
MAREKANI KUTOA NDEGE ZA KIVITA MISRI
Msaada wa kijeshi kwa Misri ungesitishwa endapo Marekani ingelitaja matukio ya wiki jana kama mapinduzi ya kijeshi. Kundi la Muslim Brotherhood linalomuunga mkono Morsi linasisitiza arejeshwe madarakani.
Wafuasi wake wamekua wakiandamana karibu na kambi kuu ya jeshi ambapo anaaminika kuuzuiliwa. Hapo Jumatatu,wafuasi wa Brotherhood 51 waliuawa kwa kupigwa risasi na jeshi wakati wanakabiliano.
Utawala wa mpito umesema kwamba Bw. Morsi anazuiliwa eneo salama na kwamba haki zake zinazingatiwa. Maafisa wa Marekani wamesema ndege mpya za kivita aina ya F-16 zitawasilishwa katika wiki chache zijazo.
Mpango wa kufadhili jeshi ulianza kutekelezwa mapema mwaka huu na jeshi linatarajia kupokea ndege 20 za kivita. Msemaji wa ikulu ya Rais amesema Marekani haitabadilisha mpango wa kufadhili jeshi la Misri, japo inaendelea kutathmini kuhusu matukio ya kisiasa. Msaada wa kijeshi nchini Misri ambao hutolewa na Marekani hufikia dola bilioni 1.3 kila mwaka.
Hapo Jumanne, kibali cha kumkamata kiongozi wa Muslim Brotherhood Mohamed Badie kilitolewa pamoja na wakuu wengine tisa wa kundi hilo. Viongiozi hao wamelaumiwa kwa kuchochea ghasia mjini Cairo ambapo zaidi ya watu 50 waliuawa na mamia kujeruhiwa.
BBC Swahili
FUTARI YA PAMOJA KWA MWEZI WA RAMADHANI - DMV
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO) unawakaribisha na kuwajulisha kuwa tutaanza kufuturu pamoja jumamosi na jumapili hii pamoja na weekend zote za mwezi wa ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:
Saturday, July 13, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, July 14, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, July 20, 2013
Sligo-Dennis Avenue Local Park
Sunday, July 21, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, July 27, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, July 28, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, August 03, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, August 04, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Address ni:
Indian Spring- Terrace Local Park
9717 Lawndale, Silver Spring, MD 20901
Sligo – Dennis Avenue Local Park
10200 Sligo Creek Pkwy, Silver Spring, MD 20902
Karibuni
Uongozi
TAMCO
http://www.tamcousa.org/
Saturday, July 13, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, July 14, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, July 20, 2013
Sligo-Dennis Avenue Local Park
Sunday, July 21, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, July 27, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, July 28, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Saturday, August 03, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Sunday, August 04, 2013
Indian Springs-Terrace Local Park
Address ni:
Indian Spring- Terrace Local Park
9717 Lawndale, Silver Spring, MD 20901
Sligo – Dennis Avenue Local Park
10200 Sligo Creek Pkwy, Silver Spring, MD 20902
Karibuni
Uongozi
TAMCO
http://www.tamcousa.org/
LIL TWIST ARRESTED IN CALIFORNIA FOR DUI !!
YOUNG MONEY RAPPER LIL TWIST WITH JUSTIN BIERBER
HE WAS ARRESTED EARLIER THIS YEAR FOR CAUSING ACCIDENT WHILE DRIVING THE SAME JUSTIN BIERBER FERRARI
Lil' Twist Arrested For DUI in California Early This Morning While Driving Justin Beiber Ferrari!! When officers approached the car, they believe Twist appeared to be under the influence of a substance ... but we're told he DID NOT appear to be drunk.
NEW UPDATE:
Lil Twist was driving Justin Bieber's car while under the influence of marijuana ... and he even had a LIT BLUNT in the car at the time of his DUI arrest, law enforcement sources said. We broke the story ... 20-year-old Twist was busted in Calabasas around 3:30 AM Thursday morning on his way to Bieber's house.
Twist was hauled to a nearby station, where he was booked ... and was later released after roughly 8 hours in custody.
As he left the Sheriff's station, Twist didn't have much to say to us. We're guessing he'll be more talkative when he explains himself to JB.
SERIKALI IMETANGAZA KIMA CHA CHINI MISHAHARA YA KISEKTA.
DAR ES SALAAM.
