Pages

Ivory Coast 4 Tanzania 2

Ivory Coast 4 Tanzania 2Ivory Coast imefanikiwa kusonga hatua ya pili na ya mwisho katika kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia, baada ya kuifunga Tanzania mabao 4-2 Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Jumapili katika mchezo wa Kundi C kanda ya Afrika.
Kwa ushindi huo, Ivory Coast imetimiza pointi 13 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine yoyote katika kundi hilo na sasa itasubiri kucheza na mmoja wa washindi wengine wa makundi mengine tisa ili kuwania kwenda Brazil mwakani.
Tanzania inabaki na pointi zake sita, huu ukiwa mchezo wa kwanza kufungwa nyumbani katika kampeni hizi na Morocco bila kuhusisha matokeo yake na Gambia, ina pointi tano.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Mehdi Abid aliyesaidiwa na Hamza Hammou, Bauabdallah Omar wote kutoka Algeria, hadi mapumziko Ivory Coast tayari walikuwa mbele kwa mabao 3-2.
Stars ndiyo waliokuwa wa kwanza kupata bao mfungaji Amri Ramadhani Kiemba dakika ya kwanza tu aliyepokea pasi ya Mbwana Ally Samatta kufuatia mpira wa kurushwa na Erasto Edward Nyoni kusababisha kizazaa langoni mwa Tembo wa Abidjan.Kusoma zaidi bofya.....

Kim Kardashian Gives Birth to Baby Girl! Star Has First Child by Kanye West a Month Early at Los Angeles Hospital

 Kim Kardashian It's a girl! Kim Kardashian has reportedly given birth to her first daughter with Kanye West on Saturda. Kim Kardashian gave birth to her first child on Saturday - a month ahead of her due date.
Mail Online exclusively revealed that the 32-year-old had been admitted to hospital in Beverly Hills on Friday.
The reality star had taken out a birthing suite at Cedars-Sinai Medical Center - a hospital of choice among many celebrities including Britney Spears, Victoria Beckham and Jessica Simpson.
Hours later - around 1:30 a.m. on Saturday - she gave birth to her baby girl.
Her partner, rapper Kanye West, and mother Kris Jenner were reportedly at her side.
TMZ cited sources that she had a natural birth after having contractions late Friday evening.
Kim had planned to have a C-section but after suffering an infection had decided to take the precaution of going to the hospital a few weeks early, according to X17Online.
Her due date was reportedly July 11 - the same day as Kate Middleton. Both mother and baby are in good health and resting, but given the... Read more Vijimambo

MASANJA KATIKA POZI ZA KAZI ZAIDI

Masanja Mkanamizaji
Masanja Mkanamizaji katika pozi mbalimbali
Patakuwa hapatoshi hapo Julai 6, katika Miaka 3 ya Vijimambo pamoja na Tamasha la Kiswahili
Vijimambo pamoja na Tamasha la Kiswahili
Tamasha la Kiswahili

NAKEMEA - PEWA ABAGENGE (Audio)

NAKEMEA -PEWA ABAGENGE

Bomu Limelipuka Kwenye Mkutano wa CHADEMA Arusha Leo Hii, Watu Kadhaa Wahofiwa Kupoteza Maisha!

BomuMKUTANO HUO UNASADIKIWA KUWA NA WATU ZAIDI YA ELFU MBILI NA PIA BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI WANASEMEKANA KUPATA M,AJEREHA NA WAMEKIMBIZA HOSPITALI KWA MATIBU YA HARAKA
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu.
BLOG HII INAENDELEA KUFUATILIA TUKIO HILI HIVYO USIKAE MBALI NA BLOG HII YA HABARI NA BURUDANI ZA UHAKIKA.
Bomu

Wyre Alaine BeeMan JohMakini Batoo YungOmega - Nakupenda Pia (Audio)

Wyre Alaine BeeMan JohMakini Batoo YungOmega-Nakupenda Pia

Sixteen - Mo Plus.(Official Music Video)

Isikilize Single Mpya ya Stara Thomas na Linex - Shamba la Matunda

 Stara Thomas na Linex

S.U.A CYPHER CONTEST:REYPLAN VS MOTRA THE FUTURE (Video)

MASHINDANO YA MBIO ZA MAGARI KUANZA LEO -RALLY

MBIO ZA MAGARI Mashindano ya mbio za magari yameanza leo katika viwanja vya stesheni ya Reli Tazania jijini Dar es salaam jumla ya magari yaliyoshindana leo ni 17 uzinduzi huo ulifanya na mgeni rasmi Katibu mkuu wa Baraza la Michezo Henry Lihaya mashinmdano hayo yanayojulikana kama PUMA ENERGY RALLY OF TANZANIA 2013 MBIO HIZO KWA MUJIBU WA RATIBA NI YANANZA TAZARA , KILUVYA ,KITANGA.KAZINZUBWI , SUNGWI ,KISARAWE YATACHUKUA SIKU MBILI YAMEANZA LEO NA KUMALIZIKA KESHO

MBIO ZA MAGARI
MBIO ZA MAGARI
MBIO ZA MAGARI
MBIO ZA MAGARI
MBIO ZA MAGARI