Pages

Inquiry Over Death at Harmondsworth Immigration Centre


Harmondsworth detention centre 
An inquiry is under way into the death of a detainee at the Harmondsworth immigration centre in west London, the UK Border Agency (UKBA) said.
BBC - It is believed the male, who has not been named, collapsed on Tuesday after being restrained at the centre near Heathrow Airport.
The investigation would be conducted by the Prisons and Probation Ombudsman.
The centre is run by a private firm, the GEO Group UK Ltd, which has so far not responded.
The detention facility in West Drayton holds 615 men who are awaiting removal or deportation from the UK.
A UKBA spokesman said: "This death is being investigated so it would be inappropriate to comment at this stage."
 Harmondsworth detention centre is situated near Heathrow Airport

Majambazi Kutoka Burundi Waivamia Tanzania - Kakonko, Kigoma!!!

NCHI INAHUJUMIWA NA MAJAMBAZI KUTOKA BURUNDI: WENYEWE TUMELALA!!!
  • WANA-VIJIJI HAWANA RAHA KABISA NA WANASHINDWA KUTAFUTA CHAJIO!
  • UMASKINI UPO JUU - WATU HAWAENDI MASHAMBANI KUOGOPA MAJAMBAZI KUTOKA BURUNDI!
  • TUNAIOMBA SERIKALI YETU IWASHUGHULIKIE HAWA MAJAMBAZI KWA HARAKA SANA SANA!
  • KAKA ZITTO KABWE TAFADHALI SAIDIA KUIJULISHA SERIKALI JUU YA HALI YA KAKONKO!
Ameandika Nd. Godfred B. Mbanyi kuwa:
"Hali Ya Usalama inatisha-wilaya mpya ya Kakonko mkoani Kigoma
Imenibidi nijitokeze hapa jukwaani kueleza hali ya usalama ilivyo mbaya katika wilaya mpya ya Kakonko katika mkoa wa Kigoma. Wilaya hii ni kati ya zile mpya zilizoanzishwa hivi karibuni. Mwanzoni ilikuwa ni tarafa mojawapo za wilaya ya Kibondo.
Kijiografia, wilaya hii imepakana na wilaya ya Ngara, Kibondo pamoja na nchi ya Burundi.
Katika siku za nyuma, kati ya 1999-2003, hali yetu ya usalama ilikuwa mbaya kiasi kwamba wananchi wengi waliibiwa mifugo, pesa na mali zingine ikiwa ni pamoja na wengine kuuawa kwa risasi na mapanga! Hii ilikuwa enzi za vita vya msituni vilivyompeleka madarakani Mhe. Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.
Baada ya kuona hali imekuwa tete, wananchi tuliendesha mikutano na kupeleka maombi mkoani kuomba msaada wa ulinzi ambapo serikali ilianzisha detach za JWTZ katika vijiji vingi vya mpakani vikiwemo vya Rumashi, Gwarama, Muhange, n.k.
Hatimaye wananchi wakapata ahueni na kuendelea na shughuli za kujitafutia riziki.
Kwa masikitiko makubwa, hivi karibuni serikali iliamua kufunga detach zake zote za vijijini na askari wote kurudishwa Kakonko! Hii imepelekea kuibuka kwa unyama na ujambazi wa kutisha sana katika vijiji vya wilaya hii.
Kwasasa watu hawalali, wanashindwa kufanya shughuli za uzalishaji kwa kuhofia usalama wao. Ikumbukwe kuwa nchi ya Burundi imetoka vitani na kuna vijana wengi walikuwa waasi na sasa wamerudi vijijini baada ya jeshi la Taifa kuundwa upya! Vijana hawa wengi wao wanamiliki silaha na wanazitumia kufanya uhalifu ndani ya Burundi na vijiji jirani vya Tanzania.!!!
Labda niwape takwimu za utekaji wa magari na watu katika wiki mbili tu zilizopita:
Tar 22.10.2012, magari matatu yaliyokuwa yanatoka katika vijiji vya Nyabibuye na Rumashi kuelekea Kakonko yalirushiwa risasi mfululizo katika eneo la Muruhuru ambapo magari mawili yalifanikiwa kukimbia huku moja likitekwa na abiria wote kupigwa na kunyanganywa kila kitu walichokuwa nacho!
Tar 25.10.2012 , gari moja na pikipiki mbili zilitekwa katika eneo la Kumkambati (katikati ya Rumashi na Nyabibuye). Abiria waliibiwa kila kitu zikiwemo simu na pesa.
Tar 26.10.2012, magari matatu yalitekwa katika eneo la Ntanga (upande wa Ngara) ambapo abiria waliibiwa na kupigwa!
Jana tar 29.10.2012,magari mawili yametekwa eneo la Katengera yakielekea Kakonko!!
Na haya ni miongoni tu mwa matukio yanayotokea katika wilaya hii.

Sasa imekuwa ni hofu tupu kwa wananchi,kila mtu anaogopa hata kwenda shambani kulima hasa..

Radial Engine Powered Motorcycle Concept


Your dream bike!





Joh Makini Ft. Dunga - Sijutii

Official

Kisumu's Shocking Crime Wave - Kenya

The killing of the ODM aspirant is just the latest in a wave of murders that have left observers in Kisumu baffled. What has raised concerns not just about the rising crime rates, but the emergence of gangs that residents say are running the town... and that have kept security officials in the area, rather pre occupied. Sheila Sendeyo reports on the worrying trend in Kisumu.

Three Mothers Event

DarSlam

50 Cent x G-Unit x SMS Audio Takeover Paris & Dubai - TI50

50 Cent, Tony Yayo, Kidd Kidd, Governor, Precious Paris, and DJ Whoo Kid flew overseas to help spread the word about SMS Audio. Check out the footage of 50 signing autographs at the Virgin Megastore in Paris. Thousands of fans came out to get their pair of headphones signed by 50 Cent himself.
After leaving Paris, the crew headed to Dubai to attend the Gitex Convention where SMS Audio had its own display. 50 and the crew closed things out by performing in front of over 20,000 fans as he headlined the Atelier Fesitval in Dubai.

Mahojiano ya Bi Kidude Ndani ya CNN

Waziri Mwakyembe Akizindua Usafiri wa Treni

Usafiri wa Treni katika jiji la Dar Es Salaam umeanza rasmi ikiwa ni lengo la kupunguza msongamano wa magari ambapo waziri wa Uchukuzi Dr Harison Mwakyembe amewataka wananchi kutumia vizuri usafiri huo bila kufanya uharibifu.

Hurricane Sandy Katika Picha


DarSlam
 Crane ikivunjika kutokana na upepo mkali kwenye jengo lililokua linajengwa Mtaa wa West 57th Manhattan, New York. Mpaka sasa hizi ni watu 16, wameipoteza maisha wengi wao kuangukiwa na miti kutokana na Hurricane Sandy na watu milioni 7 hawana umeme
DarSlam
Jiji la Manhattan likiwa limegubikwa na wingu zito la Hurricane Sandy na huku likiwa kwenye kiza kinene
DarSlam
Holland Tunnel New York City, New York ikiwa imefungwa, Holland Tunnel ni daraja linalopita chini ya maji ya mto Hudson unaotenganisha New York na New Jersey
DarSlam
Maji ya bahari yakifurika mitaani katika mji wa Atlantic City, New Jersey

Mitaa ya Atlantic City ikiwa..