SERIKALI imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuanzia Julai Mosi mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Wizara ya Kazi na Ajira, Ridhiwani Wema, watakaolipwa kima kidogo zaidi cha Sh40,000 ni wafanyakazi wa nyum
bani ambao wameajiriwa na watu wa kawaida huku wakiishi kwenye nyumba za waajiri wao.
Kwa upande mwingine, katika viwango hivyo, kima kikubwa katika viwango hivyo cha Sh400,000 kitalipwa kwa wafanyakazi wa sekta za mawasiliano zikiwamo kampuni za simu, kampuni za kimataifa za nishati, madini na taasisi za fedha.
Katika viwango hivyo, mishahara kwa wafanyakazi wa nyumbani walioajiriwa na watu wa kawaida lakini ambao hawaishi kwenye nyumba za waajiri wao itakuwa Sh80,000.
“Viwango vya chini vya mishahara kwa wafanyakazi wa nyumbani walioajiriwa na mabalozi wa kigeni na wafanyabiashara maarufu wanatakiwa kulipwa Sh150,000 kwa mwezi,” ilisema taarifa hiyo.
Wafanyakazi wa nyumbani walioajiriwa na maofisa wa Serikali watalipwa Sh130,000 kwa mwezi.
Kima cha chini cha mshahara katika huduma za kilimo ni Sh100,000 na huduma za afya Sh132,000.
Kwa upande wa wafanyakazi wa vyombo vya habari, posta na usafirishaji wa vifurushi ‘courier services’, kima cha chini kitaanzia Sh150,000.
Viwango vya chini vya mishahara kwa wafanyakazi wa hoteli za kitalii kuanzia Julai Mosi, mwaka huu ni Sh250,000, wakati kwa hoteli za kati ni Sh150,000 na migahawa, nyumba za wageni na baa ni Sh130,000.
Kampuni za ulinzi za kimataifa zitapaswa kulipa kiwango cha chini cha mishahara cha Sh150,000 kwa wafanyakazi wake sawa na kampuni ndogo za huduma za nishati. Kampuni ndogo za ulinzi zitatakiwa kulipa Sh100,000.
Kima cha chini kwa wafanyakazi wa sekta ya usafiri wa anga kitakuwa Sh300,000, sawa na wale wa utoaji na uingizaji wa mizigo. Wafanyakazi wanaofanya katika sekta ya usafirishaji wa majini, uvuvi na nchikavu wakitakiwa kulipwa Sh200,000.
Kima cha chini kwa kampuni za makandarasi daraja la kwanza kitakuwa Sh325,000, makandarasi daraja la pili hadi la nne Sh280,000 na makandarasi daraja la tano hadi saba Sh250,000.
MWANANCHI
Tanzania Kufaidika na Trilioni 1.4 Kutoka Sweden
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Mhe Lennarth Hjelmaker aliyeonana naye kwa ajili ya kuwasilisha Ujumbe kutoka Serikali yake leo Ikulu, jijini Dar es salaam. (Picha na Ikulu)
------------------------------------------
TANZANIA itafaidika na mpango wa maendeleo wa miaka mitano unaogharamiwa na Serikali ya Sweden utakao gharimu kiasi cha T.Shs trilioni 1.4 kupitia kitengo chake cha Swedish International Cooperation Agency (SIDA).
Balozi wa Sweden hapa nchini, Lennarth Hjelmaker amemueleza Rais Jakaya Kikwete leo Ikulu ambapo amefika kumkabidhi Rais barua kutoka kwa Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Sweden Mheshimiwa Gunilla Carlsson, ambaye amemuandikia Rais Kikwete barua maalum kumjulisha kuhusu mpango huo ambao serikali ya Sweden utaugharamia.
Mpango huo wa maendeleo wa 2013-2019 unalenga katika maeneo makuu matatu:-
Kuongeza ajira, kuendeleza sekta ya nishati na masoko kwa mazao ya kilimo; Elimu ambapo kipaumbele kitakuwa katika kuwapa elimu ya awali watot wengi zaidi na pia katika vyuo vya ufundi; Kukuza demokrasia, uwajibikaji na uwazi pamoja na kuongeza uelewa wa haki za binadamu nchini.
Katika barua yake kwa Rais Kikwete, Waziri Carlsson amemueleza Rais Kikwete kuwa Tanzania itaendelea kuwa mwenza muhimu kwa nchi ya Sweden.
“Huu si ushahidi wa ushirika wetu wa kihistoria, bali pia ni kwa ajili ya sera za Tanzania na ukuaji wa taasisi za kidemokrasia nchini Tanzania” amesema waziri Carlsson na kuongeza kuwa “Wakati uhusiano baina ya nchi hizi mbili ni muhimu, mahusiano yetu ya baadaye yataimarika zaidi sio kwenye misaada bali katika uwekezaji” ameongeza.
