Pages

2Face - Rainbow [Official Video]

YULE BIBI ALIYETISHIA KUGEUZA GESI KUWA MAJI ATOWEKA - MTWARA


GESI KUWA MAJIKIKONGWE Somoe Issa, anayekadiriwa kuwa na umri zaidi ya miaka 90, ambaye aliwahi kutishia kuigeuza gesi kuwa maji iwapo serikali itaendelea kulazimisha kusafirisha kwenda Dar es Salaam, sasa hajulikani alipo.
Taarifa zilizoifikia MTANZANIA Jumapili ambayo ipo mkoani Mtwara, zilidai kuwa bibi huyo baada ya kutoa tishio hilo sasa amefichwa, ili asiweze kutekeleza lengo lake hilo.
Bibi Somoe, anayeaminika kama Mkuu wa Kaya ya Msimbati, kijiji ambacho gesi asilia iligundulika, sasa hajulikani alipo, huku ndani ya kijiji hicho ulinzi mkali ukiwa umeendelea kutawala.
Ulinzi umeimarishwa katika kijiji hicho, lengo likiwa ni kuhakikisha hakuna mtu anayefika karibu na nyumba aliyokuwa akiishi bibi huyo.
MTANZANIA Jumapili, lilifika katika kijiji hicho juzi, ambako liliweza kuzungumza na Mwenyekiti wa Kijiji cha Msimbati, Salum Athuman Tostao, ambaye alikiri kuwa bibi huyo hayupo na wala...

LANGA - RAFIKI WA KWELI (OFFICIAL VIDEO) [HD]

MSICHANA WA MIAKA 19 ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUMTUPA MTOTO WA SIKU 10 SINGIDA.

 Singida ACP.Geofrey Kamwela a Kamanda mpya wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP.Geofrey Kamwela akitoa taarifa kwa waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) juu ya kukamatwa kwa Aziza Jumanne (19) mkazi wa kijiji cha Sughana jimbo la Singida kaskazini kwa tuhuma ya jaribio la kuuwa mtoto wake wa kiume mwenye umri wa siku kumi.(Picha na Nathaniel Limu).
 Jeshi la polisi mkoani Singida linamshikilia mkulima Aziza Jumanne (19) mkazi wa kijiji cha Sughana tarafa ya Mgori jimbo la Singida Kaskazini, kwa tuhuma ya jaribio la kumtupa mtoto wake wa kiume mwenye umri wa siku 10 kwa lengo la kumuua.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Singida Geofrey Kamwela, amesema kuwa tukio hilo la aibu na la kusikitisha, limetokea Juni 12 mwaka huu saa nane mchana kweupe katika kijiji cha Sughana.
Amemtaja mtoto huyo mchanga wa kiume aliyetupwa na mama yake kuwa ni Akramu Alfa.

Kamwela amesema siku ya tukio mama yake mkubwa na mtuhumiwa Mariamu Ramadhanai alipata wasi wasi baada ya kutomwona Aziza akiwa muda mrefu bila kuwa na mtoto wake mchanga.
Amesema “kutokana na wasi wasi huo, Mariamu aliweza kuita majirani kwa ajili ya kumhoji Aziza alikompeleka mtoto wake mchanga.
Baada ya kumhoji Aziza aliweza kufunguka na hivyo kwenda kuonyesha mtoto wake shambani alikomtupa na bahati nzuri, walikikuta kichanga hicho bado ki hai”.
Kamanda huyo amesema kuwa uchunguzi wa awali unaomyesha wazi kuwa Aziza ametenda kosa hilo baya baada ya kutekelezwa na mwanaume aliyempa mimba na kumzaa Akramu.
Hili ni tukio la pili ndani ya mwezi moja na nusu kwa watoto kutupwa na mama zao kwa lengo la kuwaua.
Mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu, inadaiwa mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu tawi la mkoa wa Singida, alimtupa mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miezi mitano kwenye pagala la nyumba.
Kwa mujibu wa Kamanda Kamwela hadi sasa mzazi huyo hajulikani alikokimbilia na mama yake mzazi kutoka Babati alifika ili amchukue mtoto huyo aliyetekelezwa, lakini hakuweza kukabidhiwa kwa madai hakuna ushahidi wa kuonyesha amezaliwa na mtoto wake aliyekuwa akisoma uhasibu.

Bagamoyo Art Institute Wins EA Centre of Excellence Status

Bagamoyo Institute of Artisan Culture (TASUBA) has been accorded the East African Centre of Excellence status, the National Assembly was told here.
TASUBA was among four Tanzanian training institutions that had qualified to be accorded the East African Centre of Excellence status. Bagamoyo Art Institute Minister for East African Cooperation Samuel Sitta said when moving in the Parliament the 2013/14 revenue and expenditure estimates for the ministry named other institutions as Dar es Salaam Maritime Institute (DMI), Moshi University of Cooperatives and Business Studies (MUCCOBs) and Mweka Wildlife College.
He said EAC Partner States have agreed to appoint one among the qualifying institutions as the first centre of excellence to be facilitated by the Community. In this regard, Sitta said, Tanzania has appointed TASUBA.

He also said that the ministry in collaboration with stakeholders in Arts and Culture, coordinated and participated in the festival on Arts and Culture of East Africa called ‘Jumuiya Afrika Mashariki Utamaduni Festival’ (JAMAFEST).

The festival was held in February this year in Kigali, Rwanda. Sitta said during the festival, Tanzania was able to promote herself and build relationship with people from other partner states.

Moreover, he said, participants were able to sell cultural and artistic ware like apparel and Kiswahili books, decorations and handicrafts.
Partner States have agreed to appoint one among the qualifying institutions as the first centre of excellence to be facilitated by the Community. In this regard, Sitta said, Tanzania has appointed TASUBA.

