Mtandao wa kimataifa unaojihusisha na utengenezaji wa fedha bandia unaowahusisha baadhi ya wafanyabiashara wa nchi jirani ya Kenya na Tanzania umebainika kuwepo nchini kufuatia jeshi la polisi kukamata tena dola za kimarekani na kusababisha fedha bandia zilizokamatwa katika kipindi cha siku mbili kufikia zaidi ya shilingi milioni 250.
Scam Mail
Your first payment $ 5,000.00 USD payment Information are below.
WESTERN UNION MONEY TRANSFER
REGIONAL HEADQUATER Immeuble Nazemse Rue De L'uemoa, Kadiogo Ouagadougou Burkina Faso. TELEPHONE: +226 7949 9... E-mail:westernunion.bf@terra.com Date 05 / 08 / Attn: E-mail Lucky winner.
Our Operation manager has sent your first payment of $ 5000.00 USD In your Name today out of your total $ 1.3 Million USD.
Your transfer Informations are as follow.
Money Transfer Control Number (MTCN) 9366290561
Sender First Name: ALFRED Sender Last Name: DJAMES
Amount Sent: $5000.00 Via Western Union as Instructed by Donor HOT LOTTO Sizzler.
For verification you can also track it through western union web site below.
WEBSITE; https:/wumt.westernunion.com/asp/orderStatus.asp?country=global
Here is what we needed from you to complete your transfer $ 138 USD activation fee.
Use this information below and send the $ 138 United States Dollars or its equivalent in your currency through Western Union Money Transfer.
Reciever Name : Ewke Victor James
City: Ouaga Dougou Country: Burkina Faso Question: What Color Answer: Blue
Once you have made the payment forward the payment informations to
Mr.Frank ESIRI
WESTERN UNION MANAGER BURKINA FASO Direct Phone Line: +226 7949 9743 E-Mail :( westernunion.bf@terra.com )
Note:
That Only Fee Request from You is $ 138 USD Only to Reactivate the
Transfer and channel your payment in your western union area code within
24 hours.
Congratulation…
WESTERN UNION BURKINA FASO.
| ||||||
Invitation from Google Calendar
You are receiving this courtesy email at the account darslam@rocketmail.com because you are an attendee of this event.
To
stop receiving future notifications for this event, decline this event.
Alternatively, you can sign up for a Google account at
https://www.google.com/calendar/ and control your notification settings
for your entire calendar.
|
Scam
Kipofu Aona Uingereza Baada ya Kupandikizwa Jino Kwenye Jicho Lake
Mwanaume mmoja kipofu wa nchini Uingereza ameweza kumuona mkewe kwa mara ya kwanza baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho ambapo jino lake la juu lilipandikizwa kwenye jicho lake. Mjenzi Martin Jones, 42, alipata upofu wa macho yake yote mawili zaidi ya miaka 10 iliyopita baada ya bomba la madini ya aluminium yaliyokuwa yamechemka kumpasukia usoni, liliripoti gazeti la Daily Mail la Uingereza.
Lakini sasa baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho wa aina yake ambapo jino lake lilipandikizwa kwenye jicho lake la kulia, ameweza kuona kwa mara ya kwanza baada miaka mingi sana ya upofu.
Upasuji kama huu umefanyika mara 50 tu nchini Uingereza.
Upasuaji huo wa macho umemwezesha Jones aweze kumuona kwa mara ya kwanza mkewe Gill ambaye alimuoa miaka minne iliyopita wakati akiwa tayari ni kipofu.
"Madaktari waliitoa bandeji kwenye jicho langu na mara nikaanza kuona kitu mbele yangu na nilipoangalia vizuri alikuwa ni yeye mke wangu".
"Ni mrembo sana , sikuwahi kumuona awali, ilikuwa ni miujiza kumuona kwa mara ya kwanza" alisema Martin.
"Wakati nilipoona kuna uwezekano wa kuona kwa mara nyingine, mtu wa kwanza niliyetaka kumuona alikuwa ni mke wangu".
Opereshereni hiyo ya masaa manane iligunduliwa na daktari mwenye makazi yake nchini Uingereza, Dr Christopher Liu.
Upasuaji ulifanyika kwa kuchukua jino lake moja la juu la mbele kwa pembeni na jino hilo lilitengenezwa katika umbile ambalo liliweza kuwa kama nyumba ya lenzi moja ndogo iliyotengenezwa maalumu.