Rais Kikwete ameishukuru Sweden kwa msaada huo na kueleza kuwa nchi zinazoendelea kwa hakika zinahitaji misaada ya maendeleo ili kujijengea uwezo na hatimaye kufikia kwenye uwekezaji ambao utaharakisha maendeleo ya nchi hizi.
KWELI NIMEKAMATWA SAUZ: MASOGANGE
.Na Mwandishi Wetu
HUKU skendo ya kunaswa akiwa na madawa ya kulevya ikiendelea kumtesa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ anatarajiwa kupandishwa kortini nchini Afrika Kusini leo kujibu shitaka ambalo mwenyewe hajaliweka wazi, Ijumaa linakupasha.
AWALI YA YOTE
Mwishoni mwa wiki iliyopita, habari ya mjini ilikuwa Masogange kanaswa na madawa ya kulevya nchini Afrika Kusini.
Habari zilisambaa kwamba sanjari na Masogange, mwingine aliyenaswa naye ni mdogo wake (mtoto wa mama yake mdogo Agnes) aitwaye Melisa Edward.
Kwa mujibu wa habari hiyo ya mjini, wawili hao walinaswa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Oriver Tambo uliopo Kempton Park siku ya Ijumaa wiki iliyopita wakitokea Tanzania wakiwa na ‘mzigo’ wa kilo nyingi aina ya ‘crystal methamphetamine’ wenye thamani ya shilingi za Kitanzania bilioni 6.8!
IJUMAA LAANZA KUSAKA UKWELI
Baada ya kunasa habari hiyo, Ijumaa liliingia mzigoni kuusaka ukweli ambapo hata hivyo, madai hayo yalikuwa yakijifungafunga sana.
Mtu mmoja wa karibu na Masogange alipoulizwa kuhusu ukweli au uongo wa habari hiyo alikuwa na haya ya kusema:
“Ni kweli Agnes amekamatwa akiwa na madawa ya kulevya kule Sauzi. Lakini si yenye thamani hiyo ya bilioni sita bali ni milioni arobaini tu. Hata hivyo, ameachiwa kwa dhamana ila paspoti yake imezuiliwa.
“Nadhani kuna mambo yanawekwa sawa ikiwezekana atarudi nyumbani.”
JIJINI DAR, KAMANDA WA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA ANENA
Jumatatu iliyopita, Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Kudhibiti Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa aliviambia vyombo vya habari kuwa, Watanzania wawili walikamatwa nchini Afrika Kusini na mamlaka ya mapato wakiwa na madawa ya kulevya kutoka Tanzania yenye thamani ya shilingi bilioni 6.8.
Kamanda Nzowa aliwataja Watanzania hao kuwa ni Agnes Gerald ambaye ana miaka 25 na Melisa Edward mwenye miaka 24. Alisema wawili hao baada ya kukamatwa na chombo hicho walikabidhiwa kwa polisi ambapo mahojiano yanaendelea.
IJUMAA LAMWIBUKIA KAMANDA NZOWA
Baada ya Kamanda Nzowa kuwataja kwa majina wawili hao Jumatatu iliyopita, siku iliyofuata, Ijumaa lilipiga hodi kwenye ofisi za kamanda huyo kwa lengo la kutaka kujua kama Agnes Gerald aliyemtaja jana yake ni Masogage au majina yanafanana tu.
Kamanda huyo hakuwepo ofisini kwake asubuhi hiyo na kwa mujibu wa wasaidizi wake, alikuwa kwenye kikao cha dharura kwenye Ofisi za Polisi wa Kimataifa ‘Interpol’.
APIGIWA SIMU
Ilibidi Ijumaa limsake kwa njia ya simu ya kiganjani kwa mara kadhaa. Alipopokea akaulizwa kuhusu Agnes Gerald aliyemtaja kama ni Masogange yule staa.
Kamanda Nzowa: “Eee, mimi siwezi kusema ni huyo, ninachojua ni Agnes Gerald tu basi. Sasa kama ni Masogange mimi sifahamu lolote.”
JUMANNE USIKU SIMU KUTOKA SAUZI
Mpaka hapo, timu nzima iliyokuwa ikifuatilia habari hiyo haikuona ukweli wa Agnes Gerald kuwa ni Masogange na kwa vile siku zote Global Publishers inasimamia utafiti kabla ya kuandika habari iliamua kuiweka pembeni kwanza ili kuendelea kuichimba.
