UJIO WA OBAMA UMETULETEA NJAA..!

Obama anatarajia kuwasili nchini kesho katika ziara ya kikazi ya siku mbili huku akiambatana na ujumbe wa watu wapatao 700.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi Jumapili, wafanyabishara hao walisema kuondolewa huko kumewafanya kukosa kipato walichokuwa wakikipata hivyo kusababisha ugumu wa maisha.
Frank Mkama alilalamika: “Hapa Serikali isiseme kuwa wanafanya usafi wa jiji kwa kuwaondoa wafanyabiashara hii si kweli! Mbona hawakufanya zamani, hapa ni Obama ndiyo amesababisha sisi tukaondolewa.”
“Hivi sasa maisha yangu yamekuwa magumu. Kipato ambacho nilikuwa nakipata hapa na kula na familia yangu sasa sikipati.”
Naye, Elizabeth Makata alilalamika Serikali ilipaswa kuwaandaa wananchi kwa kuwaeleza ujio huo wa Obama watanufaika vipi na si kuwafanya waathirike kwa kuvunjiwa maeneo yao.
Alielezea wasiwasi kuwa huenda baada ya ziara hiyo wakashindwa kuendelea na biashara kwa kuwa watakuwa wamekula mitaji.
Kwa upande wake, Ramadhan Issa alisema ziara hiyo ya Rais Obama imeathri maisha yake kutokana na kuvunjiwa kibanda alichokuwa akifanyia biashara hivyo hajui hatima ya maisha yake.
Kadhalika Mwananchi Jumapili iliwashuhudia askari polisi wakionekana kuongezeka katikati ya jiji wakipita huko na kule kuhakikisha hali ya usalama inaimarika.
Pia hali ya usafi imeendelea kuimarika kutokana na ujio kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa kwa lengo la kusafisha mazingira.
Licha kwamba wafanyabiashara hao wameondolewa hivi karibuni baadhi yao wameanza kurejea kuendelea na shughuli zao kama kawaida.
Dar es Salaam Yatoa Ratiba ya Ziara ya Rais Obama (Video)
Mkoa wa Dar es salaam umetoa ratiba ya ziara ya Rais Baraka Obama wa Marekani anayetarajiwa kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyarere kesho saa 8.dakika 40 mchana kwa ziara ya siku mbili akitoka nchni Afrika ya Kusini.
Celebrity Basketball Game: BET Experience (Video)
Full Episode : Check out Chris Brown, Columbus Short and Busta Rhymes as they battle on the court. (Re-air). Season 2013 (06/29/2013)
KIONGOZI WA AL SHABAAB AJISALIMISHA

Hata hivyo haijulikani iwapo kiongozi huyo amesalimu amri au ameamua kujiunga na vikosi hivyo vya serikali.
Ijumaa iliopita, umoja wa mataifa ulitangaza kuwa Bwana Hassa Dahir alikuwa amejisalimisha kwa vikosi vya serikali ya Somali lakini madai hayo yakapingwa na wazee wa koo za taifa hilo.
Kiongozi huyo alikuwa amechukua hifadhi katika mji wa Kazkazini wa Adado baada ya makabiliano makali kuzuka kati ya kambi tofauti za wapiganaji wa Al Shabaab juma lililopita.
Kiongozi huyo ametajwa kama gaidi na umoja wa mataifa pamoja na serikali ya marekani.
BBCSWAHILI
Facebook To Remove Adverts From Adult Pages.
Facebook will stop advertisements appearing on pages containing sexual or violent content after a number of companies suspended their campaigns.
Marks and Spencer and BSkyB, the parent company of Sky News, were among those to pull their adverts from the social networking site because of concerns about placement.
It led Facebook to announce a tightening of its review process, preventing promotions from appearing on pages and groups which contain offensive content.
In the first three months of the year, 85% of Facebook’s revenue came from advertising – up 43% on the same quarter in 2012.
Advertisers paid a total of $1.25bn (£820m) to promote their products and services to the website’s reported 665 million daily active users.
Subscribe to:
Posts (Atom)