
Katika hali ya isiyo ya kawaida askari polisi zaidi ya watatu waliokuwa katika doria katika maeneo ya kata ya Makorongoni mjini Iringa jana usiku walizuia tamasha la elimu ya UKIMWI lililokuwa likiendelea nje ya vibanda vya UV CCM mjini Iringa
Askari hao ambao walikuwa na silaha walifika eneo hilo na kuwataka waandaaji wa tamasha hilo ambalo tayari lilikuwa limeanza kusitisha tamasha hilo na kuondoka eneo hilo kwa madai kuwa..
Askari hao ambao walikuwa na silaha walifika eneo hilo na kuwataka waandaaji wa tamasha hilo ambalo tayari lilikuwa limeanza kusitisha tamasha hilo na kuondoka eneo hilo kwa madai kuwa..