Saa 2:14 usiku wa siku hiyo, Ijumaa lilipokea simu yenye kuashiria wito (code number) ni ya nje na kabla haijapokelewa, ilibainika ni ya Afrika Kusini.
Ijumaa: Haloo.
Sauti: Haloo, mimi Masogange.
Ijumaa: Mambo Agnes, pole sana na mkasa uliokupata bwana, pole sana.
Agnes: Kwanza naumizwa sana na maneno ambayo watu wanazidi kuyaeneza sehemu mbalimbali bila kuwa na uhakika wowote, mimi sikukamatwa kwa sababu ya madawa ya kulevya.
“Mkasa nilioupata siyo ambao watu wanaueneza kwenye mitandao mbalimbali na katika vyombo ya habari.”
Ijumaa: Kwa hiyo madai ya kukutwa na madawa ya kulevya si ya kweli?
Agnes: Kweli nilikamatwa huku kwa matatizo f’lan ila siyo ishu ya madawa kama watu wanavyosambaza.
Ijumaa: Ni tatizo gani sasa?
Agnes: Unajua sipendi tena kuwapa watu faida ila lilikuwa ni tatizo la kawaida, nilikamatwa na baada ya hapo nilitoka na niko huru. Nasubiri tu kwenda mahakamani Ijumaa (leo) mara moja kisha n’tarudi Bongo.
Ijumaa: Mh! Sasa Egg, mbona huku mpaka viongozi wa polisi wamesema ni madawa?
Agnes: Hapana, siyo, ipo ishu ndogo tu.
Ijumaa: Haya pole sana kwa misukosuko.
Agnes: Asante sana, nitakuja huko siku si nyingi.
GPL
Top 25 Young Entrepreneurs from Around Africa shortlisted for $75 000 Anzisha Prize
The 25 semi-finalists were chosen from the hundreds of entries received from 32 African countries and represent 15 different countries where they are actively making a difference by transforming their communities.
Nigeria, Senegal, Tanzania, Uganda, and Kenya all have three semi-finalists while, South Africa has two. A large number of the start-up businesses involve turning waste material into cost efficient and environmentally friendly energy sources while there is also an emphasis on web-based endeavours and education.
Twelve finalists will be chosen from this list of 25 semi-finalists at the end of July. The 2013 Anzisha Prize Finalist Week will take place from Sunday, August 25 to Friday, August 30. The grand prize winner will be announced at a gala function to be held at The Venue in Johannesburg, South Africa, on the evening of August 30.
Now in its third year, the Anzisha Prize – hosted by the African Leadership Academy in partnership with The MasterCard Foundation – celebrates initiative and innovation. It identifies exceptional young entrepreneurs who are leading by example and underscores their ability to significantly shape the future of Africa.
The word ‘Anzisha’ is taken from Swahili and translates into ‘initiative’ and is a project that is gaining significant momentum in African business circles as its impact is beginning to be felt.
Says Chi Achebe, Anzisha Prize programme manager: “We are delighted with the high calibre of semi-finalists this year. We undertook a road show throughout the African continent – visiting among other countries Ethiopia, Lesotho, Nigeria, Senegal, Tanzania and Zimbabwe – and are delighted with the tremendous response we received from around Africa.”
Finalists will win an all-expense paid trip to the African Leadership Academy (ALA) in Johannesburg, South Africa, to attend a weeklong entrepreneurship conference and awards gala. While there, they will be taught by ALA’s renowned Entrepreneurial Leadership faculty as well as experienced business mentors. Winners will share $75,000 USD, courtesy of The MasterCard Foundation, and be given networking and learning opportunities to take their projects to the next level.
The top 25 Anzisha finalists (in country order) are:
KENYA
• Paul Barclay
Project Title: Impact Africa
Industry: Consumer products
Paul Barclay is a 21-year-old entrepreneur from Kitale in Kenya. His business, Impact Africa, provides inexpensive, reusable and washable sanitary towels for women and young girls. Barclay saw that the prices of regular disposable towels were simply too expensive for families strapped for cash so he and his team developed a product that could help thousands of women while still turning a profit.
• Daniel Sawa
Project Title: Biogas Digester Plant
Industry: Energy and waste
Daniel Sawa is an 18-year-old innovator from Busia in Kenya. He has created the Biogas Digester Plant which uses raw materials as a source for energy and manure. Starting small, demand quickly increased as Sawa’s innovative energy solutions were often more convenient for the consumer. These alternative solutions – whether it is using cow dung, agricultural waste or raw sewage – provide for a cheaper alternative to traditional energy.
