
Tanzanian Blog Awards, Shindano la Mwaka Huu 2013

Jinsi ya kulink
1. Aandike post kuhusu shindano hili na kuwataarifu wasomaje wake katika post hiyo alinki kwetu...Tanzanian blog awards link.
2. Kama blog unayoipendekaza hatafanya hivyo blog yake haitashirikishwa
3. Unaweza kupendekeza blog katika vipengele vingi upedavyo lakini katika kila email unayotuma ni blog moja tu utaruhusiwa kuipendekeza kwa wakati mmoja
mfano: Kwenye subject unaandika jina la blog unayotaka kuipendekeza
tanzanianblogawards.blogspot.com
Kwenye body ya email unaandika vipengele unayotaka blog hiyo ishirikishwe
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
etc etc
4. Email iwe ni ya ukweli kama tukiwa tunataka kuwasiliana na wewe kuhusu link ya blog uliyopendekeza tuweze kufanya hivyo na tuma mapendekezo yako kwa hii hapa Email
nomination@bloggersassociationoftanzania.com au tanzanianblogawards@gmail.com
5. Mwanzo wa kupokea mapendekezo hayo ni
Tarehe 17/8/ 2013 saa 12:01am mpaka tarehe 30/8/2013 saa 11:59pm saa za Africa mashariki
Vipengele
Best Agriculture
Best Beauty/Fashion Blog
Best Business Blog
Best Creative Writing Blog
Best Design/Graphic Design Blog
Best Educational Blog
Best Entertainments
Best Food Blog
Best General Blog
Best Inspiration Blog
Best Newcomer Blog
Best News Blog
Best Photography Blog
Best Political Blog
Best Religion Blog
Best Sports Blog
Best Technology Blog
Best Tots Blog (17 yr old and below)
Best Travel Blogs
TAARIFA YA HARAKATI YA JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM TANZANIA KWA VYOMBO VYA KHABARI
Bismillar Rahmanir Rahiim JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM (T)
Jana asubuhi majira ya saa nne na nusu askari wa jeshi la Polisi na watu wanaoaminika kuwa usalama wa taifa walikwenda hospitali ya Muhimbili (MOI) na kumchukua Sheikh Ponda Issa Ponda. Juhudi za Sheikh Mwenyewe, mkewe na waislam waliokuwepo pale hospitali kutaka abaki hospitalini kuendelea na matibabu hazikuzaa matunda. Mpaka Sasa bado tunafuatilia kujua mahali Kiongozi huyo wa Kiislam alikopelekwa.
Tumepokea kwa masikitiko makubwa sana habari hizi na tunashindwa kuamini kama mambo haya yanaweza kufanywa na Serikali inayodai kutawala kwa kufuata utawala bora unaojali sheria, uadilifu, utu na uhuru wa kujieleza.
Kitendo cha kumpiga risasi Sheikh Ponda na kisha kumchukua toka hospitalini na kumpeleka Gerezani kwa kukiuka taratibu ni kinyume cha haki za binadamu, utawala bora na uhuru wa maisha ya mtu. Matibabu ni haki mojawapo kwa binadamu yoyote hata kama kuna wanaomtuhumu. Tuhuma juu ya mtu si sababu ya kukiuka taratibu, kuvunja sheria na hata kumtisha unayemtuhumu kwani njia hiyo haiwezi kutatua tatizo bali inalifanya kuwa kubwa zaidi.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam tunalaani kwa mara nyingine kitendo cha Polisi na Usalama wa Taifa kutenda vitendo vinavyoashiria uonevu kwa viongozi wa dini ya Kiislam na tunaitaka Serikali kutenda uadilifu kwa raia wake hata pale inapokuwa inaamini kuwa raia hao wanamakosa.
