Pages

Lady Jaydee - Yahaya Official Video

Sakaktaa la Madawa ya Kulevya. Waliochelewesha Mbwa wa Ukaguzi Uwanja wa Ndege Kufukuzwa kazi

Kufuatia matukio ya kukamatwa kwa dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, serikali imewafukuza kazi na itawafikisha mahakamani watumishi wake wa tano na askari polisi mmoja wa uwanjani,ambapo maofisa wa usalama wa taifa waliochelewesha kuwapeleka mbwa uwanjani hapo siku ya tarehe 05 July 2013 na Kupitisha kiasi kibubwa cha dawa za kulevya wanachunguzwa.

MKUTANO WA MAREKEBISHO YA KATIBA KWA WATANZANIA MAREKANI

Marekani na Canada
Tume ya Mapendekezo ya katiba kwa watanzabia wanaoishi Marekani imeundwa ili kukusanyamaoni na mapendekezo kutoka kwa watanzania wore waishio nchini Marekani na Canada.
website www.katibatanzania.org

Baadhi ya Waumini wa Msikiti wa Mtambani Dar Wamemkamata Mmoja wa Askari wa Jeshi la Polisi na Kumshikilia kwa Muda Kabla ya Kumwachia kwa Masharti

Askari wa Jeshi la Polisi  Askari Polisi wakizunguka doria eneo la Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam Jana kuhakikisha kuna amani.
Askari wa Jeshi la Polisi
Askari wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wakizunguka kufanya doria maeneo mbalimbali ya jijini la Dar es Salaam jana kuhakikisha kuna amani.
Msikiti wa Mtambani
Baadhi ya waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani wakiwa wamemzunguka askari Polisi, Jonathan Tossi (katikati aliyeshika kamera) wakimuhoji baada ya kumshikilia kwa muda, hata hivyo walimuachia kwa masharti ya kumtaka afute picha zote alizopiga eneo hilo.Picha kwa hisani ya Gazeti la Jambo LEO
  BAADHI ya waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani Jijini Dar es Salaam jana wamemkamata mmoja wa askari wa Jeshi la Polisi na kumshikilia kwa muda kabla ya kumwachia kwa masharti kadhaa. Kwa mujibu wa chanzo cha habari hizi kimebainisha askari aliyekamatwa ni Jonathan Tossi ambaye anafanya kazi kitengo cha habari na uhusiano wa Jeshi la Polisi.

Askari huyo alijikuta akiingia kwenye mikono ya waumini hao alipokuwa akitekeleza majukumu yake (kazini) akipiga picha mtaani maeneo ya Msikiti wa Mtambani jijini Dar es Salaam. Taarifa zaidi zinasema baada ya waumini hao kumkamata askari huyo walimuhoji kwa muda kisha kutaka kitambulisho chake na kumuamuru afute picha zote alizokuwa akipiga eneo hilo ili wamuachilie kwa usalama wake.
“Kutokana na kuhofia usalama wake alikubaliana nao na kisha kufta picha zote alizopiga. Walimtaka pia aoneshe kitambulisho na kuhoji ni kwanini anapiga picha wakati yeye ni askari…baada ya kukubaliana na masharti hayo walimuachia,” kilisema chanzo chetu.
“Sisi wenyewe tunashangaa wapiga picha walikuwa wengi wa vyombo mbalimbali vya habari hatujui hawa walijuaje kwamba yule jamaa alikuwa askari na wakati alikuwa amevaa kiraia,” alisema shuhuda mmoja aliyekuwa eneo la tukio.

Leo mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam ulinzi na doria iliim*rishwa na Jeshi la Polisi ambapo magari na pikipiki za Polisi zikiwa na askari waliojiandaa kutuliza ghasia yalikuwa yakizunguka ikiwa ni kujiandaa kwa kukabiliana na vurugu zozote.

Mitaa kadhaa mwandishi wa mtandao huu alishuhudia askari walio na mabomu ya machozi, huku wakiwa wamevalia vifaa maalumu vya kujikinga na risasi wakizunguka kwenye magari yao maeneo mbalimbali likiwemo eneo la Msikiti wa Mtambani Kinondoni jijini Da rs Salaam. Hata hivyo hakuna taarifa za kutokea vurugu zozote.

