Pages

Diamond Anusurika Kufa, Cheki Picha za Prado Likiwa Nyang'anyag'a!!!

DarSlam  Jumamosi iliyopita, Diamond akiwa anaendesha gari lake la kifahari aina ya Toyota Land Cruiser Prado TX, aligongana na Toyota Rav4, lililokuwa linaendeshwa na mwanamke mmoja ambaye jina lake halijapatikana.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela, Diamond aligongana na mwanamke huyo kwenye Barabara ya Kimweri, Msasani, Dar es Salaam, saa 3 usiku.
Na Makongoro Oging'
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, amepatwa na kile kinachoonekana ni balaa nambari moja tangu apate umaarufu.
DarSlam Kenyela alisema, askari wa barabarani walichunguza na kubaini kuwa chanzo cha ajali hiyo ni pikipiki ambapo wakati Diamond anakata kona, alijaribu kuikwepa pikipiki hiyo ndipo akakutana uso kwa uso na Rav4 la mwanamke huyo.

DarSlam
“Baada ya kugongana, gari la Diamond liliendelea kuserereka na kuigonga pikipiki pamoja na aliyekuwa anaiendesha. Hakuna aliyefariki kwenye ajali hiyo, wote walipata maumivu.”
Kwa upande mwingine, ilibainika kuwa Diamond baada ya kupata ajali hiyo, alikwenda Hospitali ya TMJ kwa matibabu baada ya kujihisi amepatwa na maumivu.
Diamond hakupatikana ili kuzungumzia ajali hiyo lakini kwa kumbukumbu, kabla ya kumiliki gari hilo la kifahari aliwahi kumiliki magari mengine mawili, likiwemo lile alilokaa nalo kwa muda mrefu, Toyota Opa lakini hakuwahi kupata ajali ya kiwango hicho.
DarSlam

Another Scam! Be Aware

Dear Friend,
Peace be upon you.
Please, kindly pardon me for any inconvenience this letter may come to you as a surprise as we have no previous correspondence. I got your contact as I was searching for an assistant in transferring the sum of ($15.5) million used into your bank account within 2 week working banking days,
It is an unequivocal fact that we've not met nor communicated before but due to the true revelation that I should share this with you.
My name is Mr johnson cissoko Accountant of integrated finance of ADB Bank International here in West Africa, Thus for your indulgence and assistance morally and financially, i propose a 40% share of the total amount to you after receiving the funds successfully, and i need your assurance of trust that you will not deny me my share once the fund is credited to your personal bank account as i will be coming when the transfer is done, i am a civil servant and i depends on monthly salary, so kindly state your interest by replying immediately And i will get back to you with the full details of the transfer immediately.
REGARD
Mr JOHNSON CISSOKO
GOD BLESS YOU

Ths is For Facebook Addicts!!

DarSlam

DarSlam
DarSlam

PIMP my Ride

DarSlam 
 Alot of people do modify and turn parts of their car. From paint jobs to custom interior and with stereo systems that are louder than most of the club systems, cars like these are a popular way for owners to express their personality and their style ability what they are capable of..DarSlamDarSlamDarSlamDarSlam

Elimika na Genereta Inayotumia Mkojo (Haja ndogo)

SUA Episode Moja kati ya product ambayo haikutegemewa kabisa ni hii ya Genereta inayotumia haja ndogo (Mkojo) katika Maker Faire Africa mwaka huu huko Lagos Nigeria iliyotengenezwa na watoto wakike wanne ambao ni Duro-Aina Adebola (14), Akindele Abiola (14), Faleke Oluwatoyin (14) na Bello Eniola (15).
DarSlam
Lita moja ya mkojo inakupa masaa 6 ya umeme

Mfumo mzima unafanya kazi hivi:
mkojo unawekwa kwenye electrolytic cell ambayo inatenganisha Hydrogen
Hydrogen inakwenda kwenye filter ya maji kwa ajili ya kusafishwa ambapo baada ya hapo inasukumwa kwenda kwenye gas cylinder.
Gas cylinder inaisukuma Hydrogen kwenye cylinder ya liquid borax ambayo inatumika kuondoa moisture kwenye gas ya hydrogen
hii gas ya Hydrogen iliyosafishika inasukumwa na kuelekea kwenye generetor

Dullayo - Hawalali Video

DarSlam
Chezea mabint wa mjini wewee.. itakucost mwenyewe...
Executive Producer
Sean Entertainment
Director
Lamar
Producer
Kisaka
Emotion Records
Check out Hawalali -Video

Polisi 40 Wameuliwa na Wezi wa Mifugo Kenya

DarSlam  
 Takriban polisi 40 wamethibitishwa kuuawa nchini Kenya katika shambulizi lililofanywa dhidi yao siku ya Jumamosi walipokuwa wanajaribu kuokoa mifugo waliokuwa wameibwa.
Maafisa hao walivamiwa katika eneo la Baragoi, kaunti ya Samburu, Kaskazini mwa nchi.
Msemaji wa polisi aliambia BBC kuwa polisi 29 waliuawa pamoja na washambuliji watatu , lakini viongozi wa kijiji wanahofia kuwa huenda maiti zaidi wakapatikana. Hii leo miili zaidi ilipatikana na kufikisha idadi ya polisi waliouawa kuwa 40.
Wenyeji wa eneo hilo wana historia ya kupigana kwa sababu ya uhaba wa malisho ya mifugo wao
Wiki mbili zilizopita, watu 12 waliuawa katika shambulizi kama hilo kwa mujibu wa vyombo vya habari nchini Kenya.
Haya yanasemekana kuwa mashambulizi mabaya zaidi kuwahi kutokea dhidi ya polisi tangu Kenya kujipatia uhuru wake.
Maiti 11 walipatikana siku ya Jumamosi na wengine 19 kupatikana Jumapili.
Inspekta wawili wakuu wa polisi wangali hawajulikani waliko.
Uvamizi huu ni pigo kubwa kwa idara ya ulinzi nchini. Baadhi ya polisi waliviziwa na kuuawa na wezi wa mifugo, katika eneo la Lomerok. Manusura tisa wangali wanapokea matibabu hospitalini.
Mauaji haya yanafikisha idadi ya watu waliouawa katika eneo hilo katika wiki mbili zilizopita hadi 43.
Aidha mashambulizi haya yanatokea huku shughuli ya kuajiri inspekta mkuu wa polisi ikiendelea sambamba na polisi kususia kazi kwa sababu ya mzozo wa mishahara.
Pata taarifa zaidi BBC

Mkasi with Godwin Gondwe

Baucha ft Ally Kiba - Kelele Official Video

DarSlam
 Kelele ni nyimbo ilioshirikisha wasanii wawili wenye majina yanayofanana mwanzo na aina ya mziki wanaoufanya alli baucha ft ally kiba iliyofanyika bauchas record chini ya producer baucha, Check out video

Check out New Anti Rape Device

DarSlam