Pages

Mahakama Kuu Dar es Salaam Imetoa Hukumu ya Kunyogwa Hadi Kufa Watuhumiwa wa Mauaji ya Swetu Fundikira!

DarSlam
Leo ilikuwa ndiyo siku ya hukumu dhidi ya watuhumiwa watatu wa mauaji ya marehemu Swetu Fundikira aliyeuawa kwa kupigwa miaka miwili iliyopita. Mara baada ya watuhumiwa hao kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, ndugu na jamaa wa marehemu waliangua kilio na wengine hadi kuzimia kama walivyoshuhudiwa na paparazi wetu aliyeweka kambi mahakamani hapo..
DarSlam
Safari ya huzuni ya Rhoda Robert kuanza maisha mapya gerezani mara baada ya hukumu...
DarSlam
Kushoto ni dada wa marehemu Rehema Fundikira, Hadija Mdemu shemeji wa marehemu wakilia mahakamani hapo.
DarSlam
Mmoja wa ndugu wa Fundikira akibebwa mara baada ya kuzimia na kudondoka sakafuni
Akipepewa huduma ya kwanza kwa kupepewa
  
 WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ

Facebook Addict- Facts

DarSlam
Half fear that they are not 'on top of things' if they are not logged into the site, and 25% say they fill 'ill at ease' if they can't log in regularly. 
The Swedish survey, which polled 1,000 people aged 18-73 showed the network had its dark side. 
'Facebooking may become an unconscious habit. A majority of the respondents log in every time they start their web browser. This may even develop into an addiction,' says Leif Denti, doctoral student of Psychology at the University of Gothenburg.
People with low income and low-educated individuals spend more time on Facebook.
Women are generally more active than men on Facebook.
  • 70% of users log in as soon as they start their PC
  • Can lead to 'addiction' say researchers
  • Poorly educated use site the most
  • Heavy users feel less happy and content with their lives

Facebook is a habit-forming activity - but users who spend a lot of time on the site say they feel less happy with their lives.
University of Gothenburg researchers say that many users log in as soon as they turn their PCs on - and that the behaviour can develop into an 'addiction'.
People in low income groups and the poorly educated are particularly at risk. 
Up to 85% of users say that they use Facebook daily - and half say they start up Facebook as soon as they open their web users. 
DarSlam
Users with low income and low education use Facebook more than other groups. Within these groups, users who spend more time on Facebook also report feeling less happy and less content with their lives. 
This relationship is also present for women, but not for men.
The other surprise about the network is that although a huge amount of personal 'news' is traded, through the site, it tends to focus purely on the positive. 
'Facebook is a social tool that is clearly used to manage relationships with friends and family. 
'But users won't write just anything – most of the content they share has something to do with major events, positive events and when feeling good. Only 38 percent write about negative emotions and events,' says Leif Denti.

Ile Kauli ya Nyumba Haijengwi kwa Barafu Imefutwa Rasmi

DarSlam
Angalia picha kadhaa za nyumba iliyojengwa kwa barafu..
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
Mkandarasi wa bongo hajawahi kuota ndoto ya kujenga hii kitu
DarSlam

Love Chocolate?

DarSlam 
 Check out these 5 pics..
DarSlam
DarSlamDarSlam
DarSlam
DarSlam

Nafasi Ya Kazi

Ninahitaji msaada wa kuwaanda wafanyabishara wadogo wadogo  katika mahojiano (research interviews). Yafuatayo ni maelezo ya ziada juu ya msaada huu:
·         Muhusika atakuwa anajishughulisha na kuwapigia simu washiriki (participants) na pia kupanga ratiba ya mahojiano.
·         Kazi hii inaweza kufanyikia nyumbani.

·         Itahusisha wahusika toka katika wilaya zote za mkoa wa Dar es Salaam (yaani; Ilala, Kinondoni, na Temeke).

·         Mahojiano haya yanatarajiwa kuwa ya mwezi moja kuanzaia wiki lijalo.

·         Malipo ni maelewano.

