
Woman Rolls down Escalator in Motorised Wheelchair.
Watch a video of a woman who has narrowly escaped serious injury after rolling down an escalator in her motorized wheelchair in Boston.
World Record Money Seizure!!
Nipe Gunia la Mahindi Nikupe SMG - Tabora
WAKATI vitendo vya uhalifu vikizidi kuongezeka sehemu mbalimbali nchini, sasa silaha kutoka nchi jirani zinadaiwa kuingia kwa wingi na kuuzwa mitaani na baadhi yake kubadilishwa na mahindi, Mwananchi Jumapili limegundua.
Uchunguzi
uliofanywa unaonyesha kuwa, kutokana na kushamiri kwa biashara hiyo ya
silaha nchini, bunduki moja aina ya Short Machine Gun (SMG) sasa
inauzwa kati ya Sh300,000 hadi..
Wachina Wamefumwa Wakichimba Madini Katavi National Park!
MKUU
wa mkoa wa Katavi, Dr Rajabu Rutengwe amewataka wawekezaji wanaokwenda
kuwekeza katika sekta ya madini katika mkoa wa Katavi wawasiliane na
ofisi za serikali mkoani humo kabla ya kuingia katika mikataba ya
uendeshaji wa shughuli za uzalishaji katika maeneo husika

Mwandishi
wa habari hii kutoka Katavi Willy Sumia anaripoti kuwa wito huo
umetolewa na mkuu kufuatia utapeli waliofanyiwa wawekezaji wa kutoka
nchi ya China na kampuni yao ya Red Ore Mining Co. Ltd ya DSM na
kupelekwa eneo la pori la akiba la Luafi mpakani na hifadhi ya Taifa ya
Katavi kwa ajili ya kuendesha shughuli za uchimbaji wa madini ya chuma
na shaba.

Taarifa
zinasema kuwa kampuni hiyo yenye makao yake jijini DSM inayoendeshwa
na Raia wa nchi ya China ilianza shughuli katika eneo hilo katika
kipindi cha..
Msama on The Hunt For Fake CDs.

KAMPUNI ya Msama Promotions, imekamata watu watatu wakiwatuhumu kuuza kazi za wasanii kinyume na taratibu.
Akizungumza na Dira ya Mtanzania, Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama (pichani), alisema vijana hao walikamatwa katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Dira ya Mtanzania, Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama (pichani), alisema vijana hao walikamatwa katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam.
Waliokamatwa katika tuklio hilo
ni Malik Sultan, Ally Msangi, Edward Michael na Sijali Andrew ambao
walikuwa na CD feki 322 za wanamuziki mbalimbali na wasanii wengine.
Msama alisema zoezi la kukamata wezi wa kazi za wasanii linaendelea
kwa kufanya uchunguzi katika maeneo sugu ambako hatua inayofuata ni kwa
wale wanauza kazi hizo mikononi.
Aidha Msama analishukuru
Jeshi la Polisi kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa kwa timu ya vijana
wake wanaosaka wezi wa kazi za wasanii.
Another Scam from Ouagadougou.
Dear friend,
There
is absolutely going to be a great doubt and distrust in your heart in
respect of this email, coupled with the fact that, so many miscreants
and impostors (scammers) have taken possession of the internet to
facilitate their nefarious deeds, thereby making it extremely difficult
for genuine and legitimate business class persons to get attention and
recognition.
I am John Nazer, the
director in charge of auditing and accounting section in bank of Africa
Ouagadougou Burkina Faso in West Africa with due respects and regards
greetings! For this letter is strictly personal, intimate and
confidential. Forgive this unusual manner of contacting you, but this
particular letter is of exceptional and very private nature.
I
need
your urgent assistance to transfer the sum of twelve million, five
hundred thousand United States dollars ($12,500 000 00) immediately into
your account.
It is up to you to
decide whether this letter deserves your trust and confidentiality. And
if indeed it does, whatever your actions and your decision might be,
let me know immediately so that I will give you the details how we
should go about it. Thank you for taking your time to read my mail.
Best regards,
John Nazer
(johnnazer011@gmail.com)
Polisi Watembeza Kichapo katika Ibada Maalum ya Kuwaombea Waliofariki Katika Meli ya Mv Skagit!
Jeshi la polisi kisiwani Zanzbar limelazimika kutumia mabomu ya machozi
kutawanya wafuasi wa kikundi cha uamsho waliokusanyika katika mskiti kwa
ajili ya ibada maalum ya kuombea waliofariki kutokana na kuzama kwa
meli ya Mv Skagit.
Subscribe to:
Posts (Atom)
