Pages

CHADEMA: Nape Tafuta Familia Yako Kwanza,Ushahidi Tunao!


Mkurugenzi wa Oganizesheni na Mafunzo Benson Kigaila akifanunua kwa Waandishi wa Habari kuhusu tuhuma za Nape sakata la Hoja ya Chadema ni kwamba kama Nape angekuwa mtoto halali wa Marehemu Brigedia Moses Nnauye basi lazima angetajwa kwenye tangazo hilo la kumbukumbu ya kifo cha mwanasiasa huyo maarufu. Je jina la Nape lilisahaulika kimakosa?Je hoja ya Chadema ina ukweli ndani yake?Labda Nape atajitahidi kutolea ufafanuzi tashwishwi hii.
Brig Gen Moses Nnaye

Niite Songa - Songa

Scam Series #10

Scam Series
Dear Friend,
I know that this mail will come to you as a surprise as we have never meet before, but you need not to worry as I am using the only secured and confidential medium available to seek for your foreign assistance in a business.I am Mr Ibrahim Ahmed,the director in charge of credit and exchange section of Bank Of Africa,(BOA) Ouagadougou Burkina-faso West Africa with due respect and regard. I have decided to contact you on a business transaction that will be very beneficial to both of us at the end of the transaction.

During our investigation and auditing in this bank, my department came across a very huge sum of money belonging to a deceased person who died on Monday, 31 July, 2000, in a plane crash and the fund has been dormant in his account with this Bank without any claim of the fund in our custody either from his family or relation before i discovery to this development.

The said amount was U.S $10.6M (Ten million six hundred United States dollars). As it may interest you to know, I got your impressive information through the Burkina-faso chamber of commerce on foreign business relations here in Ouagadougou Burkina-faso.

Meanwhile all the whole arrangement to put claim over this fund as the bonafide next of kin to the deceased, get the required approval and transfer this money to a foreign account has been put in place and directives and needed information will be relayed to you as soon as you...

Kakakuona Aomekana Hospitali ya Morogoro na Kutabiri

Kakakuona
Mnyama Kakakuona ambaye ana aminika kwa utabiri akirandaranda kwenye hospital ya mkoa wa Morogoro leo.

Askali Magereza akimuwekea vitu mbali mbali mnyama huyo kwa lengo la kutabiri.
Kakakuona Mnyama huyo akianza kutabiri.
Kakakuona
Baada ya kuwekewa vitu hivyo mnyama huyo alikwenda kulamba Jembe kama anavyoonekana Pichani.
Kakakuona
Baada ya kulamba Jembea pia alikweda kwenye beseni la maji na kuanza kuyanywa.
LEO asubuhi mnyama anayeaminika kwa utabiri Kakakuona ameibuka ndani ya hospital ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro ambapo baada ya kuwekea vitu mbali mbali alichagua maji na Jembe. Wachunguzi wa mambo walisikika wakisema kwamba utabiri wa mnyama huyo ambaye alichagua Maji na Jembe unaashiriki kwamba mwaka huu kutakuwa na mvua nyingi zitakazo ambatana na mafuriko, pia wachunguzi hao walidai kwamba kwa mnyama huyo kuchagua Jembe ni ishara kwamba mwaka huu wakulima watavuna mazao mengi.
Mnyama huyu amechagua maji kwa kuyanywa na baadae kuyakoroga misiri ya mafuliko hivyo ametabiri mwaka huu mvua zitakuwa nyingi sambamba na mafuliko pia alichagua Jembe akitabiri kwamba mwaka huu utakuwa sio mwaka wa njaa wakulima watalima na kuvuma kwa wingi"alisema mzee mmoj aliyejitambushwa kwa jina la Jonas Mkude.

Ball boy Charlie Morgan's Tweet Earlier that Day

Ball boy Charlie Morgan's Tweet

Mwigizaji Lulu Kuachiwa kwa Dhamana Kesho Endapo Milioni 20 Itapatikana

mwigizaji Lulu
Taarifa za uhakika nilizozipata kwa sasa ni kwamba kuna uwezekano mkubwa mwigizaji Lulu akatoka kwa dhamana kesho january 25 2013.
Uhakika wa Lulu kupata dhamana ulikua jana jumatano january 23 lakini ikawa imeshindikana kutokana na kuahirishwa kwa sababu jaji alipata dharura na pia kiwango cha pesa za dhamana kilikua hakijatimia.
Chanzo cha kuaminika kilichoongea na millardayo.com kimesema dhamana ya kumtoa Lulu ambae amekua chini ya ulinzi kuanzia April 2012 ni milioni 20 za kitanzania.
Lulu amekua akishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya mwigizaji Steven Kanumba, endelea kuipitia millardayo.com kwa stori zaidi.