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu zinapinga kwa kauli moja tume iliyoundwa na jeshi la polisi kuchunguza unyama aliofanyiwa Sheikh Ponda na waislamu hawatatoa ushirikiano kwa tume hiyo ya jeshi la polisi.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam zinaitaka serikali kuunda tume huru itakayohusisha viongozi wa kiislamu wanaoaminika kwa ummah kuchunguza tukio la kupigwa risasi Sheikh Ponda Issa Ponda ili kujenga mustakbali mzuri wa amani ya Taifa letu.
Jumuiya na Taasisi za Kiislam hapa nchini zinaamini kuwa ufumbuzi wa suala la amani ya kweli na ya kudumu ya nchi yetu, upo katika kushughulikia madai ya msingi ya waislam dhidi ya Serikali ambayo ndio chanzo cha kupigwa risasi kwa Sheikh Ponda kwa kuyasema waziwazi, na si kwa kuwatesa, kuwadhalilisha na kuwaauwa Viongozi wa kiislam.
Kutokana na tukio hili Jumuiya na Taasisi za Kiislam zimeitisha mkutano wa dharura utaofanyika katika viwanja vya Nurul yakin siku ya Jumapili saa 9 alasili kutafakari kwa pamoja na hatimae kuchukua hatua za msingi zitazoleta tija ya kweli ili Viongozi wa Kiislam wasiendelee kudhalilishwa.
SHEIKH JUMA SAID ALLY
MWENYEKIT JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAM
16/08/2013
Sakaktaa la Madawa ya Kulevya. Waliochelewesha Mbwa wa Ukaguzi Uwanja wa Ndege Kufukuzwa kazi
Kufuatia matukio ya kukamatwa kwa dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, serikali imewafukuza kazi na itawafikisha mahakamani watumishi wake wa tano na askari polisi mmoja wa uwanjani,ambapo maofisa wa usalama wa taifa waliochelewesha kuwapeleka mbwa uwanjani hapo siku ya tarehe 05 July 2013 na Kupitisha kiasi kibubwa cha dawa za kulevya wanachunguzwa.
MKUTANO WA MAREKEBISHO YA KATIBA KWA WATANZANIA MAREKANI

Tume ya Mapendekezo ya katiba kwa watanzabia wanaoishi Marekani imeundwa ili kukusanyamaoni na mapendekezo kutoka kwa watanzania wore waishio nchini Marekani na Canada.
website www.katibatanzania.org
Baadhi ya Waumini wa Msikiti wa Mtambani Dar Wamemkamata Mmoja wa Askari wa Jeshi la Polisi na Kumshikilia kwa Muda Kabla ya Kumwachia kwa Masharti


Askari wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakizunguka kufanya doria maeneo mbalimbali ya jijini la Dar es Salaam jana kuhakikisha kuna amani.

Baadhi ya waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani wakiwa wamemzunguka askari Polisi, Jonathan Tossi (katikati aliyeshika kamera) wakimuhoji baada ya kumshikilia kwa muda, hata hivyo walimuachia kwa masharti ya kumtaka afute picha zote alizopiga eneo hilo.Picha kwa hisani ya Gazeti la Jambo LEO
BAADHI ya waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani Jijini Dar es Salaam jana wamemkamata mmoja wa askari wa Jeshi la Polisi na kumshikilia kwa muda kabla ya kumwachia kwa masharti kadhaa. Kwa mujibu wa chanzo cha habari hizi kimebainisha askari aliyekamatwa ni Jonathan Tossi ambaye anafanya kazi kitengo cha habari na uhusiano wa Jeshi la Polisi.
Askari huyo alijikuta akiingia kwenye mikono ya waumini hao alipokuwa akitekeleza majukumu yake (kazini) akipiga picha mtaani maeneo ya Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi zinasema baada ya waumini hao kumkamata askari huyo walimuhoji kwa muda kisha kutaka kitambulisho chake na kumuamuru afute picha zote alizokuwa akipiga eneo hilo ili wamuachilie kwa usalama wake.
“Kutokana na kuhofia usalama wake alikubaliana nao na kisha kufta picha zote alizopiga. Walimtaka pia aoneshe kitambulisho na kuhoji ni kwanini anapiga picha wakati yeye ni askari…baada ya kukubaliana na masharti hayo walimuachia,” kilisema chanzo chetu.
