Pages

The Miraa'cle Tree part 1

A heated public debate was recently sparked off by the national authority for the campaign against alcohol and drug abuse, NACADA, when it called for the banning of Miraa claiming it is indeed a drug. NACADA further states that 40 per cent of residents in the north eastern region of Kenya abuse miraa. But, to the Ameru people NACADA is totally out of order in targeting their lifeline. In the first of a two-part series "The Miraa'cle tree" Willis Raburu tells of the heritage of miraa and the processes and emotions attached to it.

Majanga Yamkuta Anaemiliki Home Shopping Center, Amwagiwa Tindikali

TindikaliMFANYABIASHARA maarufu na Mmiliki wa maduka ya Home Shopping Center (HSC), Said Mohamed Saad, amemwagiwa tindikali maeneo ya Msasani City Mall, jijini Dar es Salaam juzi, muda wa saa moja jioni akiwa dukani kwake. Kwa mujibu wa chanzo cha habari cha MTANZANIA Jumapili, mhusika wa tukio hilo mara baada ya kukamilisha azma yake, alikimbia, lakini mlinzi wa eneo hilo alijaribu kumkimbiza pasipo mafanikio, baada ya kuteleza na kuanguka.
Alisema hatua hiyo ilitoa mwanya kwa mtuhumiwa kutoroka eneo la tukio kwa kutumia usafiri wa pikipiki.
Taarifa ambazo pia zipo katika mitandao ya kijamii zinaeleza kuwa Saad ambaye amelazwa katika Hospitali ya Trauma (AMI) iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam, amepata madhara katika macho yake mawili, huku moja likiwa limeumizwa zaidi.

Aidha taarifa zaidi zinasema kuwa Saad anaweza kuzungumza, japo amefungwa mashine sehemu ya pua kwa ajili ya kumsaidia kupumua, huku madaktari wakiendelea kumhudumia hospitalini hapo.

MTANZANIA Jumapili lilimtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura, ambaye alisema kuwa yuko nje ya mkoa wa Dar es Salaam, na kumtaka mwandishi wa habari hizi kuwasiliana na msaidizi wake.

Gazeti hili lilimtafuta Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Yusuph Mrefu, ambaye alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Kamanda Mrefu alisema mpaka wakati anazungumza na gazeti hili, Saad alikuwa amelazwa hospitalini akiendelea na matibabu.

Mrefu alishindwa kuweka wazi majeraha aliyoyapata muathirika huyo wa tindikali, kwa madai kuwa bado hajamuona, lakini jitihada za Jeshi hilo zinafanyika ili kumkamata mhusika.

Akisimulia kuhusu tukio hilo, Kamanda huyo alisema Saad alikuwa dukani kwake maeneo ya Msasani akiongea na mfanyakazi wake, ghafla alitokea kijana ambaye alimmwagia kitu chenye maji usoni.


“Wahusika bado tunawasaka, si tukio la kumkamata mtu mara moja, kwani lilikuwa la ghafla, ilitokea saa moja jioni …hawakuweza kumbaini kwani alitokomea wakati wao wakimkimbiza mwathirika kituo cha polisi ili awahishwe hospitali,” alisema Kamanda Mrefu.

Mbali na kumiliki maduka hayo, Saad anatajwa kuwa wakala wa kuingiza makontena ya mizigo kwa ushuru mdogo toka nchini China.

Taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii zinasema kuwa mmiliki huyo wa HSC aliweka kambi Dodoma wakati wa Bunge la Bajeti na kuwahonga wabunge mamilioni ya shilingi ili wasijadili jambo hilo bungeni.

Inadaiwa kuwa mmliki huyo wa Home Shopping Centre amekuwa akipitisha zaidi ya makonteina 200 kwa siku bila kulipa kodi kwa zaidi ya miaka sita bila serikali kuchukua hatua.

Suala hilo ambalo limekuwa likizungumzwa mara kwa mara, lilizua mjadala wakati fulani, na kusababisha baadhi ya watu waanze kuhoji uhusiano wake na serikali iliyoko madarakani.
  Na AGATHA CHARLES

PICHA za KANYE WEST ALIVYOMKANDAMIZA MWANDISHI WA HABARI HADHARANI

KANYE WESTKANYE WEST KANYE WEST KANYE WEST KANYE WEST KANYE WEST KANYE WEST KANYE WEST

Blog ya Taifa Sasa Inapatikana ktk Simu Yako ya Kiganjani kwa Ufasaha Zaidi Kupita Maelezo

