Pages

Chelsea Imelamba Mkataba wa Maana na Adidas.

 Uefa Europa League Chelsea Mabingwa wa Uefa Europa League Chelsea wamesaini mkataba mkubwa wa udhamini kuliko yote kwenye historia ya mchezo wa soka . The Blues wamesaini mkataba wa miaka kumi na kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya adidas ambao thamani yake ni paundi milioni 300.
Mkataba huu unauzidi mkataba uliokuwa unashikilia rekodi kati ya Manchester United na kampuni ya Nike uliosainiwa mwaka 2000 ambao thamani yake ni paundi milioni 287 kwa kipindi cha miaka 15 .
Fedha ambazo Chelsea itatengeneza kupitia mkataba huu utaifanya klabu hiyo kuwa na fedha za kutumia kwenye usajili wa wachezaji ambapo kwa muda mrefu imekuwa ikitegemea fedha binafsi za mmiliki wake Roman Abramovich badala ya fedha inazotengeneza klabu yenyewe.

Mkataba huu baina ya Chelsea na Adidas ni wa tatu kusainiwa baina ya kampuni ya vifaa vya michezo na labuya England baada ya Arsenal kusaini mkataba wa paundi milioni 30 kwa mwaka na kampuni ya Puma huku Liverpool wakisaini mkataba wa paundi milioni 25 kwa mwaka na kampuni ya Warrior.

MSANII BOB JUNIOR APEWA KIPIGO KIKALI KARIAKOO BAADA YA KUIBA

 BOB JUNIORKIMBIJI
NI KATIKA UTENGENEZAJI WA VIDEO YAKE MPYA YA KIMBIJI
KIMBIJI

ALICHOKIANDIKA ZITTO KABWE TWEETER KUHUSU KAULI YA PINDA

ZITTO KABWE TWEETER
ZITTO KABWE TWEETER

Matangazo Msimu wa SabaSaba. Wahi Mapema, Nafasi ni Yako Kabla Haijachukuliwa!!

SabaSabaKwa wadau wetu walio na matangazo ya aina yoyote na ukubwa wa saiz yoyote ikiwa ni pamoja kama unakodisha au unauza Shamba, Nyumba, Gari, Duka, Saluni, Ofisi,Kiwanda, Kampuni na Kadhalika. Pia ni fursa kwako kua Sponsor wetu kwa matangazo ya muda mrefu. Kumbuka mtandao wetu ni maarufu unatembelewa na watu wote ulimwenguni kutokana na mfumo wetu wa usambazaji wa habari ktk tovuti zetu nyingine pia mitandao ya kijamii. ..Hii ni nafasi yako. Wahi sasa..!! Bei ni nafuu sana.  Kwa maelewano usisite kutuandikia Barua pepe kupitia darslam@rocketmail.com Pia tunapokea habari mbalimbali buree.
Bila kusahau Blog yako ya Taifa  ..Bongo Blogs - Blog za Bongo
Inakupa fursa husika.
Kazi ni kwako...!

RATIBA KAMILI LIGI KUU UINGEREZA -FIXTURES 2013/2014

Manchester United lift the Barclays Premier League trophy 17 August 2013

Arsenal v Aston Villa
Chelsea v Hull City
Crystal Palace v Tottenham Hotspur
Liverpool v Stoke City
Manchester City v Newcastle United
Norwich City v Everton
Sunderland v Fulham
Swansea City v Manchester United
West Bromwich Albion v Southampton
West Ham United v Cardiff City

24 August 2013

Aston Villa v Liverpool
Cardiff City v Manchester City
Everton v West Bromwich Albion
Fulham v Arsenal
Hull City v Norwich City
Manchester United v Chelsea
Newcastle United v West Ham United
Southampton v Sunderland
Stoke City v Crystal Palace
Tottenham Hotspur v Swansea City

31 August 2013

Arsenal v Tottenham Hotspur
Cardiff City v Everton
Chelsea v Aston Villa
Crystal Palace v Sunderland
Liverpool v Manchester United
Manchester City v Hull City
Newcastle United v Fulham
Norwich City v Southampton
West Bromwich Albion v Swansea City
West Ham United v Stoke City

14 September 2013

Aston Villa v Newcastle United .... Click read more.....

