Pages

Pata Kusoma Wasifu wa Wagombea Urais wa Kenya

Wycliffe Musalia Mudavadi, Martha Wangari Karua, Peter Kenneth, Mohammed Abduba Dida, Paul Kibugi Muite, Raila Amollo Odinga, Uhuru Muigai Kenyatta, na James ole Kiyiapi Kwa kuwa uchaguzi wa Kenya umepangwa kufanyika tarehe 4 Machi, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza wagombea wanane watakaoshindania nafasi hizo za juu za nchi. Ufuatao ni wasifu wa kila mgombea wa urais, wamepangwa kialfabeti.

Kutoka juu kushoto, kuelekea mbele: Wycliffe Musalia Mudavadi, Martha Wangari Karua, Peter Kenneth, Mohammed Abduba Dida, Paul Kibugi Muite, Raila Amollo Odinga, Uhuru Muigai Kenyatta, na James ole Kiyiapi.
Mohammed Abduba Dida. [Jalada]
Martha Wangari Karua. [Tony Karumba/AFP]
Peter Kenneth. [Jalada]
Uhuru Muigai Kenyatta. [Simon Maina/AFP]
James ole Kiyiapi. [Tony Karumba/AFP]
Wycliffe Musalia Mudavadi. [Jalada]
Paul Kibugi Muite. [Jalada]
Raila Amollo Odinga. [Will Boase/AFP]

Mohammed Abduba Dida alizaliwa mwaka 1975 katika wilaya ya Wajir. Dida, aliyekuwa mwalimu, anagombea urais kupitia Muungano kwa ajili ya Mabadiliko Halisi (Alliance for Real Change). Mgombea mweza wake ni Joshua Odongo Onono, pia alikuwa mwalimu.
Dida, mpya katika siasa, ameapa kuwa Rais ambaye ataawangalia maskini. Alisema elimu inapaswa kuwa bure kwa Wakenya wote, na siyo kwa kutegemea mfumo wa ruzuku. Dida ameelezea kwa kujiamini kwa uwezo wake wa..

Pinda Atangaza Kikosi Kuchunguza Mitihani

 Mizengo Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ametangaza kikosi kazi kinachounda tume itakayochunguza chanzo cha kufeli kwa asilimia 60.5 ya watahahiniwa wa Mtihani wa Kidato cha IV mwaka jana nchini.

Tume hiyo inayoundwa na watu mbalimbali wakiwamo wabunge, wasomi, viongozi kutoka taasisi za kidini na wadau wa elimu, ilitangazwa jana jijini Dar es Salaam na itaongozwa na Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu nchini, Profesa Sifuni Mchome.
Waziri Mkuu Pinda aliwataja wajumbe wengine wa tume hiyo kuwa ni pamoja na James Mbatia Mbunge wa kuteuliwa, Bernadetha Mshashu Mbunge wa Viti Maalumu na Abdul Marombwa Mbunge wa Kibiti.

Wengine ni Profesa Mwajabu Possi kutoka Chuo Kikuu cha..

Eti Wavuvi wa Malawi Wanapigwa na Askari wa Tanzania

Lake Nyasa in Tanzania,
Fishing families on Lake Malawi, Karonga District. Many fisherfolk have said they have been beaten up and detained by Tanzanian police since the dispute over the lake began late last year. Credit: Mabvuto Banda/IPS

KARONGA, Malawi, Feb 27 2013 (IPS) - Since he was nine years old, Martin Mhango from Karonga village in northern Malawi has known no other livelihood than fishing. And for the last 33 years he has been fishing freely on Lake Malawi – that is, until last October when he was detained and beaten by Tanzanian security forces.



“They stopped me, dragged me to the beach where they beat me up and detained me. They told me that I had trespassed and was fishing on the Tanzanian side,” Mhango, 42, told IPS. “I was told to never fish on their side again. He had been fishing on both sides of the lake for years, he said, just as Tanzanian fisherfolk did.

The dispute over Africa’s third-largest lake, which is also known as Lake Nyasa in Tanzania, dates back half a century.
Malawi claims sovereignty over the entirety of the 29,600-square-kilometre lake that...

Ochu sheggy ft Aneth - Kingereza (Video)

Life Inside the Romanian Gypsy Ghetto That is So Grim the Town Mayor Sealed it off Behind a Wall

-Building a wall around a Roma neighborhood last June earned the local government accusations of racism
-Government insist move was 'a step forward towards their civilisation and emancipation'
-An estimated 10-12 million Roma live throughout Europe, making them one of the EU's biggest ethnic minorities
-A European Commission study showed one in four EU citizens would be uncomfortable with a Roma neighbor
-Discontent among Roma community - many of them have now set their sights on the UK next January
-Hundreds of thousands are expected to arrive under the European Union’s 'freedom of movement' rules
By Keith Gladdis

The grim dwellings are mere shacks – damp and freezing cold in the bitter Romanian winter. Close up, there is shocking evidence of raw sewage in the slum where 500 families live.Around the site is a 6ft wall built by the local mayor which has effectively made the slum into a ghetto. When this is your home, it is little wonder you may want to escape to a new life in a foreign country.

If that is the dream for these impoverished gypsy families – relocated to dilapidated buildings near an abandoned copper factory in northern Romania – it is surely one shared by thousands of Romanians who say they would like to move to Britain in January when they gain full rights to live, work and claim benefits under EU ‘freedom of movement’ rules.
Romanians and Bulgarians
Makeshift home: A woman stands in front of her hut in a shantytown inhabited by Roma or Gypsy people in the Craica neighborhood of Baia Mare, northwestern Romania
Romanians and Bulgarians
Population: An estimated 10-12 million Roma live throughout Europe, making them one of the EU's biggest ethnic minorities

The think-tank MigrationWatch has estimated that 50,000 Romanians and Bulgarians will come to Britain every year for five years from 2014.
UK ministers won’t make predictions, but these photographs of conditions in the mining town of Baia Mare, where temperatures plummet to -26C in winter, suggest that estimate is correct.
Alp Mehmet, vice chairman of Migrationwatch, spent three years in Romania working as a diplomat. He said: ‘There are those who seem to doubt that there will be people from Romania and Bulgaria who will be looking for a better life.

‘Here is real evidence of the absolutely dire conditions many are living in at the moment. Is it any wonder they want to come to Britain?’
Average salaries in Romania are less than £400 a month, whereas in the UK the figure is...
                       Read more: Dailymail

Jita Man ft. Fantasia - Masomo

Jita Man ft. Fantasia

Student Gets the Web Buzzing by Solving a Rubik's Cube Like You've Probably Never Seen Before

Sleight of Hand: Ravi solves the rubik's cube while juggling! This guy should be knighted Sir Ravi the juggler.

THT Kusaka Vipaji Vipya vya Waimbaji Kesho

Nyumba ya vipaji Tanzania, THT, imetangaza leo kuwa jumapili ya kesho tarehe 3/3/2013 watafanya usaili wa kusaka vipaji vipya katika ofisi zao za THT Block 41 zilizo karibu na Nyumbani Lounge (Kinondoni). Usaili huo utaanza saa tano kamili asubuhi, ukihitaji … Endelea kusoma>>

Rift Valley Militias Armed As Kenyan Vote Nears

Ommy Dimpoz Ft Vanessa Mdee - Me and You ( Official Video )