Pages

Aliyetoa Ushahidi Dhidi ya Mengi Atishiwa Maisha

Erick Kabendera
-NDUGU WAOMBA ULINZI!
Stori: Mwandishi Wetu
HUWEZI kuamini lakini ukweli ni kwamba Erick Kabendera ambaye ni mwandishi wa habari wa hapa nchini ana wasiwasi na maisha yake baada ya kwenda kutoa ushahidi uliomwangamiza mfanyabiashara maarufu Reginald Mengi ambaye sasa anatakiwa kumlipa Sarah Hermitage, raia wa Uingereza aliyekuwa amemshitaki mahakamani.
Sarah alimshitaki Mengi akidai kukashifiwa na magazeti yake na katika kesi hiyo iliyokuwa ikisikilizwa Mahakama Kuu ya London, Uingereza, jaji alimhukumu kumlipa mama huyo paundi za Uingereza milioni 1.2 (ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 2.9 za Kitanzania) baada ya hapo vituko vya kuisumbua familia ya Kabendera mkoani Kagera vikaanza.
Kwa mujibu wa taarifa ya Chama cha Waandishi wa Habari za Uchunguzi kiitwacho Forum for African Investigative Reporters (FAIR), familia ya Kabendera, imekuwa ikisumbuliwa na maofisa wa..

Uchaguzi Kenya: Uhuru Kenyatta Aongoza,Watu 22 Wauawa

Uchaguzi Kenya
Kura zikihesabiwa kwenye kituo kilichopo Viwanja vya Kibera Social, jijini Nairobi baada ya wananchi wa Kenya kupiga kura katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo jana. Picha na AFP

Matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu nchini Kenya yanaonyesha kuwa Uhuru Kenyatta, mtoto wa Rais wa Kwanza wa Kenya, Mzee Jomo Kenyatta anaongoza, huku akifuatiwa kwa karibu na aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Raila Odinga.

Kama alivyo Uhuru, Raila pia ni mtoto wa mmoja wa waasisi wa taifa la Kenya, ambaye alikuwa Makamu wa Mzee Kenyatta, Jaramong Oginga Odinga.

Hadi majira haya ya saa 6.45 usiku wa kuamkia leo, Uhuru ambaye ni mgombea wa TNA alikuwa amepata kura 744,648 sawa na asilimia 56.1 wakati Raila ambaye ni mgombea wa ODM alikuwa akifuatia kwa kupata kura 527, 780 sawa na asilimia 39.7.
Matokeo hayo ni kutoka katika vituo zaidi ya 5000 kati ya...

Australian Miners Consider Lawsuit After Getting Fired Over ‘Harlem Shake’ Video

The ‘Harlem Shake’ miners plan a lawsuit seeking reinstatement after they were sacked by Barminco and banned from working in all mining sites owned by the company around the world.
Fifteen people getting sacked by an Australian mining company Barminco over “Harlem Shake” video are reportedly mulling a lawsuit seeking reinstatement. Words are, only half of them appeared in the video and the others simply watched their friends doing the convulsive dance to the Baauer goofy track without taking part in it.

Tangazo. Hii Sio ya Kukosa!!!

SHEREHE ZA MIAKA 3 YA VIJIMAMBO NA TAMASHA LA UTAMADUNI WA KISWAHILI MAREKANI

Vijimambo Blog ya Vijimambo ikishirikiana na Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Washington, DC, nchini Marekani na Jumuiya ya Watanzania waishio Washington DC, Maryland na Virginia wanapanga kusheherekea miaka 3 ya Vijimambo kwa kuendeleza Lugha na Utamaduni wa Kiswahili. Madhumuni ya hili tamasha ni kuendeleza lugha na utamaduni wa Kiswahili hapa Marekani ili watoto wa Watanzania wanaoishi huku Marekani waweze kuendeleza matumizi ya lugha hii na utamaduni wake kizazi hadi kizazi.

