Pages

World’s Most 4 Scariest Water Parks

Beach Park (Fortaleza, Brazil
Beach Park (Fortaleza, Brazil) | Around 700,000 people visit Beach Park every year. It covers 42 acres, making it the largest water park in Latin America.

Caribbean Bay (Gyeonggi-do, South Korea) | Home to the world’s longest lazy river water ride, Caribbean Bay was South Korea’s first water park. It has an outdoor wave pool measuring 426 feet (130 meters).
WaterWorld Waterpark (Ayia Napa, Cyprus
WaterWorld Waterpark (Ayia Napa, Cyprus) | Inspired by Mount Olympus, the thrill rides at WaterWorld Waterpark include tube slides, whirlpool rides and a wave pool. Other attractions include a fish spa and go-kart track.
Yas Waterworld (Abu Dhabi, UAE
Yas Waterworld (Abu Dhabi, UAE) | This was the first water park in the Middle East to be awarded a green sustainability rating. It’s adjacent to Ferrari World Abu Dhabi and the Yas Marina Circuit. It has the world’s first hydro-magnetic-powered water slide.
CNN

INTERPOL Issues Global Security Alert, Increased Vigilance for Terrorist Activity

INTERPOL
03 August 2013 - Media release
INTERPOL issues global security alert advising increased vigilance for terrorist activityLYON, France – Following a series of prison escapes across nine INTERPOL member countries in the past month alone, including in Iraq, Libya and Pakistan, the INTERPOL General Secretariat headquarters has issued a global security alert advising increased vigilance.

With suspected Al Qaeda involvement in several of the breakouts which led to the escape of hundreds of terrorists and other criminals, the INTERPOL alert requests the Organization’s 190 member countries’ assistance in order to determine whether any of these recent events are coordinated or linked.

INTERPOL is asking its member countries to closely follow and swiftly process any information linked to these events and the escaped prisoners. They are also requested to alert the relevant member country and INTERPOL General Secretariat headquarters if any escaped terrorist is located or intelligence developed which could help prevent another terrorist attack.

Staff at INTERPOL’s 24-hour Command and Coordination Centre and other specialized units are also prioritizing all information and intelligence in relation to the breakouts or terrorist plots in order to immediately inform relevant member countries of any updates.

August is the anniversary of violent terrorist incidents in Mumbai, India and Gluboky, Russia as well as in Jakarta, Indonesia. This week also marks the 15th anniversary of the US Embassy bombings in Nairobi, Kenya and Dar es Salaam, Tanzania in which more than 200 mostly African citizens were killed and 4,000 others injured.

In recent years, terrorist attacks focusing on diplomatic facilities in Afghanistan, Greece, India, Kenya, Libya, Pakistan, Peru, Saudi Arabia, Syria, Tanzania, Turkey and Yemen have also resulted in hundreds of casualties of all nationalities.

The US State Department has also issued a global travel alert in response to credible intelligence suggesting that Al-Qaeda and affiliated organizations continue to plan terrorist attacks between now and 31 August, particularly in the Middle East and North Africa. In addition to the US authorities announcing the one-day closure of more than 20 diplomatic missions on Sunday 4 August, the UK Foreign Office has also confirmed the closure of the British embassy in Yemen on 4 and 5 August.
  - www.interpol.int

Chindo/Umbwa -KingKola (Audio)

Umbwa-KingKola (WatengwaRecs)

Young Killer ft Bright & Nemo - Mrs Super Star (Audio)

Malipo kwa Mungu, Saidia Kuokuoa Maisha ya Mtoto Ashura. ANAHITAJI MSAADA WAKO.

Baba yake anaomba msaada kwa wasamaria wema.

Mtoto Ashura Mustapha (7) mkazi wa Mwandege, wilayani Mkuranga, Pwani anasumbuliwa na ugonjwa wa kansa ya ngozi tangu akiwa na mwaka mmoja.
Akizungumza na mwandishi wetu, baba mzazi wa mtoto huyo, Mustapha Makombe alisema: “Mwanangu anateseka sana jamani, ugonjwa ulianza kama malengelenge akiwa na umri wa mwaka mmoja tukawa tunakwenda hospitali ndogondogo lakini baadaye tukaamua kumpeleka Muhimbili ambapo tulipewa barua ya kutuelekeza kwenda CCBRT, kule ndipo wakagundua mwanangu ana kansa ya ngozi steji ya nne.
Mtoto Ashura  
“Baada ya kuhangaika katika hospitali nyingi bila mafanikio, nikaamua kwenda Hospitali ya Regency (Dar) kuomba msaada wa kwenda kutibiwa India.
“Pale waliniambia nichangie shilingi milioni moja na laki tano kwa ajili ya tiketi na viza ili mwanangu akatibiwe India, hizo hela mimi sina. Naomba Watanzania mnisaidie hata kwa fedha za mitandao kwa namba 0769 517765 ili niweze kumpeleka mwanangu India akatibiwe,” alisema baba mzazi.

