SPIKA WA BUNGE LA OMAN NA UJUMBE WAKE WAWASILI DODOMA, ASAINI MKATABA WA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO BAINA YA BUNGE LA TANZANIA NA BUNGE LA OMAN
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi akimkaribisha Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma jana.
Kaminisha wa Tume ya Utumishi ya Bunge Mhe. Abdulkarim Shah akimkaribisha Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Dodoma jana.
Naibu Spika Mhe. Job Ndugai akimtambulisha Katibu wa Bunge. Dkt. Thomas Kashililah kwa Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali alipowasili Dodoma jana.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge Dodoma ambapo anafanya ziara ya kibunge ikiwa ni pamoja na kusaini makubaliano ya ushirikiano baina ya mabunge haya mawili.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda pamoja na Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali wakisaini mikataba ya makubaliano ya ushirikiano baina ya mabunge haya mawili.
Wakibadilishana mikataba ya Makubaliano.
Picha ya Pamoja Ujumbe wa Spika wa Bunge la Oman na Wajumbe wa Tume ya Utumishi ya Bunge la Tanzania.
Spika wa Bunge la Oman Mhe. Sheikh Khalid Bin Hilal Bin Nasir Al Maawali akiwa na ujumbe wa Wabunge toka Oman yupo hapa nchini kwa ziara ya kikazi ya siku sita ambapo pamoja na mambo mengine amesaini mkataba wa uanzishwaji wa ushirikiano wa Bunge la Tanzania na Bunge la Oman katika Maswala mbalimbali. Picha zote na Owen Mwandumbya wa Bunge
MAOFISA WA MAREKANI WADAI KUWA WAO NDO WATAPANGA MAWAZIRI WA TANZANIA WATAKAORUHUSIWA KUSHIKANA MKONO NA OBAMA AKIJA DAR

Wakati magari 150 ya msafara wa ziara ya Rais Barack Obama yamewasili nchini, majina ya mawaziri wa Tanzania yatakayoruhusiwa kumpokea kiongozi huyo kuchujwa na makachero wa FBI.
Mkurugenzi wa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Moses Malaki aliliambia gazeti hili jana kuwa matayarisho ya ujio wa Rais huyo ni kabambe na hayajawahi kutokea katika historia ya Tanzania.
Pia alisema shughuli za kumpokea Rais Obama, anayetarajiwa kutua Jumatatu saa 8:40 mchana, zitaanza asubuhi kwa maofisa wa Marekani kushika majukumu yote katika uwanja huo, ikiwemo kuongoza ndege, ukaguzi wa abiria na mizigo, kwa maana wafanyakazi wa uwanja huo kuwa likizo kwa siku mbili.
“Wamesema kuwa wao watasimamia kila kitu kuanzia wageni watakaoingia na kutoka na wataamua nani aingie na kutoka,” alisema Malaki.
Aliongeza kuwa japokuwa Mamlaka ya Anga Tanzania (TAA) inaendelea kufanya kazi zake kama kawaida, lakini Jumatatu, Wamarekani watasimamia kila kitu hadi ukaguzi wa wageni.
“Siku hiyo mwongoza ndege wa TAA, atafanya shughuli kidogo, mambo mengine yatafanywa na wao,” alisema.
Idadi ya maofisa wa Tanzania
Imebainika kuwa hata idadi ya maofisa wa Tanzania wakiwemo viongozi watakaompokea pia itapangwa na Wamarekani wenyewe.
“Wenyewe wana orodha yao na wanajua nani atakuwepo au hatakiwi kuwepo katika kundi la wageni watakaompokea Rais Obama,” alisema na kuongeza:
“Nilimuuliza Ofisa Usalama wa Marekani iwapo nitaweza kumwona Rais Obama, akaniambia: Utamwona ukibahatika kuwepo kwenye orodha.”
Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe naye alikiri kuwa mawaziri wanaotakiwa kuwepo katika msafara wa kumpokea Rais Obama ni wachache watakaochaguliwa tu na Wamarekani, baada ya kuyapitia na kuyachunguza majina hayo kwanza kabla ya kuyakubali.
“Hii sijawahi kuiona, hata sisi wenyewe tunateuliwa na wakishayapitia wataamua, nani aende au asiende,” alisema Chikawe.
Mwananchi
WATANZANIA WANAHITAJI MAJIBU YA UJIO WA RAIS OBAMA, SOMA MASWALI
1) Wamarekani kuingiza majeshi na makachero zaidi ya 1500 ndani ya nchi huru na kusimamia ziara ya Rais wao, hii si aina ingine ya kuitawala Tanzania kwa muda?
2) maafisa wa Serikali na mawaziri kufanyiwa mchujo, ili wale tu kupata mawaziri na maafisa wenye hadhi ya kuwa kwenye msafara wa Obama , hii si inazidi kuthibitisha kuwa Obama sio tu anakuja kama Mgeni, ila anakuja kama mwenye mamlaka ya juu nchi huru?
3)je hii fedheha kwa wale mawaziri ambao utawala wa Obama utaona haufurahishwi nao, hivyo wao kutotakiwa kwenye kumpokea Rais Obama, je hii si kudhalilisha Itifaki na Protokali za Tanzania?
4) je, hii ya kuwatangazia wananchi wasije Dar es salaam kwa kuwa Obama annakuja, nayo haizidi kuthibitisha haya kuwa pengine ni maelekezo toka kwenye mamlaka kuu "marekani" ?
5) Akiwa ziarani Senegal Rais Obama aliendelea kusisitiza Africa kubadilika na kukubali ndoa za jinsia moja, je Tanzania iko Tayari kusema HAPANA kwa ndoa za jinsia moja, au itachekea hizo dola milioni 800 zenye masharti?
6) hii miradi ya Simbion/dowans/richmond atakayotembelea Obama,
Samsung Launches a TV with a CURVED Screen to Improve Viewing Quality
The 55-inch model has a high-resolution OLED display and its design means the screen is an equal distance from the viewer at all times.
It is now on sale in South Korea but Samsung told Reuters the set will be made available in other countries from July - the first time a curved TV of its kind has been sold outside of Asia.
Samsung has launched its first high-resolution curved TV in South Korea before releasing it worldwide from July. The 55-inch model costs £8,500, has an OLED screen and is the first set to be made available outside Asia
At the time, Samsung's curved screen was the world's first yet delays in the manufacturing process meant that rival LG beat the company to selling the device.The Korean company announced the television during the Consumer Electronics Show in January this year.
Speaking at the launch event Kim Hyunsuk, Samsung executive vice president, said: 'We have just introduced our first OLED TV and have to see consumer response to gauge overall market demand.'
Samsung said it will begin selling its curved OLED television outside South Korea from July but did not specify which countries.
It also said it has no plans to offer a non-curved one this year.
The concave display gives viewers a sense of being immersed in the images.
Samsung claims its 'Timeless Arena' design reduces the chance of images appearing pixelated, too.
The 55-inch OLED screen also supports Samsung TV features such as multi-view that lets two people watch different things at the same time.
President Kikwete opens Global Smart 2013 Smart Partnership Dialogue
The 2013 Global Smart Partnership Dialogue was launched in spectacular fashion today in Dar es Salaam. The Smart 29ers got the Dialogue off to a great start, sharing their experiences, insights and visions with the Dialogue Host Patron, His Excellency Dr Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, alongside numerous Heads of State and a selection of CPTM Fellows.
Subscribe to:
Posts (Atom)