Taarifa ambazo hazikuthibitishwa zinasema doria ya polisi ililazimika kufanywa baada za kuwepo na taarifa kuwa huenda wafuasi wa Shekhe Issa Ponda wangelifanya fujo kutokana na kutoridhishwa na hatua ya kukamatwa kwa kiongozi huyo kwa tuhuma kadhaa zinazomkabili.

Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, kuzungumzia kwa kina taarifa hizi hazikuzaa matuna. Hata hivyo Thehabari inaendelea kumtafuta kwa ufafanuzi zaidi wa tukio la kukamatwa kwa askari wao na kuachiwa.

Some Free Advice for the Ambassador of Bongo Bongo Land

Bongo Bongo Land
Mr Bloom was filmed questioning the UK's overseas aid spending, claiming recipients spend it on luxuries (Photo: Rex Features)

In the row about MEP Godfrey Bloom's remarks over not giving aid to Bongo Bongo Land, one person has been conspicuously silent. Despite the slights that Mr Bloom has heaped upon his country, we still haven't heard from the Ambassador of Bongo Bongo Land. Was he not listening to Radio Four's Today programme when Mr Bloom offered to personally apologise to him if any offence had been caused? And if so, does Bongo Bongo Land's representative to the Court of St James's not have something to say in his country's defence?

My guess is that if Bongo Bongo Land's embassy is like that of many other African missions to London – the more chaotic of which I frequently have the misfortune of seeking visas from – he will either be unaware of the news entirely, or have sent Mr Bloom a strongly worded letter from a fax machine that hasn't worked since about 1987.

However, should His Excellency still be thinking of putting pen to paper, I'd like to suggest a few things for him to say by way of riposte. For I too find Mr Bloom's comments very worrying, although not in the way that he has been called on to apologise for. It says a lot about modern, liberal Britain that the fuss been largely about his use of the words "Bongo Bongo", rather than why he was using the phrase in the first place – namely, to advance a short-sighted, kneejerk argument that overseas aid money should be spent at home instead. For anyone who professes to care about Africa's future, it is what he was saying, not how he said it, that should be worrying.

The money Mr Bloom was referring to is the 0.7 per cent of GDP that David Cameron has pledged to ring-fence for overseas aid, a target that developed countries agreed upon decades ago, but which so only a few Scandinavian nations have reached. It's an honourable enough aim, and in committing his government to it, Mr Cameron also made the point that the Left does not have a monopoly on caring about what happens in the Third World.

In the age of austerity, a growing number of voices on the Right, including many more moderate than Mr Bloom, have queried this spending. Yet to argue that it should be cut just because times are now slightly harder in Britain shows an utter lack of perspective. It is not just that it is less than a penny in every pound. The whole idea is that it is a fixed – and relatively forgettable – sum, set aside irrespective of the fluctuations of our own economy. No one is arguing it should go up in good times. In the same way, it shouldn't go down when times are hard.

And let's be honest, hard times in Britain are not that hard compared to hard times in Bongo Bongo Land. Yes, an extra 0.7 per cent chucked into our bottomless health service budget might mean slighter shorter waiting lists here or there, and slightly fewer gripes about our "Third World Health Service". The fact is, though, that in much of the Third World, there isn't really a Health Service at all, only private. If you fall seriously ill in Bongo Bongo Land, you either pay for decent treatment yourself or you get nothing. Aid can help change that. Just as it can deliver improvements in schooling, policing and many other areas of life. Especially when one is starting from such a low base.

If you don't buy my argument on it, try buying Aid and Other Dirty Business, a highly-readable account of how the aid world works (and where it doesn't). The author, Giles Bolton, spent a number of years for Dfid in Rwanda, but he is no muesli-grazing yoghurt weaver, and pulls no punches when criticising his own profession. Those who despise aid workers, for example, will appreciate his criticisms of colleagues who stay in five star hotels while claiming hardship allowances.

