NAIROBI, Kenya Aug 7 – Operations were grounded at Kenya’s main airport, JKIA on Wednesday following a major fire that broke out at dawn, authorities said, adding flights were being diverted to other airports.
“There is a serious fire at JKIA, but we are doing everything possible to avert a crisis,” Interior and Coordination of National Government Principal Secretary Mutea Iringo said.
Zakaathul-Fitr By Dr Muhammad Salah
"Fiqh of Zakah" series # 15; "Zakatul-Fitr" with Dr Muhammad Salah
Mnigeria Akamatwa na Kadi za ATM 30 na Cheque 8.
Wanigeria wanasifika kwa music,movie,mchezo hadi kutunza mila zao. Lakini upande mwingine pia kuna sifa mbaya sana za mambo ya kihalifu ambayo hufanywa na watu wa hapohapo Nigeria. Kuna habari zilitoka na kuthibitishwa kuhusu kupatikana kwa vichwa vya binadamu kwenye hotel moja huko Nigeria na baadaye polisi kumshikilia mmiliki wa hotel hiyo.
Hivi sasa kijana mmoja ambaye alitambulika kwa jina la Kingsley Mudi, alikamatwa na kadi za ATM 30 za benki tofauti ambazo hadi anakamatwa alikuwa ameshatoa zaidi ya Naila 550, 000 ambazo ni zaidi ya millioni 5 za kitanzania na alikuwa anaendelea kutoa. Unaambiwa pia alikuwa na cheque 8 za UBA Bank zilizokuwa simewekwa sign tayari kwa kutoa pesa. Jamaa kakamatwa na polisi hivi sasa na wizi wa aina hii umeshawahi kutokea hapa Tanzania. Sema ATM kadi 30 jamaa amezidisha sana.

Hivi sasa kijana mmoja ambaye alitambulika kwa jina la Kingsley Mudi, alikamatwa na kadi za ATM 30 za benki tofauti ambazo hadi anakamatwa alikuwa ameshatoa zaidi ya Naila 550, 000 ambazo ni zaidi ya millioni 5 za kitanzania na alikuwa anaendelea kutoa. Unaambiwa pia alikuwa na cheque 8 za UBA Bank zilizokuwa simewekwa sign tayari kwa kutoa pesa. Jamaa kakamatwa na polisi hivi sasa na wizi wa aina hii umeshawahi kutokea hapa Tanzania. Sema ATM kadi 30 jamaa amezidisha sana.
Life Goes on -Mo Plus,Chibo,Kallah Jeremiah,G Nako,Chaba,Ibra,Ordinally,TDX,Jordan -Video
LIFE GOES ON...
Some of Tanzania's finest musicians in this collabo produced at Grandmaster Records by John B. Arusha Tanzania. www.grandrecs.com, Video By Masebo Wema of Goodnation FX
Some of Tanzania's finest musicians in this collabo produced at Grandmaster Records by John B. Arusha Tanzania. www.grandrecs.com, Video By Masebo Wema of Goodnation FX
Tanzania Jump Rope Team Shows President Kikwete How Its Done
Tanzania's President Jakaya Kikwete views a demonstration by the Tanzania Jump Rope team that took part in the World Championship in Orlando in July 2013 during which 14-year-old Hamisi Mohamed grabbed the Youth world championship and made the President and Tanzanians proud. This was on July 3, 2013 at the State House in Dar es salaam
Mobile App Lets You Open Your House Door Using Your PHONE
And you don't even need to take it out of your pocket
Is this the end of the house key?-Kwikset Kevo app securely stores electronic keys for multiple door locks
-Doors can be wirelessly unlocked over Bluetooth using a phone or tablet
-Electronic keys can be sent to friends and family to grant remote access
-Package also comes with a fob for children who don't have smartphones
MUALIKO WA SHEREHE ZA EID NEW YORK AUG 10, 2013
Kamati Maalum ya Maandalizi ya Sherehe ya Eid inawaalika wote ?kusherehekea kumalizika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Eid El-Fitr) ?itakayofanyika katika viwanja vya makazi ya zamani ya Ubalozi.
30 Overhill Road,Mount
Vernon,New York.
August 10th, 2013,?Saturday 2pm
Watanzania wa dini zote mnaalikwa kuhudhuria sherehe hizi ili tuendeleze tamaduni zetu za ushirikiano.Maandalizi yamekamilika na waalikwa hawahitajika kuleta chochote katika sherehe hii.
Kwa maelekezo zaidi wasiliana na Mwenyekiti kamati ya maandalizi Maalim Seif...614 772 2649
Wajumbe:
Shabani Mseba 347 712 8539
Tahir Bilal 917 335 5132
Mubarak Mandia 347 245 8795
Ally Abubakar 713 504 2410
Hamza Mandia 347 314 4255
Asya Mwilima 718 288 8895
Ahsante na Karibuni. Eid Mubarak!
Subscribe to:
Posts (Atom)