Pages

JCB ft Profesa Jay -Drive Slow (MJ Recs.MarcoChali)

Drive Slow, JCB, MarcoChali

Gifted Black Cypher#Full Version - Climax,PBling n Tash HD

Ni michano na beat..

SHEHENA YA VITU VINAVYOSEMEKANA NI VIKARAKOSI VYA MIFUPA YA BINADAMU VIMEKAMATWA KENYA

Wapelelezi na maafisa wa KRA Mjini Mombasa wamekamata shehena inayosemekana kuwa na vikaragosi vya kutisha katika Bandari ya Mombasa. Vikaragosi hivyo vya mafuvu na mifupa ya binadamu vinasemekana kutumiwa katika ibada za kishetani humu nchini. Pheona Kengah ana tupasha taarifa hiyo kwa kina.

50 Cent talks Kendrick, Nas N Floyd Mayweather! PT1

HOT 97

Tupac Inspirational Message! (Fan Made)

The Smelliest Man in The World

Guru Kailash Singh, 65, could be the world's smelliest man after refusing to wash for 37 years. He lives with his wife and seven daughters and has gone decades without taking a bath, shower or using a bar of soap. Kailash, from Chatav village, near the holy city of Varanasi, in central India, believes that the gods will be pleased with his devotion to smelliness and smell and eventually bestow him with a son. He also sports six feet dreadlocks and an uncut messy beard.

Paint on a Speaker at 2500fps -The Slow Mo Guys

Eminem - Survival (Explicit) Replay

Benny Kinyaiya Afanyiwa Kitu Mbaya Soma Hapa

Ben Kinyaiya
MTANGAZAJI wa Kipindi cha Mama Land, kinachorushwa na Runinga ya Clouds ya jijini Dar, Benny Kinyaiya hivi karibuni alikombwa vitu kadhaa kwenye gari lake na vibaka mara baada ya kupaki gari nje ya nyumba yake. na mwandishi wa habari hizi, Kinyaiya alisema kuwa siku ya tukio saa nne usiku aliporejea nyumbani kwake maeneo ya...

MCHEKESHAJI KING MAJUTO KUWANIA UBUNGE 2015

Mzee Majuto .King Majuto
Mchekeshaji mkongwe nchini,Mzee Majuto ambaye pia anajulikana kama King Majuto, ametangaza kuwania Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Akiongea kupitia kipindi cha Amplifaya cha Clouds ambacho kinaendeshwa na Millard Ayo, Majuto amesema atagombea Jimbo la Tanga. Sababu ambazo zimechangia uamuzi wake ni pamoja na kuona wasanii wenzake waliotangulia kwenye siasa wakifanya vitu vizuri tu na anaamini kwa kutumia uzoefu wake wa kuona mengi na kusikia mengi licha ya kutembea sehemu mbalimbali za Tanzania, atakuwa kiongozi anayefaa.