Daniela in Trouble
Imedaiwa Daniella alifikia hatua hii baada ya paparazi huyu kuzua Ishu kuwa Nyumba ya Msanii Chameleone iliyopo huko Sseguku aliyohama na familia yake recently kwa sababu za kiusalama, ipo katika hatihati ya kutaifishwa na maafisa mkopo kutokana na Deni ambalo hawajalipa.
Taarifa hizi ambazo zimeonyesha dhahiri kumuudhi Daniella, Zilizosababisha apige mishe za kumtafuta mwandishi huyu na kuingia naye katika ugomvi mkubwa uliozaa tukio hili.
Kwa sasa Daniella anakabiliwa na kesi ya kushambulia/kupigana hadharani na yupo nje kwa dhamana ya kitita cha shilingi milioni 20 za Uganda.
JB AFARIKI DUNIA CHUMBANI KWAKE

Jb amesema kuwa yeye yupo hai hajafa na amesikitishwa sana kifo cha kaka yake huyo.
Mashabiki na wadau wa filamu jana walizua utata na huzuni ya ghafla mara baada ya kuanza kutumiana sms zinazosema jb kafariki huku wengine wakiwasiliana na msanii Vicent Kigosi Ray kutaka kujua ukweli.
MSANII JACOB STEPHAN (JB)ALIYEDHANIWA KAFARIKI
Akiongea na sisi kwa njia ya simu Jb amesema kuwa,,,Naomba mashabiki wangu wasipatwe na hofu kwani mimi nipo hai na wala siumwi, jb aliendelea kutowa ufafanuzi kwamba aliyefariki ni yule big bosi mwenye kumiliki hotel kadhaa kama,,,,JB BELMONTE YA DAR NA YA MWANZA- AMBASSADOR CLUB,NA SAVANNAH LOUNGE,,,Kusema kweli nimepokea simu na sms nyingi sana lakini kifupi naomba kaka uwajulishe watu juu ya hili na amini blog yako inasomwa sana na mashabiki wangu sasa wape taarifa kuwa nipo hai na hakika nimeumia sana kwa kuondokewa na ndugu yangu wajina wangu kaka yangu rafiki yangu marehemu justus baguma alimaarufu kama Jb Belimonte,huyo ndio Jb aliyefariki na sio mimi alisema JB.
Taarifa za ndani zinadai Jb Belmonte alikumbwa na umauti wakati akiwa chumbani kwake kalala huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ...
Akiongea na sisi kwa njia ya simu Jb amesema kuwa,,,Naomba mashabiki wangu wasipatwe na hofu kwani mimi nipo hai na wala siumwi, jb aliendelea kutowa ufafanuzi kwamba aliyefariki ni yule big bosi mwenye kumiliki hotel kadhaa kama,,,,JB BELMONTE YA DAR NA YA MWANZA- AMBASSADOR CLUB,NA SAVANNAH LOUNGE,,,Kusema kweli nimepokea simu na sms nyingi sana lakini kifupi naomba kaka uwajulishe watu juu ya hili na amini blog yako inasomwa sana na mashabiki wangu sasa wape taarifa kuwa nipo hai na hakika nimeumia sana kwa kuondokewa na ndugu yangu wajina wangu kaka yangu rafiki yangu marehemu justus baguma alimaarufu kama Jb Belimonte,huyo ndio Jb aliyefariki na sio mimi alisema JB.
Taarifa za ndani zinadai Jb Belmonte alikumbwa na umauti wakati akiwa chumbani kwake kalala huku chanzo cha kifo hicho kikiwa ...
Polisi Waanza Kuwafuatilia na Kuwasaka Waliomtukana Spika
Makinda na Ndugai wamekuwa wakipindisha kanuni wakati wa kuliongoza Bunge. Pia walidai kuandaa taarifa ya kutokuwa na imani na maspika hao, ripoti ambayo wataiwasilisha kwenye Bunge lijalo.
Wakati Polisi wakitangaza hayo, juzi Ofisi ya Bunge kupitia kwa katibu wake, Thomas Kashilillah ilisema itawachukulia hatua kali wale wote waliotumia lugha chafu kwa ujumbe mfupi ama kupiga moja kwa moja kwa Spika na Naibu wake.
Hatua hiyo ya polisi inachukuliwa baada ya Makinda kudai kuwa ametumiwa ujumbe mfupi zaidi ya 400 na kupigiwa simu zisizopungua 200, zinazomkashifu na nyingine zikiwa ni za ...
Top Naked Women Protest Pope's Resignation
Eight feminists flashed their breasts in the heart of Paris’s Notre Dame cathedral to celebrate Pope Benedict XVI’s shock resignation announcement.
The members of the Femen movement entered the Gothic cathedral dressed in long coats which they whipped off inside while ringing three bells neÂșar the altar.
“Pope no more!” they cried. “No more homophobe” and “Bye bye Benedict!” Scandalized visitors voiced their disapproval. “This is a sacred place, you can’t strip here,” said a Frenchwoman.
The Femen women’s power group has been making headlines since 2010 for topless feminist, pro-democracy and anti-corruption protests in Russia, Ukraine and London.
The members of the Femen movement entered the Gothic cathedral dressed in long coats which they whipped off inside while ringing three bells neÂșar the altar.
“Pope no more!” they cried. “No more homophobe” and “Bye bye Benedict!” Scandalized visitors voiced their disapproval. “This is a sacred place, you can’t strip here,” said a Frenchwoman.
The Femen women’s power group has been making headlines since 2010 for topless feminist, pro-democracy and anti-corruption protests in Russia, Ukraine and London.
Sheikh Nassor Bachu Aiaga Dunia
Lightning Strikes St Peter's Basilica as Pope Benedict XVI Resigns!! -Video
Pope Benedict has shocked a billion Roman Catholics around the world, and his closest advisers, by announcing that he will resign at the end of this month.
Within hours of Pope Benedict announcing his resignation, lightning struck St Peter's Basilica.
The Pope, who is 85 years old, has been the head of the Church since 2005.
Within hours of Pope Benedict announcing his resignation, lightning struck St Peter's Basilica.
The Pope, who is 85 years old, has been the head of the Church since 2005.
Subscribe to:
Posts (Atom)