Pages

PICHA na VIDEO ZA ALBERT NGWEA ALIVYOPOKELEWA KWA HUZUNI KUBWA, MWILI WAKE UMEPELEKWA HOSPITALI YA MUHIMBILI

ALBERT MANGWEA 
Mwili ukipelekwa muhimbili....
Mwili wa Marehemu Albert Mangwea aliyefariki dunia May 28 huko Johannesburg leo umeingia Dar es salaam na kupelekwa moja kwa moja hospitali ya Muhimbili, umati wa watu umefika uwanja wa ndege kushuhudia na kumpokea Ngwea.
ALBERT MANGWEA
ALBERT MANGWEA
Baadhi ya wasanii waliojitokeza kwenye kupokea mwili wa albert Mangwair.
Video ALBERT MANGWEABofya read more kuona picha zaidi >>

TIGO SUPPORT FOR BLOOD DONATION DRIVES TO BE HELD IN MARA REGION ON WORLD BLOOD DONOR DAY CEREBRATION

Tigo support for blood donation Dr Efesper A. Nkya, NBTS Program Manager and Tigo Woinde Shisael scr officer .
Dar es Salaam Tanzania, 4th June 2013:
Tigo Tanzania today once again pledges its support towards a blood donation drive to be held in Mara region on this year's World Blood Donors Day the 14th of June 2013. These blood drives are scheduled to be conducted in other regions across the entire country and the National event will be held in Mara region.
"The National Blood Transfusion Service is once again pleased to partner with Tigo in our efforts to create public awareness on the importance of voluntary blood donation and address adequacy and safety issues that go with it. These drives will play a significant role to counter the increased blood shortage problem that faces many hospitals across the country therefore help prevent unnecessary deaths, particularly among women and children who are the major recipients of blood... I would like to take this opportunity to extend our sincere gratitude towards Tigo for their firm support towards this initiative, which is at..

Make The Homeless Smile! ONE OF THE BEST VIDEO OUT THERE

Pizza Delivery Man Caught on CCTV Eating Customer’s Toppings

Footage shows the employee from 2 Coasts takeaway in Russia snacking on the job as he makes a delivery in St Petersburg. He was filmed getting into a lift and opening up a pizza box before helping himself to a few of the toppings and then placing it back in the bag.
The video has racked up more than 30,000 hits on YouTube and attracted the attention of the shop’s customer relations manager Katerina Nechayeva.

CREW YA MKASI NA SALAMA JABIR WAINGIA LOCATION TAYARI KWA 'MKASI SEASON 2'

Salama Jabir na crew
Baada ya kupumzika kwa takriban miezi mitatu, Salama Jabir na crew nzima ya kipindi cha Mkasi, wameingia location kuanza kutayarisha vipindi vipya vya msimu wa pili. Tazama baadhi ya picha za location.
Vanessa Mdee na Muba
Host wa show, Salama Jabir akipigwa make-up huku akiwaza atakavyokupa raha msimu ujao

Vanessa Mdee na Muba
Vanessa Mdee na Muba
Crew ya Mkasi ikiongozwa na Josh Murunga (katikati)
AY akiwa na partner wake kibiashara, Salama

WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI BESTA (ENGLISH MEDIUM) WAONDOLEWA SHULENI BAADA YA SHULE KUUZWA KWA AMRI YA MAHAKAMA MBEYA

Shule ya Msingi ya Besta Sae Mbeya
Hii ndiyo Shule ya Msingi ya Besta Sae Mbeya.
Shule ya Msingi ya Besta Sae Mbeya
Vibarua waliopewa jukumu la kuhamisha mizigo shuleni hapo
Shule ya Msingi ya Besta Sae Mbeya
Viti vikiwa vimetolewa eneo la shule ya Msingi Besta
ENGLISH MEDIUM
Gari la mizigo likichukua mizigo kuelekea...

SHIT HAPPENS! The Jacuzzi Scandal

Hatimaye Awamu ya Kwanza ya Rasimu ya Katiba Imezinduliwa Jijini DSM (Video)

Awamu ya kwanza ya rasimu ya katiba imezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo imetoa ufafanuzi wa mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo madaraka ya rais, muundo wa muungano huku ikibainisha wazi kuwa kuwepo na mgombea huru wa nafasi ya urais.