Bolton gives some useful facts and figures about what aid works and why. Charitable causes like Oxfam and Live Aid may have the profile, but the vast bulk of overseas aid is actually governmental aid, either via the likes of DFID, or given by HMG via contributions to the UN and World Bank. This, Bolton points out, is the cash that really makes a difference, knocking points off mortality rates and development indexes over the course of a single decade. Not just because there is more of it, but because it comes in relatively steady chunks, allowing recipient countries to do some reasonable planning.

Yes, it may be very "big government". And no, it doesn't say much for Cameron's Big Society love-in with small, independent charitable initiatives, such, indeed, as the Tories' own project Project Umubano in Rwanda. But charities are there to fill in gaps, not build a country from scratch. And welcome though they are, having thousands of different ones working in a single country can easily overwhelm a government's ability to co-ordinate them, especially when there are only one or two government officials competent enough to assess what is needed.

Where Bolton is most illuminating, though, is on the issue of corruption. Or, as Mr Bloom puts it, the risk of taxpayers' cash being siphoned off to fund "Ray-Ban sunglasses, apartments in Paris, Ferraris and all the rest of it". These days, thankfully, that is not quite the problem it used to be. Aid is much more closely audited, and the era of the Cold War dictator who would be unquestioningly bankrolled by either East or West are over. But happen it still does. Money is also squandered through aid bureaucracy, duplication, sheer incompetence and other factors that would not get a lot of laughs were they aired on Comic Relief Night. Indeed, according to Bolton, on average only 50 per cent of Dfid's own aid was effective – ie actually going directly to the people or causes it was supposed to be benefiting. And Dfid are supposed to be one of the most efficient.

But rather than agonising over this, Bolton argues that we should simply accept this as part of the difficulties of working in such parts of the world. "Though there must be maximum effort to minimise corruption, it's a reality that must be accepted," he writes. "If African systems were so positively efficient, they doubtless wouldn't need anyone else's help."
Bongo Bongo Land
This kind of candour, however, is difficult for British politicians to adopt, austerity or not. MPs fall over themselves to say how familiar they are with life's grim realities, but only as much as it concerns low-income workers, struggling nurses, hard-pressed families or whoever. Making a reasoned, far-sighted argument that corruption and waste are just "realities" we have to live with isn't easy, especially when it comes to sending taxpayers' cash abroad. But perhaps we should. And if our own politicians can't do it, perhaps it's a job for our ambassador friend in his letter to Mr Bloom. After all, it's him that stands to lose. Even if he might be confirming some of our worst fears about life in Bongo Bongo Land.
By Colin Freeman
Colin Freeman is the Chief Foreign Correspondent for the Sunday Telegraph. His latest book is Kidnapped: life as a hostage on Somalia's pirate coast

SOMA MAHOJIANO MAALUMU NA SHEIKH PONDA

Sheikh Ponda akiwa Muhimbili (MOI
Sheikh Ponda akiwa hospitali Muhimbili (MOI)

SWALI: Je, watu waliokupa huduma ya kwanza mara baada ya kujeruhiwa walikuta risasi iliyokujeruhi?
JIBU: Nilipigwa risasi kwa nyuma ikatokea mbele kwa hiyo haikubaki mwilini wala haikuonekana ilipoangukia kwa wakati huo maana kulikuwa na purukushani.

SWALI: Ulipata wapi huduma ya kwanza?

JIBU: Kwa kweli kwa sasa siwezi kukumbuka nilihudumiwa wapi kwa sababu mara baada ya kujeruhiwa sikuwa katika hali yangu ya kawaida, nilichanganyikiwa.

SWALI: Utathibitisha vipi kama ulipigwa risasi?

JIBU: Bahati nzuri ni kwamba tukio hili lilitokea kweupe wapo wengi walioshuhudia, kwa hiyo wanaweza kusaidia kuthibitisha na ushahidi mwingine ni jeraha hili.

SWALI: Nini msimamo wako baada ya tukio?

