Pages

Shuhudi Mwanamke Alivyokamatwa na Dawa za Kulevya Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam Leo Mchana

ANTHONIA OJOJitihada za kurejesha heshima kwa viwanja vya ndege nchini zilizoanzishwa na waziri wa uchukuzu Dk. Harisson Mwakyembe zinaonekana kuzaa matunda baada ya mwanadada kutoka nchini Nigeria Anthonia Ojo (25) kukamatwa na kete 99 za madawa ya kulevya dar es salaam leo.
Anthonia Ojo (25) Raia wa Nigeria akiwa na kete 99 za madawa ya kulevya baada ya kukamatwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam, akieleke Roma Italia kupitia Paris Ufaransa kwa ndege ya Ethiopian Airways. Msichana huyo aliingia hapa nchini Agosti 30 akitokea Nigeria. Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Viwanja vya Ndege, Renatus Chalya, Ojo anaendelea kubaki chini ya ulinzi wa polisi kwa uchunguzi zaidi, wakati madawa hayo yamepelekwa kwa ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali ili kubaini aina ya dawa hizo, thamani yake na hatimaye atafikisha mahakamani.
Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio zima la kunaswa kwa mtuhumiwa huyo ambapo anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi zaidi wakati kete hizo zimepelekwa kwa ofisi ya Mkemia Mkuu kwa uchunguzi zaidi.

ANTHONIA OJO AKIWASILI KITUO CHA POLISI CHA JNIA BAADA KUKAMATWA.
ANTHONIA OJO
ANTHONIA OJO AKIELEKEA KWENYE GARI BAADA YA KUKAMATWA
ANTHONIA OJO
PASPORT YAKE

HILO NDO BEGI MADAWA HAYO YALIKUWEMO

Nigeria
AKIZITOA KWENYE MIKEBE YA POWDER NA SHAMPOO

SEHEMU YA KETE 99 ALIZOKAMATWA NAZO.
Nigeria
HUYO NDO ANTHONIA OJO AKIWA KITUO CHA POLISI
Nigeria
MADAWA HAYO YAKIRUDISHWA KWENYE VYOMBO BAADA YA KUONESHWA KWA WANAHABARI.
Anthonia Ojo
RECORD ZA ANTHONIA ALIWAHI KUJA TENA MWAKA 2011
Na Robert Okanda

Mr Blue - Pesa (Audio)

Mr Blue - Pesa

Weird Therapies

Join Violet Otindo tonight at 9pm as she looks the lengths people go for remedy and cure on Weird therapies!

Quadruple Take Masterclass

DJ Khaled - I Wanna Be With You Ft. Nicki Minaj, Rick Ross, Future (Audio)

DuduBaya ft Makamua na Q Chief - Matope (Audio)

DuduBaya ft Makamua na Q Chief - Matope