Pages

DHOOM:3 TEASER - Aamir Khan | Abhishek Bachchan | Katrina Kaif | Uday Chopra - Teaser Trailer

Presenting the Official Teaser Trailer of the most awaited film of 2013 - DHOOM:3. Starring Aamir Khan, Abhishek Bachchan, Katrina Kaif & Uday Chopra.

DHOOM:3 Film releases on 20th December 2013.
Produced by Aditya Chopra, DHOOM:3 is written and directed by Vijay Krishna Acharya, who had also written DHOOM & DHOOM:2. Apart from Aamir Khan, who plays the anti-hero in the film, and Katrina Kaif, both Abhishek Bachchan and Uday Chopra will continue in their now iconic roles of Jai Dixit and Ali.

ROBOCOP - Official Trailer (2014) [HQ]


Release Date: February 7, 2014
Studio: Columbia Pictures (Sony), MGM
Director: Jose Padilha
Screenwriter: Josh Zetumer, Nick Schenk
Starring: Joel Kinnaman, Gary Oldman, Michael Keaton, Samuel L. Jackson, Abbie Cornish, Jackie Earle Haley, Michael K. Williams, Jay Baruchel, Jennifer Ehle, Marianne Jean-Baptiste
Genre: Action, Adventure, Sci-Fi, Thriller
MPAA Rating: Not Available

Plot Summary:
In "RoboCop," the year is 2028 and multinational conglomerate OmniCorp is at the center of robot technology. Their drones are winning American wars around the globe and now they want to bring this technology to the home front. Alex Murphy (Kinnaman) is a loving husband, father and good cop doing his best to stem the tide of crime and corruption in Detroit. After he is critically injured in the line of duty, OmniCorp utilizes their remarkable science of robotics to save Alex's life. He returns to the streets of his beloved city with amazing new abilities, but with issues a regular man has never had to face before.
Official Websites: http://www.omnicorp.com, http://www.robocop-movie.net

Msanii TID Mnyama Amefunguka na Kumtaka B-12 Amuombe Msamaha kwa Kumdhalilisha Kigoma!

TID Mnyama , B-12
...Ameandika maneno hayo kupitia ukurasa wake wa facebookTID Mnyama , B-12

Ben Pol Ft. Alice - Waubani (Audio)

Ben Pol Ft. Alice - Waubani

MARUFUKU KUANDIKA KUHUSU MGOGORO WA CONGO-JWTZ

JESHI la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),  limevitaka vyombo vya habari kuacha kuandika taarifa za mgogoro wa  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), badala yake taarifa rasmi  zitakuwa zikitolewa na jeshi hilo kila baada ya wiki mbili.

Katazo hilo limetolewa juzi jijini Dar  es Salaam na Meja Erick Komba wakati akizungumza na waandishi wa habari  kuhusu maendeleo ya mgogoro huo.

Alisema hali hiyo inatokana na jeshi  hilo kubaini kuwa baadhi ya vyombo vya habari nchini vinaandika habari  za uchochezi zinazotaka kuziingiza vitani nchi ya Tanzania na Rwanda.(P.T)
                                         
Meja Komba alisema hategemei kama  kutakuwa na chombo chochote cha habari kitakachotoa habari kuhusu  maendeleo ya mgogoro huo bila kupata taarifa rasmi kutoka jeshi hilo.

Alionya kuwa chombo chochote kitakachokwenda kinyume kitakuwa kina tatizo.
Meja Komba alisema wananchi wanapaswa  kuelezwa kuwa kikosi cha Tanzania kilichoko DRC ni sehemu ya Brigedia ya  SADC, iliyotoa mchango wake katika Jeshi la Umoja wa Mataifa (Monusco).

Alitaja majukumu ya kikosi hicho kuwa  ni kuzuia waasi wa M23 na wengine kujitanua, kuvunja nguvu zao na  kuyapokonya silaha makundi yote ya waasi.
"Kwa kuzingatia kuwa kikosi chetu kiko  chini ya majeshi ya Monusco, inamaanisha kuwa operesheni hiyo ni ya  Umoja wa Mataifa," alisema.

