Pages

BET Hip-Hop Awards 2013 Nominations, Kendrick Lamar Kurudi Nyumbani Na Tuzo 14 Kwa Siku Moja?

BET Hip-Hop Awards 2013 Nominations
Best Hip-Hop Video
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar – “Problems”
B.o.B f/ T.I. & Juicy J – “We Still in This”
J. Cole f/ Miguel – “Power Trip”
Drake – “Started From the Bottom”
Kendrick Lamar – “Don’t Kill My Vibe”
Reese’s Perfect Combo Award (Best Collabo, Duo or Group)
Ace Hood f/ Rick Ross & Future – “Bugatti”
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar – “Problems”
J. Cole f/ Miguel – “Power Trip”
French Montana f/ Rick Ross, Drake & Lil Wayne – “Pop That”
Kendrick Lamar f/ Drake – “Poetic Justice”
Wale f/ Tiara Thomas – “Bad”

Best Live Performer
2 Chainz
J. Cole
JAY Z
Kendrick Lamar
Kanye West
Lyricist of the Year
J. Cole
Drake
JAY Z
Kendrick Lamar
Wale

Video Director of the Year
A$AP Rocky & A$AP Ferg
Benny Boom
Director X
Dre Films
Hype Williams

DJ of the Year
DJ Drama
DJ Envy
DJ Funkmaster Flex
DJ Khaled
DJ Scream

Producer of the Year
J. Cole
Hit-Boy
DJ Mustard
Mike WiLL Made It
Pharrell Williams

MVP of the Year
2 Chainz
J. Cole
Drake
JAY Z
Kendrick Lamar

Track of the Year
“Power Trip” – Produced by J. Cole (J. Cole f/ Miguel)
“Problems” – Produced by Noah “40″ Shebib (A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar)
“Don’t Kill My Vibe” – Produced by Sounwave (Kendrick Lamar)
“Bugatti” – Produced by Mike WiLL Made It (Ace Hood f/ Rick Ross & Future)
“Started From the Bottom” – Produced by Mike Zombie & Noah “40″ Shebib (Drake)

Album of the Year
J. Cole – Born Sinner
JAY Z – Magna Carta… Holy Grail
Kendrick Lamar – good kid, m.A.A.d city
Nas – Life Is Good
Wale – The Gifted

Who New? Rookie of the Year
Action Bronson
A$AP Ferg
Earl Sweatshirt
Joey Bada$
Trinidad Jame$

Hustler of the Year
Diddy
JAY Z
Kendrick Lamar
T.I.
Kanye West

Made-You-Look Award
2 Chainz
A$AP Rocky
JAY Z
Kendrick Lamar
Nicki Minaj
Kanye West

Best Club Banger
Ace Hood f/ Rick Ross & Future – “Bugatti” (Produced by Mike WiLL Made It)
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar – “Problems” (Produced by Noah “40″ Shebib)
Drake – “Started From the Bottom” (Produced by Mike Zombie & Noah “40″ Shebib)
French Montana f/ Rick Ross, Drake & Lil Wayne – “Pop That” (Produced by Lee on the Beats)
Trinidad Jame$ – “All Gold Everything” (Produced by Devon Gallaspy)

Best Mixtape
Big Sean – Detroit
Chance The Rapper – Acid Rap
Travi$ Scott – Owl Pharaoh
Stalley – Honest Cowboy
Trinidad Jame$ – Don’t Be S.A.F.E.
Sweet 16 (Best Featured Verse)
Diddy – “Same Damn Time (Remix)” (Future f/ Diddy & Ludacris)
Drake – “Versace (Remix)” (Migos f/ Drake)
Future – “Bugatti” (Ace Hood f/ Rick Ross & Future)
Kendrick Lamar – “Problems” (A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar)
Wiz Khalifa – “U.O.E.N.O. (Remix)” (Rocko f/ Future & Wiz Khalifa)

Impact Track
J. Cole f/ TLC – “Crooked Smile”
JAY Z f/ Justin Timberlake – “Holy Grail”
Macklemore & Ryan Lewis – “Same Love”
Wale f/ Sam Dew – “LoveHate Thing”
Kanye West – “BLKKK SKKKNHEAD”

People’s Champ Award
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz & Kendrick Lamar – “Problems”
J. Cole f/ Miguel – “Power Trip”
Drake – “Started From the Bottom”
Kendrick Lamar – “Don’t Kill My Vibe”
Macklemore & Ryan Lewis f/ Ray Dalton – “Can’t Hold Us”

Snoop Lion "The Good Good"

Kumbe Wazungu Nao Wanahusika na Masuala ya Sangoma..!

