Pages

Mr Blue Atiririka Kuhusiana na Sakata la Shirika la Nyumba la Taifa NHC

Kabaise,Mr Blue
Mkali wa long time kwenye game la Bongo Fleva Tzee Henry Sammir mwenye a.ka. nyingi tu Mr. Blue ameonyesha kukerwa na uzushi kuwa ametupiwa virago aka vyombo vyake nje katika nyumba aliyokuwa akiishi maeneo ya Posta jijini Dar es salaam.
Akitia story na Gossip Cop Soudy Brown katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm leo mchana,Blue ama Kabaiser kama anavyopenda kujiita amesema nyumba hizo za shirika la nyumba la taifa NHC alikuwa akiishi mzee wake ambaye amekutana na sakata hilo ambalo tayari limekwishatafutiwa ufumbuzi lakini watu wamechanganya madawa na kudai ni yeye Blue wakati si kweli.
Blue amechukizwa sana na wasambazaji wa habari hizo ambazo zimedai tayari watu walishaanza kugawana pamba zake ambapo amesema watasubiri sana.

Rebel Music - The Bob Marley Story (full version)

Rihanna Opens up on her Reconciliation with Chris Brown

Rihanna
She left many fans horrified when she reconciled with on/off boyfriend Chris Brown last year.
However, Rihanna is unrepentant about her decision to forgive him for beating her nearly four years ago, admitted she decided to put her emotions first.
Speaking to the new issue of Rolling Stone magazine, the 24-year-old insists their relationship is 'different now' compared to when they originally dated in 2007-2009.
In the interview, Rihanna appears to officially confirm they are an item again following Chris's split from model Karrueche Tran last October.

After Chris was arrested for assaulting Rihanna on the way home from a pre-Grammys party in Los Angeles in February 2009, she admitted she want to punish him, even though she still loved him.
She explains: 'I wanted him to know what it felt like to lose me. To feel the consequences of that. So when that (stuff) came back it hit me like a ton of bricks.
'Like, God, you’ve got to be kidding right now. But I got real with myself, and I just couldn’t bury the way I felt.'
When she decided to give Chris another chance, she knew she would be criticised by fans, friends and the media, but decided to follow her heart.
She said: 'But I decided it was more important for me to be happy, and I wasn’t going to let anybody’s opinion get in the way of that.
'Even if it’s a mistake, it’s my mistake. After being tormented for so many years, being angry and dark, I’d rather just live my truth and take the backlash. I can handle it.'

She insists the relationship between the pair is ...

Siri ya Mtungi Sehemu ya 2

"Siri ya Mtungi" ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa Studio ya Kupiga Picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya na huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu.

Press Play - Djchoka ft. Mrap,Gosby,Vanessa,Mabeste & Deddy - Official Video

Gharama za Kupiga Simu Sasa ni Sawa na Bure!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA
GHARAMA za kupiga simu kutoka mtandao wa kampuni moja ya simu za mikononi kwenda mwingine nchini kuanzia Machi Mosi, mwaka huu, zitashuka kutoka Sh. 115 hadi Sh. 34.92 kwa dakika moja.
Uamuzi huo umefanywa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya kufanya mapitio ya gharama za mwingiliano kwa kampuni za simu nchini wa mwaka 2013, pia kuanzia Januari Mosi, mwakani, gharama hizo zitapungua hadi Sh. 32.40.

Vilevile, Januari, 2015 gharama hizo zitashuka hadi Sh. 30.58; Januari, 2016 zitashuka hadi Sh. 28.57 na Januari, 2017 zitashuka hadi Sh. 26.96 kwa dakika moja. Akitangaza uamuzi huo jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Profesa John Nkoma pichani, alisema umetolewa kwa mujibu wa sheria ya TCRA ya mwaka 2003 Sura 172.

Profesa Nkoma alisema viwango hivyo ni vya kikomo cha juu na pia ni elekezi, lakini akasema kampuni za simu zina uhuru wa kukubaliana kibiashara ili mradi makubaliano yao yasizidi gharama zilizoelekezwa na TCRA. Alisema gharama hizo zitatumika kwa mawasiliano ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na simu za kimataifa zinazoingia katika mitandao nchini.
Hivyo, ameziagiza kampuni zote za simu kufanya makubaliano mapya baina yao na ...

Watu Wawili Wanaosadikiwa Kuwa Wezi wa Pikipiki Wamechomwa Moto Tegeta

Watu wawili wanao sadikiwa kuwa ni wezi wa pikipiki maarufu kama boda boda wameuwawa na wananchi wenye hasira kali huku mmoja akinusurika kufa katika eneo la tegeta masaiti, kwa tuhuma nyingine za jaribio la wizi wa pikipiki.

Deaths and Desperate Need for Aid in Flood-Stricken Mozambique

Flooding in three southern states of Mozambique has killed at least 40 people, with several reports of a death toll of up to 70. Low-lying coastal areas of the southern African country have been hit especially hard in this year's rainy season.
Flooding in 2000 killed 700 people and displaced millions.This time, boats are being used to evacuate thousands of people.
Helicopters from both Mozambique and South Africa's militaries have had to rescue those stranded on the rooftops of their homes.
Around 100,000 people have been affected in Gaza province alone according to the UN, which estimates more than 11 million euros will be needed for aid to prevent the spread of diseases.
The Chikahalani camp is now home to 65,000 people but only has 28 toilets.

Maino - Nino Brown -Official Video

Ray Yamemkuta

Irene Uwoya
TUKISEMA staa wa filamu za Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ yamemkuta ni sawa, kisa ni ile ishu yake ya kutengeneza filamu inayoitwa Sister Marry ambapo mapadri wamemtaka asiipeleke sokoni milele, Risasi Jumamosi lina mkanda wote.
Ishu hiyo ilitokea kwenye kikao kizito cha saa 5 kilichofanyika Jumanne iliyopita katika Ofisi za Utamaduni jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa kikao hicho walikuwa Ray, Mkurugenzi Mtendaji wa Utamaduni aliyetajwa kwa jina moja la Mwansoke, mapadri wanne na mtu mmoja aliyedaiwa kuwa ni wa kutoka Ofisi za Usalama wa Taifa.
Kikao hicho kilikuja baada ya hivi karibuni viongozi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam kumtaka msanii huyo ajieleze kimaandishi ni kwa nini mtawa Sister Marry (Irene Uwoya pichani) alikuwa akifanya matendo ambayo kiuhalisia, Wakatoliki wenyewe huwa hawayafanyi.
Kabla Ray hajajieleza kwa maandishi ndipo alipoitwa huko na kukubaliana ana kwa ana na jopo hilo huku mashinikizo kadhaa yakielekezwa kwake.
Awali, wajumbe wote wakiwa wamekaa kwenye viti, filamu hiyo yenye saa 3 iliwekwa mwanzo mwisho huku mapadri hao wakiguna kila wakati, hasa wakati Sister Marry akiwa anafanya...