Pages

GARI INAUZWA BEI POA

Daihatsu Daihatsu Daihatsu
Make:Daihatsu
Model:VS100P
Body type:Station Wagon
Colour:Silver
Year:2001
CC:659
Fuel:Petrol
Price: 7.8 Milion
Contact :+255 754 940992
Tanzania

PICHA za KWENYE MSIBA NYUMBANI KWA MAREHEMU LANGA


Hapa ndipo alipokuwa analelewa Langa kwa wazazi wake baba na mama na hizi picha ni wasanii wakifanyiwa mahojiano na waandishi wa habari kutoka Star TV na EATV. Kalapina na Kala JeremiahMSIBAMSIBA
 Kalapna
 Marehemu Langa  
Ni Nyumban kwa Marehemu Langa hapa Kalapna akmuongelea Mwana hiphop Mwenzie Marehem Langa,Pina amesema ameumia sana kwani Langa alkuwa Mwanahiphop aliekuwa akifata Misingi ya Hiphop.RIP Langa

SOMA DONDOO ZA BAJETI YA TAIFA 2013/14 HAPA (Trilioni 18.2)

BAJETI YA TAIFA
1. Bajeti nzima ni Trilioni 18.2; ambapo Trilioni 11.1 sawa na 61% zitakusanywa kutoka kwenye mapato ya ndani (GBS itakuwa ni Trilioni 1.16, pia wafadhili watatoa Trilioni 2.7 ni misaada na mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo)
2. Trilioni 5.7 zitatumika kwenye shughuli za maendeleo (ambapo Trilioni 2.7 zitatoka kwa wahisani; na Trilioni 3 zitatoka kwenye vyanzo vya ndani)
3. Matumizi ya kawaida ni Trilioni 12.5 (Trilioni 4.8 zitatumika kulipa mishahara na stahili za wafanyakazi; mfuko mkuu wa serikali umetengewa Trilioni 3.3 (kupunguza deni la Taifa) na matumizi mengineyo yatachukua Trilioni 4.5
4. Vipaumbele vya bajeti ni: Miundombinu, Kilimo, Viwanda, Rasilimali-watu, Utalii na Huduma za jamii
5. Deni la Taifa lafikia Trilioni 21
6. Kodi ya sigara, soda na bia imeongezeka kwa asilimia 10
7. Nia ya serikali ni kukuza pato la Taifa kufikia 7.2% mwakani (toka 7.0% mwaka huu); pia kudhibiti mfumuko wa bei toka 8.3% sasa na kufikia 6% mwakani
8. Kodi ya mishahara(PAYE) kupungua kwa asilimia 1; toka 14% na kuwa 13%
9. Kodi ya Mafunzo (Skill Development Levy) imepungua toka asilimia 6 mpaka 5
10. Watumiaji wa simu kutozwa 14.5% (ambapo asilimia 2.5 ya pesa hizo zitagharimia elimu)
11. Kutakuwepo na tozo mpya ya mafuta ya petrol y ash 50 kwa lita kugharimia umeme vijijini
12. 10% itatozwa kama kodi kwenye commission ya kusafirisha fedha kwa njia ya simu za mikononi
13. Ongezeko la mishahara kwa wafanyakazi? KIMYA
14. Waziri hakuzungumza kuhusu bajeti ya elimu itakuwa kiasi gani (alijikita zaidi kwenye maeneo yaliyofanyiwa marekebisho baada ya bajeti za wizara mbalimbali kujadiliwa-la orodha ya vipaumbele aliyoitoa..hivyo-itakuwa inafanana na kiasi kilichopitishwa kwenye bajeti ya elimu cha shilingi bilioni 689.7 (bilioni 98.7 ni matumizi ya kawaida ya idara; bilioni 72.6 ni kwa ajili ya miradi ya maendeleo; na bilioni 518.4 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya taasisi (zikiwemo bilioni 306 za mikopo ya elimu ya juu).

Football Match Stopped by Armed Police Hunting Criminal Player


A fourth division fixture in Romania between Chisoda and Sannicolaul Mare was momentarily suspended after riot police carried out an armed search for a player suspected of multiple crimes.
As you can see from the above footage - taken by a spectator at the game on his mobile phone - armed police stormed the pitch during the game and forcing all of the participants and substitutes onto the ground, hands on their heads.
After checking every last footballer to see if one of them was their man - Chisoda's Sorin Udrea - the police looked set to give up and continue their manhunt elsewhere.
But it was not long before Udrea's cover was blown: the wanted footballer was hiding out in the stands among fans, and once found he was arrested on multiple counts of extortion, robbery and smuggling.

Baada Ya Malalamiko Kuhusu Tuzo Yake “Wimbo Bora Wa Hip-Hop” Ney Wa Mitego Aongea… Msikie Hapa

 Hip-Hop
Kupitia 255 segment ya kipindi cha XXL cha CloudsFM, Ney Wa Mitego alihojiwa na Dee Andy kupitia malalamiko yaliyopo baada ya msanii huyo kuchukua Tuzo ya Wimbo Bora Wa Hip-Hop.
Ney alifunguka na kuwataka wasanii waache malalamiko ya hovyo na badala yake wapige kazi … Msikilize Ney hapa …

RATIBA YA MAZISHI YA LANGA KILEO

LANGA Ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Langa Kileo itakuwa kama ifuatavyo, msiba upo nyumbani kwa wazazi wa Langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hosp ya AAR zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark Production. Mwili wa marehemu utaagwa siku ya Jumatatu majira ya saa 7 mchana na baada ya hapo mwili utaelekea makaburi ya Kinondoni kwa mazishi majira ya saa kumi alasiri.

Derecho Strikes Midwest: Wall of Wind Targets East Coast Next

Torrential rains have drenched New York as a storm that flattened buildings, toppled trees and downed power lines in the MidWest promised to inflict more wild weather overnight, as it turns into a fierce nor'easter.
Meteorologists say the non-tropical storm - rare for this time of year - will batter areas from northern and coastal New Jersey to eastern Massachusetts with heavy rain, gusty winds and flooding into Friday morning.
As a result of the violent weather, there are likely to be significant travel delays and power outages in the New England region before the storm rolls off to the northeast on Friday.
Tens of thousands of families were left without power in Ohio, Illinois and northwest Indiana on Wednesday night in the storm which brought with it a series of mini tornadoes.