
Video ya Meli ya Tanzania Iliyokamatwa na Dawa za Kulevya Italy..
Video kutoka kwa jeshi la polisi la Italy jinsi meli ya Tanzania ilivyokuwa inakamatwa
AyoTV
DHOOM:3 TEASER - Aamir Khan | Abhishek Bachchan | Katrina Kaif | Uday Chopra - Teaser Trailer
Presenting the Official Teaser Trailer of the most awaited film of 2013 - DHOOM:3. Starring Aamir Khan, Abhishek Bachchan, Katrina Kaif & Uday Chopra.
DHOOM:3 Film releases on 20th December 2013.
Produced by Aditya Chopra, DHOOM:3 is written and directed by Vijay Krishna Acharya, who had also written DHOOM & DHOOM:2. Apart from Aamir Khan, who plays the anti-hero in the film, and Katrina Kaif, both Abhishek Bachchan and Uday Chopra will continue in their now iconic roles of Jai Dixit and Ali.
DHOOM:3 Film releases on 20th December 2013.
Produced by Aditya Chopra, DHOOM:3 is written and directed by Vijay Krishna Acharya, who had also written DHOOM & DHOOM:2. Apart from Aamir Khan, who plays the anti-hero in the film, and Katrina Kaif, both Abhishek Bachchan and Uday Chopra will continue in their now iconic roles of Jai Dixit and Ali.
ROBOCOP - Official Trailer (2014) [HQ]
Release Date: February 7, 2014
Studio: Columbia Pictures (Sony), MGM
Director: Jose Padilha
Screenwriter: Josh Zetumer, Nick Schenk
Starring: Joel Kinnaman, Gary Oldman, Michael Keaton, Samuel L. Jackson, Abbie Cornish, Jackie Earle Haley, Michael K. Williams, Jay Baruchel, Jennifer Ehle, Marianne Jean-Baptiste
Genre: Action, Adventure, Sci-Fi, Thriller
MPAA Rating: Not Available
Plot Summary:
In "RoboCop," the year is 2028 and multinational conglomerate OmniCorp is at the center of robot technology. Their drones are winning American wars around the globe and now they want to bring this technology to the home front. Alex Murphy (Kinnaman) is a loving husband, father and good cop doing his best to stem the tide of crime and corruption in Detroit. After he is critically injured in the line of duty, OmniCorp utilizes their remarkable science of robotics to save Alex's life. He returns to the streets of his beloved city with amazing new abilities, but with issues a regular man has never had to face before.
Official Websites: http://www.omnicorp.com, http://www.robocop-movie.net
Msanii TID Mnyama Amefunguka na Kumtaka B-12 Amuombe Msamaha kwa Kumdhalilisha Kigoma!
...Ameandika maneno hayo kupitia ukurasa wake wa facebook

MARUFUKU KUANDIKA KUHUSU MGOGORO WA CONGO-JWTZ
JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limevitaka vyombo vya habari kuacha kuandika taarifa za mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), badala yake taarifa rasmi zitakuwa zikitolewa na jeshi hilo kila baada ya wiki mbili.
Katazo hilo limetolewa juzi jijini Dar es Salaam na Meja Erick Komba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maendeleo ya mgogoro huo.
Alisema hali hiyo inatokana na jeshi hilo kubaini kuwa baadhi ya vyombo vya habari nchini vinaandika habari za uchochezi zinazotaka kuziingiza vitani nchi ya Tanzania na Rwanda.(P.T)
Meja Komba alisema hategemei kama kutakuwa na chombo chochote cha habari kitakachotoa habari kuhusu maendeleo ya mgogoro huo bila kupata taarifa rasmi kutoka jeshi hilo.
Alionya kuwa chombo chochote kitakachokwenda kinyume kitakuwa kina tatizo.
Meja Komba alisema wananchi wanapaswa kuelezwa kuwa kikosi cha Tanzania kilichoko DRC ni sehemu ya Brigedia ya SADC, iliyotoa mchango wake katika Jeshi la Umoja wa Mataifa (Monusco).
Alitaja majukumu ya kikosi hicho kuwa ni kuzuia waasi wa M23 na wengine kujitanua, kuvunja nguvu zao na kuyapokonya silaha makundi yote ya waasi.