Jino lake lilitumika kwa kuwa mwili wa binadamu mara nyingi hukataa kuendana na plastiki, alisema Dr Liu.
Kipande cha ngozi yake kilichukuliwa kutoka kwenye ngozi ya mashavu yake na kupandikizwa kwenye jicho lake kwa muda wa takribani miezi miwili na kiliweza kupata uwezo wa kujisambazia damu chenyewe.
Baadae kipande hicho kilitolewa na kuwekwa juu ya jino lake ambalo liliwekwa lenzi na kupandikizwa ndani ya jicho lake na kitobo kidogo kilitobolewa kwenye ngozi hiyo iliyowekwa juu ya jino ili kuwezesha mwanga kuingia na kumwezesha Martin kuona tena.
Madaktari walisema kwamba upasuaji kama huu hufanyika kwa watu wenye upofu uliosababishwa na kuharibika kwa cornea na ambao macho yao hayawezi kufanyiwa upasuaji wa aina zingine wa upandikizaji wa cornea.
[ Cornea ni eneo la juu la jicho ambalo linazunguka iris, pupil na anterior chamber. ]
Martin hakufanyiwa upasuaji kama huu kwenye jicho lake la kushoto kwakuwa jicho hilo lilikuwa limeharibika sana na ilibidi litolewe.
Lakini sasa baada ya kufanyiwa upasuaji wa macho wa aina yake ambapo jino lake lilipandikizwa kwenye jicho lake la kulia, ameweza kuona kwa mara ya kwanza baada miaka mingi sana ya upofu.
Upasuji kama huu umefanyika mara 50 tu nchini Uingereza.
Upasuaji huo wa macho umemwezesha Jones aweze kumuona kwa mara ya kwanza mkewe Gill ambaye alimuoa miaka minne iliyopita wakati akiwa tayari ni kipofu.
"Madaktari waliitoa bandeji kwenye jicho langu na mara nikaanza kuona kitu mbele yangu na nilipoangalia vizuri alikuwa ni yeye mke wangu".
"Ni mrembo sana , sikuwahi kumuona awali, ilikuwa ni miujiza kumuona kwa mara ya kwanza" alisema Martin.
"Wakati nilipoona kuna uwezekano wa kuona kwa mara nyingine, mtu wa kwanza niliyetaka kumuona alikuwa ni mke wangu".
Opereshereni hiyo ya masaa manane iligunduliwa na daktari mwenye makazi yake nchini Uingereza, Dr Christopher Liu.
Upasuaji ulifanyika kwa kuchukua jino lake moja la juu la mbele kwa pembeni na jino hilo lilitengenezwa katika umbile ambalo liliweza kuwa kama nyumba ya lenzi moja ndogo iliyotengenezwa maalumu.
Jino lake lilitumika kwa kuwa mwili wa binadamu mara nyingi hukataa kuendana na plastiki, alisema Dr Liu.
Kipande cha ngozi yake kilichukuliwa kutoka kwenye ngozi ya mashavu yake na kupandikizwa kwenye jicho lake kwa muda wa takribani miezi miwili na kiliweza kupata uwezo wa kujisambazia damu chenyewe.
Baadae kipande hicho kilitolewa na kuwekwa juu ya jino lake ambalo liliwekwa lenzi na kupandikizwa ndani ya jicho lake na kitobo kidogo kilitobolewa kwenye ngozi hiyo iliyowekwa juu ya jino ili kuwezesha mwanga kuingia na kumwezesha Martin kuona tena.
Madaktari walisema kwamba upasuaji kama huu hufanyika kwa watu wenye upofu uliosababishwa na kuharibika kwa cornea na ambao macho yao hayawezi kufanyiwa upasuaji wa aina zingine wa upandikizaji wa cornea.
[ Cornea ni eneo la juu la jicho ambalo linazunguka iris, pupil na anterior chamber. ]
Martin hakufanyiwa upasuaji kama huu kwenye jicho lake la kushoto kwakuwa jicho hilo lilikuwa limeharibika sana na ilibidi litolewe.
BAISKELI NDEFU KULIKO ZOTE DUNIANI..!!

Mwendeshaji wa baiskeri hii anaitwa Richie Trimble kama unvyomwona katika picha









Subscribe to:
Posts (Atom)