Pages

Tanzania Waandaa Maandano Kumpinga Muingereza Aliyekashifu Viongozi wa Nchi

Taasisi ya Human settlement of Tanzania-HUSETA- imewataka wananchi kujitokeza katika maandamano yatakayoanzia viwanja vya Mnazi mmoja hadi ubalozi wa Uingereza kuwasilisha azimio la kuitaka serikali ya Uingereza kutoa tamko hadharani la kutohusika na maovu yanayofanywa na baadhi ya raia wa nchi hiyo dhidi ya taifa la Tanzania ikiwemo kashfa na udhalilishaji kwa viongozi wa Ngazi za juu wa serikali.

Makamba: Nachonganishwa na CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusuf Makamba,  
KATIBU Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Yusuf Makamba, amesema baadhi ya vyombo vya habari nchini vinamchonganisha na chama chake.
Alisema pamoja na kustaafu nafasi hiyo, hawezi kusimama katika majukwaa na kukisema chama chake vibaya kwani kabla hajawa Katibu Mkuu, alipitia ngazi nyingine kama Katibu wa Tawi.

Mzee Makamba aliyasema jana wakati anazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake mjini Korogwe, mkoani Tanga wakati akikanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja (si Majira).Alisema katika gazeti hilo ukurasa wa mbele, lilikuwa na kichwa
cha habari kinachosema “Mzee Makamba anena: Mungu ataiadhibu CCM” na kudai habari hiyo imepotosha ukweli wa alichozungumza kwenye uzinduzi wa Halmashauri Mpya ya Bumbuli, wilayani Lushoto Februari 23 mwaka huu.
“Mimi sikusema Mungu ataiadhibu CCM, rasilimali yangu ni jina langu, mwandishi alitaka kuchafua jina langu wakati mimi ni...

Mtu Mmoja Amefariki Dunia, 11 Wamejeruhiwa ktk Ajali Gairo (Video)

Mtu mmoja amefariki dunia papo hapo na 11 wamejeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya Muhamed Trans likitokea Dar es salaam kwenda Dodoma baada ya kupata ajali katika eneo la Kiegea Gairo barabara ya Morogoro Dodoma .

HIV Cured in Baby For The Frst Time!!!

HIV Cure
AFP/AFP/Illustration - Illustration. Children sit in the yard of the "Messengers of Peace" home for abandoned HIV-positive children in San Martin, El Salvador, November 2007. Researchers say they have cured a baby born with HIV  first time, -- a development that could help improve treatment of babies infected at birth less
HIV Cure
Charts showing the number of people living with HIV worldwide, including proportion …
HIV Cure
A pharmacist shows antiretroviral drugs on November 30, 2006 in Uganda. What researchers …
Researchers say they have, for the first time, cured a baby born with HIV -- a development that could help improve treatment of babies infected at birth. There is an important technical nuance: researchers insist on calling it a "functional cure" rather than a complete cure.
That is because the virus is not totally eradicated. Still, its presence is reduced to such a low level that a body can control it without the need for standard drug treatment.
The only fully cured AIDS patient recognized worldwide is the so-called "Berlin patient," American Timothy Brown. He is considered cured of HIV and leukemia five years after receiving bone marrow transplants from a rare donor naturally resistant to HIV. The marrow transplant was...

Mkasi With Kingwendu

Vacation - Young Jeezy (Video) Lyrics

Gay Sex Rings, 'The Filth' Corrupting the Vatican...and why the Pope REALLY Quit.!!

Benedict The former Cardinal Joseph Ratzinger wrung his hands above his head in triumph as he emerged as Pope on to the balcony of St Peter’s eight years ago. He had won!
He had longed to be Pope. He has loved being Pope. He expected to die as Pope.
Two weeks ago he announced in Latin he wasn’t up to it any more. Up to what? He spent most of his time writing and took time off to tinkle on the piano and stroke his cat.
He’s been waited on hand and foot. He has his handsome secretary Georg Ganswein to do his every bidding.

Benedict
Benedict, pictured on his election in 2005, resigned to purge the Church of 'The Filth', says John Cornwell
There’s been talk of frailty, encroaching dementia, mortal illness. There’s been pious spin about a holy act of ‘humility’.
But one of his predecessors, sprightly Leo XIII, who died 110 years ago, went on until he was 93. Benedict knew from the start, aged 76, that he would grow old in office.
We’ve heard about the so-called papal ‘resignation’ almost 600 years ago. But there wasn’t one. There were three rival Popes back then, and one of them was a psychopath.
They were sacked by a council of all the bishops and cardinals to get back to one Pope at a time. Since then, every Pope has died in office.

