Pages

MABONDIA WANNE WA TANZANIA WAFUNGWA JELA MIAKA 15 BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI MAURITIUS

Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa.
Wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza mihadarati hiyo nchini Mauritius wakati walipokwenda kushiriki mashindano ya ndondi barani Afrika mwaka 2008.
Wakiwa mbele ya Jaji, waliiambia mahakama kuwa walilazimika kuingia katika biashara hiyo haramu kutokana na hali zao za maisha kuwa maskini.
"Tunaomba radhi kwa taifa la Mauritius", waliiambia mahakama. "Tu watu maskini na tunategemewa na familia, watoto na wazee wetu wanaotugemea. "Kwa dawa hizi tungepata kiasi cha Pauni £4,000". walisema

Jaji Benjamin Marie Joseph alisema katika kutoa adhabu hiyo yote hayo ameyafikiria, kwani walitoa ushirikiano mzuri wakati wote wa uchunguzi wa kesi hiyo, kulikowezesha hata wafanyabiashara hiyo, raia wa Mauritius kukamatwa.
Wamekuwa mahabusu kwa siku 1,722, sawa na miaka miatano, hivyo watatumikia miaka kumi iliyobakia jela. Pia watatakiwa kulipa faini ya pauni £1,600 na gharama nyingine za uendeshaji wa kesi hiyo.

Kwa mujibu wa mwandishi wa habari wa BBC nchini Mauritius Yasine Mohabuth in Mauritius, Jaji aliwashutumu kwa kuukosea umma wa Mauritius kwa kuingiza dawa hizo za kulevya aina ya heroin.

Mabondia hao waliwasili Mauritius tarehe 10 Juni 2008 na kuweza kupita uwanja wa ndege bila kunaswa hadi walipokamatwa katika hoteli waliyofikia ya Quatre Bornes.
Kwa pamoja walimeza gram 4639.04 za heroin zikiwa katika vifuko 358 vijulikavyo kama pipi.

Kibonzo wa Leo

Kibonzo

GET TO KNOW TANZANIA'S TOP RICHEST!!!

Said Salim Bakhresa Said Salim Bakhresa
Net Worth: $620 million
Source: Manufacturing
Unarguably Tanzania’s richest man, Bakhresa dropped out of school at the age of 14 to launch his own business. He started out selling potato mix and subsequently opened a small restaurant in Dar es Salaam in the 1970s. As the restaurant operation expanded, Bakhresa used his profits to found a grain milling and food production company which formed the flagship for the Bakhresa group, a multinational manufacturing conglomerate which manufactures everything from maize flour and confectionaries to chocolates, ice cream, soft drinks and paper bags. Annual sales: $800 million. The group has manufacturing operations in Tanzania, Uganda, Malawi, Rwanda and Mozambique and employs over 2,000 people.Na sifa kubwa ya Bakhresa anajua sana kuwatake care stuff wake kwa kuwajali,,

Gulam Dewji
Gulam Dewji
Net Worth: $560 million
Source: Manufacturing
Reclusive tycoon started out in the 70s importing key commodities into Tanzania. He grew the small trading operation into Mohammed Enterprises Tanzania, one of East Africa’s largest conglomerates. Key assets include 21st Century Textiles, one of the largest textile producers in Sub-Saharan Africa. The company’s four textile mills in Tanzania and Mozambique produce 100 million running meters of fabric annually. The group also manufactures Pride, Tanzania’s leading fruit beverage and everything from edible oils, toilet soaps, and artificial sweeteners to bicycles and motorcycles. The group also owns an insurance firm, container depots, a petroleum marketing company, a logistics outfit and a retail concern with over 100 outlets across Tanzania. Gulam’s son, Mohammed is a Member of Parliament in the National Assembly of Tanzania..

Rostam AzizRostam Aziz
Net worth: $420 million
Source: Telecoms, Mining, Shipping
A politician and businessman of Middle East origin, Rostam Aziz is one of Tanzania’s richest men. He was elected into parliament in 1993 and went on to win 2 consecutive terms as an MP. He quit politics in 2011 to focus exclusively on his businesses. Aziz’s family businesses include a 19 percent stake in Vodacom Tanzania, the country’s leading cellular network with over 8 million subscribers, Caspian – the country’s largest contract mining company and the Dar es Salaam Port which it owns in partnership with Hong Kong conglomerate Hutschison Whampoa.

Reginald Mengi
Net worth: $280 million
Source: Media, Coca-Cola Bottling, Gold Mining
Reginald Mengi
Mengi, a trained Chartered accountant is one of Africa’s most revered media moguls, and one of Tanzania’s wealthiest men. After practicing accounting, he ventured into private business by manufacturing and assembling ballpoint pens and selling to large retailers. Today, the IPP Group which he founded and chairs, owns 10 national newspapers (including Tanzania’s Financial Times, ThisDay and The Guardian), two of East Africa’s most popular Television stations (EATV and ITV), and about ten radio stations. He also owns a Coca-Cola bottling plant in Dar-es Salaam as well as two gold mining companies, IPP Gold and Handeni Gold in Tanzania.