 Sangoma
 Sangoma
Sangoma
gesi ya Mtwara Wazungu wakipiga ndumba ili wasafirishe gesi ya Mtwara, kaaaaz kwelikweli.
Jamii Forums

Young Tuso -Walimu (Audio)

Young Tuso -Walimu

Bongo Views: Kipindi Kipya Toka GENN Redio, waTanzania Wanaoishi Kansas City

Global Entertainment and News Network (GENN) iliyopo Kansas City nchini Marekani, inawaletea kipindi kipya cha BONGO VIEWS kitakacho endeshwa LIVE kila Jumamosi midaa ya Saa 5 PM za Marekani ya kati 6: PM Jioni EST na kwa saa za nyumbani Tanzania ni Saa 1: AM (Yani Saba Usiku) kwa wale wanaopenda kukesha wasikose kutembelea HAPA Global Entertainment and News Network (GENN)
 Kansas City
Muendesha wa kipindi cha Bongo Views Joshua Kijo Simon Madelkeka walioendelea kujadili Mjadala kuhusu Mjadala kuhusu uraia wa nchi mblili.na mambo mengi kuhusu mstakabaliwa nchi yetu, wakiwa ndani ya Studia ya Global Entertainment and News Network (GENN)

Wachangiaji kipindi kushoto Mjombo Andrew Mkinga, akiwa na Anko Bavon Mwakasungula, wakijadili Mjadala kuhusu uraia wa nchi mblili na mambo mengi kuhusu mstakabaliwa nchi yetu, wakiwa ndani ya Studia ya Global Entertainment and News Network (GENN)

Kipindi cha Bongo Views kitaendele tena hewani LIVE wiki hii, siku ya Jumamosi Aug 24, 2013 MIDA ya Saa 5: PM kwa Saa za Marekani ya kati. Saa 6:PM jioni kwa Saa za EST US. Na Tanzania Saa 1:AM Usiku kwa wale wanaopenda kukesha wasikose kutembelea HAPA Global Entertainment and News Network (GENN). Mjadala utakua kuhusu Madawa ya kulivya, Nchini kwa kuchangia njia ya simu piga simu number (913) 662-1190
Bongo views take 2

Msanii Mkongwe ktk Muziki Maalim Muhidi Ngurumo Ametangaza Kustaafu Uimbaji.

Msanii maarufu na mkongwe katika muziki nchini Tanzania Maalim Muhidin Ngurumo leo ametangaza rasmi kustaafu uimbaji huku akiomba serikali imsaidie katika maisha yake nje ya muziki.

Clint Fierce Big Boy (Official HD Video)

UGANDA na RWANDA WAJITOA BANDARI ya DAR ES SALAAM

UGANDA na RWANDA 
Dar es Salaam. Chama cha Wasafirishaji wa Mafuta Tanzania (Tatoa), kimesema Rwanda na Uganda zitajitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam kuanzia Septemba Mosi, mwaka huu.

Katibu Mtendaji wa Tatoa, Zacharia Hanspope aliwaambia waandishi wa habari jana baada ya kukutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuwa nchi hizo zinajitoa kutokana na matatizo mbalimbali ambayo kwa muda mrefu zimekuwa zikiyalalamikia lakini Serikali haikuchukua hatua.

Hanspope alisema ushuru wa barabara na ushuru wa forodha ni baadhi ya vikwazo ambavyo vimekuwa vikilalamikiwa kwa muda mrefu na wafanyabiashara mbalimbali wa nchi hizo.

“Serikali ipunguze gharama za ushuru wa barabara na ushuru wa forodha ili kuwa na ushindani sawa na bandari nyingine na hivyo kuzivutia kutumia Bandari ya Dar es Salaam,” alisema Hanspope.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Omary Chambo alikataa kuzungumzia lolote kuhusu suala hilo akisema halina mantiki yoyote kwake.... “Hivi hilo jambo unaloniuliza lina sense (mantiki) yoyote? Mie siwezi kujibu lolote nenda ukamuulize mwenyewe (Hanspope) maana wakati akisema mimi sikuwepo.”

Alisema kujitoa kwa Rwanda na Uganda kuitumia Bandari ya Dar es Salaam hakutakiathiri chama hicho tu, bali uchumi wa taifa kwa ujumla.

Hayo yanatokea wakati Rwanda ikiendeleza vita yake ya maneno na Tanzania na mfululizo wa matukio ya kuitenga Tanzania kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki. Viongozi wa Kenya, Rwanda na Uganda walikutana Juni 25, mwaka huu mjini Entebbe, Uganda na kukubaliana kuongeza uhusiano wa kibiashara baina yao.

