SHEHENA YA VITU VINAVYOSEMEKANA NI VIKARAKOSI VYA MIFUPA YA BINADAMU VIMEKAMATWA KENYA
Wapelelezi na maafisa wa KRA Mjini Mombasa wamekamata shehena inayosemekana kuwa na vikaragosi vya kutisha katika Bandari ya Mombasa. Vikaragosi hivyo vya mafuvu na mifupa ya binadamu vinasemekana kutumiwa katika ibada za kishetani humu nchini. Pheona Kengah ana tupasha taarifa hiyo kwa kina.
The Smelliest Man in The World
Guru Kailash Singh, 65, could be the world's smelliest man after refusing to wash for 37 years. He lives with his wife and seven daughters and has gone decades without taking a bath, shower or using a bar of soap. Kailash, from Chatav village, near the holy city of Varanasi, in central India, believes that the gods will be pleased with his devotion to smelliness and smell and eventually bestow him with a son. He also sports six feet dreadlocks and an uncut messy beard.
Subscribe to:
Posts (Atom)