Pages

Calvo Mistari - Mwanaume Ni Effort (Official Video)

TAHADHARI YA UGONJWA WA NIMONIA INAYOTOKANA NA CORONA VIRUS

novel coronavirus (nCoV 
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) mnamo tarehe 22 Mei 2013, kuhusu kuwepo kwa ugonjwa wa Nimonia unaosababishwa na kirusi cha “Novel Coronavirus”.Taarifa hiyo inaeleza kuwa,tangu ugonjwa huo utokee mwishoni wa mwaka 2012 hadi tarehe 23 Mei 2013 idadi ya wagonjwa wapatao 44 na vifo 22 viliripotiwa

Shirika la Afya Duniani limethibitisha ugonjwa huu kuwepo katika nchi za Mashariki ya Kati yaani Jordan, Qatar, Saudi Arabi na Falme za Kiarabu (UAE). Katika bara la Ulaya, ugonjwa huu umethibitishwa kutokea nchi za Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza. Katika bara la Afrika, ugonjwa huu umetokea Tunisia.
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii inapenda kutoa tahadhari ya Ugonjwa huu kwa wananchi wote, katika mikoa yote ya Tanzania na hasa wale wanaosafiri kuelekea maeneo tajwa yenye uthibitisho wa ugonjwa huu.
Ugonjwa huu unaenezwa na kirusi kiitwacho “novel coronavirus (nCoV).”. Dalili kuu za ugonjwa huu ni kushindwa kupumua kwa ghafla, homa kali, kukohoa, na...

JCB Ft JOHN MASSANGWA - SITOWASAHAU (Video)

Full Interview P-Funk Akizungumzia Kifo Cha Marehemu Albert Mangwair (Video)

MWANA FA NDIO BALOZI WA SAMSUNG TANZANIA

 Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’ Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA
Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’ Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA’ (kulia) akiwa ameshikilia simu ya kiganjani aina ya Samsung Galax 4 aliyokabidhiwa muda mfupi baada ya kutangazwa kuwa Balozi wa Samsung Galax 4.
Samsung Galax 4
Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’ Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA’ (kulia) akiwa ameshikilia simu ya kiganjani aina ya Samsung Galax 4 aliyokabidhiwa na Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar jijini Dar es Salaam leo wakati kampuni hiyo ikimtangaza kuwa Balozi wa wa Simu hiyo nchini.

 Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA
Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’ Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA’ (wa tatu kushoto) akiwa ameshikilia simu ya kiganjani aina ya Samsung Galax 4 aliyokabidhiwa na Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar (watatu kulia) jijini Dar es Salaam leo wakati kampuni hiyo ikimtangaza kuwa Balozi wa wa Simu hiyo nchini. Wengine pichani ni Mamodel wa Samsung (kulia na kushoto), Mkuu wa Biashara kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Manoj Changarampatt (wapili kushoto) na Sylvester Manyara ambaye ni Meneja wa Biashara ya reja reja.  Mamodel wa Samsung
Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar akizungumza.
 Manoj Changarampat
Msanii maarufu wa muziki wa Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’ Hamisi Mwijuma ‘Mwana FA’ (katikati) akitoa neno la shukrani kwa heshima hiyo aliyopewa na Samsung Tanzania kwa kuwa Balozi wa Samsung Galax 4. Simu ambayo inaongozwa kwa mauza ambapo kwa wiki 3 imesha uza simu Milioni 10 duniani kote. Kulia ni Meneja wa Samsung Tanzania, Kishor Kumar na kushoto ni Mkuu wa Biashara kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, Manoj Changarampatt.

Mazungumzo ya Kutafuta Suluhu Kati ya Tanzania na Malawi Yanaendelea..(Video)

Serikali imewatoa hofu wakazi wa ludewa wanaoishi katika mwambao wa ziwa nyasa ikieleza kuwa hakuna tishio la vita kati ya tanzania na malawi kuhusiana na ugomvi wa mpaka wa nchi hizo mbili kwenye eneo la ziwa nyasa kwani mazungumzo yakutafuta suluhu ya mpaka huo yanaendelea vizuri.

TANZANIA TO DENMARK Official trailer 2013

Producer Mswaki - Albert Mangwea/ Open Letter (Audio)

Producer Mswaki - Albert Mangwea

P FUNK AMESEMA HATAKI KUSIKIA TENA NYIMBO ALIZOREKODI YEYE ZA MAREHEMU MAGWAIR ZIKIPIGWA CLOUDS FM

Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.
Producer

Serikali Imelaumiwa kwa Kuwaacha Wawekezaji Wakigeni Kuwa na Umiliki wa Ardhi wa Kimila... (Video)

Serikali imelaumiwa kwa kuwaacha wawekezaji na raia wakigeni kuwa na umiliki wa ardhi wa kimila kinyume na sheria za nchi pamoja na kutakiwa kuhakikisha jengo lililoko karibu na jengo lililoporomoka jijini dar es salaam linabomolewa haraka iwezekanavyo kutokana na kuwa hatari kwa usalama wa wananchi