WAKAZI WAKIZIDI KUMIMINIKA SABASABA BANDA LA MALIASILI KWAAJILI YA KUANGALIA WANYAMA HAI
Wakazi wa Jiji la Dar wakipata maelezo ya Simba kutoka kwa mfanyakazi wa Maliasili na Utalii katika Maonyesho ya Sabasaba
Pundamilia naye yupo
Wakazi wa Jiji la Dar wakimuangalia Sokwe katika banda la Maliasili na Utalii ndani ya viwanja vya Sabasaba
Wakazi wa Dar wakiwaangalia Simba katika banda lao
Mnyama Chui
Wakazi wa Jiji wakimwangalia Chatu huku wengine wakipata maelezo ya Chatu kutoka Kwa Mfanyakazi wa Maliasili na Utalii
Wakazi wa jiji wakiwa wanatoka nje na wengine wakiwa wanaingia katika banda la Maliasili na Utalii lililopo Katika Viwanja Vya Sabasaba
Moja ya Nyumba za wazanaki iliyopo katika Banda la Maliasili na Utalii katika Maonyesho ya Sabasaba
Wakazi wa Jiji La Dar wakiingia katika Viwanja vya Maonyesho ya 37 ya kibiashara za kimataifa
William Ruto: SI HOJA OBAMA KUKWEPA KUITEMBELEA KENYA, TUNA MARAFIKI WENGI TOFAUTI NA MAREKANI NA KAMWE HATUWEZI KURUHUSU SERA YA USHOGA YA OBAMA..!!
Huku akiongea katika kanisa la Katoliki la St Gabriel Bahati, kaunti ya Nakuru, Bw Ruto alisema nchi hii ina 'marafiki’ wengine wengi duniani ambao inaweza kushirikiana nao huku akiongezea kuwa hatua ya rais Obama kukwepa kutembelea Kenya haiwezi kutatiza kwa vyovyote vile uhusiano mwema uliopo wa kibiashara baina ya Marekani na Kenya.
“Tunaiheshimu nchi ya Marekani nayo inafaa kuwaheshimu Wakenya,” akasema Bw Ruto.
Alisema serikali tayari imeanzisha mikakati ya kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na mataifa mengine huku akikariri kuwa safari ya Rais Uhuru Kenyatta nchini Uganda ambapo alikutana na rais wa nchi hiyo Yoweri Museveni na mwenzao wa Rwanda rais Paul Kagame kujadili jinsi nchi hizo tatu zinaweza kushirikiana kibiashara, ni miongoni mwa mikakati hiyo.
“Nchi yetu inamcha Mungu na kamwe hatutaruhusu mataifa ya kigeni kutuletea tamaduni ambazo zinakinzana na desturi zetu,” akasema Bw Ruto huku akirejelea hotuba ya Rais Obama nchini Senegal ambapo aliitaka nchi hiyo kuheshimu haki za Mashoga.
Wakati mwafaka
Rais Obama ambaye yuko barani Afrika alikosa kutembelea Kenya na badala yake akazuru mataifa ya Senegal, Afrika Kusini na Tanzania; kwa kile alichokitaja kuwa haukuwa wakati mwafaka wa kutembelea nchi hii kwani viongozi wake wanakumbwa na mashtaka katika mahakama ya Kimataifa ya kupambana na uharifu wa Kibinadamu (ICC) japo aliahidi kuitembelea Kenya kabla ya kipindi chake kama rais wa Marekani.
Urgent Solution Needed for F1 'crisis'. F1 British GP
Watching the unfolding dramas of the British Grand Prix, with tyres exploding at high speed on a regular basis, the over-riding emotions were anxiety and alarm - that the drivers' lives were being put at unacceptable risk.
"It already happened in Malaysia (the second race). And then it happened in Bahrain (the fourth race) and then we did a test to prevent it and they didn't prevent it." He could have added that failures happened in Spain as well.
All of the failures at Silverstone were worrying, but the one that demonstrated most clearly the risks involved was the one in which the left rear tyre on Sergio Perez's McLaren exploded on Hangar Straight - just as Ferrari's Fernando Alonso was shaping up to pass him.
As the dust begins to settle, those feelings are beginning to shift to disbelief at how Formula 1 has managed to get itself into such an unacceptable situation. Some would - and doubtless will - call it a crisis. To many minds, that would not be an exaggeration.
Perhaps the biggest concern is the fact that it should never have happened. It is not, after all, as if it is completely unexpected. As Lewis Hamilton pointed out after the race, tyres have been failing all season.
"We've had this trouble for a long time," said Hamilton, who suffered the first of six on-track tyre failures, all of them at more than 100mph, some of them at nearly twice that.
Perhaps the biggest concern is the fact that it should never have happened. It is not, after all, as if it is completely unexpected. As Lewis Hamilton pointed out after the race, tyres have been failing all season.
"We've had this trouble for a long time," said Hamilton, who suffered the first of six on-track tyre failures, all of them at more than 100mph, some of them at nearly twice that.
All of the failures at Silverstone were worrying, but the one that demonstrated most clearly the risks involved was the one in which the left rear tyre on Sergio Perez's McLaren exploded on Hangar Straight - just as Ferrari's Fernando Alonso was shaping up to pass him.
The Spaniard had to take rapid avoiding action. And the concern
in these situations is not just that a car can hit another - and at more
than 160mph that would have been quite an accident - but that the
debris can hit the driver.
That debris, as Jenson Button put it, is "rubber that has metal in it". Which at those speeds could kill someone.
Alonso is as brave as they come, but even he admitted to being "so scared and so lucky because I missed the contact by one centimetre".
"Make no mistake about it," Red Bull team boss Christian Horner said. "Fernando Alonso is a very lucky boy today to be going home."
Are there reasons to believe a solution could be delayed, that F1 could muddle on until a long-term solution is found?
The next two races, at Germany's Nurburgring and the Hungaroring near Budapest, are at circuits nowhere near as demanding on tyres as is Silverstone.
Read More.. http://www.bbc.co.uk/sport/0/formula1
That debris, as Jenson Button put it, is "rubber that has metal in it". Which at those speeds could kill someone.
Alonso is as brave as they come, but even he admitted to being "so scared and so lucky because I missed the contact by one centimetre".
"Make no mistake about it," Red Bull team boss Christian Horner said. "Fernando Alonso is a very lucky boy today to be going home."
Are there reasons to believe a solution could be delayed, that F1 could muddle on until a long-term solution is found?
The next two races, at Germany's Nurburgring and the Hungaroring near Budapest, are at circuits nowhere near as demanding on tyres as is Silverstone.
Read More.. http://www.bbc.co.uk/sport/0/formula1
Baada ya Obama, George Bush, Mkewe nao Kutua Tanzania Kesho

