Pages

Waziri Membe Aelezea Umuhimu wa AU Kwa Nchi za Afrika

Wakati nchi za Afrika zikiadhimisha miaka 50 tangu kuwepo kwa umoja wao Tanzania imesema uwepo wa umoja huo umekuwa ni nguzo muhimu ya ustawi wa mataifa ya afrika ambapo viongozi walipo madarakani wameingia kwa njia ya demokrasia.
Akizungumza na mabalozi na viongozi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es salaam ,waziri wa Mambo ya nje ya nchi Mh Bernard Membe amesema miaka ya nyuma Waafrika wengi walipoteza maisha kutokana na kuwepo kwa viongozi waliotaka madaraka kwa njia ya mtutu

SHUHUDIA JINSI MWANAMKE ALIVYOKUTWA JUU YA PAA LA NYUMBA NA KUHUSISHWA NA IMANI YA USHIRIKINA.

Mchawi Mchawi huyo akiwa amedondoka chini.Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani.
Tukio hilo lililochukua saa kadhaa lilitokea katika Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji linaloongozwa na Nabii Flora Peter lililopo Mbezi Beach Salasala, Dar hivi karibuni. Taarifa kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo ambao ni waumini wa kanisa hilo inadai kuwa mwanamke huyo, mkazi wa Bunju, Dar alifika kanisani hapo saa 4:45 asubuhi huku akiwa amebeba Biblia na pochi lake akionekana kuwa sawa waumini wengine.
Mbezi Beach Salasala, WAUMINI WABAKI VINYWA WAZI
Ilidaiwa kuwa muda mfupi baada ya maombi kuanza, katika hali isiyo ya kawaida, mwanamke huyo aliruka kupitia dirishani akapotea na kuacha waumini vinywa wazi.
Habari zilidai kuwa kuna baadhi ya watu walimuona kwenye paa ya nyumba ya watu waliojenga karibu na kanisa hilo, hali iliyozidi kusababisha mkusanyiko mkubwa wa watu wakiwemo askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) waliokuwa wakimshangaa.
Wakati taharuki hiyo ikiendelea, mwanahabari wetu alitonywa kuwepo kwa tukio hilo ambapo aliwasha ‘tukutuku’ yake na kuwahi eneo la tukio.
Kanisa la Yesu KristoWakazi wa eneo hilo wakishuhudia tukio hilo NI SIMULIZI NDEFU.
Akizungumzia tukio hilo, mmoja wa viongozi wa kanisa hilo aliyejitambulisha kwa jina la Octavian Mahembe alikuwa na haya ya kusema:
“Nakumbuka kulikuwa na waumini wengi kanisani, walikuja kwa ajili ya maombi, huyo mwanamke naye alikuja hapa kama waumini.
“Ilipofika saa 5:00: asubuhi watu wakawa wanasubiri maombi, baadaye nabii naye akawa amefika na kuanza kutoa maombi. Baada ya maombi kuanza, yule mwanamke alianza kuhangaika, akawa anahamahama, hatulii sehemu moja.
“Watu waliokuwa wanataka kuombewa waliambiwa wapite mbele.
“Yule mwanamke alikurupuka na kurukia ukuta wa futi sita na nusu, akadondoka nje.
“Nabii alisema afuatwe ili aombewe, alidai kwa kuwa si mtu mwema ni hatari na...

Crazy Daring Dog Licks Inside Lions Mouth Teeth. Plays Dentist to Lion.. (Video)


Tanzania Illivyowakilishwa Kwenye Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner

Tanzania nchini Marekan
Suleiman SalehKaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Lily Munanka akisindikizwa na Khamisa a.k.a Missy Temeke alipokua akiingia ndani ya ukumbi wa Tamasha la Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner Siku ya Alhamisi Mei 23,2013 ndani ya Ukumbi wa Hilton Hotel uliopo Connecticut Ave, Jijini Washington Dc.
Ofisa wa Balozi Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Bw. Suleiman Saleh kwenye Tamasha la Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner Siku ya Alhamis Mei 23, 2013 ndani ya Ukumbi wa Hilton Hotel Jijini Washington Dc.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Iddi Sandaly kiwa na Abdul (katikati) pamoja na Mwana Mitindo mbunifu wa (Kwetu Fashion Design) Khamisa a.k.a Missy Temeke.
Khamisa a.k.a Missy Temeke 
Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe.Lily Munanka, akiwa na baadhi ya...

