANA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA 2013 NA KUCHAGULIWA KUJIUNGA NA JKT KATIKA MAKAMBI YARUVU PWANI, MGAMBO TANGA, MSANGE TABORA, BULOMBORA KIGOMA, MARAMBA TANGA, RWAMKOMA MARA, MLALE RUVUMA NA KANEMBWA KIGOMA KURIPOTI KATIKA MAKAMBI HAYO TAREHE 24 JUNI 2013 KAMA ILIVYOTANGAZWA AWALI. 
VIJANA HAO WARIPOTI KATIKA MAKAMBI WALIYOPANGIWA KAMA ILIVYOONYESHA KATIKA TOVUTI YA JKT WWW.JKT.GO.TZ. ATAKAYERIPOTI KAMBI AMBAYO HAKUPANGIWA HATAPOKELEWA. VIJANA HAO WALIPOTI WAKIWA NA VYETI VYA LEAVING VYA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA KWA UTHIBITISHO 

INASISITIZWA KUWA KUJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA NI LAZIMA, ATAKAYESHINDWA KURIPOTI ATAKUWA AMEVUNJA SHERIA NA ATACHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA 
VIJANA WATUNZE TIKETI ZAO WALIZOTUMIA KWENDA KATIKA MAKAMBI YA JKT. NAULI ZAO ZITAREJESHWA NA JKT WATAKAPORIPOTI KAMBINI. 

VIJANA WALIOCHAGULIWA KATIKA AWAMU YA PILI NI WALE WALIOFAULU KWA DIVISIONI, II NA BAADHI YA DIVISION III MCHEPUO WA SAYANSI. 
VIJANA WA KIDATO CHA SITA 2013 AMBAO MAJINA YAO HAYAKUORODHESHWA KATIKA TOVUTI HIYO, WATAJIUNGA NA JKT AWAMU YA TATU MWEZI SEPTEMBA 2013. 

KWENDA BULOMBORA JKT -KIGOMA
KWENDA KANEMBWA JKT - KIBONDO-KIGOMA
KWENDA MARAMBA JKT - TANGA
KWENDA MGAMBO JKT KABUKU-TANGA
KWENDA MLALE JKT SONGEA -RUVUMA
KWENDA MSANGE JKT -TABORA
KWENDA RUVU JKT - PWANI
KWENDA RWAMKOMA JKT - MUSOMA-MARA

Soggy Doggy Ametangaza Rasmi Kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Kupitia Chadema 2015

Jimbo la Segerea
Nguli wa muziki wa kizazi kipya Soggy Doggy Anter aka Anselm Tryphone Ngaiza leo ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa jimbo la Segerea, Dar es Salaam kupitia tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, MWAKA 2015. 
Msanii huyo ametiririka katika ukurasa wake wa facebook, na hapa nanukuu "Shikamoo Mbunge wa Segerea, Makongoro Mahanga, imetosha sasa nadhani ni zamu yangu kuwatumikia wana-segerea 2015 kupitia CHADEMA" mwisho wa kunukuu. Pia kwenye ukurasa wake wa twitter imesomeka ivyo ivyo. 
Msanii huyu alisema ameamua kufanya ivi ili kuwasaidia na kuwaletea maendeleo wana-segerea na watanzania kiujumla. 
Pia alisema ameamua kugombea kupitia CHADEMA, kwasababu ndo chama kinachoweza kufanya mabadiliko kwenye jamii kwasasa. 
Nikamuuliza je amemfuata rafiki yake Joseph Mbilinyi aka "SUGU" katika chama icho, akasema hapana, hawajawahi kupewa ushawishi wowote wa kisiasa na Nguli huyo wa muziki wa Hip Hop. 
Wana-Segerea kazi kwenu kijana ameamua na amedhamiria.
Soggy Doggy