Pages

President Kikwete Meets Virgin Atlantic Founder Sir Richard Branson in London

Virgin Atlantic Founder
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete and his delegation in conversation with The Chairman of Virgin Group of Companies Sir. Richard Branson in London this evening. Others in the picture are from left are Minister for Transport Dr. Harrison Mwakyembe, Tanzania Tourist Board Managing Director Dr.Aloyce Nzuki, President’s advisor Economic Affairs Dr.Hamis Mwinyimvua and Tanzanian High Commissioner to the United Kingdom Peter Kallaghe(photos by Freddy Maro)
Harrison Mwakyembe, Tanzania Tourist Board
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets and hold talks with Sir. Richard Branson in London this evening . Sir.Richard is a British business magnate best known as the founder and chairman of Virgin Group of more than 400 companies. President Kikwete is in London UK for a three days working visit in which, among other things, he will attend the G8 summit. Aloyce Nzuki,
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets and hold talks with Sir. Richard Branson in London this evening . Sir.Richard is a British business magnate best known as the founder and chairman of Virgin Group of more than 400 companies. President Kikwete is in London UK for a three days working visit in which, among other things, he will attend the G8 summit.

Brian Williams Raps Snoop Dogg (Jimmy Fallon)

Jimmy plays a mashup of NBC News anchor Brian Williams rapping Snoop Dogg's verse from the classic Dr. Dre song "Nuthin' but a 'G' Thang."

MASELE CHA POMBE (MWIGIZAJI) AZUSHIWA KIFO BAADA YA KUPATA AJALI LEO..!

Masele cha Pombe Habari za uhakika ni kuwa muigizaji wa vichekesho nchini maarufu kwa jina la Masele cha Pombe ni mzima wa afya na hajafariki kama baadhi ya tetesi zilivyoanza kuenea kwa kasi. Pamoja blog baada ya kusikia tetesi kuwa Masele amefariki kwa ajali ya gari jioni hii huko Tanga ilibidi kutafuta ukweli kuhusu muigizaji huyo maarufu na kufanikiwa kupata habari za kina kupitia Kabuti Onyango ambaye ni cameraman maarufu wa filamu za kitanzania.
Kabuti ambaye ni mtoto wa Mzee Onyango ambaye ni muigizaji mkongwe nchini amesema kuwa amezungumza na baba yake (Mzee Onyango) muda mfupi uliopita ambaye yupo Tanga na jibu ni hili " baba yupo Tanga mzee onyango na nime mpigia simu kaniambia kwamba walikuwa na Masele kwenye hilo gari lakini si kwamba amefariki hapana ila masele aligonga mtu akakamatwa na raia wakavunja kioo na kutaka kumuua aligonga mtu wa kwanza na akataka kukimbia akagonga mwingine ndio ilivyo kuwa lakini ni mzima na yupo kituo cha police"

Ex Nazi, Michael Karkoc Found in Minnesota: 5 Fast Facts You Need to Know

A top commander whose Nazi SS-led unit is blamed for burning villages filled with women and children lied to American immigration officials to get into the United States, according to evidence uncovered by The Associated Press.

 Nazi 1. He Has Been in the U.S. for More Than 50 Years
 2. He Lied to the U.S. About His Military Record
 3. He Could Be Deported
 3. He Published a Ukrainian Memoir Admitting His Nazi Past
 4. His Unit Was Involved in Suppressing the 1944 Warsaw Uprising
 5. His Unit May Have Been Involved in War Crimes
Read more in details >>  Michael Karkoc Found in Minnesota

Obama's Trip to Tanzania Cancelled..!!!

Tanzania tourism sector will miss out on what would have been a major endorsement by the US President Barack Obama after the White House cancelled a planned safari into the country's national parks due to budgetary constraints. The US President Barack Obama and his wife Michelle were due to take the excursion during a tour of Africa slated for later this month, in which Obama will by pass his motherland Kenya
Obama's Trip to Tanzania

OMMY DIMPOZ ADAI HII NDIO SABABU YA YEYE KUCHAFULIWA GAZETINI...!