Xclusive Interview: Ray C Akiongea kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Ujio Wake Mpya

Ray C
Ray C

MATUSI NA KEJELI ZA KAGAME ZAMDUWAZA KIKWETE.

Rwanda, Rais Jakaya Kikwete
Baada ya kushambuliwa kwa kejeli na Rwanda, Rais Jakaya Kikwete amevunja ukimya na kueleza kushangazwa na kauli hizo na maneno yasiyofaa yanayotolewa na viongozi wa nchi hiyo dhidi yake na Tanzania.

Badala yake amesema Tanzania haina mgogoro wowote na nchi hiyo wala haiwezi kufanya vitendo vyovyote vibaya dhidi yake, nchi nyingine jirani au yoyote duniani, kwani migogoro haina tija wala maslahi kwa Watanzania.
Rais Kikwete alieleza mshangao huo jana katika hotuba yake ya mwisho wa mwezi ya kuzungumza na taifa, na kusema kuwa yeye binafsi na serikali ya Tanzania haina ugomvi wala nia yoyote mbaya na Rwanda.
"Napenda kuwahakikishia ndugu zetu wa Rwanda kuwa kwa upande wetu hakuna kilichobadilika wala kupungua katika uhusiano na ushirikiano wetu. Mambo yapo vile vile.
Kwa upande wangu, binafsi, sijasema lo lote kuhusu Rwanda pamoja na maneno mengi ya matusi na kejeli yanayotoka kwenye vinywa vya viongozi wa Rwanda dhidi yangu," alisema na kuongeza:
"Siyo kwamba siambiwi yanayosemwa au sijui kusema au sina la kusema, la hasha. Sijafanya hivyo kwa sababu sioni faida yake.
Kwangu mimi sioni kama kuna mgogoro wa aina yoyote. Busara inatuelekeza kuwa tusikuze mgogoro usiokuwepo. Waingereza wanasema 'two wrongs do not make a right'.
Alikiri kuwa katika kipindi cha miezi miwili uhusiano baina ya nchi hizo umekuwa ukipita katika kipindi kigumu na kwamba kauli za viongozi wa Rwanda dhidi yake na nchi ni ushahidi wa hali hiyo.
"Napenda kuwasisitizia kuwa mimi na serikali ninayoiongoza tutakuwa wa mwisho kufanya kitendo au vitendo vibaya dhidi ya Rwanda au nchi nyingine yoyote duniani.
Hatuna sababu ya kufanya hivyo, kwani mambo hayo hayana tija wala maslahi kwetu," alisema.
Rais Kikwete aliwahakikishia Watanzania na Wanyarwanda kuwa, Tanzania inapenda kuwa na uhusiano na ushirikiano wa karibu na Rwanda kama ilivyo uhusiano wake na nchi zingine jirani na kuongeza kuwa kama majirani kila mmoja anamhitaji mwenzake, hivyo lazima uwepo uhusiano mwema.
Kwa mujibu wa Rais, wakati Tanzania imekuwa ikijihusisha siku zote na kukuza na kujenga ujirani mwema, kufanya mambo ambayo yatasaidia kuimarisha uhusiano kwa maslahi ya nchi zote mbili na kwamba hiyo ni moja ya nguzo kuu ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania kabla na baada ya kutokea sintofahamu.
Alisema Rwanda na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri miaka mingi, zikishirikiana na kusaidiana katika mambo mengi kitaifa, katika kanda ya Afrika Mashariki na Nchi za Maziwa Makuu, Umoja wa Afrika na hata kimataifa, hata hivyo mtikisiko huo umekuja baada ya kutoa ushauri kwa serikali ya Rwanda kufanya mazungumzo na mahasimu wao.
"Nilitoa ushauri ule kwa nia njema kabisa kwani bado naamini kuwa kama jambo linaweza kumalizwa kwa njia ya mazungumzo njia hiyo ni vyema itumike. Isitoshe, ushauri ule niliutoa pia kwa Serikali ya Kongo (DRC) na kwa Serikali ya Uganda.
Katika mkutano ule Rais Yoweri Museveni wa Uganda aliunga mkono kauli yangu. Rais wa Rwanda hakusema chochote pale mkutanoni lakini baada ya kurudi nyumbani ndipo tukaanza kuyasikia maneno tuliyoyasikia na tunayoendelea kuyasikia," alisema.
Rais Kikwete alisema anastaajabu jinsi Rwanda ilivyouchukulia ushauri wake na haufanani na wanayoyafanya, huku akisisitiza kuwa alifanya vile kwa kuzingatia mila na desturi za miaka mingi katika ukanda huo.
Alisema ni kawaida kukutana katika mikutano na vikao mbalimbali kuzungumza na kushauriana kwa uwazi juu ya njia za kushughulikia matatizo na masuala mbalimbali kila yanapotokea na kwamba wakati waliyachukulia kuwa ni mambo yanayohusu wote, hivyo kupeana ushauri ni wajibu wa wote.
"Mara nyingi ushauri kwa wanaogombana kuzungumza tunautumia sana. Iweje leo mtu kutoa ushauri ule lionekane jambo baya na la ajabu. Jambo la kushutumiwa na kutukanwa!
