Pages

Brooklyn Beckham Has Chelsea Football Trial

The 13-year-old son of David and Victoria Beckham has played in a match at the south-west London club's training ground in Surrey.
Brooklyn Beckham is as big a football fan as his father
David Beckham's eldest son Brooklyn has had a trial with Chelsea football club.
The 13-year-old played in a game at the Premier League side's training ground in Surrey on Tuesday.
It is understood it was a low-key academy training match aimed at giving him a taste of English junior football.
Sky sources said: "Brooklyn was there as part of a big try-out, with talented kids coming from around the world. "It was not just one day, there are several days as part of it so no decision has been made."Brooklyn Beckham and his brothers were keen on football when in the US
The sources added: "All three of the boys absolutely love football and they are glad to be back and living in London."
Former England captain David, 37, is currently without a club after leaving Los Angeles Galaxy at the end of the Major League Soccer season.
He and his family are understood to be living in south-west London in a £20m house.

Beckham was pictured on Twitter with a young team player at Chelsea's Cobham training base prompting speculation he..

Eden Hazard Pega una Patada a un Recogepelotas del Swansea // Chelsea // Capital One Cup

Wananchi wa Ngara Waendesha Operesheni ya Kuwaondoa Wahamiaji

Wananchi wa kijiji cha Kasuro mpakani mwa Tanzania na nchi ya Rwanda wameendesha operesheni ya kuwaondoa nchini wahamiaji haramu wenye makundi makubwa ya mifugo waliomilikishwa ardhi kinyume cha sheria baada ya serikali kushindwakutekeleza ahadi zake za kuwaondoa takribani miaka kumi iliyopita na kuchochea migogoro ya ardhi na mapigano kati ya wakulima na wafugaji katika wilaya ya Ngara mkoani Kagera.

Siri ya Mtungi - Sehemu ya 1 (Tamthilia)

"Siri ya Mtungi" ni tamthilia ya televisheni inayofurahisha, inayoonyesha maisha ya Cheche, mpigapicha mwenye bashasha na mmiliki wa Studio ya Kupiga Picha ya Mtungi. Ana mke mrembo, Cheusi, aliyemzalia watoto wawili wenye afya na huku akiwa na ujauzito wa mtoto wa tatu

NI MARUFUKU WALIMU KUWAREJESHA WANAFUNZI NYUMBANI KWA KISINGIZIO CHA ADA

 
Na Kibada Kibada wa Fullshangwe-Katavi
Serikali imepiga marufuku Wakuu wa shule za Sekondari wote nchini kuwarudisha nyumbani wanafunzi kwa kisingizio cha kukosa Ada na michango ya aina yeyote ya aina mbalimbaliwatoto wanaoshindwa kuchangia na kulipa Ada kutokana na ama wazazi kutokawa na uwezo wa kulipia kwa wakati michango hiyo.
Agizo hilo limetolwa jana na Naibu waziri wa Tamisemi Aggrey Mwanri wakati wa ziara yake mkoani katavi mara baada ya kutembelea shule ya sekondari ya Nsimbo Mkoani Katavi na kusomewa taarifa kuwa baadhi ya wanafunzi wanashinwa kuendelea na masomo kutokana na kukosa ada na michango mbalimbali inayotolewa mashuleni kutokana na wazazi waokuokuwa na uwezo.
“Ni marufuku kwa mkuu yeyote wa shule kuwrudisha nyumbani watoto kwa sababu ya kukosa ada ikiwamo michango ya madawati kwani kumrudisha nyumbani mtoto ni kumuonea michango hiyo adaiwe mzazi wakati mwanafunzi akiendelea na masomo”alisema Naibu waziri.

Alieleza kuwa michango yote inayotakiwa kukubaliwa shule ni lazima Katibu Tawala wa mkoa husika aione na kuridhia kwenye barua na siyo wakuu wa shule kujiamulia kienyeji hali inayoonesha kuwarudisha nyumbani wato ambao ..

Trapee ft Size 8 - City life

Trapee brings you yet another infectious banger featuring Linet aka Size 8 about the hustle of the big city

Video ya Ofisa wa TRA Akichukua Rushwa Waziwazi!!

Video hii imerekodiwa kutoka kwenye simu ya mkononi na inamuonyesha Ofisa wa TRA Arusha akipokea rushwa toka kwa mteja ili aweze kumhudumia.
Ofisa huyu yupo mapokezi (reception) na inadaiwa ni kawaida yake kupokea Rushwa na kuwa usipompa anadai kwa nguvu.
Wafanyakazi wa TRA na wakubwa zake inadaiwa wanajua kinachoendelea lakini hawachukui hatua.
Kuna utendaji mbovu, lugha chafu kwa wateja na za majivuno na mambo mengi yanayofanana na hayo.
Mamlaka husika zinaombwa kuingilia kati TRA Mapato, (karibu na Benki Kuu tawi la Arusha) ili raia wapate huduma bila vikwazo vya rushwa toka kwa maofisa kama huyu.

Izzo Biznes ft. Quick Racka, Ngwair & Ruth - Ball Player

Izzo Biznes ft. Quick Racka, Ngwair & Ruth

M-Rap ft. Deddy - Destiny [Official Video]