OMMY DIMPOZ
Mapema leo hii, kimeonekana kichwa cha habari katika moja ya magazeti ya udaku kikiongelea OMMY DIMPOZ kumkashifu/kumtusi marehemu ALBERT MANGWEA [R.I.P] … Baadae kidogoOmmy Dimpoz aliandika mtandaoni kuwa si kweli na ni story ya kutunga tu kutaka kumchafua kisanii … Ommy, “Nimesikitishwa sana na hii habari iliyotoka global publishers Wanatengeneza story ili wauze magazeti yao” … alimaliza Dimpoz na kutupia picha hii hapa …
GongaMxLakini Ommy hakuishia hapo, alionesha kukerwa zaidi na front page hiyo na kuandika sababu ya gazeti hilo kumchafua namna hiyo …
Hichi ndicho Ommy alichoandika … “Nilipigiwa simu ya kibiashara kwa ajili ya kufanya show na global publishers kwa sababu hatukuafikiana kwenye malipo ndo wameamua kunichafua ..”
#GongaMx

OMMY DIMPOZ AMTUSI MAREHEM MANGWAIR

 Mangwea ‘NgwairMwanamuziki chipukizi, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amedhihirisha kuwa ana kiwango cha juu sana cha dharau kwa kumdhihaki na kumtusi mtu aliyetangulia mbele za haki.
Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’.
Utamaduni wetu Tanzania na kama ilivyo kwa mafundisho ya dini kupitia vitabu vinne vitakatifu, Torati, Zaburi, Injili na Kuran, fundisho ni kwamba mja aliyepoteza maisha hakashifiwi, hasimangwi, hahukumiwi, isipokuwa huhifadhiwa kwa heshima kisha kuombewa salama na amani mbele ya Mungu.
Ommy Dimpoz, kijana ambaye ni mwaka jana tu alikuwa ‘anawanga’ huku na huko mikono nyuma akiomba msaada wa kimuziki, hivi sasa anajiona ameota meno ya juu kuweza kung’ata, kiburi hicho kimempa uthubutu wa kumtusi Mfalme wa Freestyle, marehemu Albert Kenneth Mangwea ‘Ngwair’.
Thamani ya Ngwair na namna alivyozikwa kwa heshima hajaviona, badala yake akatusi kuwa Mfalme wa Freestyle alikufa maskini ndiyo maana mazishi yake yalikuwa ya kuungaunga michango ya wadau.

 Marehemu Albert Kenneth Mangwea Kifo cha Ngwair, kilivuta makundi mbalimbali kushiriki kwa hali na mali kuchangia na kumzika, taifa lilizizima mkoa kwa mkoa, mguso huo wa kitaifa aliokuwa nao mwanamuziki huyo, Ommy hakuuona, isipokuwa akanena: “Sitaki kufa maskini kama Ngwair.”

Akimweleza mwandishi wetu kwa nyakati tofauti, Juni 10 (Jumatatu) na Juni 11, mwaka huu (Jumanne), Ommy alidhihaki hata ushiriki wa wanamuziki waliosimamisha shughuli zao kwa muda kisha kuungana na kushikamana kuhakikisha Ngwair anazikwa kwa heshima.
“Sitaki nikifa yatokee kama ya Ngwair, amekufa Afrika Kusini, hata kuusafirisha mwili kuuleta Tanzania imebidi mpaka watu wachangie, ile ni aibu sana,” alisema Ommy kwa dharau.
Kutokana na uzito wa maneno ambayo Ommy aliyatamka kuhusu Ngwair, siku iliyofuata (Jumanne), mwandishi wetu alimpigia simu kumuuliza kama maelezo hayo ya kashfa aliyatoa akiwa amelewa au la?
Ommy kwa kujiamini, alijibu kwamba alichokisema kuhusu Ngwair ni ukweli kwa asilimia 100.