Kamati ya Bajeti
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge alisema katika kikao kijacho cha Bunge, kamati hiyo itaibana Serikali kuhusu mikakati inayofanywa kukabiliana na ushindani wa kibiashara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Alisema sababu ya Rwanda na Uganda kujitoa kutumia Bandari ya Dar es Salaam ni vikwazo katika barabara ikiwamo mizani mingi ya kupimia mizigo.

“Mizani ni mingi pia kuna usumbufu katika kupima mizigo yao na kwamba hali hiyo inawaletea usumbufu wafanyabiashara wengi,” alisema.

Alisema vitendo vya askari wa usalama barabarani kudai rushwa pia ni miongoni mwa vikwazo pamoja na urasimu mkubwa katika utoaji wa mizigo bandarini ikilinganishwa na bandari nyingine.

“Ni lazima tujifunze kwa majirani zetu Msumbiji, upanuzi wa haraka wa Bandari ya Beira umekuwa kikwazo kwetu, kampuni nyingi zimeanza kuitumia bandari hiyo,” alisema.

Chenge alikitaka chama hicho kuiandikia kamati hiyo mapendekezo yake ikiwa ni hatua ya kunusuru uchumi wa nchi ili waweze kuijadili bungeni.

Umoja wa nchi tatu
Marais Uhuru Kenyatta wa Kenya, Paul Kagame wa Rwanda na mwenyeji wao Yoweri Museveni walikutana mjini Kampala, Uganda na kuamua kuitumia Bandari ya Mombasa kwa shughuli zao.

Waliahidi kuimarisha ufanisi katika huduma za Bandari ya Mombasa ili kuhakikisha bidhaa zinafika mapema Uganda na Rwanda.

Pia walikubaliana kujenga reli mpya ili kurahisisha usafirishaji wa bidhaa kutoka Mombasa kwenda Kenya na Uganda.
Viongozi hao walikubaliana pia kushirikiana katika sekta ya nishati hasa ikizingatiwa kuwa Uganda imegundua mafuta.
Nchi hizo tatu ambazo zimeruhusu kwa raia wao kusafiri kwa vitambulisho pale wanapotembelea nchi tatu miongoni mwao, zitakutana tena Kenya mwezi huu.
Mwananchi

Daudi na Goliati? -Kakobe

Kakobe

Hali ya Shekhe Ponda Yazidi Utata

Shekhe Ponda 
SIKU chache baada ya kupelekwa Mahakama ya Kisutu, jijini Dar kisha Mahakama ya Mkoa Mrogoro kwa helikopta, hali ya kiongozi na Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam, Shehe Ponda Issa Ponda imedaiwa kuwa mbaya.

Shehe Ponda Issa Ponda. Agosti 19, 2013 saa 2:12, Shehe Ponda alifikishwa Mahakama ya Kisutu, Dar akitokea Gereza la Segerea ambapo alifutiwa mashitaka ya kuchochea vurugu nchini kati ya Juni 2 na Agosti 10, mwaka huu kwenye maeneo ya Zanzibar, Dar es Salaam na Morogoro.
Kama hiyo haitoshi, siku hiyohiyo alikimbizwa Morogoro kujibu mashitaka ya uchochezi aliyoyafanya katika mkutano wa hadhara hivi karibuni mjini humo, hali ambayo ilimfanya atoneshe kidonda chake cha risasi aliyodai kupigwa.
Kwa mujibu wa ndugu wa karibu, kutokana na jeraha hilo la risasi alilonalo kiongozi huyo, hekaheka alizozipata siku hiyo zilisababisha atoneshe kidonda na kumfanya ashindwe kusimama wala kulala hadi familia kufikia hatua ya kuomba arudishwe Hospitali ya Muhimbili katika kitengo cha mifupa (Moi) kwa matibabu zaidi.
“Kiukweli hali ni mbaya, wamempeleka harakaharaka tena ghafla, matokeo yake wamemtonesha kidonda. Tunaomba wamrudishe tena Moi (Muhimbili),” alisema mmoja wa ndugu wa familia aliyeomba hifadhi ya jina.
Akiwa Morogoro, alipandishwa kizimbani na kujibu shitaka la kwanza la uchochezi pamoja na mengine mawili anayodaiwa kuyafanya Zanzibar. Agosti 10, mwaka huu kwenye mhadhara uliofanyika Viwanja vya Shule ya Ndege, mjini Morogoro, Ponda alidaiwa kuchochea kwa kusema:
“Ndugu Waislamu msikubali uundwaji wa kamati za ulinzi na usalama za misikiti kwani kamati hizo zimeundwa na Bakwata ambao ni vibaraka wa serikali.”
Shitaka hilo liliunganishwa na mengine mawili anayodaiwa kuyafanya Shehe Ponda maeneo ya Dar na Zanzibar