Illumination - Confused (Audio)

Illumination - Confused

Cannibal - Bye Bye


CELEBRITY REHAB CENTERS

Cirque Lodge Treatment Center
Cirque Lodge Treatment Center
Eva Mendes, Lindsay Lohan and Mary-Kate Olsen have all stayed at the Sundance, Utah facility. It offers support for those with drug, alcohol and addiction issues.
The Caron Foundation
The Caron Foundation
The Pennsylvania-based rehab has treated Liza Minnelli, Steven Tyler and beauty queen Tara Conner over the years. It also has a New York office. Pasadena Recovery Center
Pasadena Recovery Center
VH1 cameras followed Janice Dickinson, Rachel Uchitel and Eric Roberts (among others) as they faced their demons on Celebrity Rehab. The California-based facility makes use of San Marino High School volunteers.
Betty Ford Center
Betty Ford Center
Long before Lindsay Lohan became a resident, Keith Urban, Ozzy Osbourne and Chevy Chase all sought treatment at the Rancho Mirage, Calif. clinic. Just 30 days of inpatient care can cost up to $27,400.
Promises Treatment
Promises Treatment
Britney Spears, Robert Downey Jr. and Ben Affleck have all stayed at the California facility. It treats a wide variety of addictions, including alcoholism, cocaine addiction, prescription drug abuse and marijuana abuse. Passages Rehab Facility
Passages Rehab Facility
David Hasselhoff, Andy Dick and Stephen Baldwin have all been patients at the Malibu rehab center. The facility was co-founded by father and son team Chris and Pax Prentiss.

BIG BROTHER AFRICA 2013 LAUNCH (Video)

One of the hottest TV shows in Africa is about to start its very new season for 2013. It is titled "The Chase". Are you ready?

WATAALAM WA TIBA ZA ASILI NA TIBA MBADALA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM

Dkt. Mohamed Mohamed
Kaimu mganga mkuu wa serikali Dkt. Mohamed Mohamed akifungua mkutano wa Baraza la wataalam wa Tiba za Asili na Tiba mbadala leo jijini Dar es salaam waliokutana kujadili mafanikio, changamoto na mipango mbalimbali waliyonayo katika utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi.
 Ustawi wa Jamii Dkt.Paulo Mohammed Kaimu Mkurugenzi wa Masuala ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.Paulo Mohammed akitoa ufafanuzi wa hali halisi ya Tiba za Asili na Tiba mbadala nchini Tanzania na mpango wa serikali wa kuendelea kuthamini huduma inayotolewa na wataalam hao wakati wa mkutano wa Baraza la wataalam wa Tiba za Asili na Tiba mbadala.
Shirika la Afya Duniani (WHO) Rose Shija Sehemu ya wataalam wa Tiba za Asili na Tiba mbadala waliohudhuria mkutano wa Baraza la Wataalam wa tiba hiyo wakifuatilia masuala mbalimbali wakati wa mkutano huo leo jijini Dar es salaam.
Mratibu wa Tiba za Asili na Tiba Mbadala kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) Rose Shija akisoma salam za mwakilishi wa Shirika la..
Endelea Kusoma >> Kajuna

LEWIS HAMILTON Has Told The Health and Safety Police to Leave the Monaco Grand Prix Alone.

Grand Prix Drivers The British F1 ace says he loves flying around the ruthless La Rascasse turn and diving out of the Tunnel at full-pelt of this, the most historic F1 circuit, on the calendar.
So far, the sport’s governing body have resisted making sweeping changes around this brutal street circuit.
And Hamilton wants it to stay that way, otherwise he says F1 could become boring if it is too safe.
He said: “This is definitely the most raw circuit to drive. It is the coolest atmosphere.
“I always talk about the tracks where you have run-off areas and how we seem to have more and more of them.  “I liked it back in the day when there was grass behind the kerb and if you touched it, then you would spin off.  “That’s why I love this track more than any of the others. This is a track where it is still old school.
“It is the hardest track in the world and I hope it stays that way. It has been like that since way back in the past.
“Of course, it is important that we take steps to improve safety, that’s why the Grand Prix Drivers’ Association exists and the FIA work so hard on.
“It is important that we keep that, but if it becomes the safest sport in the world, it might not be the most exciting sport in the world.”
Hamilton, who lives in the towering Le Roccabella building in principality has been the victim here.
He famously crashed out at the Mirabeau corner during qualifying in 2009 when he was the world champion.
But he admits he’d still have the same instinct to race his heart out, even when safety was at a minimum in the 1950s.
He added: “I don’t think about crashing. There have been times where I have crashed and definitely felt that I have been blessed that the cars as so safe nowadays. 
 The Sun