He also said that the ministry in collaboration with stakeholders in Arts and Culture, coordinated and participated in the festival on Arts and Culture of East Africa called ‘Jumuiya Afrika Mashariki Utamaduni Festival’ (JAMAFEST).
The festival was held in February this year in Kigali, Rwanda. Sitta said during the festival, Tanzania was able to promote herself and build relationship with people from other partner states.
Moreover, he said, participants were able to sell cultural and artistic ware like apparel and Kiswahili books, decorations and handicrafts.

MBOWE "SHAMBULIO LA KIGAIDI LILILENGA KUNIUA PAMOJA NA LEMA"..

FREEMAN AIKAEL MBOWESHAMBULIO LILILOFANYWA JUZI KAYIKA MKUTANO WA KUHITIMISHA KAMPENI ZA CHADEMA LIMEFANYA MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MH.FREEMAN AIKAEL MBOWE KUTOA TAMKO RASMI LA CHAMA KUWA,LILILENGA KUWAUWA YEYE NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI MH.GODBLESS LEMA.
AKIZUNGUMZA JANA NA WAANDISHI JIJINI HAPA MBOWE ALISEMA,WAMEGUNDUA RISASI ZA SMG PAMOJA NA BASTOLA ZILIZOTUMIKA BAADA TU YA BOMU LILE KURUSHWA NA RISASI KUANZA KUPIGWA MFULULIZO KUELEKEA WALIPOKUWA.
AMESEMA KUWA TUKIO HILO WANALICHUKULIA KWA UZITO MKUBWA NA BAADAE WATATOA MAJUMUISHO YA UCHUNGUZI WA TUKIO ZIMA HUKU WAKIONYA KUWA MATUKIO HAYA YANAWEZA KULIPELEKA TAIFA KATIKA MGOGORO MKUBWA AMBAO WAATHIRIKA WAKUBWA MWISHO WA SIKU WANAKUWA NI WANANCHI WA CHINI.

AMEOMBA JESHI LA POLISI IKIWA WANATAKA KUJENGEWA IMANI NA WATANZANIA WAFANYE UCHUNGUZI HURU NA WA HAKI ILI KUBAINI HASA MLIPUAJI ALIKUSUDIA NINI KATIKA TUKIO HILO.
HATA HIVYO MKUU WA JESHI LA POLISI BWANA SAIDI MWEMA AMEWATEUWA MAKAMISHNA WAWILI AKIWEO PAUL CHAGONJA KWENDA KUFANYA UCHUNGUZI WA KINA ILI KUBAINI KADHIA HII.

Kata K- Wildwood, New Jersey, Bans Low-Slung Trousers (US Town set to ban saggy trousers)

A young man wearing low trousers in Wildwood, New Jersey 6 June 2013

Repeat offenders of the fashion crime may face community service. A beach town in the US state of New Jersey has passed a ban on low-slung trousers, jeans or shorts on its boardwalk.
Exposed skin and underwear had attracted complaints from tourists, says Wildwood Mayor Ernest Troiano.
The ban prohibiting trousers that hang more than 3in (7.6cm) below the hips on the boardwalk passed on Wednesday.
Civil liberties groups say the ban is unconstitutional and will be overturned if challenged in court.
Wildwood joins a handful of other small US communities that have acted against wearing low-slung trousers.
Under its plan, people would also be required to wear shoes and shirts on the boardwalk.
Mayor Troiano said: "When you have good families who call you up and say, 'I've been coming here 20 years, 30 years, 40 years and I'm not going to any longer because I'm not going to subject my children or my parents or grandparents to seeing some kid walk down the boardwalk with their butt hanging out,' you have to do something."
Under the new law, anyone who breaks the rules will be fined $25-$100 (£16-£64) the first time, and $200 for a repeat offence, or might have to complete 40 hours of community service.
But authorities have suggested police officers would probably issue a stern warning to first-time offenders.
Swimming costumes are already banned on Wildwood's boardwalk.
The fashion trend is believed to have originated in US prisons, where inmates are not allowed to wear belts.
But the look was taken up by hip-hop artists and is commonly worn by young people.

HAPPY FATHERS DAY 2 ALL FATHERS OUT THERE!

HAPPY FATHERS DAY,FATHERS

Sugu aka Mr.II Amtusi Mwana FA -The finest, Soma Alichoandika..!

Baada ya show ya mwana FA kusambaa kwenye mitandao juu ya kupwaya kwa washabiki kuhudhuria na show ya mwanadada komando lady jay dee kufurika ....Msanii wa Hiphop Joseph Mbilinyi a..k.a MR II a.k.a SUGU..Ameshambulia mwana FA kwenye mtandao wa face book .HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA
"..The finest???!!..The finest My Ass..." angalia hapo chini
Mwana FAMwana FA

Ommy Dimpoz Anaomba Msamaha kwa Kumtukana Ngwear. Soma Alichokiandika!!

Ommy Dimpoz  Baada ya watanzania kumwandama Ommy Dimpoz kutokana na tusi alomtukana marehemu Ngwea, msanii huyo ameamua kuwapigia magoti watanzania na kuwasihi wamsamehe.....
Hali hiyo imekuuja baada ya.. watu mbalimbali kutangaza kumsaka Ommy kwa lengo la kumwadabisha kwa kumpa kichapo kikali...
Miongoni mwa watu hao ni TID ambaye kupitia ukurasa wake wa facebook ametangaza vita dhiti ya Ommy Dimpoz....
Hii ni post ya Ommy ambayo ameitoa akiomba asamehewe kwa kauli zake na matusi aliyoyatoa kwa marehemu Ngwea....
facebook