Pages

SOMA MAHOJIANO MAALUMU NA SHEIKH PONDA

Sheikh Ponda akiwa Muhimbili (MOI
Sheikh Ponda akiwa hospitali Muhimbili (MOI)

SWALI: Je, watu waliokupa huduma ya kwanza mara baada ya kujeruhiwa walikuta risasi iliyokujeruhi?
JIBU: Nilipigwa risasi kwa nyuma ikatokea mbele kwa hiyo haikubaki mwilini wala haikuonekana ilipoangukia kwa wakati huo maana kulikuwa na purukushani.

SWALI: Ulipata wapi huduma ya kwanza?

JIBU: Kwa kweli kwa sasa siwezi kukumbuka nilihudumiwa wapi kwa sababu mara baada ya kujeruhiwa sikuwa katika hali yangu ya kawaida, nilichanganyikiwa.

SWALI: Utathibitisha vipi kama ulipigwa risasi?

JIBU: Bahati nzuri ni kwamba tukio hili lilitokea kweupe wapo wengi walioshuhudia, kwa hiyo wanaweza kusaidia kuthibitisha na ushahidi mwingine ni jeraha hili.

SWALI: Nini msimamo wako baada ya tukio?

JIBU: Nitaendelea kuzungumzia haki za Waislamu na siwezi kurudi nyuma. Pamoja na kwamba wananiona mimi ni mtu mchochezi lakini wanaeneza chuki dhidi yangu kwa njia wanazojua wao. Nitaendelea, risasi haitaninyamazisha.

SWALI: Umehusishwa kufanya uchochezi Zanzibar, unalizungumzia vipi hilo?

JIBU: Zanzibar nilichozungumza ni kuhusu kesi dhidi ya viongozi wa Kundi la Uamsho. Watu wamewekwa ndani kwa miezi tisa sasa, kwa mujibu wa sheria za nchi yetu, kesi wanayoshtakiwa ina dhamana, sasa nikauliza kwa hao viongozi, kwa nini hawazingatii sheria? Kesi zina muda mrefu hazitolewi uamuzi, nikawasisitiza wazingatie misingi ya sheria kwa kuwa hivyo wanavyowatendea wananchi wajue kwamba hawastahili kupewa tena ridhaa ya kuongoza nchi, nilifikisha ujumbe wangu.

SWALI: Kuna tukio la kumwagiwa tindikali mabinti wawili wa Uingereza lililotokea Zanzibar, ambalo wewe pia unahusishwa, hili unalizungumziaje?

JIBU: Sijaona huo ushahidi ambao wanahangaika kunihusisha na tukio hilo, nahusishwa vipi? Matukio ya kumwagiwa tindikali yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara huko kabla sijakwenda kuhutubia. Vyombo vya dola vifanye kazi yake vyema ili kubaini ukweli wa jambo hili.

Pia Mwananchi ilizungumza na mke wake, Sheikh Ponda, Hadija Ahmad ambaye alikuwa ameketi pembeni ya kitanda alicholazwa mumewe.

SWALI: Unazungumziaje tukio hili la kujeruhiwa kwa mumeo?

JIBU: Hili ni dhumuni la Serikali, lililenga moja kwa moja kumdhuru ili kunyamazisha harakati zake za kutetea wanyonge. Ni tukio la kupangwa, halijatokea bahati mbaya. Serikali inamfuatilia sana hivyo ililenga kumnyamazisha.

Namshauri Rais (Jakaya Kikwete), kuhakikisha kwamba haki za wanyonge zinawafikia, asije akafikiri hili lililotokea kwa Sheikh Ponda ni suluhisho, ni vyema kufanya mazungumzo ili kuweka mabadiliko.

ALIVYOWAPONYOKA POLISI
Mtu wa karibu wa Sheikh Ponda alisimulia jinsi walivyomsafisha kiongozi huyo kutoka Morogoro hadi Dar es Salaam na kukwepa vizuizi vya polisi ambao walikuwa wakiendelea kumsaka.

“Msafara ulikuwa na magari mawili. Moja lilitumika kwa uangalizi, lingine lilimbeba Sheikh Ponda. Tulipofika Chalinze tulikuta kizuizi tukakikwepa kwa kupitia Msata kisha Bagamoyo hadi Dar es Salaam na kumfikisha Muhimbili,” alisema.

WAIGOMEA POLISI
Msemaji wa familia ya Sheikh huyo, Isihaka Rashid alisema hawaitambui tume iliyoundwa na polisi kwa kuwa jeshi hilo ndilo linalotuhumiwa.

“Tunachofanya hivi sasa ni kukusanya ushahidi wetu, kwa bahati nzuri tayari tumepata mkanda wa tukio lenyewe ambao utatuwezesha kumbaini aliyemshambulia Sheikh Ponda.