JIBU: Nitaendelea kuzungumzia haki za Waislamu na siwezi kurudi nyuma. Pamoja na kwamba wananiona mimi ni mtu mchochezi lakini wanaeneza chuki dhidi yangu kwa njia wanazojua wao. Nitaendelea, risasi haitaninyamazisha.

SWALI: Umehusishwa kufanya uchochezi Zanzibar, unalizungumzia vipi hilo?

JIBU: Zanzibar nilichozungumza ni kuhusu kesi dhidi ya viongozi wa Kundi la Uamsho. Watu wamewekwa ndani kwa miezi tisa sasa, kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, kesi wanayoshtakiwa ina dhamana, sasa nikauliza kwa hao viongozi, kwa nini hawazingatii sheria? Kesi zina muda mrefu hazitolewi uamuzi, nikawasisitiza wazingatie misingi ya sheria kwa kuwa hivyo wanavyowatendea wananchi wajue kwamba hawastahili kupewa tena ridhaa ya kuongoza nchi, nilifikisha ujumbe wangu.

SWALI: Kuna tukio la kumwagiwa tindikali mabinti wawili wa Uingereza lililotokea Zanzibar, ambalo wewe pia unahusishwa, hili unalizungumziaje?

JIBU: Sijaona huo ushahidi ambao wanahangaika kunihusisha na tukio hilo, nahusishwa vipi? Matukio ya kumwagiwa tindikali yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara huko kabla sijakwenda kuhutubia. Vyombo vya dola vifanye kazi yake vyema ili kubaini ukweli wa jambo hili.

Pia Mwananchi ilizungumza na mke wake, Sheikh Ponda, Hadija Ahmad ambaye alikuwa ameketi pembeni ya kitanda alicholazwa mumewe.

SWALI: Unazungumziaje tukio hili la kujeruhiwa kwa mumeo?

JIBU: Hili ni dhumuni la Serikali, lililenga moja kwa moja kumdhuru ili kunyamazisha harakati zake za kutetea wanyonge. Ni tukio la kupangwa, halijatokea bahati mbaya. Serikali inamfuatilia sana hivyo ililenga kumnyamazisha.

Namshauri Rais (Jakaya Kikwete), kuhakikisha kwamba haki za wanyonge zinawafikia, asije akafikiri hili lililotokea kwa Sheikh Ponda ni suluhisho, ni vyema kufanya mazungumzo ili kuweka mabadiliko.

ALIVYOWAPONYOKA POLISI
Mtu wa karibu wa Sheikh Ponda alisimulia jinsi walivyomsafisha kiongozi huyo kutoka Morogoro hadi Dar es Salaam na kukwepa vizuizi vya polisi ambao walikuwa wakiendelea kumsaka.

“Msafara ulikuwa na magari mawili. Moja lilitumika kwa uangalizi, lingine lilimbeba Sheikh Ponda. Tulipofika Chalinze tulikuta kizuizi tukakikwepa kwa kupitia Msata kisha Bagamoyo hadi Dar es Salaam na kumfikisha Muhimbili,” alisema.

WAIGOMEA POLISI
Msemaji wa familia ya Sheikh huyo, Isihaka Rashid alisema hawaitambui tume iliyoundwa na polisi kwa kuwa jeshi hilo ndilo linalotuhumiwa.

“Tunachofanya hivi sasa ni kukusanya ushahidi wetu, kwa bahati nzuri tayari tumepata mkanda wa tukio lenyewe ambao utatuwezesha kumbaini aliyemshambulia Sheikh Ponda.

“Hatuwezi kuhitaji majibu ya hiyo tume yao na hata leo kuna maofisa wa polisi kutoka Makao Makuu na Kituo cha Kati, Dar es Salaam walifika wakitaka kumhoji eti kuhusu uchochezi lakini alikataa kuzungumza hadi mwanasheria wake awepo, wakaondoka,” alisema Rashid.
MWANANCHI

Kala Jeremiah ft Mary Lucos -Jaribu Kujiuliza (Audio)

Kala Jeremiah ft Mary Lucos -Jaribu Kujiuliza

Saigon -Rudia Official video

The Session - Mona Gangsta HD