"Kwa kuzingatia kuwa kikosi chetu kiko chini ya majeshi ya Monusco, inamaanisha kuwa operesheni hiyo ni ya Umoja wa Mataifa," alisema.
Aliongeza kuwa Tanzania haikupeleka kikosi chake DRC kwa ajili ya kupigana na M23, pia ieleweke kuwa haina tatizo na Rwanda kuhusiana na operesheni hiyo ambapo Rwanda ilitoa ridhaa kikosi cha Tanzania kwenda DRC.
Meja Komba alisema Rwanda ni miongoni mwa wanachama wa nchi za Maziwa Makuu, ambayo imesaidia kwa kuruhusu kikosi cha Tanzania kupitisha vifaa na zana katika nchi yake kupeleka DRC.
"Tanzania inashiriki katika operesheni hiyo ya ulinzi wa amani nchini DRC kutokana na mgogoro kati ya serikali na waasi hususan kikundi cha M23," alisema.
Mgogoro huo ulianza Aprili mwaka jana, ambapo kikundi cha M23 kilijitoa katika jeshi la serikali na kuanzisha mapigano yaliyosababisha hali ya usalama nchini DRC kuwa mbaya.
Katika hatua nyingine, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe Benard, amesema kuwa marais Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda wamemaliza tofauti zilizokuwa zimejitokeza kati yao hivi karibuni.
Marais hao walikutana na kufanya kikao cha faragha jijini Kampala nchini Uganda juzi baada ya mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu na baadaye kutoa taarifa kwa waandishi wa habari.
Kuzorota kwa mahusiano kati ya viongozi hao kulikuja kufuatia kauli ya Rais Kikwete ya kumtaka Rais Kagame kukaa meza moja na vikundi vya waasi wa nchi yake vilivyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, ushauri ulioonekana kumkera Rais Kagame.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Membe alisema marais hao walitumia mazungumzo yao yaliyochukua muda wa saa moja kujadiliana na kueleweshana mambo mbalimbali yaliyosababisha kutoelewana.
"Baada ya mkutano huo ambao uliwapa fursa za kuchambua, kujadili na kurejesha mahusiano ya kihistoria kati ya nchi hizi mbili, marais wetu walitoka na nyuso za furaha," alisema.
Moja ya maazimio ya kikao chao ni kuwa na vikao vingine kati ya Rwanda na Tanzania katika siku zijazo.
"Kwa kweli kikao kati ya Rais Kikwete na Rais Kagame kimeondoa majungu yote, kimekata fitina, uongo na maneno ya kuchombeza yaliyokuwa yakitawanywa na watu mbalimbali hapa nchini na hata kule Kigali," alisema.
Mbali ya kikao hicho pia Rais Kikwete alifanya kikao kingine cha faragha na Rais wa Uganda Yoweri Museveni ambapo walipata muda wa kujadiliana kwa kina kuhusu mambo mbalimbali kuhusu nchi zao na mambo ya migogoro katika nchi za Maziwa Makuu.
Akizungumzia yale yaliyokubaliwa katika mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu, Membe alisema kuwa mkutano huo kwanza ulimruhusu Rais Museveni aendelee kusuluhisha vita ya serikali ya DRC na waasi.
Alisema kuwa viongozi hao walilaani mashambulizi ya M23 yaliyojeruhi na kumuua Meja Mshindo wa Tanzania aliyekuwa miongoni mwa askari walioko nchini Congo katika kusimamia amani chini ya Umoja wa Mataifa.
Tanzania Daima
Katazo hilo limetolewa juzi jijini Dar es Salaam na Meja Erick Komba wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maendeleo ya mgogoro huo.
Alisema hali hiyo inatokana na jeshi hilo kubaini kuwa baadhi ya vyombo vya habari nchini vinaandika habari za uchochezi zinazotaka kuziingiza vitani nchi ya Tanzania na Rwanda.(P.T)
Meja Komba alisema hategemei kama kutakuwa na chombo chochote cha habari kitakachotoa habari kuhusu maendeleo ya mgogoro huo bila kupata taarifa rasmi kutoka jeshi hilo.
Alionya kuwa chombo chochote kitakachokwenda kinyume kitakuwa kina tatizo.
Meja Komba alisema wananchi wanapaswa kuelezwa kuwa kikosi cha Tanzania kilichoko DRC ni sehemu ya Brigedia ya SADC, iliyotoa mchango wake katika Jeshi la Umoja wa Mataifa (Monusco).
