Pages

Woman Rolls down Escalator in Motorised Wheelchair.

Watch a video of a woman who has narrowly escaped serious injury after rolling down an escalator in her motorized wheelchair in Boston.

50 Cent On His Money,Drops Cash from Sixth Floor Balcony!

Watch how 50Cent play with money

World Record Money Seizure!!

http://www.narcoticnews.com/images/Efectivo-Mexico.jpgRecently DEA agents raided a home of Meth dealers in suburban Mexico and discovered $207 million cash piled in a back bedroom. It was the largest seizure in history and is really amazing to see.

Nipe Gunia la Mahindi Nikupe SMG - Tabora

www.darslamproductions.blobspot.com
WAKATI vitendo vya uhalifu vikizidi kuongezeka sehemu mbalimbali nchini, sasa silaha kutoka nchi jirani zinadaiwa kuingia kwa wingi na kuuzwa mitaani na baadhi yake kubadilishwa na mahindi, Mwananchi Jumapili limegundua.
Uchunguzi uliofanywa unaonyesha kuwa, kutokana na kushamiri kwa biashara hiyo ya silaha nchini, bunduki moja aina ya Short Machine Gun (SMG) sasa inauzwa kati ya Sh300,000 hadi..

Wachina Wamefumwa Wakichimba Madini Katavi National Park!

MKUU wa mkoa wa Katavi, Dr Rajabu Rutengwe amewataka wawekezaji wanaokwenda kuwekeza katika sekta ya madini katika mkoa wa Katavi wawasiliane na ofisi za serikali mkoani humo kabla ya kuingia katika mikataba ya uendeshaji wa shughuli za uzalishaji katika maeneo husika
www.darslamproductions.blobspot.com
Mwandishi wa habari hii kutoka Katavi Willy Sumia anaripoti kuwa wito huo umetolewa na mkuu kufuatia utapeli waliofanyiwa wawekezaji wa kutoka nchi ya China na kampuni yao ya Red Ore Mining Co. Ltd ya DSM na kupelekwa eneo la pori la akiba la Luafi mpakani na hifadhi ya Taifa ya Katavi kwa ajili ya kuendesha shughuli za uchimbaji wa madini ya chuma na shaba.
www.darslamproductions.blobspot.com
Taarifa zinasema kuwa kampuni hiyo yenye makao yake jijini DSM inayoendeshwa na Raia wa nchi ya China ilianza shughuli katika eneo hilo katika kipindi cha..

Msama on The Hunt For Fake CDs.

www.darslamproductions.blobspot.com
KAMPUNI ya Msama Promotions, imekamata watu watatu wakiwatuhumu kuuza kazi za wasanii kinyume na taratibu.
Akizungumza na Dira ya Mtanzania, Mkurugenzi wa Msama Promotions,  Alex  Msama (pichani),  alisema vijana hao walikamatwa katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Waliokamatwa katika tuklio hilo ni Malik Sultan, Ally Msangi, Edward Michael na  Sijali Andrew ambao walikuwa na CD feki 322 za wanamuziki mbalimbali na wasanii wengine.  
Msama alisema zoezi la kukamata wezi wa kazi za wasanii linaendelea kwa kufanya uchunguzi katika maeneo sugu ambako hatua inayofuata ni kwa wale wanauza kazi hizo mikononi.
Aidha Msama analishukuru  Jeshi la Polisi kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa timu ya vijana wake wanaosaka wezi wa kazi za wasanii.

Facebook Gallery

darslamproductions.blogspot.comdarslamproductions.blogspot.comdarslamproductions.blogspot.comdarslamproductions.blogspot.com

Another Scam from Ouagadougou.

Dear friend,
There is absolutely going to be a great doubt and distrust in your heart in respect of this email, coupled with the fact that, so many miscreants and impostors (scammers) have taken possession of the internet to facilitate their nefarious deeds, thereby making it extremely difficult for genuine and legitimate business class persons to get attention and recognition.

I am John Nazer, the director in charge of auditing and accounting section in bank of Africa Ouagadougou Burkina Faso in West Africa with due respects and regards greetings! For this letter is strictly personal, intimate and confidential. Forgive this unusual manner of contacting you, but this particular letter is of exceptional and very private nature.

I need your urgent assistance to transfer the sum of twelve million, five hundred thousand United States dollars ($12,500 000 00) immediately into your account.

It is up to you to decide whether this letter deserves your trust and confidentiality. And if indeed it does, whatever your actions and your decision might be, let me know immediately so that I will give you the details how we should go about it. Thank you for taking your time to read my mail.

Best regards, 
John Nazer
 (johnnazer011@gmail.com)

Polisi Watembeza Kichapo katika Ibada Maalum ya Kuwaombea Waliofariki Katika Meli ya Mv Skagit!

Jeshi la polisi kisiwani Zanzbar limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wafuasi wa kikundi cha uamsho waliokusanyika katika mskiti kwa ajili ya ibada maalum ya kuombea waliofariki kutokana na kuzama kwa meli ya Mv Skagit.