Aliongeza kuwa Tanzania haikupeleka  kikosi chake DRC kwa ajili ya kupigana na M23, pia ieleweke kuwa haina  tatizo na Rwanda kuhusiana na operesheni hiyo ambapo Rwanda ilitoa  ridhaa kikosi cha Tanzania kwenda DRC.

Meja Komba alisema Rwanda ni miongoni  mwa wanachama wa nchi za Maziwa Makuu, ambayo imesaidia kwa kuruhusu  kikosi cha Tanzania kupitisha vifaa na zana katika nchi yake kupeleka  DRC.
"Tanzania inashiriki katika operesheni  hiyo ya ulinzi wa amani nchini DRC kutokana na mgogoro kati ya serikali  na waasi hususan kikundi cha M23," alisema.
Mgogoro huo ulianza Aprili mwaka jana,  ambapo kikundi cha M23 kilijitoa katika jeshi la serikali na kuanzisha  mapigano yaliyosababisha hali ya usalama nchini DRC kuwa mbaya.
Katika hatua nyingine, Waziri wa Mambo  ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe Benard, amesema kuwa  marais Jakaya Kikwete na Paul Kagame wa Rwanda wamemaliza tofauti  zilizokuwa zimejitokeza kati yao hivi karibuni.

Marais hao walikutana na kufanya kikao  cha faragha jijini Kampala nchini Uganda juzi baada ya mkutano wa  viongozi wa nchi za Maziwa Makuu na baadaye kutoa taarifa kwa waandishi  wa habari.

Kuzorota kwa mahusiano kati ya  viongozi hao kulikuja kufuatia kauli ya Rais Kikwete ya kumtaka Rais  Kagame kukaa meza moja na vikundi vya waasi wa nchi yake vilivyo nchini  Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, ushauri ulioonekana kumkera Rais  Kagame.

Akizungumza na waandishi wa habari  jana jijini Dar es Salaam, Membe alisema marais hao walitumia mazungumzo  yao yaliyochukua muda wa saa moja kujadiliana na kueleweshana mambo  mbalimbali yaliyosababisha kutoelewana.

"Baada ya mkutano huo ambao uliwapa  fursa za kuchambua, kujadili na kurejesha mahusiano ya kihistoria kati  ya nchi hizi mbili, marais wetu walitoka na nyuso za furaha," alisema.
Moja ya maazimio ya kikao chao ni kuwa na vikao vingine kati ya Rwanda na Tanzania katika siku zijazo.
"Kwa kweli kikao kati ya Rais Kikwete  na Rais Kagame kimeondoa majungu yote, kimekata fitina, uongo na maneno  ya kuchombeza yaliyokuwa yakitawanywa na watu mbalimbali hapa nchini na  hata kule Kigali," alisema.

Mbali ya kikao hicho pia Rais Kikwete  alifanya kikao kingine cha faragha na Rais wa Uganda Yoweri Museveni  ambapo walipata muda wa kujadiliana kwa kina kuhusu mambo mbalimbali  kuhusu nchi zao na mambo ya migogoro katika nchi za Maziwa Makuu.

Akizungumzia yale yaliyokubaliwa  katika mkutano wa viongozi wa nchi za Maziwa Makuu, Membe alisema kuwa  mkutano huo kwanza ulimruhusu Rais Museveni aendelee kusuluhisha vita ya  serikali ya DRC na waasi.

Alisema kuwa viongozi hao walilaani  mashambulizi ya M23 yaliyojeruhi na kumuua Meja Mshindo wa Tanzania  aliyekuwa miongoni mwa askari walioko nchini Congo katika kusimamia  amani chini ya Umoja wa Mataifa.
Tanzania Daima

Meli ya Tanzania iliyobeba Madawa/ Sembe/ Unga wa Sh. Bilioni 123 Yazua Kizaazaa Nchini Italia!


Gold Star  
Meli iitwayo Gold Star ambayo ilikuwa inafatiliwa kwa siku kadhaa, imekamatwa karibu na pwani ya Italy ikiwa na zaidi ya tani 30 za dawa za kulevya ambapo Polisi wa Italy wamesema documents zinaonyesha ilisajiliwa Tanzania.

Taarifa nyingine ya polisi imesema kabla ya kusafiri kutoka Turkey ilipewa ruhusa kutoka Tanzania na thamani ya mzigo huo ni pound millioni 50 ambayo kwa pesa za kitanzania ni kama 126,582,278,481.