“Sisi wenyewe tunashangaa wapiga picha walikuwa wengi wa vyombo mbalimbali vya habari hatujui hawa walijuaje kwamba yule jamaa alikuwa askari na wakati alikuwa amevaa kiraia,” alisema shuhuda mmoja aliyekuwa eneo la tukio.
Leo mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam ulinzi na doria iliim*rishwa na Jeshi la Polisi ambapo magari na pikipiki za Polisi zikiwa na askari waliojiandaa kutuliza ghasia yalikuwa yakizunguka ikiwa ni kujiandaa kwa kukabiliana na vurugu zozote.
Mitaa kadhaa mwandishi wa mtandao huu alishuhudia askari walio na mabomu ya machozi, huku wakiwa wamevalia vifaa maalumu vya kujikinga na risasi wakizunguka kwenye magari yao maeneo mbalimbali likiwemo eneo la Msikiti wa Mtambani Kinondoni jijini Da rs Salaam. Hata hivyo hakuna taarifa za kutokea vurugu zozote.
Taarifa ambazo hazikuthibitishwa zinasema doria ya polisi ililazimika kufanywa baada za kuwepo na taarifa kuwa huenda wafuasi wa Shekhe Issa Ponda wangelifanya fujo kutokana na kutoridhishwa na hatua ya kukamatwa kwa kiongozi huyo kwa tuhuma kadhaa zinazomkabili.
Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, kuzungumzia kwa kina taarifa hizi hazikuzaa matuna. Hata hivyo Thehabari inaendelea kumtafuta kwa ufafanuzi zaidi wa tukio la kukamatwa kwa askari wao na kuachiwa.
Some Free Advice for the Ambassador of Bongo Bongo Land
Mr Bloom was filmed questioning the UK's overseas aid spending, claiming recipients spend it on luxuries (Photo: Rex Features)
In the row about MEP Godfrey Bloom's remarks over not giving aid to Bongo Bongo Land, one person has been conspicuously silent. Despite the slights that Mr Bloom has heaped upon his country, we still haven't heard from the Ambassador of Bongo Bongo Land. Was he not listening to Radio Four's Today programme when Mr Bloom offered to personally apologise to him if any offence had been caused? And if so, does Bongo Bongo Land's representative to the Court of St James's not have something to say in his country's defence?
My guess is that if Bongo Bongo Land's embassy is like that of many other African missions to London – the more chaotic of which I frequently have the misfortune of seeking visas from – he will either be unaware of the news entirely, or have sent Mr Bloom a strongly worded letter from a fax machine that hasn't worked since about 1987.
However, should His Excellency still be thinking of putting pen to paper, I'd like to suggest a few things for him to say by way of riposte. For I too find Mr Bloom's comments very worrying, although not in the way that he has been called on to apologise for. It says a lot about modern, liberal Britain that the fuss been largely about his use of the words "Bongo Bongo", rather than why he was using the phrase in the first place – namely, to advance a short-sighted, kneejerk argument that overseas aid money should be spent at home instead. For anyone who professes to care about Africa's future, it is what he was saying, not how he said it, that should be worrying.
The money Mr Bloom was referring to is the 0.7 per cent of GDP that David Cameron has pledged to ring-fence for overseas aid, a target that developed countries agreed upon decades ago, but which so only a few Scandinavian nations have reached. It's an honourable enough aim, and in committing his government to it, Mr Cameron also made the point that the Left does not have a monopoly on caring about what happens in the Third World.
In the age of austerity, a growing number of voices on the Right, including many more moderate than Mr Bloom, have queried this spending. Yet to argue that it should be cut just because times are now slightly harder in Britain shows an utter lack of perspective. It is not just that it is less than a penny in every pound. The whole idea is that it is a fixed – and relatively forgettable – sum, set aside irrespective of the fluctuations of our own economy. No one is arguing it should go up in good times. In the same way, it shouldn't go down when times are hard.