Kuwasili kwa Bush, ni mwendelezo wa wiki hii Jiji la Dar es Salaam kuwa katika pilikapilika za kupokea ugeni wa watu maarufu. Kongamano hilo limeandaliwa na Taasisi ya George Bush na litafanyika kesho na keshokutwa.
Taarifa iliyotolewa na taasisi hiyo kwa vyombo vya habari , inasema kongamano hilo litahudhuriwa na wake mbalimbali wa marais akiwemo mke wa Rais wa Marekani, Michelle Obama.
Pia Mwanzilishi wa Taasisi ya Wanawake ya Cherie, Cherie Blair atahudhuria. Wake wa marais wa Afrika watakaohudhuria ni Mama Salma Kikwete, Chantal Campaore wa Burkina Faso, Roman Tesfaye wa Ethiopia, Maria da Luz Dai Guebuza (Msumbiji), Penehupifo Pohamba (Namibia), Sia Nyama Koroma (Sierra Leone), Janet Museveni (Uganda) na Christine Kaseba wa Zambia.
Kongamano hilo litajikita zaidi katika kujadili masuala ya kuwekeza kwa wake, kuimarisha Afrika lakini pia wajibu wa wake wa marais katika kuhamasisha wanawake katika maeneo ya elimu, afya na kuwakwamua kiuchumi.
Ujio wa rais huyo mstaafu wa Marekani utakuja ikiwa ni saa kadhaa tangu mrithi wake, Barack Obama kutua Tanzania kwa ziara ya siku mbili ambapo anatarajiwa kuondoka kesho baada ya kumaliza shughuli mbalimbali alizopangiwa.
Video ya Rais Obama Akiwasili Uwanja wa Ndege wa Mwl JK Nyerere - Dar es Salaam
Rais wa Marekani Barack Obama akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere July 1.
MAMA OBAMA NA MAMA KIKWETE WATEMBELEA WAMA FOUNDATION JIONI HII

Mke wa Rais wa Markani mama Michelle Barack Obama akiwasili katika ofisi za Wanawake na Maendeleo WAMA jioni hii wakati alipotembelea katika ofisi hiyo na kuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete katika makao makuu ya taaisis hiyo leo...
Rais Barack Obama atakuwa na mazungumzo na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete na pia watazungumza na waandishi wa habari Ikulu kabla ya kuendelea na kazi zingine.
Mama Mchelle Obama akielekea katika lango kuu la ofisi za WAMA jioni hii.
Mama Michelle Obama akilakiwa na mwenyeji wake mama Salma Kikwete wakati alipowasili katika ofisi hizo kwa mazungumzo mafupi.
Wake wa viongozi wakipunga bendera kama ishara ya kumpokea Mama Michelle Obama
Mama Anna Mkapa ambaye pia ni mwenyekiti wa taasisi ya EPTF akiongozana na mama Aisha Bilal wakati wa mapokezi ya Mke wa Rais Barack Obama Mama Michelle Obama katika ofisi za WAMA jioni hii
Mama Salma Kikwete akiwapungia mkono wake wa Viongozi wakati alipowasili katika ofisi za WAMA tayari kwa kumpokea mgeni wake Mama Michelle Obama.
RAIS BARACK OBAMA AMEWASILI NCHINI MCHANA HUU

Rais Barack Obama wa nchini Marekani na Mkewe Michelle Obama wakiwa sambamba na watoto wao,wakiwasili mchana huu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere,jijini Dar es Salaam mchana huu kwa ziara ya siku mbili hapa nchini.

Ndege ya Rais wa Marekani ikiwa kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere,mchana huu.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mgeni wake Rais wa Marekani,Barack Obama aliewasili nchini Mchana huu kwa ziara ya kikazi ya Siku mbili.

Rais Barack Obama akikwagua Gwaride maalum alilioandaliwa akiongozwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi,Jenelari Davies Mwamunyange.

Rais Barack Obama na Mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete wakiangalia ngoma za asili zilizokuwa zikitumuiza uwanjani hapo.kushoto ni Mke wa Rais wa Marekani,Michelle Obama.

Rais Barack Obama akiagana na Mama Salma Kikwete

Msafara wa Viongozi ukiondoka Uwanja wa Ndege.
Picha zaidi zitawajia baadae kidogo,kwa sasa tuanze na hizi kwa hisani ya TBC.
Subscribe to:
Posts (Atom)