Ali Mufuruki
Net worth: $110 million
Source: Retailing, Venture capital
Ali MufurukiMufuruki is the founder and Executive chairman of Tanzania’s Infotech Investment Group. The group holds the Tanzanian and Ugandan franchise for South African retail giant Woolsworth. Infotech also has interests in property development and leasing, hospitality, advertising and mobile telecommunications. Mufuruki is also a co-founder and partner at East Africa Capital Partners, a technology, media and telecommunications sector focused Venture Capital Fund Manager investing in the greater Eastern Africa region. Also a prominent board room guru, Mufuruki sits on the boards of the Nation media group, East Africa’s largest media conglomerate and Stanbic bank Tanzania. He is also the chairman of Africa Leadership Initiative East Africa Foundation which aims to develop a new generation of values-based community spirited leaders in africa.
 TANZANIA'S TOP RICHEST
AND HERE THEY ARE WITH THE PRESIDENT OF TANZANIAMHESHIMIWA JAKAYA KIKWETE.
VENTURE-AFRICA.COM

Tutawapa Polisi Mkanda Japokuwa Wana Nia Mbaya -CHADEMA (Video)

Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA Mh. John Mnyika amesema watatoa Mkanda wa ulipuaji wa bomu la Arusha kwa Polisi baada ya kupata ushauri wa kisheria hasa baada ya Polisi kuonyesha nia mbaya

MTOTO ALIYEJERUHIWA KWA BOMU JIJINI ARUSHA AFARIKI DUNIA.

 Fahad Jamal Mtoto Fahad Jamal (7) ambaye hali yake ilikuwa mbaya na kulazwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Selian kufuatia kujeruhiwa na bomu katika mkutano wa Chadema Arusha, amefariki dunia juzi saa saba mchana hospitalini hapo.
Kwa mujibu wa Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo, Dk Paul Kisanga mtoto huyo alifariki dunia
wakati timu ya madaktari kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MOI) na Hospitali ya Jeshi ya Lugalo, Dar es Salaam wakijitahidi kila hali kuokoa maisha yake.
Kifo hicho kinaongeza idadi ya marehemu na kuwa wanne baada ya vifo vya Amiri Ally (7), Judith Moshi (25) ambaye ni Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA)Kata ya Sokoni One jijini Arusha na Ramadhan Juma (15).
Dk Kisanga alisema hospitali hiyo juzi ilipokea majeruhi wengine 17 wa mabomu ya kutoa machozi katika eneo la Soweto wakati polisi wakitawanya wafuasi wa Chadema.
Alisema majeruhi 14 wamelazwa huku watatu wakitibiwa na kuruhusiwa ambapo pia Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari aliyekuwa amelazwa hapo kutokana na kuumia shingoni aliruhusiwa na hali yake inaendelea vizuri.

WAZIRI MKUU "POLISI WATAENDELEA KUWAPIGA WALETA VURUGU HAPA NCHINI NA TENA NIMEWAAMURU WAWAPIGE ZAIDI NA ZAIDI"

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema jeshi la polisi litaendelea kuwakabili na kuwadhibiti ikiwa ni pamoja na kupiga wale wote wanaokiuka amri halali inayotolewa katika kulinda amani ya nchi iliyopo ...
Mhe Pinda amesema hayo bungeni mjini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali kwa waziri mkuu akijibu swali aliloulizwa juu ya matukio ya polisi kudaiwa kupiga wananchi katika matukio ya hivi karibuni
Bofya link kutazama video>>Talkbongo

Snura - Majanga (Official Video)

USIKU WA KIKOSI CHA MIZINGA NDANI YA NEW MSASANI CLUB.

USIKU WA KIKOSI CHA MIZINGA

2013 NBA Finals: Game 5 Micro-Movie

Check out an all-access look at Game 5 of the 2013 NBA Finals as the San Antonio Spurs come up BIG and find themselves on the cusp of yet another NBA Championship with a 3-2 lead over the Miami Heat in the series.

About the NBA:
The NBA is the premier professional basketball league in the United States and Canada. The league is truly global, with games and programming in 215 countries and territories in 47 languages, as well as rosters that currently feature 85 international players from 36 countries and territories. For the 2012-13 season, each of the league's 30 teams will play 82 regular-season games, followed by a postseason for those that qualify.
The NBA consists of the following teams: Atlanta Hawks; Boston Celtics; Brooklyn Nets; Charlotte Bobcats; Chicago Bulls; Cleveland Cavaliers; Dallas Mavericks; Denver Nuggets; Detroit Pistons; Golden State Warriors; Houston Rockets; Indiana Pacers; Los Angeles Clippers; Los Angeles Lakers; Memphis Grizzlies; Miami Heat; Milwaukee Bucks; Minnesota Timberwolves; New Orleans Hornets; New York Knicks; Oklahoma City Thunder; Orlando Magic; Philadelphia 76ers; Phoenix Suns; Portland Trail Blazers; Sacramento Kings; San Antonio Spurs; Toronto Raptors; Utah Jazz; Washington Wizards.

The NBA offers real time access to live regular season NBA games with a subscription to NBA LEAGUE PASS, available globally for TV, broadband, and mobile. Real-time Stats, Scores, Highlights and more are available to fans on web and mobile with NBA Game Time.
For more information, as well as all the latest NBA news and highlights, log onto the league's official website at http://www.NBA.com

CHADEMA NI WAZUSHI - KAULI YA HOSPITALI

John Mnyika NA SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL,ARUSHA.
UONGOZI wa hospitali ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) ya Selian jijini Arusha umekanusha vikali taarifa zilizotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Chadema John Mnyika kuwa serikali ilipeleka maafisa wa usalama hospitalini hapo kwa lengo la kumdhuru mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari pamoja na majeruhi wa mabomu waliolazwa katika hospitali hiyo na kusema ni uzushi mtupu.
Mnyika alisema kufuatia kitendo hicho mbunge Nassari alipiga kelele (yowe) akiwa katika korido ya wodi namba 14 aliyokua amelazwa ili kuomba msaada baada ya maafisa hao wa usalama waliokua wamevalia mavazi ya kitabibu na kubeba vifaa vya kitabibu kumtundikia drip aliyohisi ilikua na lengo la kumdhuru ambayo aliitoa na kuitupa.

Mnyika alitoa kauli hiyo leo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya mahakama kuu kanda ya Arusha wakati akisubiri wabunge wanne wa chama chake pamoja na...