Siyo sawa hata kidogo!! Ushauri si shuruti, ushauri si amri. Una hiyari ya kuukubali au kuukataa. Muungwana hujibu: "Siuafiki ushauri wako". Hakuna haja ya kutukana wala kusema maneno yasiyostahili wala kusema yasiyokuwepo na ya uongo," alisema.
Alisisitiza Tanzania inapenda kuendelea na uhusiano mzuri na Rwanda na kuongeza kuwa labda kama Rwanda ina jambo dhidi ya Tanzania, kwa kile alichosema kusikia mengi yanayozungumzwa na kudaiwa kupangwa kufanywa na Rwanda dhidi yake na nchi. Hata hivyo, alisema hapendi kuyaamini hayo yanayosemwa moja kwa moja lakini pia kama nchi hawatayapuuza.
Katika hatua nyingine, Rais Kikwete alisema kauli yake aliyoitoa katika Sherehe za Kumbukumbu ya Mashujaa ilitafsiriwa vibaya na kwamba hakutaja mtu wala nchi yoyote bali alizungumzia wajibu wa majeshi na raia kulinda uhuru na mipaka ya nchi.
Rais Kikwete alisema hataruhusu mtu au nchi yoyote kupokonya wala kuichezea haki ya Watanzania hiyo na kusisitiza utayari wa nchi kulinda mipaka yake, huku akitoa mfano wa mashujaa waliofariki dunia kwa kulinda nchi kuwa ni fundisho kwa mtu yeyote anayetamani kumega kipande chochote cha ardhi ya nchi ya Tanzania.
Baada ya kutoa kauli hiyo baadhi ya vyombo vya habari vilitafsiri kauli hiyo kuwa amewasema Malawi na Rwanda kutokana na kuwepo sintofahamu na viongozi wa nchi hiyo. Malawi na Tanzania wanagombea mpaka wa Ziwa Nyasa.
Alisisitiza kauli yake ya awali aliyoitoa mkoani Kagera ya kuwapa siku 14 wale wanaohusika na ujambazi, uhamiaji haramu na uingizaji haramu wa mifugo waamue kuchukua hatua muafaka sasa, badala ya kusubiri operesheni iwakute, wala wasifikirie kuwa hili ni jambo la kupita.
Pia alizungumzia ziara za viongozi wa mataifa mbalimbali akiwemo Rais wa Marekani, Barack Obama ambapo alisema ziara ya kiongozi huyo imeimarisha uhusiano mzuri baina ya mataifa mbalimbali pamoja na kutoa fursa na miradi mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania.
Alisema katika ziara hiyo, Rais Obama pia alielezea nia ya Serikali yake kutaka kuwepo mpango wa kukuza ushirikiano wa biashara na uwekezaji baina ya Tanzania na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, hivyo ameielekeza Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko kutengeneza mkakati utakaoonesha jinsi watakavyojipanga kufaidika na mpango huo.
Alitaja viongozi wengine ambao walifanya ziara hapa nchini kuwa ni Rais Mstaafu wa Marekani, George W Bush, Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair na Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra, ambapo ziara za viongozi hao wote zinaonesha utayari wa dunia kuunga mkono jitihada za Tanzania kujiletea maendeleo.

Raila Odinga and Kalonzo Get 12 Security Personnel Each.!!

Former Prime Minister Raila Odinga and former Vice President Kalonzo Musyoka have been allocated 2 vehicles each and 12 security guards and the government is now demanding that they return any extra vehicles in their possession. This demand sent to the two CORD leaders was made a week ago. Ken Mijungu reports

LHRC na TLC Wamshtaki Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Mizengo Pinda.

Kituo cha sheria na haki za binadamu kwa kushirikiana na chama cha wanasheria Tanganyika kimewasilisha mahakama kuu jijini Dar-es-Salaam, shauri la mashtaka dhidi ya waziri mkuu wa jamuhuri ya mungano wa Tanzania ,Mheshmiwa Mizengo Pinda na mwanasheria mkuu wa serikali Mheshimiwa jaji Fredrick Werema.

16 People Arrested In ERC Gas Crackdown

Sixteen people have been arrested and 408 gas cylinders of assorted brands and sizes confiscated in a crackdown carried out by the Energy Regulatory Commission-ERC in collaboration with officers from the flying squad. According to the energy sector regulator, establishments dealing in the product pose a grave danger since they don't meet the minimum safety standards.