·         Utafiti huu ni wa kiwango cha PhD.

·         Washiriki ni wamiliki au mmaafisa wa biashara ndogo ndogo na za kati (owners of small and medium-size enterprises).

Sifa za muombaji

·         Muombaji awe na elimu ya kidato cha nne au zaidi.

·         Awe anaelewa maeneo mbalimbali ya jiji la DSM kwaajili ya kupanga mahali pa kufanyia mahojiano.

·         Awe na uwezo wa kuandika na kuonge lugha ya kiingereza kama itahitajika.

·         Awe na uwezo wa kufanya kazi bila ya kusimamiwa (being able to work independently).

·         Awe na uwezo mkubwa wa kuwashawishi washiriki (convincing power).

Kama unaona unazo sifa na uwezo wa kazi hii, basi wasiliana nami kwa kutumia email ifuatayo: johnson@eabazaar.com

Sincere,
Johnson

Anaomba Msaada Akatibiwe Muhimbili

DarSlam
Bi. Arafa Issa Namaji (Pichani) mwenye umri wa miaka 39 mkazi wa kijiji cha Narung’ombe wilayani Ruangwa Mkoani Lindi anaomba msaada wa haraka utakaomuwezesha kupata matibabu ya uvimbe ulio katika paji la uso.
Tatizo lilianza tangu February 2012, alianza kwa kuumwa na kichwa kwa maumivu makali sana na kipele kidogo kikatokea kwenye paji la uso, hivyo kadri kilipopungua maumivu ndipo kipele kiliendelea kuwa kikubwa hadi kuathiri macho na sehemu ya pua.
Baada ya kuona hali inazidi kuwa mbaya majirani na marafiki walimshauri kwenda hospitali ya wilaya, alipofika daktari alimpa rufaa ya kwenda hospitali ya Ndanda, hata hivyo Ndanda pia wakampa rufaa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam.
Kutokana na kuwa katika hali duni na hana mtu yeyote wa kumsaidia Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa wameichangishana kupata nauli pamoja na hela kidogo ya kujikimu kwa siku mbili, lakini bado anahitaji msaada zaidi wa pesa kwa sababu atahitaji kuishi zaidi Dar es Salaam, wakati akiwa katika hospital ya Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi pamoja na matibabu yake.
Kwa aliye tayari kumsaidia anaweza kuwasiliana na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari mkoa wa Lindi ambae pia ni mwakilishi wa Channel Ten, Abdulaziz Ahmeid kwa namba za simu 0787176221 au 0756696048

Jonii wa XXL

DarSlam
Msikilize Jonii na makeke yake hadi wizarani..

Rose Muhando Awatapeli Kakonko,Kigoma

DarSlam

Jamani Inasikitisha!! Rose Muhando kwa mara nyingine tena KUWADANGANYA WANA-KAKONKO na majirani kuwa anakuja kwenye uzinduzi halafu hafiki kweli huo ni ukristo? haoni kama ni usumbufu kwa kuwahapotezea pesa bila sababu kwakuwa walio wengi hutokea mbali? mi staki kuhukumu wapendwa lkn hata leo hajafika KAKONKO tena mara kadhaa kapigiwa simu bila kupokelewa. Haya jamani labda ni mapenzi Yake Mola
                   Wadau kutoka facebook
Mwili NyumbaKakonko 4 Life
ROSE MUHANDO ACHUKUA MILION TATU SOKO LIMEFUNGWA WATU WAMELIPIA TIKETI WA2 WAMEACHA KAZI ZAO HALAFU HAJATOKEA JAMANI HUU SIO WIZI?
Like · · about an hour ago ·

Wakazi - Abacus

DarSlam
 New Single from Wakazi latest EP titled Abacus. Produced by Bano Stylez. Video was Shot by MannyReel (Creatv Media) and Edited by Hefemistudios (Hefemi Productions) Check ot Official Video HD..

Ay ft Sauti Sol - I Dont Wanna be Alone

DarSlam
Official Video HD...