Pages

Jokate Mwegelo na Martin Kadinda, Kashfa ya Kumiliki Danguro S.Africa

Jokate Mwegelo na Martin Kadinda,
Jokate Mwegelo na Martin Kadinda,
WANAMITINDO maarufu Bongo, Jokate Mwegelo na Martin Kadinda, wamekanyaga kashfa nzito baada ya kuhusishwa na umiliki wa danguro la wasichana nchini Safrika Kusini ‘Sauzi’Akizungumza msichana aliyejitambulisha kwa jina la Hilda Andrew alisema kuwa alikumbana na mkasa mzito baada ya kuchati na mrembo aliyejitaja kwa jina la Jokate na kumwambia kwamba anataka kumuunganisha kuwa mmoja wa wanamitindo wake nchini Afrika Kusini.
Msichana huyo alitiririka kuwa alikuwa akichati mara kwa mara na mwanadada huyo akijua ni Jokate hadi wakawa wanapigiana simu huku akimwambia kuwa yuko Sauzi akiwaandaa wanamitindo aliowapeleka kwa ajili ya onesho lililokuwa likifanyika nchini humo.
Aliendelea kutambaa na mistari kuwa baadaye mwanamke huyo alimwambia amemuachia maagizo Martin Kadinda ambaye angemuona na kumpima nguo kwa ajili ya kwenda nazo kwenye ..

Mkasi With Lundenga

Kikwete: Kuna Watu Wanatumia Udini Kuvuruga Nchi! Hatutalifungulia MwanaHalisi

MwanaHalisi
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuna juhudi nyingi zinafanywa kuleta machafuko nchini na kuweka bayana kuwa wapo baadhi ya watu wanaolipwa ili kuchochea machafuko hayo kwa kutumia mgongo wa dini.
Mbali na wanaotumia dini ambao amesema Serikali itawadhibiti, Rais Kikwete pia ameonya kuwa hatakubali uchochezi wa vurugu unaofanyika kwa kupitia vyombo vya habari. Katika hilo, amesisitiza kuwa hatalifungulia gazeti la kila wiki la MwanaHalisi kwa sababu kutaka wanajeshi waasi, siyo uandishi wa habari na haukubaliki.
Rais Kikwete alisema hayo juzi mjini hapa wakati akijibu hoja zilizoibuliwa katika ripoti ya tathmini ya Mpango wa Afrika Kujitathimini Kiutawala Bora (APRM) kwa Tanzania, iliyowasilishwa hapa.

Ripoti hiyo iliwasilishwa kwa viongozi wakuu wa Nchi na Serikali wa Afrika wanaoshiriki APRM na Barrister Muna, ambaye alikuwa kiongozi wa jopo lililofanya tathimini kwa Tanzania.
Katika ripoti hiyo, kulitolewa changamoto kuwa zimeanza kuonekana dalili za mgawanyiko kwa misingi ya dini nchini Tanzania. Changamoto nyingine zilizoainishwa ni madai ya uhuru wa vyombo vya ...

SHOCKING: Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo

WARNING SOME VIEWERS MAY FIND DISTURBING

 Abuse Mother Giving Her Baby Boy A Tattoo! (Original Video)
Mum holds down toddler as he is given a tattoo
A TWISTED mum has been caught on camera restraining her screaming toddler son as he is given a TATTOO.
The clip shows the terrified lad, believed to be three, trying to escape as he writhes in agony.
Shockingly, his mum pins him to her chest during the procedure, understood to have taken place in Havana, Cuba.
At one point, she is heard saying "mire, mire" - Spanish for "look" - as her distraught child continues to scream and cry.
Hardcore dance music is heard playing in the background during the disturbing 1min 6sec film, posted online over the weekend.

Fireworks Show Killed 233

Santa Maria
Bouncers block only exit as flares set the ceiling alight
A BAND sets off fireworks in a packed club — just moments before a blaze broke out killing 233 people.
Sparks from the display, ignited as part of the act, hit the ceiling — sparking the devastating inferno in Brazil.
Many died after inhaling toxic fumes, while others were crushed in a battle to get out.
Bouncers, initially unaware of the unfolding horror, were baffled by the sudden exodus and blocked the only exit.
Many revellers mistook the club’s toilets for the way out. Their bodies were found “stacked” inside. Some 2,000 people were in the Kiss club in Santa Maria when flames ripped through it at 2.30am.
Santa Maria
Grim task ... fireman carries a victim from club
Cop Luiza Souza said the singer wore a glove with a firework attached that was set off by remote control. He added: “The sparks hit sponge on the ceiling above the stage and from there the fire spread.”
Witnesses said the singer grabbed a fire extinguisher but it didn’t work. The band’s accordionist Danilo Jaques, was among the dead. Many victims were aged 16 to 20. A further 116 people were hurt.
Santa Maria
Wrecked ... fire crews at burned-out building
Survivor Rodrigo Moura, 20, said: “Had the extinguisher worked nobody would have died.”
Murilo Tiecher, 26, said: “Bouncers were holding the exit door shut. It seemed they thought people were trying to leave because of a fight and didn’t want them to go without paying for drinks.” The bar had a tab arrangement.
Read more:.The sun.

