Skuli ya Uweleni Yafungwa Siku ya Pili Sasa Baada ya Wanafunzi Kuchagawa
Vituko hivyo vinajiri baada ya skuli hiyo kufanyiwa ukarabati mkubwa na tokea wanafunzi waanze kuyatumia madarasa ‘mapya’ wamekuwa wakikumbwa na mkasa huo na kusababisha tafrani kubwa kiasi kwamba walimu wanashindwa kufundisha kwa utulivu.
Kutokana na tafrani hiyo, Kamati ya Uongozi ya skuli hiyo ilikutana na wazazi wa wanafunzi jioni ya juzi na kuamua wanafunzi hao waendelee kubaki majumbani mwao huku ufumbuzi wa kadhia hiyo ukitafutwa.
Baadhi ya wazazi na wanafunzi wa skuli hiyo, wameihusisha hali hiyo na imani za kishirikina, ambapo wamesema kabla ya kufunguliwa tena skuli, ilibidi kutolewe kafara kwa kuchinjwa ngo’mbe.
Hata hivyo kuna tetesi kuwa, matukio hayo yana mkono wa baadhi ya wananchi, ambao walitaka kabla ya skuli hiyo kufunguliwa achinjwe ng’ombe kwanza kitendo ambacho hakikufanyika.
Mwenyekiti wa kamati ya skuli hiyo, Maalim Hemad Ali alisema hali ya wanafunzi kuchagawa iliyojitokeza skulini hapo ni ya kutisha na inaweza kuhatarisha maisha ya wanafunzi, walimu na skuli kwa ujumla.
“Hali ni ngumu, wanafunzi wanapiga makelele ya kutisha, wanajirusha na....
Indiana Pacers Vs Miami Heat -Game 5 | Full Game Highlights | NBA East Finals 2013
LeBron James scores 30 points, 6 assists & grabs 8 rebounds as the
Heat defeat the Pacers,90-79 to take a 3-2 series lead in Game 5 of the
Eastern Conference Finals.
Ile Video ya Wabunge Nusura Warushiane Makonde na Matusi Kibao Bungeni.. Hii Hapa!
Almanusura baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania warushiane makonde bungeni, hali iliyomlazimu naibu spika wa bunge hilo Mh Job Ndugai kuliahirisha bunge isivyo utaratibu na kuamuru kamati ya maadili ya bunge kukutana huku baadhi ya waheshimiwa wakitupiana maneno ya kashfa pamoja na matusi.
50 Cent - Many Men (Video)
"you can't read between the lines , in the bible it says ' what goes around comes around. '
almost shot me , 3 weeks later; he got shot down. now it's clear that i'm here for a real reason. 'cause he got hit like I got hit but he ain't f**n breathing." -simply amazing2003
almost shot me , 3 weeks later; he got shot down. now it's clear that i'm here for a real reason. 'cause he got hit like I got hit but he ain't f**n breathing." -simply amazing2003
Floyd Mayweather Jr. vs. Canelo Alvarez: 'Money' Deserves Credit for Demanding Risky Fight
Floyd Mayweather Jr., who has sat atop the boxing heap for better than a decade, has had more than his share of critics. But he got to stick it to those critics on Wednesday when Mayweather announced he's going to fight Canelo Alvarez on Sept. 14 for the WBA/WBC super welterweight titles at the MGM Grand Garden on Showtime pay-per-view.
Mayweather isn't facing an old, faded fighter. Alvarez, despite 43 pro fights, won't turn 23 until July and is 13 years younger than Mayweather.
Mayweather isn't facing an old, faded fighter. Alvarez, despite 43 pro fights, won't turn 23 until July and is 13 years younger than Mayweather.
He won't be fighting a guy moving up in weight, like he did when he bested Robert Guerrero on May 4. Alvarez is a natural super welterweight, and the two-pound concession worked into the contract won't have much of an impact on the bout. Though the super welterweight limit is 154 pounds, the fighters agreed that the limit at the weigh-in will be 152. To his credit, Alvarez said the two pounds were no problem and readily agreed.
By taking on Alvarez, Mayweather isn't facing a soft touch. Alvarez is 42-0-1 and, as he showed in an outstanding performance against Austin Trout on April 20, is not only one of the sport's biggest draws, he's one of its best fighters. He's a top 20 pound-for-pound fighter, at worst, and some think he belongs near the bottom of the top 10.
Leonard Ellerbe, the chief executive officer of Mayweather Promotions and Mayweather's biggest cheerleader, was a little over the top Wednesday when he said it is impossible for any active fighter to defeat Mayweather.
Mayweather is the best fighter in the world, though super middleweight Andre Ward is gaining ground quickly. But it is hardly impossible for Mayweather to be beaten.
Yahoo
Kamati ya Maadili na Uongozi Imerejesha Amani Bungeni.
Lile sakata lililosababisha bunge kuahirishwa mara mbili mfululizo na
kusababisha bajeti ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
kushindwa kuwasilishwa kutokana na baadhi ya wabunge kurushiana maneno
ya kashfa na matusi na kutishiana kupigana ngumi limemalizika baada ya
pande mbili zilizokuwa zikishutumiana kuombana radhi bungeni sambamba na
kuundoa kurasa zilizosababisha kadhia hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)