Alitaja majukumu ya kikosi hicho kuwa ni kuzuia waasi wa M23 na wengine kujitanua, kuvunja nguvu zao na kuyapokonya silaha makundi yote ya waasi.
"Kwa kuzingatia kuwa kikosi chetu kiko chini ya majeshi ya Monusco, inamaanisha kuwa operesheni hiyo ni ya Umoja wa Mataifa," alisema.
Aliongeza kuwa Tanzania haikupeleka kikosi chake DRC kwa ajili ya kupigana na M23, pia ieleweke kuwa haina tatizo na Rwanda kuhusiana na operesheni hiyo ambapo Rwanda ilitoa ridhaa kikosi cha Tanzania kwenda DRC.
Meja Komba alisema Rwanda ni miongoni mwa wanachama wa nchi za Maziwa Makuu, ambayo imesaidia kwa kuruhusu kikosi cha Tanzania kupitisha vifaa na zana katika nchi yake kupeleka DRC.
"Tanzania inashiriki katika operesheni hiyo ya ulinzi wa amani nchini DRC kutokana na mgogoro kati ya serikali na waasi hususan kikundi cha M23," alisema.
Mgogoro huo ulianza Aprili mwaka jana, ambapo kikundi cha M23 kilijitoa katika jeshi la serikali na kuanzisha mapigano yaliyosababisha hali ya usalama nchini DRC kuwa mbaya.
Katika hatua nyingine, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe Benard, amesema kuwa marais Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda wamemaliza tofauti zilizokuwa zimejitokeza kati yao hivi karibuni.
Marais hao walikutana na kufanya kikao cha faragha jijini Kampala nchini Uganda juzi baada ya mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu na baadaye kutoa taarifa kwa waandishi wa habari.
Kuzorota kwa mahusiano kati ya viongozi hao kulikuja kufuatia kauli ya Rais Kikwete ya kumtaka Rais Kagame kukaa meza moja na vikundi vya waasi wa nchi yake vilivyo nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, ushauri ulioonekana kumkera Rais Kagame.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Membe alisema marais hao walitumia mazungumzo yao yaliyochukua muda wa saa moja kujadiliana na kueleweshana mambo mbalimbali yaliyosababisha kutoelewana.
"Baada ya mkutano huo ambao uliwapa fursa za kuchambua, kujadili na kurejesha mahusiano ya kihistoria kati ya nchi hizi mbili, marais wetu walitoka na nyuso za furaha," alisema.
Moja ya maazimio ya kikao chao ni kuwa na vikao vingine kati ya Rwanda na Tanzania katika siku zijazo.
"Kwa kweli kikao kati ya Rais Kikwete na Rais Kagame kimeondoa majungu yote, kimekata fitina, uongo na maneno ya kuchombeza yaliyokuwa yakitawanywa na watu mbalimbali hapa nchini na hata kule Kigali," alisema.
Mbali ya kikao hicho pia Rais Kikwete alifanya kikao kingine cha faragha na Rais wa Uganda Yoweri Museveni ambapo walipata muda wa kujadiliana kwa kina kuhusu mambo mbalimbali kuhusu nchi zao na mambo ya migogoro katika nchi za Maziwa Makuu.
Akizungumzia yale yaliyokubaliwa katika mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu, Membe alisema kuwa mkutano huo kwanza ulimruhusu Rais Museveni aendelee kusuluhisha vita ya serikali ya DRC na waasi.
Alisema kuwa viongozi hao walilaani mashambulizi ya M23 yaliyojeruhi na kumuua Meja Mshindo wa Tanzania aliyekuwa miongoni mwa askari walioko nchini Congo katika kusimamia amani chini ya Umoja wa Mataifa.
Tanzania Daima
Meli ya Tanzania iliyobeba Madawa/ Sembe/ Unga wa Sh. Bilioni 123 Yazua Kizaazaa Nchini Italia!
Taarifa nyingine ya polisi imesema kabla ya kusafiri kutoka Turkey ilipewa ruhusa kutoka Tanzania na thamani ya mzigo huo ni pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481.
Kwenye sentensi ya tatu, taarifa imesema Meli ilikuwa na crew ya watu kutoka nchi za Egypt na Syria ambapo mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.
Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo ambapo pia kati yao, watu tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa na kukutwa hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.
Bungling drug smugglers set £50million of hash on fire and jumped overboard after being caught by coastguard in the Mediterranean
Freighter was 'buzzed' by a helicopter from the Italian coastguard
Ship was Tanzania-registered, with nine people on board jumping into sea
30 tonnes of hash had been loaded on in Turkey
This is the dramatic moment when drug smugglers set fire to a ship carrying more than £50 million worth of hashish after being spotted by customs officials.
Thick, dense plumes of smoke quickly billowed from the bridge of the Gold Star freighter just minutes after it was 'buzzed' by a helicopter from the Italian coastguard.
The nine people on board the Tanzanian registered ship then jumped overboard as they attempted to avoid being arrested but they were miles out to sea and had to be plucked to safety.
Up in flames: The Tanzanian-registered cargo ship MV Gold Star is seen with its bridge in flames
Night vision: An Armed Forces of Malta vessel (right) battles the fire
Italian customs officials intercepted the Gold Star as it sailed off the coast of Sicily in the Mediterranean following a tip off that it was carrying a huge consignment of drugs and she had been followed for several days before the operation was launched.
Besides a helicopter several fast patrol boats were used in the 'raid' and a search of the ship's hold revealed a massive consignment of drugs, 30 tons of hashish which had been loaded on board in Turkey.
Italian officials said the crew were Syrian and Egyptians and before they could board the 82 metre 38-year-old ship they had to obtain permission from Tanzania where it was registered.
Firefighting boats had to be called in to put out the flames and the ship was today being towed to the Sicilian port of Syracuse where the arrested men were also being held before being questioned.
Black cloud: Smugglers decided to set their drug haul on fire, which was evidently noticeable to customs officials
Costly: There was thought to be £50million worth of hash on the boat
Stricken: The smugglers jumped overboard after deciding to set their loot on fire
A spokesman for Italian Customs said: 'The ship was intercepted after intelligence was received that it was carrying drugs - but we never expected such a huge consignment and for the crew to set her on fire.
'The idea was no doubt to try and destroy the evidence so that we could have no case against them but their plan failed and the fire was put out and the drugs were found during the search.
'Nine people on board jumped into the sea but they couldn't get very far as they were several miles from shore and they had to be rescued by Italian customs officers.
'The fire is now under control and the ship is being taken to a port where it will be thoroughly searched again and the nine crew members will be questioned by prosecutors.
Drug smugglers set fire to a ship carrying more than £50m worth of hashish after they were spotted by customs officials.
Plumes of smoke billowed from the bridge of the Gold Star freighter minutes after it was "buzzed" by a helicopter from the Italian coastguard.
Nine people on board the Tanzanian registered ship jumped overboard and had to be rescued.
Italian customs officials intercepted the Gold Star as it sailed off the coast of Sicily in the Mediterranean following a tip off that it was carrying a huge consignment of drugs.
The vessel had been followed for several days before the operation was launched.
Fast patrol boats were used in the "raid" and a search of the ship's hold revealed 30 tonnes of hashish which had been loaded on board in Turkey.
Officials said the crew were Syrian and Egyptians and before they could board the 82-metre ship they had to obtain permission from Tanzania where it was registered.
Firefighting boats had to be called in to put out the flames and the ship was being towed to the Sicilian port of Syracuse where the crew were arrested.
A spokesman for Italian Customs said: "The ship was intercepted after intelligence was received that it was carrying drugs - but we never expected such a huge consignment and for the crew to set her on fire.
"The idea was no doubt to try and destroy the evidence so that we could have no case against them but their plan failed and the fire was put out and the drugs were found during the search.
"Nine people onboard jumped into the sea but they couldn't get very far as they were several miles from shore and they had to be rescued by Italian customs officers.
"The fire is now under control and the ship is being taken to a port where it will be thoroughly searched again and the nine crew members will be questioned by prosecutors."
Up in flames: The Tanzanian-registered cargo ship MV Gold Star is seen with its bridge in flames
Black cloud: Smugglers decided to set their drug haul on fire, which was evidently noticeable to customs officials
Costly: There was thought to be £50million worth of hash on the boat
Skynews
Subscribe to:
Posts (Atom)
