Pages

Klabu ya Simba Yajiondoa Mashindano ya CECAFA

Nicholas Musonye
Klabu ya Simba kutoka Tanzania, imetangaza kuwa haitashiriki katika michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa kanda ya Afrika Mashariki na Kati CECAFA, ikiwa itaandaliwa katika jimbo la Darfur nchini Sudan.
Uamuzi huo umechukuliwa kufuatia mjadala ulioibuka katika bunge la Tanzania baada ya waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Benard Membe kuhoji hali ya Usalama katika eneo hilo. Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Adne Rage, amesema uongozi wa CECAFA ni sharti ubadilishe mahala pa fainali hizo la sivyo wao hawatashiriki. ''Hatuwezi kwenda Darfu kuvalia mavazi yasiyopenya risasi'' Alisema Bwana Rage. ''Ni wazi kuwa hali ya usalama katika eneo hilo sio nzuri kama ilivyothibitishwa na serikali'' Aliongeza mwenyekiti huyo wa Simba.
Membe aliliambia bunge la Tanzania kuwa alishangazwa sana na uamuzi wa kuandaa fainali hizo katika eneo la Darfur ambalo limekubwa na mapigano ya mara kwa mara.
Membe amesema serikali ya Tanzania, inachunguza hali ilivyo na kuwa watachukua uamuzi muafaka kuhusiana na suala hilo. ''Hatuwezi kuwatuma vijana wetu katika eneo ambalo hatuna hakikisho la Usalama'' Alisema Membe.
Mabingwa watetezi Yanga, vile vile kutoka Tanzania ambao walikuwa wameonyesha nia ya kushiriki katika fainali hizo za Darfur, pia nao wanasema watafuata ushauri kutoka kwa serikali.
Katibu mkuu wa shirikisho la mchezo wa soka nchini Tanzania TFF, Generali Anfetile Osiah, amesema wao wamehakikishiwa usalama na eneo watakalopiga kambi wakati wa mashindano hayo.
Endapo timu hizo mbili kutoka Tanzania zitajiondoa kutoka kwa fainali hizo, itakuwa pigo kubwa kwa waandalizi wa mashindano hayo. Timu mbili kubwa nchini Sudan Al Hilal na Al Merreikh tayari zimethibitisha kuwa hazitashiriki kutokana na hofu sa kiusalama.
Katibu mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye amekariri kuwa eneo hilo la Darfur ni salama kuwa mwenyeji wa mashindano hayo.
BBC

Kilio Cha Mama Nziula Aliyepigania Uhuru (Video)

Huku Kenya ikiadhimisha miaka hamsini ya Madaraka, baadhi ya waliojitolea kupigania uhuru wa nchi hii wanaishi kwa machungu kama mwanamke mmoja katika Kaunti ya Machakos ambaye katika uzee wake anataka kulipwa fidia kwa yale aliyoyapitia.

WATANZANIA WA SOUTH AFRICA WAKIAGA MWILI WA ALBERT MANGWEA


 ALBERT MANGWEA
Muda huu wa saa kumi na Mbili kwa saa za Afrika mashariki kwa saa za South Africa ni saa kumi na Moja jioni.....tukiwa bado tupo kwenye majonzi makubwa yakupotelewa na ndugu yetu Albert Mangweha.....Baada ya ratiba kupangika watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuaga mwili wa Albert Mangweha kuelekea katika safari ya mwisho...wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini South Africa
 South Africa
 ALBERT MANGWEA

3rd Anniversary of Vijimambo Blog


Anniversary of Vijimambo Blog

Langa - Rafiki wa kweli (Official Video)

Video ya Meli Mv. Arafat Ikiteketea kwa Moto Bandarini Tanga

Meli ya mizigo ''Mv Arafat'' inayofanya safari zake kupeleka shehena ya mizigo katika nchi jirani ya Kenya , Zanzibar na Mtwara Imeteketea kwa moto katika bandari ya Tanga kwa kile kinachodaiwa kuwa hitilafu ya umeme.

Manchester United 1 x 2 Real Madrid - (Legends Match 2013) Watch All Goals

Michael Adebolajo Charged with Murder of Drummer Lee Rigby in Woolwich.