Designers Dolce and Gabbana Sentenced to Prison For Tax Evasion

Dolce and Gabbana Italian Billionaire Designers Dominico Dolce and Stefano Gabbana have been found guilty of tax evasion by Judge Antonella Brambilla and sentenced to one year and eight months in prison. Their investigation began in 2007 for the year 2004 and 2006 when the designers sold their business to a Luxembourg-based holding company Gado Srl, which was under their control. They undervalued the company in order to avoid paying taxes on the transaction. Now, initially all seemed to be resolved until Italy's supreme court sent the case back to trial. The have been fined $439.70 million as restitution and have been charged in criminal charges related to the same business and faced 5 years in prison in which the actual sentence handed down was a bit shorter.
We hope everything gets resolved and we dont get to see these fab two in jail stripes...Fans are urging them to leave Italy.
Dolce and Gabbana

PATA KUSIKILIZA RADIO AL NOOR FM ...Live

Kipanya Leo

Kipanya

A Teacher Jeremy Forrest Jailed after Admits Five Counts of Sexual Activity with a Child of Abducting a 15-Year-old Pupil.

Jeremy Forrest Teacher who fled to France with his pupil and spent a week on the run has been jailed after admitting five counts of sexual activity with a child.
Jeremy Forrest, who was convicted by a jury yesterday of abducting the schoolgirl, pleaded guilty to the additional charges and was sentenced to five-and-a-half years in prison.

During his trial, the prosecution labelled him a “paedophile” and said he “groomed” the vulnerable teenager.
The 30-year-old insists he still loves the youngster, who broke down in tears and told him she was “sorry” as he was found guilty of her abduction.
She did not attend court for his sentencing but in a victim statement, her mother said her relationship with her daughter would “never be the same again.
Passing sentence, the judge at Lewes Crown Court said Forrest “chose to ignore the cardinal rule of teaching” by starting a sexual relationship with the teenager shortly after her 15th birthday.

Rumours of Forrest’s relationship with the teenager surfaced in February last year, when the pair were spotted holding hands during a flight on a school trip to Los Angeles.
The girl, now 16, who cannot be named for legal reasons, admitted having a crush on Forrest, who taught at Bishop Bell Church of England School in Eastbourne, East Sussex.
They exchanged flirty text messages, tweets and photographs but denied any wrongdoing when pressed by the school.

MABONDIA WANNE WA TANZANIA WAFUNGWA JELA MIAKA 15 BAADA YA KUNASWA NA MADAWA YA KULEVYA NCHINI MAURITIUS

Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa
Mabondia hao ni Case Ramadhani Fills, Nathanael Elia Charles, Ally Rajabu Msengwa na Petro Charles Mtagwa.
Wakati kesi hiyo ilipoanza kusikilizwa, wote walikiri makosa ya kuingiza mihadarati hiyo nchini Mauritius wakati walipokwenda kushiriki mashindano ya ndondi barani Afrika mwaka 2008.
Wakiwa mbele ya Jaji, waliiambia mahakama kuwa walilazimika kuingia katika biashara hiyo haramu kutokana na hali zao za maisha kuwa maskini.
"Tunaomba radhi kwa taifa la Mauritius", waliiambia mahakama. "Tu watu maskini na tunategemewa na familia, watoto na wazee wetu wanaotugemea. "Kwa dawa hizi tungepata kiasi cha Pauni £4,000". walisema

Jaji Benjamin Marie Joseph alisema katika kutoa adhabu hiyo yote hayo ameyafikiria, kwani walitoa ushirikiano mzuri wakati wote wa uchunguzi wa kesi hiyo, kulikowezesha hata wafanyabiashara hiyo, raia wa Mauritius kukamatwa.
Wamekuwa mahabusu kwa siku 1,722, sawa na miaka miatano, hivyo watatumikia miaka kumi iliyobakia jela. Pia watatakiwa kulipa faini ya pauni £1,600 na gharama nyingine za uendeshaji wa kesi hiyo.

Kwa mujibu wa mwandishi wa habari wa BBC nchini Mauritius Yasine Mohabuth in Mauritius, Jaji aliwashutumu kwa kuukosea umma wa Mauritius kwa kuingiza dawa hizo za kulevya aina ya heroin.

Mabondia hao waliwasili Mauritius tarehe 10 Juni 2008 na kuweza kupita uwanja wa ndege bila kunaswa hadi walipokamatwa katika hoteli waliyofikia ya Quatre Bornes.
Kwa pamoja walimeza gram 4639.04 za heroin zikiwa katika vifuko 358 vijulikavyo kama pipi.