Kwenye sentensi ya tatu, taarifa imesema Meli ilikuwa na crew ya watu kutoka nchi za Egypt na Syria ambapo mzigo wote wameupakia kutoka Uturuki.
Unaambiwa baada ya kuona mchezo wao umefahamika, watu waliokuwemo kwenye meli waliamua kuanza kuichoma moto meli hiyo ambapo pia kati yao, watu tisa walijirusha baharini kwa nia ya kutaka kukimbia lakini wakakamatwa na kukutwa hizo dawa za kulevya aina ya hashish ambazo thamani yake inagonga kwenye £50m.

Bungling drug smugglers set £50million of hash on fire and jumped overboard after being caught by coastguard in the Mediterranean

Freighter was 'buzzed' by a helicopter from the Italian coastguard
Ship was Tanzania-registered, with nine people on board jumping into sea
30 tonnes of hash had been loaded on in Turkey

This is the dramatic moment when drug smugglers set fire to a ship carrying more than £50 million worth of hashish after being spotted by customs officials.

Thick, dense plumes of smoke quickly billowed from the bridge of the Gold Star freighter just minutes after it was 'buzzed' by a helicopter from the Italian coastguard.

The nine people on board the Tanzanian registered ship then jumped overboard as they attempted to avoid being arrested but they were miles out to sea and had to be plucked to safety.

Up in flames: The Tanzanian-registered cargo ship MV Gold Star is seen with its bridge in flames

Night vision: An Armed Forces of Malta vessel (right) battles the fire

Italian customs officials intercepted the Gold Star as it sailed off the coast of Sicily in the Mediterranean following a tip off that it was carrying a huge consignment of drugs and she had been followed for several days before the operation was launched.

Besides a helicopter several fast patrol boats were used in the 'raid' and a search of the ship's hold revealed a massive consignment of drugs, 30 tons of hashish which had been loaded on board in Turkey.

Italian officials said the crew were Syrian and Egyptians and before they could board the 82 metre 38-year-old ship they had to obtain permission from Tanzania where it was registered.

Firefighting boats had to be called in to put out the flames and the ship was today being towed to the Sicilian port of Syracuse where the arrested men were also being held before being questioned.
MV Gold Star
Black cloud: Smugglers decided to set their drug haul on fire, which was evidently noticeable to customs officials
MV Gold Star
Costly: There was thought to be £50million worth of hash on the boat
MV Gold Star
Stricken: The smugglers jumped overboard after deciding to set their loot on fire

A spokesman for Italian Customs said: 'The ship was intercepted after intelligence was received that it was carrying drugs - but we never expected such a huge consignment and for the crew to set her on fire.

'The idea was no doubt to try and destroy the evidence so that we could have no case against them but their plan failed and the fire was put out and the drugs were found during the search.

'Nine people on board jumped into the sea but they couldn't get very far as they were several miles from shore and they had to be rescued by Italian customs officers.

'The fire is now under control and the ship is being taken to a port where it will be thoroughly searched again and the nine crew members will be questioned by prosecutors.
Drug smugglers set fire to a ship carrying more than £50m worth of hashish after they were spotted by customs officials.

Plumes of smoke billowed from the bridge of the Gold Star freighter minutes after it was "buzzed" by a helicopter from the Italian coastguard.

Nine people on board the Tanzanian registered ship jumped overboard and had to be rescued.

Italian customs officials intercepted the Gold Star as it sailed off the coast of Sicily in the Mediterranean following a tip off that it was carrying a huge consignment of drugs.

The vessel had been followed for several days before the operation was launched.

Fast patrol boats were used in the "raid" and a search of the ship's hold revealed 30 tonnes of hashish which had been loaded on board in Turkey.

Officials said the crew were Syrian and Egyptians and before they could board the 82-metre ship they had to obtain permission from Tanzania where it was registered.

Firefighting boats had to be called in to put out the flames and the ship was being towed to the Sicilian port of Syracuse where the crew were arrested.

A spokesman for Italian Customs said: "The ship was intercepted after intelligence was received that it was carrying drugs - but we never expected such a huge consignment and for the crew to set her on fire.