And let's be honest, hard times in Britain are not that hard compared to hard times in Bongo Bongo Land. Yes, an extra 0.7 per cent chucked into our bottomless health service budget might mean slighter shorter waiting lists here or there, and slightly fewer gripes about our "Third World Health Service". The fact is, though, that in much of the Third World, there isn't really a Health Service at all, only private. If you fall seriously ill in Bongo Bongo Land, you either pay for decent treatment yourself or you get nothing. Aid can help change that. Just as it can deliver improvements in schooling, policing and many other areas of life. Especially when one is starting from such a low base.
If you don't buy my argument on it, try buying Aid and Other Dirty Business, a highly-readable account of how the aid world works (and where it doesn't). The author, Giles Bolton, spent a number of years for Dfid in Rwanda, but he is no muesli-grazing yoghurt weaver, and pulls no punches when criticising his own profession. Those who despise aid workers, for example, will appreciate his criticisms of colleagues who stay in five star hotels while claiming hardship allowances.
Bolton gives some useful facts and figures about what aid works and why. Charitable causes like Oxfam and Live Aid may have the profile, but the vast bulk of overseas aid is actually governmental aid, either via the likes of DFID, or given by HMG via contributions to the UN and World Bank. This, Bolton points out, is the cash that really makes a difference, knocking points off mortality rates and development indexes over the course of a single decade. Not just because there is more of it, but because it comes in relatively steady chunks, allowing recipient countries to do some reasonable planning.
Yes, it may be very "big government". And no, it doesn't say much for Cameron's Big Society love-in with small, independent charitable initiatives, such, indeed, as the Tories' own project Project Umubano in Rwanda. But charities are there to fill in gaps, not build a country from scratch. And welcome though they are, having thousands of different ones working in a single country can easily overwhelm a government's ability to co-ordinate them, especially when there are only one or two government officials competent enough to assess what is needed.
Where Bolton is most illuminating, though, is on the issue of corruption. Or, as Mr Bloom puts it, the risk of taxpayers' cash being siphoned off to fund "Ray-Ban sunglasses, apartments in Paris, Ferraris and all the rest of it". These days, thankfully, that is not quite the problem it used to be. Aid is much more closely audited, and the era of the Cold War dictator who would be unquestioningly bankrolled by either East or West are over. But happen it still does. Money is also squandered through aid bureaucracy, duplication, sheer incompetence and other factors that would not get a lot of laughs were they aired on Comic Relief Night. Indeed, according to Bolton, on average only 50 per cent of Dfid's own aid was effective – ie actually going directly to the people or causes it was supposed to be benefiting. And Dfid are supposed to be one of the most efficient.
But rather than agonising over this, Bolton argues that we should simply accept this as part of the difficulties of working in such parts of the world. "Though there must be maximum effort to minimise corruption, it's a reality that must be accepted," he writes. "If African systems were so positively efficient, they doubtless wouldn't need anyone else's help."
This kind of candour, however, is difficult for British politicians to adopt, austerity or not. MPs fall over themselves to say how familiar they are with life's grim realities, but only as much as it concerns low-income workers, struggling nurses, hard-pressed families or whoever. Making a reasoned, far-sighted argument that corruption and waste are just "realities" we have to live with isn't easy, especially when it comes to sending taxpayers' cash abroad. But perhaps we should. And if our own politicians can't do it, perhaps it's a job for our ambassador friend in his letter to Mr Bloom. After all, it's him that stands to lose. Even if he might be confirming some of our worst fears about life in Bongo Bongo Land.
By Colin Freeman
Colin Freeman is the Chief Foreign Correspondent for the Sunday Telegraph. His latest book is Kidnapped: life as a hostage on Somalia's pirate coast.
Colin Freeman is the Chief Foreign Correspondent for the Sunday Telegraph. His latest book is Kidnapped: life as a hostage on Somalia's pirate coast.
Subscribe to:
Posts (Atom)