Resignation isn’t in Benedict’s vocabulary. The real reason he has quit is far more spectacular.
It is to save the Catholic Church from ignominy: he has voluntarily delivered himself up as a sacrificial lamb to purge the Church of what he calls ‘The Filth’. And it must have taken courage.
Here is the remarkable thing you are seldom told about a papal death or resignation: every one of the senior office-holders in the Vatican – those at the highest level of its internal bureaucracy, called the Curia – loses his job.
A report Benedict himself commissioned into the state of the Curia landed on his desk in January. It revealed that ‘The Filth’ – or more specifically, the paedophile priest scandal – had entered the bureaucracy.

Read more: http://www.dailymail.co.uk

Man Who Killed Usher's Step-Son With Jet Ski Has Been Arrested

Usher
 The man who hit Usher's step-son with a jet ski and caused his death has now been arrested.
Usher's step-son died after a jet-ski accident last summer, at only 11-years old. Now the jet ski operator who allegedly ran over Kyle Glover has been arrested.
The incident occurred on Lake Lanier in Atlanta last July, and Usher's ex-wife, Tameka Foster's son was brain-dead following the accident, before finally passing away. TMZ reports that Jeffrey Simon Hubbard was indicted on Thursday by a Grand Jury in Hall County, Georgia.

The D.A. says that Hubbard was indicted for Homicide by Vessel, Serious Injury by Vessel, as well as Reckless Operation of a Vessel.
Hubbard will be in front of a judge this week, who will decide whether or not he can be released on bail.

Young Jeezy Ft. Nas N Jay z - My President Is Black [Videos] Lyrics


Jay-Z

Lyrics
My president is black//
Infact hes half white//
So even in a racist mind hes half right//
So if you got a racist mind its alright//
My president is black but his house is all white//
Rosa Park sat so Martin Luther can walk//
Martin Luther walked so Barack Obama can run//
Barack Obama ran so all the children can fly//
So imma spread my wings YOU CAN MEET IN THE SKY//
I already got my own clothes//
I already got my own shoes//
I was hot before Barrack//
Imagine what im gon do//
Hello Mrs.America//
Hey pretty lady//
Red white and blue flag//
Wave for me baby//
Never thought i say this shit baby im good//
You can keep your puss//
I dont want no more bush//
No more war//
No more Iraq//
no more white lies//
My president is black//

Bodaboda 50 Wanaodaiwa Kuua Waachiwa


Bodaboda  

Picha hii ni kielelezo cha Bodaboda na watu hawa hawahusiani na mauaji yaliyoelezwa hapa chini

Zaidi ya waendesha bodaboda 50, waliokuwa wakishikiliwa katika kituo cha polisi cha Stakishari wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, kwa wiki moja wakikabiliwa na tuhuma za kuua, wameachiwa kwa masharti ya kuripoti kituoni hapo.

Akizungumza na NIPASHE jana, mmoja wa ndugu wa waendesha bodaboda hao ambaye aliomba jina lake lisiandikwe gazetini, alisema baada ya kusota kwa muda mrefu katika kituo hicho hata kususia kula ili waachiwe huru, hatimaye jeshi hilo liliwapa masharti na kuwatoa nje.

“Ndugu zetu hivi sasa wapo nje baada ya kushikiliwa kwa wiki moja, lakini wameambiwa waende kuripoti kituoni hapo hadi ukweli utakapofahamika,” alisema ndugu huyo.Alidai tukio lililowaweka mahabusu waendesha bodaboda hao, linasemekana kutokea Februari 19 mwaka huu, saa 7 usiku wakati gari aina ya Toyota Prado lililokuwa na watu wawili ndani yake, walitaka kukodi bodaboda iwapeleke sehemu, lakini walitiliwa mashaka kutokana na wao kutaka kuliacha gari na kukodi usafiri huo.
“Walishituka kutokana na bodaboda nyingi kuibiwa na watu wanaojifanya abiria na madereva wake kuokotwa wakiwa wameuawa…lakini waligoma baada ya ...