TAARIFA KUTOKA JWTZ KUHUSU UKWELI WA MESEJI KWENYE SIMU


 JWTZ 

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA03 Juni, 2013
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) limepata ujumbe kupitia simu za mkononi ambao umesambazwa kwa wananchi mbalimbali ukisadikishwa kuwa unatolewa na JWTZ. Ujumbe huo wa simu ya mkononi unasema ‘Habari zilizotufikia hivi punde. Mtanzania yeyote, kaa makini usiokote kitu chochote ambacho una shaka nacho, kunabomu zimerushwa toka nchi jirani Malawi zaidi ya 30 zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha. Usiguse’ Piga namba 0756 000042. SMS hii tuma kwa watu uwezavyo. Imetolewa na JWTZ’.
JWTZ linapenda kuwaondoa wananchi hofu kutokana na taarifa hiyo. Kwanza, Ujumbe huo haujatolewa na JWTZ. JWTZ haliwezi likatumia mfumo huo wa SMS kuwapa wananchi wake taarifa za hatari kama hizo. Aidha, JWTZ hutangaza kupitia vyombo rasmi kama vile Magazeti, Radio na Television.

Pili, bomu la tani 100 ni zito mno, halijawahi kutengenezwa duniani. Na kama lipo, haifahamiki bomu hilo litarushwa vipi , kwa kutumia ndege au Mzinga?. Lakini pia, mzinga wa aina hiyo haupo duniani kote na wala hakuna ndege yenye uwezo huo, hasa kwa bomu lenye umbile dogo kama hilo(Chupa ya Chai).

Tatu, habari hizi hazina ukweli kisayansi wala kiuhalisia au fikra za kawaida. Tunawaomba wananchi wazipuuzie taarifa hizi kwani sio za kweli ni uongo mtupu. JWTZ lipo kwa ajili ya Wanachi hivyo, kwa taarifa hizi za hatari,lazima lingewajulisha wananchi kwa njia zilizoelezwa hapo juu na si kwa simu za mkononi.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
SLP 9203, Simu: 0764-742161
Email:ulinzimagazine@yahoo.co.uk

Klabu ya Simba Yajiondoa Mashindano ya CECAFA

Nicholas Musonye
Klabu ya Simba kutoka Tanzania, imetangaza kuwa haitashiriki katika michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA, ikiwa itaandaliwa katika jimbo la Darfur nchini Sudan.
Uamuzi huo umechukuliwa kufuatia mjadala ulioibuka katika bunge la Tanzania baada ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Benard Membe kuhoji hali ya Usalama katika eneo hilo. Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Adne Rage, amesema uongozi wa CECAFA ni sharti ubadilishe mahala pa fainali hizo la sivyo wao hawatashiriki. ''Hatuwezi kwenda Darfu kuvalia mavazi yasiyopenya risasi'' Alisema Bwana Rage. ''Ni wazi kuwa hali ya usalama katika eneo hilo sio nzuri kama ilivyothibitishwa na serikali'' Aliongeza mwenyekiti huyo wa Simba.
Membe aliliambia bunge la Tanzania kuwa alishangazwa sana na uamuzi wa kuandaa fainali hizo katika eneo la Darfur ambalo limekubwa na mapigano ya mara kwa mara.
Membe amesema serikali ya Tanzania, inachunguza hali ilivyo na kuwa watachukua uamuzi muafaka kuhusiana na suala hilo. ''Hatuwezi kuwatuma vijana wetu katika eneo ambalo hatuna hakikisho la Usalama'' Alisema Membe.
Mabingwa watetezi Yanga, vile vile kutoka Tanzania ambao walikuwa wameonyesha nia ya kushiriki katika fainali hizo za Darfur, pia nao wanasema watafuata ushauri kutoka kwa serikali.
Katibu mkuu wa shirikisho la mchezo wa soka nchini Tanzania TFF, Generali Anfetile Osiah, amesema wao wamehakikishiwa usalama na eneo watakalopiga kambi wakati wa mashindano hayo.
Endapo timu hizo mbili kutoka Tanzania zitajiondoa kutoka kwa fainali hizo, itakuwa pigo kubwa kwa waandalizi wa mashindano hayo. Timu mbili kubwa nchini Sudan Al Hilal na Al Merreikh tayari zimethibitisha kuwa hazitashiriki kutokana na hofu sa kiusalama.
Katibu mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye amekariri kuwa eneo hilo la Darfur ni salama kuwa mwenyeji wa mashindano hayo.
BBC