Pages

Meek Mill Talks Rick Ross Reebok Beef (Video)

Meek Mill sits down with Karen Civil to discuss the Rick Ross Reebok situation, Dreamchasers 3 and Lil Snupe.

Support Jambo Squad

Support Jambo Squad

Bondia Cheka Amenyakua Gari Mpya Baada ya Kumtwanga Mashali

Mashali Bondia Cosmas Cheka kushoto akipambana na Charles Mashali wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba siku ya mei mosi Cheka alishinda kwa ponti mpambano huo Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Cheka amemtwanga mashali roundi ya 10 baada ya kumshusshia konde la nguvu lililopeleka mashali kupoteza fahamu kwa muda

Kris Kross Rapper Chris Kelly Dead at 34

Kris Kross
Chris Kelly -- one half of the iconic rap group Kris Kross -- died today in Atlanta at the age of 34 ... TMZ has confirmed.
According to FOX 5 in Atlanta, Kelly was found unconscious in his home and was pronounced dead around 5:30PM EST at the south campus of the Atlanta Medical Center.

As part of Kris Kross, Kelly shot to super stardom in the '90s with the group's mega hit, "Jump." They were also famous for wearing their clothing on backwards.
Back in February -- Kelly and his rap partner, Chris "Daddy Mac" Smith, reunited for a long overdue performance.
Kelly even appeared on TMZ Live -- and couldn't have been nicer.
R.I.P.
Story Developing...

Yanga Yatoka Sare na Coastal Union

 Coastal Union
Nizar Khalfan akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Coastal Union ya Tanga.
Yanga
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa Coastal Union ya Tanga, Philip Mugenzi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1.
Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara
Mashabiki wa Yanga wakishangilia timu yao wakati ikipambana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara. Yanga tayari imetwaa ubingwa huo baada ya kufikisha pointi 57 ambazo hakuna timu yoyote inayoweza kuzifikia.Picha na Dande Francis

CCM Wamgeuka RC Arusha

WADAI AMEMWONGEZEA UMAARUFU LEMA, CHADEMA
VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiwemo wabunge, wamemjia juu Mkuu wa Mkoa (RC) wa Arusha, Magessa Mulongo kwa jinsi alivyoshughulikia kesi ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA).
Wabunge hao waliliambia gazeti hili mjini Dodoma kuwa kesi ya uchochezi iliyofunguliwa na serikali dhidi ya Lema kwa shinikizo la mkuu huyo, itaiathiri kwa kiasi kikubwa CCM.
Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola alisema kuwa amefuatilia kwa makini chanzo cha kesi ya Lema na hatimaye kukamatwa na polisi mithili ya gaidi, na kubaini kuwa hulka za utendaji kazi wa baadhi ya viongozi wa serikali zinawapa sifa na umaarufu zaidi CHADEMA.
“Mimi sitaki kuingilia kesi, lakini ukiangalia kuanzia ile inayoitwa video ya vurugu za Chuo cha Uhasibu Arusha na jinsi Mkuu wa Mkoa alivyofika eneo la tukio na kuondoka, utabaini udhaifu mkubwa wa kiongozi huyo ambao leo unamfanya Lema aonekane shujaa.

“Leo tunaingia kwenye uchaguzi mdogo wa madiwani pale Arusha, tunaweza tukashinda, lakini tutafanya kazi ya ziada kwa sababu tu ya udhaifu wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha,” alisema Lugola.

Mbunge mwingine ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe, alisema alichokifanya Mulongo ni..

Baada Ya Video Ya Mama Yeyoo Kutoka Adam Juma Wa Visual Lab Atiririka!

Mama Yeyoo Kutoka Adam Juma Wa Visual Lab
 Jibu La Nisher Ambaye Ndio Mtayarishaji Wa Video Ya Mama Yeyoo Ndio Hili.

 Nisher

Jambo Squad -Tukunyema (Video)

Ben Pol - Jikubali (Audio)

Dereve wa Bodaboda Amekamatwa na Shortgun, Risasi sita

 Bodaboda
Na Rashid Nchimbi wa Jeshi la PolisiArusha. JESHI la Polisi Mkoani hapa limemkamata mtu mmoja aitwaye Ally Rashid Salimu (23) Mwendesha pikipiki za abiria maarufu kwa jina la “Boda Boda” mkazi wa kata ya Sombetini jijini hapa akiwa na bunduki aina ya shortgun Mossberg yenye namba T292166 ikiwa na risasi sita.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo saa 5:30 asubuhi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Liberatus Sabas alisema kwamba, tukio hilo lilitokea juzi tarehe 28.04.2013 muda wa saa 3:00 asubuhi katika maeneo ya Shamsi yaliyopo jijini hapa.
Alisema siku ya tukio dereva huyo wa pikipiki akiwa katika eneo hilo alik
uwa anaendesha pikipiki aina ya Skymark yenye namba za usajili T. 615 BZL huku akiwa amebeba begi lilionekana kutuna sana, ndipo askari waliokuwa doria katika eneo hilo walimtilia shaka na kisha kumfuatilia na kufanikiwa kumsimamisha. “Mara baada ya kumsimamisha askari hao walipekua begi hilo na kukuta silaha hiyo ikiwa na risasi sita na kisha kumfikisha mtuhumiwa huyo katika kituo kikuu cha polisi cha hapa Arusha mjini”. Alifafanua Kamanda Sabas.
Kamanda Sabas alisema upelelezi juu ya tukio hilo bado unaendelea na mtuhumiwa atafikishwa mahakamani pindi utakapokamilika.

Tukio hilo la ukamataji wa bunduki hiyo limekuja wiki tatu tu baada ya jeshi hilo kukamata bastola moja pamoja na risasi 41 kutoka kwa watuhumiwa waliokuwa wanahusishwa na matukio ya kumjeruhi Sister Mary Shobana na kisha kumnyang’anya fedha taslimu Tsh 30,000,000/= (Milioni thelathini) eneo la Notre Dame Njiro lililopo jijini hapa, fedha ambazo alitoka kuchukua benki ya Exim tawi la Shoprite.