Kiwanda cha Mchina Chaua Wanne

Watu wanne wamefariki dunia katika mlipuko unaodaiwa kuwa ni wa bomu ambao umetokea kwenye kiwanda cha Hong Yu Steel cha kuyeyusha vyuma chakavu kilichopo Zogoani, katika mji wa Kibaha. Akizungumza na NIPASHE kwa njia ya simu jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alisema tukio hilo lilitokea juzi na kwamba ni mlipuko uliosababishwa na ajali ya kawaida. Alisema tayari mabaki ya vyuma vilivyolipuka yamepelekwa kwa wataalam wa milipuko kwa uchunguzi zaidi na kwamba taarifa zitatolewa baadaye.
Matei alisema mlipuko huo ulitokea wakati uyeyushaji wa vyuma ukiendelea na kwamba hiyo ni ajali ya kawaida.
“Hatuwezi kusema sasa kwamba ni bomu kwa sababu kwanza madhara yametokea tu kwa binadamu, bomu lingeweza kuvunja kuta na paa. Tunasubiri majibu ya wataalam ambao wanachunguza tukio hili,” alisema.
Alisema jana Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza, ilifanya ziara kiwandani hapo kujionea hali halisi na kujiridhisha kwamba kiwanda kisitishe shughuli zake kwa muda. Alisema tangu ajali hiyo ilipotokea juzi, menejimenti ya kiwanda ilitangaza kusimamisha shughuli zake kwa muda wa siku tatu na kwamba jana imekubaliwa kwamba kisimamishe uzalishaji kwa muda mrefu zaidi. Kamanda Matei alisema katika ajali hiyo, watu wanne walifariki ambao ni Watanzania watatu na raia mmoja kutoka China.

Kamanda Matei aliwataja waliofariki kuwa ni Kassim Mtulia (26), George Manumbu (25), Mwinjuma Hussein (25) wote Watanzania pamoja na Yu Huafing (28) raia wa China.
Alisema katika mlipuko huo watu kadhaa walijeruhiwa na kutibiwa Hospitali ya Tumbi.
Kati ya waliojeruhiwa, mmoja kati yao bado yuko hospitali na hali yake inaendelea vizuri huku wengine wakiwa wameruhusiwa.

Hili ni tukio la pili kutokea baada ya lile la Oktoba mwaka jana wakati mlipuko kama huo ulipotokea Mikocheni, jijini Dar es Salaam eneo la kwa Warioba karibu na Kanisa Katoliki la Mtakatifu Martha baada ya vijana waliokuwa wakiuza nyaya aina ya kopa kama vyuma chakavu kulipuka na kusababisha majeruhi kwa msichana mmoja na wengine kunusurika.
Habari na RESTUTA JAMES
SOURCE: THE GUARDIAN

DMX ft. Machine Gun Kelly - I Dont Dance

Check out the official video of 'I Don't Dance,' which features Machine Gun Kelly

Brooklyn Beckham Has Chelsea Football Trial

The 13-year-old son of David and Victoria Beckham has played in a match at the south-west London club's training ground in Surrey.
Brooklyn Beckham is as big a football fan as his father
David Beckham's eldest son Brooklyn has had a trial with Chelsea football club.
The 13-year-old played in a game at the Premier League side's training ground in Surrey on Tuesday.
It is understood it was a low-key academy training match aimed at giving him a taste of English junior football.
Sky sources said: "Brooklyn was there as part of a big try-out, with talented kids coming from around the world. "It was not just one day, there are several days as part of it so no decision has been made."Brooklyn Beckham and his brothers were keen on football when in the US
The sources added: "All three of the boys absolutely love football and they are glad to be back and living in London."
Former England captain David, 37, is currently without a club after leaving Los Angeles Galaxy at the end of the Major League Soccer season.
He and his family are understood to be living in south-west London in a £20m house.

Beckham was pictured on Twitter with a young team player at Chelsea's Cobham training base prompting speculation he..

Eden Hazard Pega una Patada a un Recogepelotas del Swansea // Chelsea // Capital One Cup