Mgogoro wa Uongozi Wafunga Kanisa Tabata.Milango Imeandikwa "Hakuna Ibada"


Katika hali isiyo ya kawaida jeshi la polisi mkoa wa Ilala jijini Dar es salaam limelazimika kupiga kambi katika eneo lililopo kanisa la Morovian Tanzania jimbo la mashariki usharika wa Tabata, kutokana na uwepo wa mgogoro wa uongozi wa kanisa hilo jambo lililowafanya waamini wa kanisa hilo kushindwa kufanya ibada kama ilivyo ada baada ya upande mmoja wa uongozi kufunga milango ya Kanisa hilo na kuondoka na funguo.

Pope’s Dove of Peace Almost Ends in Pieces: Seagull Attacks Bird Seconds After Pontiff Releases it From Vatican Balcony

Pope Benedict XVI
A young boy (right) releases the dove of peace next to the Pope during the Angelus prayer in Saint Peter’s square at the Vatican. Releasing a dove is a symbolic appeal for peace. But when the Pope tried it yesterday, it led to quite a flap. Nobody had bargained on a resident seagull who apparently hadn’t been listening to the Holy Father’s sermon.
It swooped in and attacked the bird of peace as soon as Pope Benedict XVI released the dove from a balcony at the Vatican.
Watched by thousands of pilgrims below the fearsome gull, leading with its beak, chased and harried the terrified dove as it tried to escape among the ancient pillars and porticos.
Some 2,000 youngsters from Rome had marched to St Peter’s Square for the annual ‘Caravan of Peace’ which takes place on the last Sunday of January and finishes with the release of two white doves by the Pope shortly after the Angelus prayer.
http://in2eastafrica.net/wp-content/uploads/2013/01/The-poetic-celebration-takes-a-turn-for-the-worse-as-the-seagull-swoops-upon-the-unsuspecting-dove.jpg 
The poetic celebration takes a turn for the worse as the seagull swoops upon the unsuspecting dove
It is not the first time the Pope’s prayers have not protected his birds of peace. Last year the two doves he released turned tail and flew straight back in through the open window.
‘They want to stay in the Pope’s home,’ Benedict had said.What he had to say about yesterday’s kerfuffle was not known. But someone must have said a quick little prayer, as the dove eventually made good its escape.

Umoja wa Wanataaluma wa Kiislam Tanzania (Tampro) na Wanazuoni wa Kiislamu (Hayat-Ulamaa) Wahamasisha Utekelezaji wa Nguzo ya Zakat Ul-Maal

Wanazuoni wa Kiislamu (Hayat-Ulamaa
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu (Hayat-ulamaa) Shk. Suleiman Amran Kilemile Akitoa Nasaha Juu ya Umuhimu wa Waislam Kiimarisha utekelezaji wa Ibada ya Kutoa Zakat kwa Makundi yaliyotaja Katika Qur’an kwani ndio Njia rahisi ya Kuimarisha Uchumi wa Jamii na Nchi kwa Ujumla.
Umoja wa Wanataaluma wa Kiislam Tanzania (Tampro
Mwenyekiti wa Bodi ya Baytul -ulmaal (Charity Fund) Tanzania akisisitiza Umuhimu wa Matajiri na ..

Lulu Aachiwa kwa Dhamana

Lulu,Elizabeth Michael
Baada ya wanasheria wa msanii huyo ambao ni Peter kibatala na Kennedy Fungamtama na Fulgence Massawe baada ya kutuma maombi ya dhamana ya kesi ya Lulu ili isomwe haraka kwasababu muombaji amekaa muda mrefu mahabusu,sasa habari tulizozipata hivi punde kutoka mahakama kuu ni kwamba lulu ameachiwa kwa dhamana.
Lulu akikabiliwa na kesi ya kumuua bila kukusudia Steve Kanumba April, 7, 2012 huko Sinza Vatican,jijini Dar es Salaam.