Lee Rigby Mr Adebolajo was charged after spending nine days in hospital
A second man has been charged with the murder of Drummer Lee Rigby in Woolwich, south-east London, on 22 May.Michael Adebolajo, 28, of Romford, Essex, was also charged with the attempted murder of two police officers and possession of a firearm.
He has been remanded in custody to appear at Westminster Magistrates' Court on Monday.
Michael Adebowale, 22, has already been charged with the soldier's murder and appeared in court on Thursday. Multiple wounds
Mr Adebowale, of Greenwich, south-east London, was remanded in custody and is due to appear at the Old Bailey, London, on Monday.He was charged after spending six days in hospital, having been shot by police and arrested following the attack on 22 May.
Mr Adebolajo, who was also shot and arrested at the scene, was charged after spending nine days in hospital and being taken into custody at a south London police station.Both Mr Adebowale and Mr Adebolajo were filmed and photographed by witnesses following the attack, which took place on a busy street during the afternoon.
On Wednesday, a post-mortem examination found Drummer Rigby, from Middleton, Greater Manchester, died of "multiple incised wounds" after the attack.Thousands of flowers have been laid at the scene of the killing by members of the public in honour of Drummer Rigby.
The total number of arrests made in connection with the attack stands at 12. So far, eight of those arrested have been bailed and two released without charge.

Meanwhile, far-right and anti-fascist groups have held rival demonstrations in central London amid increased tensions following Drummer Rigby's murder.
Police said 58 members of Unite Against Fascism had been arrested at a counter-protest sparked by a British National Party demonstration in Westminster. All were arrested for breaches of the Public Order Act.
On Friday, Drummer Rigby's family appealed for calm after reports of a rise in anti-Muslim incidents following the killing.
In a statement, they said the soldier would not have wanted his death used to excuse reprisal attacks, and called for people to "show their respect in a peaceful manner".

SETTING GOALS AND ACHIEVING THEM IN LIFE

Chris Mauki
“We did not come to fear the future; we have come to shape it”Barack Obama. Growing up in a disadvantaged background does not make you fear future
1. Start with a vision: Where there is no vision people perish Prov. 29:18
A vision guides us towards attaining our goals

2. Goals:A goal or objective is a desired result an animal, person, or a system envisions, plans and commits to achieve
Where do you want to go?
What do you want to achieve?
Use time to fix your goals - I want to achieve …..??? When??
  Observation: Only 3% of people know how to set goals, 3% accomplish more than the other. 97% combined.
How to set goals
A goal properly set is half way achieved
“If you don’t know where you are heading you will end up somewhere else”

Components of goals setting (SMART THEORY)
1. Goals must be SPECIFIC
I will save money in 2012
I will save Tsh 1000000 in 2012
2. Goals must be MEASURABLE
Have a way to measure your progress i.e the goal to save can be measured by how much you have at the end of the target period.
3. Goals should be ATTAINABLE
Should be meaningful, should be set by should be meaningful, should be set by you not somebody set them for you.
4. Goals must be REALISTIC
Setting goals that are far beyond you helps you to realize your true potential
Break bigger goals to smaller goals i.e I will save 100,000 per month from January to December.
5. Goals must be TIME BOUND
“Goals are dreams with deadline” Diana Scharf Hunt
I will save 1000000 by 31st December 2012. You can’t just say I want to get married. WHEN??
Goals without time bound makes someone relax and hence can’t achieve them
To achieve goals you need to have systems and resources to support you i.e family support, human material, financial resources
Ask yourself what is it that you want? Or want to be
What are your dreams? Don’t dream to be like someone else, dream to be what God desired you to be.
Learn how to convert your dream and goals into reality.
Dr. Miles Munroe said; “Grave yards are the richest places in the world because they keep people who died with their unfulfilled and unrealized goals”

Components of success
· Planning
· Hard work
· Determination
· Discipline
The central focuses of all these components need to be GOD
Plan– Do I need a new car or a used car?
Hard work– Goes with discipline

How do we effectively utilize resources to achieve our goals?
1. Building your serving gradually. Prov. 13:11
2. Money must work for you not the other way around. Eccl. 5:10
3. Save and invest. Prov.21:20
4. Avoid debts. Prov. 22:7. A debt is a bondage; we are designed to lend nations not to be of debts. Debt is dirty. Borrow wisely e.g in banks e.tc
5. Be generous. Prov. 19:17
6. Don’t accept bribes. Prov. 17:23

When you bribe you are hurting your future. What goes around comes around. Try by all means not to give or receive bribe.
Chris Mauki
Pretoria. South Africa
Chrismauki57@gmail.com

Save the Children

Save the children