Pages

Daraja la Kigamboni Sio Hadithi

Daraja la Kigamboni likiendelea kujengwa katika bahari ya hindi eneo la Kurasini jijini Dar es Salaam.Daraja hilo litakapomalizika litakuwa na njia 6 na kwa mujibu wa kampuni inayofanya ujenzi huo imesema daraja ili litakuwa kubwa na la kipekee ukanda wa AFRIKA YA MASHARIKI.
DANGER!!!
Swali la kizushi: Je kama huyu anayeitwa msomi  (sina uhakika) ameweza kukaa juu ya alama ya hatari na wala hana  hata habari, daraja litakua salama na imara kweli?

Joh Makini - Manuva Demo


Unique Architecture


Since the early 70's and before the collapse of the Soviet Union in 1991, the USSR experienced a unique period architecture. The editor of French magazine Citizen K Frederick Shoben (Frédéric Chaubin) , fascinated by this period in Soviet architecture was a period of seven years, selected and photographed these buildings. Result was to create a luxurious new book published by Taschen. This book presents 90 buildings located in 14 former Soviet republics. This is an inspirational collection of architecture.




Eat You!!!

http://biskvitka.net/uploads/posts/2011-09/1316040683_14.jpg

Mtaji wa Masikini..!?!

DarSlam

Ufunguzi wa Shina Jipya la CCM UK

DarSlam
 MKUTANO WA UFUNGUZI WA SHINA JIPYA LA CCM LEICESTER, UINGEREZA
 Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Kutakua na mkutano wa ufunguzi wa shina la CCM Leicester, Tawi la UK.
Katika mkutano huo vile vile kutakua na uandikishaji kwa wanachama wapya na pia uchaguzi wa viongozi wa shina.
Viongozi Wapya wa TAWI, CCM UK pia watakuwepo
Wote mnakaribishwa Mkutano utafanyika siku ya Jumapili Tarehe 09.09.2012 kuanzia saa sita mchana ambapo chakula cha mchana na vinywaji Vitapatikana.
Mkutano utafanyika:
UNIT 6
FIRST FLOOR
KOCHA HOUSE
MALABAR ROAD
LEICESTER
LE1 2PD.
Kwa mawasiliano zaidi unaweza kuwasiliana na: Moses Kusamba, Kupitia namba zifuatazo.
07405272879/ 07903621150.
ABRAHAM SANGIWA
Naibu Katibu Siasa na Uenezi
Chama Cha Mapinduzi Tawi la Uingereza