“Hatuwezi kuhitaji majibu ya hiyo tume yao na hata leo kuna maofisa wa polisi kutoka Makao Makuu na Kituo cha Kati, Dar es Salaam walifika wakitaka kumhoji eti kuhusu uchochezi lakini alikataa kuzungumza hadi mwanasheria wake awepo, wakaondoka,” alisema Rashid.
MWANANCHI

Kala Jeremiah ft Mary Lucos -Jaribu Kujiuliza (Audio)

Kala Jeremiah ft Mary Lucos -Jaribu Kujiuliza

Saigon -Rudia Official video

The Session - Mona Gangsta HD

Video ya Kama Zamani -MwanaFA ft. Kilimanjaro Band, Mandojo & Domoka

Wahamiaji Haramu 8509 Warejea Makwao..

Rwanda, Burundi na UgandaJumla ya wahamiaji haramu 8509 kutoka nchi za Rwanda, Burundi na Uganda wameondoka nchini kwa hiari yao baada ya agizo la Mh. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete lilitolewa hivi karibuni akiwa ziarani mkoani Kagera.

Wahamiaji hao haramu wametoka katika mikoa ya Kagera, Geita na Kigoma.
Kati ya hao wahamiaji haramu 5521 wamerudi nchini Rwanda, 2744 wamerejea kwao nchini Burundi na 244 warejea kwao nchini Uganda. Katika zoezi hilo siraha zipatazo 60 zimerejeshwa kwa hiari zikiwemo siraha aina ya SMG na Magobole.
Aidha, zoezi hilo la kuwarejesha wahamiaji haramu limekwenda sanjari na urejeshaji wa mali na mizigo ikiwemo jumla ya mifugo 1996 iliyorejeshwa katika nchi za Rwanda, Burundi na Uganda.
Serikali inapenda kusisisitiza kwamba imefurahishwa sana na ushirikiano iliyouliopata kutoka nchi za Rwanda, Burundi na Uganda hasa katika kuwapokea wahamiaji hao haramu na kushirikiana na Tanzania katika zoezi hilo.
Aidha , katika zoezi hilo idadi ya wahamiaji haramu waliondoka ni kwa hiari na Serikali inawasihi wahamiaji haramu ambao bado wako nchini kuondoka haraka iwezekanavyo kabla ya hatua ya kuwaondoa kwa nguvu hazijaanza.
Zoezi la kurejea kwa wahamiaji haramu ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete, alipotoa siku 14 kwa wahamiaji kuondoka nchini kwa hiari ndani ya kipindi hicho.
Imetolewa na Idara ya Habari(MAELEZO)

JAY Z RESOLVES DISPUTE WITH CO-FOUNDER ...DAME DASH.

Jay-Z ,Dame Dash
Jay-Z and former business partner Dame Dash attended an event and were photo’d together. The two attended a birthday party and had a moment that is worth a thousand words. After building a hip hop empire (Roc-a-Fella Records) the once best friends grew apart and haven’t had any relationship or really seen one another since they parted ways. Until now.
But, is the beef really over?

How do you build something so great with someone and never speak to them again? Well according to Dame from previous interviews, Jay basically took his position from him. Shortly after Dame fell upon hard financial times and then we rarely even saw the once flashy fellow. Here is what Dame said in a past interview:
“The people that I was helping, once they realized their dreams, they did what a criminal would do. They stabbed you in the back. Think about the frustration of building a brand for years that should be taking care of your family, and then the person that was the closest to you saying, ‘Nah, you can’t have no parts of it,’ and flushing it.”
Wow! That is harsh Jay. But, we all know Jay don’t play about his money, he is a hustler baby. He will sell water to a well. But, to say adios to your good friend only points to one thing; Illuminati. Guess Dame really wasn’t Illuminati material. Lol. Just kidding, but I am a huge Roc-a-fella fan. The old Roc with Beanie, Bleek, Damn, Freeway, the chick Jay was banging back in the day (Whatever her name was).
I really think Jay doesn’t think he owes those people anything, but he does. They were his crew and the ROC solid foundation of the Roc-a-fella brand before he main streamed into what we now know as Roc Nation. Don’t get it twisted business first, but don’t forget where you came from Jay.
Jay-Z ,Dame Dash

Homeless Jackpot Prank

Bruce Willis Sky Broadband Ad Banned

A TV ad for Sky Broadband which starred Bruce Willis has been banned by the Advertising Standards Authority for using misleading small print.
The 'Die Hard' star blustered into an office complaining - that's not like Bruce - about the cost of his internet connection. The ad has now been banned from broadcast in its current form
An employee then informs Willis that 'You could try Sky Broadband, it's totally unlimited… Sky Broadband Unlimited is £7.50 a month, which is less than half BT's standard price'.
But later in the ad it's revealed that you actually need to spend £14.50 with the company's Sky Talk and line rental package to get the deal.
This was written in small print on the screen, but only for 15 seconds during the ad, and not the whole way through.
A viewer made a complaint about the ad, which the ASA has upheld, though Sky has said that it believes the terms were made clear. “We considered that the minimum monthly price of both Sky TV and line rental should have been clearly communicated together with the £7.50 price claim,” it said.
It's just one thing after another for Willis at the moment.
 He was recently axed from 'The Expendables 3' for reportedly demanding a million dollars a day.

Eminem Ft Liz Rodrigues - Survival (Audio)