
Mzungu wa Marekani Akiimba Mbagala (Mzungu Acoustic Cover)
As a language exercise, I picked a Swahili pop song that I like and attempted to transcribe the lyrics and learn to sing it. Mbagala is an impoverished district on the outskirts of the Tanzanian city Dar Es Salaam. I might have made some mistakes in the transcription or translation, so kama wewe ni Mswahili na unalo shauri lolote kuhusu
King Mswati of Swaziland to Marry His 15th Wife.
The 45-year old will wed the 18-year old Sindiswa Dlamini, who took part in a beauty pageant. She is reported to have completed her education. At a previous traditional festival she was amongst the girls dancing for the king and his guests. This involved her appearing semi-naked and adorned with red feathers.
Mswati has been in power since shortly after his own 18 birthday in 1986, making him the youngest ruling monarch in the world at that time. He is currently Africa’s last absolute monarch and is known for his polygyny.
According to accusations by Amnesty, the king and his men abducted the high school student Zena Mahlangu in 2002. She was a twin, which meant she didn’t qualify to become a wife of the king. Nonetheless she was made his official wife in 2010.
Dlamini will soon be joining her and the king's other 13 wives in a life of luxury. The king's estate is estimated at 100 million dollars, whilst the majority of the 1.2 million inhabitants of the country live in poverty.
YaleYalee..! MWALIMU ANASWA AKIWAFANYIA WANAFUNZI MTIHANI WA DARASA LA SABA HUKO IRINGA.

Jeshi la polisi mkoani Iringa linamshikilia mwalimu wa shule ya msingi Makungu wilaya ya Mufindi Bw Edwin Ambukile kwa tuhuma za kuwasaidia majibu wanafunzi wa darasa la saba katika mtihani wa Taifa wa kuhitimu elimu ya msingi.
Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Bw Ramadhan Mungi (pichani) amesema kuwa tukio hilo limetokea Septemba 15 mwaka huu.
Alisema kuwa mwalimu huyo ambae ni mwalimu wa masomo ya Sayansi katika shule hiyo pia alikuwa ni mwalimu wa masomo ya ziada ( katika shule hiyo na sababu ya kuwasaidia wanafunzi majibu ni kutaka kupata umaarufu kwa wanafunzi watano aliokuwa akiwafundisha masomo ya ziada aliopata kuwaahidi kuwa watafaulu mtihani huo.
Alisema kuwa mwalimu huyo tarehe 11 septemba alipokea mitihani kutoka kwa msimamizi na baada ya hapo akafungua bahasha ya masomo ya Sayansi na kuanza kufanya mwenyewe na majibu kuyatuma kwa Sms kwa mke wake .
Hata hivyo siku ya mtihani mmoja kati ya wanafunzi waliopata majibu hayo alipoingia katika chumba cha mtihani alionekana akitetemeka kupita kiasi na hivyo msimamizi wa mitihani alipompekua alimkuta na majibu hayo na kueleza jinsi alivyosaidiwa na mwalimu huyo .
Kamanda wa polisi alisema siku ya mtihani mwalimu Ambukile alipangiwa kusimamia shule ya msingi Igomaa na sasa amekamatwa na atafikishwa mahakamani wakati wowote kuanzia sasa.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro Imemnyima Dhamana Sheikh Ponda
Hatimaye mahakama ya hakimu mkazi Mkoa wa Morogoro imeamua kumnyima dhamana katibu wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda anayekabiliwa na mashitaka matatu ambayo ni kutokutii amri halali, kuharibu imani za dini na kushawishi na kutenda kosa.
Subscribe to:
Posts (Atom)