Tanzania Directory 
Baada ya Kufanyiwa marekebisho ya hali ya juu, Blog yako ya Taifa Sasa Inapatikana pia kwa kutumia simu za mkononi za kisasa. Jaribu yako sasa upate kujua kila kinacho endelea ktk kila blog kupitia blog mmoja tu.
Acha kuzunguka blog kibao bila kupata habari uliyokua unaitafuta,
Blog ni moja tu Bongo Blogs ndio unatakiwa kukumbuka halafu nyinginezo zooote utazipata ndani yake (Bongo Blogs) bofya link hapo chini..
  Bongo Blogs
 http://bongoblogs.blogspot.com

Blog yako ya Taifa

Pata KuSikiliza Playlist ya Dj Choka Yenye Nyimbo 100. Hapa



Video ya Daktari Feki Aliekamatwa Akitoa Huduma za Tiba ktk Zahanati Bubu

Kijana mmoja amekutwa akitoa huduma za tiba zinazotolewa na madaktari bingwa wa magonjwa ya wanawake katika zahanati bubu maarufu kwa jina la kwa Docta Kondoliza eneo la Mji mpya Majohe kinyume na sheria .

Jay Z & Beyonce Protest In NYC With Trayvon Martin's Mom


Trayvon Martin
Jay Z and Beyonce have made it clear -- they believe justice was NOT served in the shooting death of Trayvon Martin ... they spent Saturday protesting the laws which allowed his killer to walk.

Photos of the superstar couple showed up on Instagram ... of Jay and Bey in NYC, protesting against "Stand Your Ground" laws ... the law in FL which allowed George Zimmerman to claim self-defense in the shooting of 17-year-old Trayvon.

J & B were seen posing with Trayvon's mother, Sybrina Fulton, and Al Sharpton. Al reportedly told the crowd of protesters the famous couple was there ... but didn't want to speak and didn't come for a photo op.

As TMZ previously reported ... both Beyonce and Jay have taken time out of recent performances to honor Trayvon. And last week, Beyonce tagged a photo on Instagram "JusticeForTrayvon."

BARUA INAYOSADIKIWA KUANDIKWA NA PAPII KOCHA KWA RAIS JAKAYA KIKWETE... KWA WALE AMBAO HAMJAISOMA HÍI HAPA

Gereza Kuu Ukonga
MF/NA: 836'04 Johnson Nguza
(Papii Kocha) Gereza Kuu Ukonga
S.L.P 9091
Dar es Salaam
Mh. Rais Jamuhuri ya Muungano Tanzania
YAH: MAOMBI YA KUPEWA MSAADA (MSAMAHA) WA KUFUTIWA ADHABU YA KIFUNGO NILIYOPEWA NA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU.
Husika na somo hilo hapo juu. Mimi ni mfungwa katika gereza kuu Ukonga. Kwa heshma na taadhima na kwa kutambua utu na huruma yako ya kiMUNGU ulionayo dhidi ya binadamu wenzako pamoja na mamlaka uliokabidhiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Naanguka na kushika miguu yako mitukufu muheshimiwa rais.
Nakuomba msaada (msamaha) kwako muheshimiwa rais, kwa njia hii ya maandishi kusudi niweze kuondolewa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani, niliyohukumiwa na mahakama tajwa hapo juu. Mh.Rais mimi nimefungwa nikiwa bado kijana mwenye umri mdogo, na ukweli kutoka moyoni sikufanya kosa hilo.
Si mimi, baba yangu Nguza wala ndugu yangu yeyote aliyefanya kitendo kile. Lakini wenye mamlaka wakatuona tuna hatia na kuamua kuteketeza kizazi chetu gerezani.
Natamani kiama ifike ili mwenyezi Mungu aweke wazi ukweli wote
uliojificha nyuma ya pazia. Mpaka sasa natambua wazi hatima pamoja na dhamana ya maisha yangu ipo katika mikono yako mitukufu Mh. Rais Naomba huruma yako muheshimiwa Rais maana mimi ni mtoto wako ninaehitaji huruma yako wewe mzazi. Lakini pia sisi ni binadamu wenye nafsi na miili kama wengine. Waliotumia mamlaka yao kutuweka gerezani nao ni binadamu pia, wenye miili na nafsi.
Ipo siku nafsi zetu zitapaswa kutoa hesabu ya tuliyoyafanya hapa duniani. wakati huo miili yetu tunayoitumia kunyanyasa wanyonge itakuwa imeoza mavumbini.
Natumaini kauli yako ya mwisho ndio itakayoleta pumzi ya uhai nafsini mwangu. Nakutakia kazi njema, afya njema na maisha marefu. Mungu akubariki. Wako mtiifu
Mfungwa NO:836'04 JOHNSON NGUZA (PAPII KOCHA)

SOURCE: INGRAM JOHN

Celebrity on Drugs Before & After -Video

Celebrity Drugs Before & After. What drugs does to a person. Its incredible how many famous people do drugs, how many have overdosed from doing drugs. Famous people like Lindsay Lohan, Whitney Houston,Charlie Sheen, Corey Haim.