• Joan Njoroge
Project Title: Rafiki Farming Project
Industry: Agriculture
A native of Nairobi, Kenya, Joan Njoroge got involved with a community that supported children affected by HIV/Aids at a very early age. Through these experiences, she realised a great opportunity in the form of agriculture to not only feed these children, but also make a commercial profit that could fund other experiences and daily necessities. Njoroge believed it would be even more impactful if she taught some of these important skills to the children living in the community.
RWANDA
• Joie Laurent Sangwa
Project Title: Domestic Biogas Use Promotion Project
Industry: Energy and waste
Nineteen-year-old Joie Sangwa from Burera in Rwanda realised that her community needed cheap and renewable energy resources. Working with a team, she discovered that human waste is a good source of energy and developed a process to turn it into an effective energy solution. This offers a cheap, alternative energy source while helping with the environment.
TANZANIA
• Victor Mnyawami
Project Title: The University Entrepreneurship Challenge
Industry: Education
Victor Mnyawami (22) is a student in Dar es Salaam where he noticed the need for a way to challenge students and spark an entrepreneurial mind-set among young Tanzanians. This idea led him to develop a platform for identifying, nurturing, and showcasing emerging entrepreneurs in Tanzania called the University Entrepreneurship Challenge. This challenge is not just about giving money to its winners but also provides advice to start-up companies and promotes entrepreneurship.
• Samwel Sevua
Project Title: Mocobase
Industry: Information technology
Arusha resident, Samwel Sevua, is a 21-year-old computer science engineering student who spends his time investigating how technology can improve the lives of people in their daily lives. He has created a software programme, Mocobase, which improves communication between parents and educational institutions. This helps parents wherever they are to receive a child’s grade report and communicate with teachers and administrators. This idea could revolutionise the reporting system within Tanzania.
• Damotila Silayo
Project Title: Jathropa Soap Production
Industry: Health and wellness
Domitila Silayo is a 21-year-old university student from Moshi, Tanzania. After visiting an agricultural festival, Silayo saw great potential for using the jathropa plant for cosmetic and medicinal uses. She began research on how to produce a soap made from the herbal plant that could heal a variety of skin problems including ringworm and dandruff. Jathropa Soap Production has gone on to help thousands of people in Tanzania fight off skin problems while still turning a healthy profit and creating employment.
UGANDA
• Best Aiyorworth
Project Title: Girls’ Power Micro Lending Organisation
Industry: Microfinance and education
Best Ayiorworth is an advocate for education in her home district Nebbi in northern Uganda. The 21-year-old has started the Girls’ Power Micro Lending Organisation. Its motto is “To help a mother, is to help a girl child.” Girls’ Power is a micro lending business that supports girls through their mothers. They give women starting capital or money to boost their existing businesses so that they are able to support their daughters with school fees and scholastic materials and ensure that they get an education.
• Titus Mawano
Project Title: Ffene
Industry: Information technology
Titus Mawano, a 22-year-old from Kampala, is the brains behind Ffene, a business management platform for SMMEs in Africa who are struggling to stay organised, yet still use a loose-leaf notebook to keep record of clients and sales. Ffene’s vision is to get African businesses in the cloud. Whether it is accounting, inventory management or data keeping, Ffene is the one stop shop for SMMEs. With well over 400 current customers just 3 months after launch, Ffene is well on its way to revolutionizing how SMMEs do business in Uganda and beyond.
• Matia Ssebiranda
Project Title: Appropriate Rural Technology Development
Industry: Energy
In 2011, 20-year-old Matia Ssebiranda from Masindi witnessed charcoal prices soaring in his home country of Uganda. After doing research, he realised that the problem was not only economic but environmental as people were chopping down whole forests for the production of charcoal. This deforestation, along with the harmful emissions from traditional charcoal use, makes traditional charcoal one of the dirtiest, yet most widely used, energy sources in Uganda. Ssebiranda began to research alternative methods of charcoal production which led to the creation of Appropriate Rural Technology Development. This project teams up with rural farmers across Uganda in an effort to utilise agricultural waste to produce charcoal, an alternative that is both cheaper and more sustainable.
for other countries Go to:
➢ Website: www.anzishaprize.org
➢ Facebook: www.facebook.com/anzishaprize
➢ Twitter: @anzishaprize
➢ YouTube: www.youtube.com/user/anzishaprize
Subscribe to:
Posts (Atom)