MWANDISHI: Nakushauri kama mdogo wangu, siku nyingine usirudie kutamka maneno hayo ni mabaya sana kwa mtu aliyekufa.
OMMY: Sijaongea neno baya, nimesema ukweli wasanii hatutakiwi kufa maskini.
MWANDISHI: Wewe unaona mtu akichangiwa baada ya kufa ndiyo kipimo cha umaskini?
OMMY: Kuna mambo mengi ambayo yangefanyika kabla ya kuchangiwa lakini Ngwair alishindwa kuyafanya.
MWANDISHI: Sasa Ngwair angefanya nini wakati yeye ameshakufa?
OMMY: Kuna mambo yangefanyika, mfano kusafirisha mwili kutoka Afrika Kusini.
MWANDISHI: Sasa Ngwair angejisafirisha mwenyewe?
OMMY: Nachosema mimi ni kwamba wasanii hatutakiwi kufa maskini.
MWANDISHI: Sikiliza Ommy, hata mabilionea wakubwa huwa wanachangiwa. Mtu kuchangiwa siyo kashfa wala aibu kama unavyotaka kulionesha tukio la Ngwair. Marehemu Steven Kanumba alikuwa anatembelea Toyota Lexus V8, mbona alipokufa kila kitu alifanyiwa? Ni jambo la kawaida.
OMMY: Ngwair alikuwa na ‘stresi’ za maisha ndiyo maana alikuwa anakula unga.
MWANDISHI: Ulishawahi kumwona Ngwair akitumia unga?
OMMY: Kwanza nakusikia unanirekodi, sijui una malengo gani.

MANENO YA KASHFA MLIMANI CITY
Juni 8, mwaka huu, katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, wakati wa utoaji wa Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) mwaka 2012-2013, Ommy Dimpoz alizungumza maneno ya kashfa ambayo moja kwa moja yalitafsiriwa ni dongo kwa Ngwair.
Baada ya kutangazwa mshindi wa kipengele cha Video Bora ya Mwaka na kukabidhiwa tuzo yake, Ommy alibwabwaja: “Jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa.”

Japo hakutaja jina la yule aliyekuwa anamzungumzia, tafsiri ya wengi ni kwamba Ommy alikuwa anamzungumzia Ngwair kwa sababu ndiye staa aliyekuwa amezikwa kishindo cha siku moja tu kabla ya usiku huo wa tuzo. Ngwair alizikwa Alhamisi, tuzo Jumamosi.
“Huyu dogo ana nyodo sana, sasa haya ni maneno gani ya kuzungumza? Hapa anamzungumzia Ngwair, ila anapaswa kujua kwamba yeye bado msanii mdogo sana kumlinganisha na Ngwair,” alisema mtangazaji mmoja kwa masikitiko.
Chanzo. Le Mutuz

MTOTO WA SIKU NNE AKAA SIKU SITA SHIMONI

Bahati Upendo
Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe alipowekwa na mama yake kwenye mfuko wa mbolea na kutumbukizwa kwenye shimo...
Ndani ya shimo hilo amekaa siku 6 bila kula wala kunywa hadi alipookotwa na wasamaria wema...
Hivi sasa yuko Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akiwa Salama Salimini .
Yeyote Mwenye nafasi ya kumsaidia mtoto huyu anaweza kwenda moja kwa moja Hospitali.

GARI INAUZWA BEI POA

Daihatsu Daihatsu Daihatsu
Make:Daihatsu
Model:VS100P
Body type:Station Wagon
Colour:Silver
Year:2001
CC:659
Fuel:Petrol
Price: 7.8 Milion
Contact :+255 754 940992
Tanzania

PICHA za KWENYE MSIBA NYUMBANI KWA MAREHEMU LANGA


Hapa ndipo alipokuwa analelewa Langa kwa wazazi wake baba na mama na hizi picha ni wasanii wakifanyiwa mahojiano na waandishi wa habari kutoka Star TV na EATV. Kalapina na Kala JeremiahMSIBAMSIBA
 Kalapna
 Marehemu Langa  
Ni Nyumban kwa Marehemu Langa hapa Kalapna akmuongelea Mwana hiphop Mwenzie Marehem Langa,Pina amesema ameumia sana kwani Langa alkuwa Mwanahiphop aliekuwa akifata Misingi ya Hiphop.RIP Langa