The killing of the ODM aspirant is just the latest in a wave of murders that have left observers in Kisumu baffled. What has raised concerns not just about the rising crime rates, but the emergence of gangs that residents say are running the town... and that have kept security officials in the area, rather pre occupied. Sheila Sendeyo reports on the worrying trend in Kisumu.
50 Cent, Tony Yayo, Kidd Kidd, Governor, Precious Paris, and DJ Whoo Kid flew overseas to help spread the word about SMS Audio. Check out the footage of 50 signing autographs at the Virgin Megastore in Paris. Thousands of fans came out to get their pair of headphones signed by 50 Cent himself.
After leaving Paris, the crew headed to Dubai to attend the Gitex Convention where SMS Audio had its own display. 50 and the crew closed things out by performing in front of over 20,000 fans as he headlined the Atelier Fesitval in Dubai.
Usafiri wa Treni katika jiji la Dar Es Salaam umeanza rasmi ikiwa ni lengo la kupunguza msongamano wa magari ambapo waziri wa Uchukuzi Dr Harison Mwakyembe amewataka wananchi kutumia vizuri usafiri huo bila kufanya uharibifu.
Crane ikivunjika kutokana na upepo mkali kwenye jengo lililokua linajengwa Mtaa wa West 57th Manhattan, New York. Mpaka sasa hizi ni watu 16, wameipoteza maisha wengi wao kuangukiwa na miti kutokana na Hurricane Sandy na watu milioni 7 hawana umeme
Jiji la Manhattan likiwa limegubikwa na wingu zito la Hurricane Sandy na huku likiwa kwenye kiza kinene
Holland Tunnel New York City, New York ikiwa imefungwa, Holland Tunnel ni daraja linalopita chini ya maji ya mto Hudson unaotenganisha New York na New Jersey
Maji ya bahari yakifurika mitaani katika mji wa Atlantic City, New Jersey
Mitaa ya Atlantic City ikiwa..