
Watu Wawili Wauawa Kikatili Mkoani Mara
Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa vibaya kwa kuchomwa visu huku mmoja ambaye ni mtoto yatima na mfanyakazi wa ndani akiuawa kikatili kwa kunyongwa na ndugu wa mwenye nyumba katika mtaa wa Kawawa katika manispaa ya Musoma mkoani Mara.
Matokeo Kidato cha Nne ‘Feki’ Mkurugenzi Green Acres Afichua Siri Nzito
WAKATI mjadala wa matokeo mabaya ya kidato cha nne ukiendelea kulitikisa taifa, kashfa mpya ya matokeo hayo imeibuliwa. Kashfa hiyo mpya imeibuliwa na Mkurugenzi wa Shule ya Green Acres, Julian Bujugo, kwamba matokeo ya baadhi ya shule nchini ikiwamo yake yamechakachuliwa.
Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha...
Akizungumza na gazeti hili jana, Bujugo alisema kuwa baadhi ya wanafunzi kwenye shule yake hawakufanya mitihani ya kidato cha nne, lakini matokeo yanaonesha wamefaulu kwa kupata alama za juu.
Alitaja mfano wa mwanafunzi, Humphrey Sanga, mwenye namba 01197/148, ambaye hakufanya mitihani hiyo lakini matokeo yanaonesha amefaulu kwa kupata alama nzuri.
“Huyu mwanafunzi tulimsimamisha na hakufanya mitihani, lakini matokeo yake yanaonekana amepata hivi; Civics D, Historia D, Jiografia C, Kiswahili D, English C, Physics D, Chemistry C, Biology C, Basic Mathematics D, ambapo amepata daraja la tatu pointi 24,” alisema Bujugo.
Alimtaja mwanafunzi mwingine, Martin Rushaigwa, namba 01197/0173, ambaye alifanya masomo ya ‘Arts’.
Alisema matokeo ya mwanafunzi huyo yanaonesha kuwa ameongezewa alama za masomo ya biashara ya Bookeeping na Commerce, ambayo hakuyafanya kabisa.
Alimtaja mwanafunzi mwingine aliyefanya mtihani huo lakini matokeo yake yanaonesha...
PSY Wa Gangnam Style Akanusha Kupiga Show Dubai
Mwanamuziki mwenye asili ya Japan ambae amejizolea umaarufu mkubwa kupitia wimbo wake wa Gangnam Style, PSY amekanusha uzushi kuwa atapiga show Dubai hivi karibuni.
PSY amekanusha uvumi ulioenea kuwa atapiga show Dubai Alhamis ya Tarehe 28 March mwaka huu. PSY amekanusha uvumi huo kupitia ukurasa wake wa Twitter mapema leo asubuhi kwa kuandika
Funeral photos of Reeva Steenkamp, Pistorius’ Slain Girlfriend
The funeral of 30 year old model and law-school graduate Reeva Steenkamp, held in South Africa yesterday.
A memorial service was conducted at a chapel in her home town of Port Elizabeth, before her body was cremated at a private ceremony attended by more than 100 relatives and friends. Amid the grief, mourners at the funeral demanded punishment for her boyfriend, Oscar Pistorius who shot her several times leading to her death.


R.I.P Reeva
A memorial service was conducted at a chapel in her home town of Port Elizabeth, before her body was cremated at a private ceremony attended by more than 100 relatives and friends. Amid the grief, mourners at the funeral demanded punishment for her boyfriend, Oscar Pistorius who shot her several times leading to her death.
R.I.P Reeva
Fundi wa Tanesco Amekufa kwa Sababu za Kizembe za Ofisi
Subscribe to:
Posts (Atom)