"The idea was no doubt to try and destroy the evidence so that we could have no case against them but their plan failed and the fire was put out and the drugs were found during the search.

"Nine people onboard jumped into the sea but they couldn't get very far as they were several miles from shore and they had to be rescued by Italian customs officers.

"The fire is now under control and the ship is being taken to a port where it will be thoroughly searched again and the nine crew members will be questioned by prosecutors."
Up in flames: The Tanzanian-registered cargo ship MV Gold Star is seen with its bridge in flames
MV Gold Star
Black cloud: Smugglers decided to set their drug haul on fire, which was evidently noticeable to customs officials

Costly: There was thought to be £50million worth of hash on the boat
Skynews

Bball Kitaa Arusha EPisode 1

Picha Kali za Leo

Picha
Picha

Cheki Kiji-Camera Hiki Kilichogunduliwa Huko Sweeden Kinavyoweza Kufanya Kazi

Technolojia Imekuwa Kwa Kasi Kubwa Sana, Tazama Kiji-Camera Hiki Kilichogunduliwa Huko Sweeden Kinavyoweza Kufanya Kazi
Memoto Katika jitihada za kuhakikisha kuwa inawezekana kuweka kumbukumbu ya kila kitu kinachoendelea katika maisha ya binadamu masaa yote bila kupumzika kwa kutumia njia ya picha, Kampuni ya Memoto ya nchini Sweeden chini ya Martin Kaellstroem, wamefanikisha kutengeneza ki-camera kidogo ambacho huweza kuvaliwa na mtu katika mavazi yake ya kawaida na kuendelea kurekodi kila kitu katika mishe zake bila kusimama.

Kicamera hiki ambacho kinatambulika kwa jina Memoto Camera, Ambacho kipo katika mfumo wa ipod ndogo, hukusanya picha za matukio yote kwa kutegemea location ya GPS ambayo mtumiaji yupo kwa wakati huo, muda na kiasi cha mwanga pia na kuzistream moja kwa moja katika mtandao.
Memoto Camera, Njia hii imetajwa kama teknolojia mpya ambayo itasaidia sana kuweka kumbukumbu ya mambo na matukio na kupunguza kazi ya kuweka rekodi hizi katika diary.
Memoto Camera,Kizuri zaidi kuhusiana na camera hizi ni kuwa, unaweza kuunganisha mfumo wa kumbukumbu za matukio haya na picha hizi zikawa zinaenda moja kwa moja katika mitandao kama twitter na facebook.