Sherehe zitafanyika
July 6, 2013 hapa DMV kwenye Hall la Hampton Conference Center uliopo
207 w Hampton Pl,
Capitol Height, MD

Mambo mengi yatakuwepo, Vikundi mbalimbali vya utamaduni, vyakula vya Kitanzania, Wasanii kutoka nyumbani na hapa Marekani yote ni kudumisha utamaduni wa kiswahili Marekani ya Kaskazini

TEGA SIKIO HABARI ZAIDI ZITAFUATA
-------------------------------------------------------
kwa wajasiliamali ambao wangepenga kudhamini na kuijipatia meza ya kutangaza bidhaa au shughuli wazifanyazo tafadhali wasiliana 301 613 5165 Asante
Vijimambo

President Obama Makes a Personnel Announcement

President Obama nominates Ernest Moniz as the next Secretary of Energy, Gina McCarthy as Administrator of the Environmental Protection Agency, and Sylvia Mathews Burwell as Director of the Office of Management and Budget. March 4, 2013.

Tanzania Waandaa Maandano Kumpinga Muingereza Aliyekashifu Viongozi wa Nchi

Taasisi ya Human settlement of Tanzania-HUSETA- imewataka wananchi kujitokeza katika maandamano yatakayoanzia viwanja vya Mnazi mmoja hadi ubalozi wa Uingereza kuwasilisha azimio la kuitaka serikali ya Uingereza kutoa tamko hadharani la kutohusika na maovu yanayofanywa na baadhi ya raia wa nchi hiyo dhidi ya taifa la Tanzania ikiwemo kashfa na udhalilishaji kwa viongozi wa Ngazi za juu wa serikali.

Makamba: Nachonganishwa na CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusuf Makamba,  
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusuf Makamba, amesema baadhi ya vyombo vya habari nchini vinamchonganisha na chama chake.
Alisema pamoja na kustaafu nafasi hiyo, hawezi kusimama katika majukwaa na kukisema chama chake vibaya kwani kabla hajawa Katibu Mkuu, alipitia ngazi nyingine kama Katibu wa Tawi.

Mzee Makamba aliyasema jana wakati anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake mjini Korogwe, mkoani Tanga wakati akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja (si Majira).Alisema katika gazeti hilo ukurasa wa mbele, lilikuwa na kichwa
cha habari kinachosema “Mzee Makamba anena: Mungu ataiadhibu CCM” na kudai habari hiyo imepotosha ukweli wa alichozungumza kwenye uzinduzi wa Halmashauri Mpya ya Bumbuli, wilayani Lushoto Februari 23 mwaka huu.
“Mimi sikusema Mungu ataiadhibu CCM, rasilimali yangu ni jina langu, mwandishi alitaka kuchafua jina langu wakati mimi ni...

Mtu Mmoja Amefariki Dunia, 11 Wamejeruhiwa ktk Ajali Gairo (Video)

Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya Muhamed Trans likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma baada ya kupata ajali katika eneo la Kiegea Gairo barabara ya Morogoro Dodoma .

HIV Cured in Baby For The Frst Time!!!

HIV Cure
AFP/AFP/Illustration - Illustration. Children sit in the yard of the "Messengers of Peace" home for abandoned HIV-positive children in San Martin, El Salvador, November 2007. Researchers say they have cured a baby born with HIV  first time, -- a development that could help improve treatment of babies infected at birth less
HIV Cure
Charts showing the number of people living with HIV worldwide, including proportion …
HIV Cure
A pharmacist shows antiretroviral drugs on November 30, 2006 in Uganda. What researchers …
Researchers say they have, for the first time, cured a baby born with HIV -- a development that could help improve treatment of babies infected at birth. There is an important technical nuance: researchers insist on calling it a "functional cure" rather than a complete cure.
That is because the virus is not totally eradicated. Still, its presence is reduced to such a low level that a body can control it without the need for standard drug treatment.
The only fully cured AIDS patient recognized worldwide is the so-called "Berlin patient," American Timothy Brown. He is considered cured of HIV and leukemia five years after receiving bone marrow transplants from a rare donor naturally resistant to HIV. The marrow transplant was...

Mkasi With Kingwendu