Mh. Sugu Ajisalimisha. NI BAADA YA POLISI KUMSAKA USIKU, MCHANA

Joseph MbilinyiBAADA ya Jeshi la Polisi mkoani Dodoma kumsaka kwa siku mbili bila mafanikio mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu (CHADEMA), akidaiwa kumpiga na kumjeruhi mmoja wa askari wa Bunge, hatimaye alijisalimisha mwenyewe jana jioni.
Taarifa zilizotufikia wakati tunakwenda mitamboni, Sugu alikwenda polisi akiongozana na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, na wabunge Tundu Lissu (Singida Mashariki), John Mnyika (Ubungo) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki).
Akizungumza na gazeti hili, Mnyika alisema kuwa Sugu hakukamatwa bali alijipeleka mwenyewe polisi kwa hiari yake na kwamba jioni hiyo majira ya saa 1:10 alikuwa akiandikisha maelezo yake.
Wakati Sugu akijisalimisha, wanasheria wa Bunge nao walikuwa wamejifungia kuangalia namna ya kumkabidhi mbunge huyo mikononi mwa sheria.
Juzi na jana viwanja vya Bunge vilitawaliwa na idadi kubwa ya polisi waliotumwa kumkamata Sugu lakini mpaka Bunge linaahirishwa jioni haikujulikana ni wapi alikokuwa mbunge huyo.
Mbunge huyo juzi baada ya kubebwa mzobemzobe na askari wa Bunge na kisha kutolewa nje ya ukumbi, inadaiwa kuwa alimpiga ngumi mmoja wa askari aliyemtuhumu kuwa alikuwa amempia ngumi wakati wakimtoka nje.
Askari hao juzi jioni walikuwa kwenye vikundi vikundi nje ya ukumbi wa Pius Msekwa ambako kulikuwa kukifanyika mkutano wa wabunge wa upinzani ambapo Sugu pia alikuwa miongoni mwao.
Kutokamatwa kwa Sugu kumewashangaza wengi waliokuwa karibu na askari hao kwa kuwa alikuwa amekaa jirani nao akizungumza na wenzake kabla ya kuanza kwa kikao chao.
Tanzania Daima lilidokezwa kuwa askari hao walishindwa kumkamata Sugu kwa kuwa hapakuwepo na amri ya kukamatwa kwake na hata ilipotolewa alikuwa ameshaondoka katika viwanja vya Bunge.
Mpaka Bunge linaahirishwa juzi jioni, idadi kubwa ya askari walikuwa nje ya milango na korido zilipo ofisi za kambi ya upinzani wakimsubiri Sugu bila mafanikio.
Hata hivyo taarifa zinaeleza kuwa miongoni mwa mambo yaliyochangia askari kusuasua kukamatwa kwa Sugu ni kutokana na kinga ya kibunge aliyonayo na pia kosa analotuhumiwa kulifanya alilifanya akiwa kwenye viwanja vya Bunge.
“Tulipata mtanziko wa kumkamata haraka haraka, ilibidi lazima tuwasiliane na ofisi ya Spika kujua taratibu za kumkamata kiongozi huyo hasa kwa kuwa alifanya kosa hilo akiwa bungeni,” kilisema chanzo kimoja.
Wakati askari wakihaha kumtafuta Sugu, mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka (CCM), jana aliomba mwongozo wa Spika kuhusu tukio la vurugu zilizotokea juzi bungeni hasa tukio la Sugu kumpiga askari.
Sendeka alisema tukio hilo limelidhalilisha Bunge na askari wanaowalinda, hivyo akataka liweke wazi ni hatua gani zitakazochukuliwa dhidi ya mbunge huyo ili kulinda heshima ya chombo hicho.
“Nataka nijue ibara ya 100 ambayo humpa kinga mbunge na uhuru wa mawazo akiwa ndani ya Bunge inatumikaje katika tukio hili?
“Je, Bunge litalindaje heshima yake dhidi ya tukio hili lililofanywa na mbunge mwenzetu?” alihoji.
Akijibu mwongozo huo, Mwenyekiti wa Bunge, Jenister Mhagama, alisema tukio hilo ni geni hivyo Bunge limeshindwa kutoa jibu la mara moja.
“Jambo hili halijawahi kutokea katika historia ya Bunge, sasa nami nitalifikisha kwa wanasheria wa Bunge wanishauri namna ya kulishughulikia na baada ya hapo nitatoa mwongozo,” alisema.
Akitoa mwongozo huo muda mfupi kabla ya Bunge kuahirishwa jana jioni, Naibu Spika, Job Ndugai, alisema kuwa bado wanashauriana na wanasheria kuona kanuni zinawaelekezaje.
Alisema kuwa licha ya tukio hilo kutokea katika eneo la Bunge bado kitendo hicho ni cha jinai na hivyo, mtuhumiwa atashughulikiwa kisheria.
“Ni sawa na jaji yuko mahakamani ambapo kuna kinga kama za Bunge halafu jaji mwenzake ampige ngumi. Huyo lazima achukuliwe hatua hawezi kuachwa. Kinga zetu ziko kwenye uhuru wa mawazo tu,” alisema.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma, juzi lilitangaza kumsaka Sugu kwa tuhuma za kufanya vurugu na kumjeruhi askari wa Bunge.
“Lakini tuna mashaka sana na hatua yake aliyoifanya nje ya ukumbi ambapo alimvamia na kumpiga ngumi nzito Koplo Nikwisa Nkisu ambaye alijeruhiwa jicho,” alisema mmoja wa askari ambaye hakutaka jina lake litajwe.
Ofisa Upelelezi wa Wilaya ya Dodoma ASP Jumanne Kim, juzi jioni alithibitisha kusakwa kwa mbunge huyo aliyeondoka maeneo ya Bunge mchana akiwa ndani ya gari la kiongozi mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Freeman Mbowe.
Chadema blog