Almanusura baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania warushiane makonde bungeni, hali iliyomlazimu naibu spika wa bunge hilo Mh Job Ndugai kuliahirisha bunge isivyo utaratibu na kuamuru kamati ya maadili ya bunge kukutana huku baadhi ya waheshimiwa wakitupiana maneno ya kashfa pamoja na matusi.
50 Cent - Many Men (Video)
"you can't read between the lines , in the bible it says ' what goes around comes around. '
almost shot me , 3 weeks later; he got shot down. now it's clear that i'm here for a real reason. 'cause he got hit like I got hit but he ain't f**n breathing." -simply amazing2003
almost shot me , 3 weeks later; he got shot down. now it's clear that i'm here for a real reason. 'cause he got hit like I got hit but he ain't f**n breathing." -simply amazing2003
Floyd Mayweather Jr. vs. Canelo Alvarez: 'Money' Deserves Credit for Demanding Risky Fight
Floyd Mayweather Jr., who has sat atop the boxing heap for better than a decade, has had more than his share of critics. But he got to stick it to those critics on Wednesday when Mayweather announced he's going to fight Canelo Alvarez on Sept. 14 for the WBA/WBC super welterweight titles at the MGM Grand Garden on Showtime pay-per-view.
Mayweather isn't facing an old, faded fighter. Alvarez, despite 43 pro fights, won't turn 23 until July and is 13 years younger than Mayweather.
Mayweather isn't facing an old, faded fighter. Alvarez, despite 43 pro fights, won't turn 23 until July and is 13 years younger than Mayweather.
He won't be fighting a guy moving up in weight, like he did when he bested Robert Guerrero on May 4. Alvarez is a natural super welterweight, and the two-pound concession worked into the contract won't have much of an impact on the bout. Though the super welterweight limit is 154 pounds, the fighters agreed that the limit at the weigh-in will be 152. To his credit, Alvarez said the two pounds were no problem and readily agreed.
By taking on Alvarez, Mayweather isn't facing a soft touch. Alvarez is 42-0-1 and, as he showed in an outstanding performance against Austin Trout on April 20, is not only one of the sport's biggest draws, he's one of its best fighters. He's a top 20 pound-for-pound fighter, at worst, and some think he belongs near the bottom of the top 10.
Leonard Ellerbe, the chief executive officer of Mayweather Promotions and Mayweather's biggest cheerleader, was a little over the top Wednesday when he said it is impossible for any active fighter to defeat Mayweather.
Mayweather is the best fighter in the world, though super middleweight Andre Ward is gaining ground quickly. But it is hardly impossible for Mayweather to be beaten.
Yahoo
Kamati ya Maadili na Uongozi Imerejesha Amani Bungeni.
Lile sakata lililosababisha bunge kuahirishwa mara mbili mfululizo na
kusababisha bajeti ya wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
kushindwa kuwasilishwa kutokana na baadhi ya wabunge kurushiana maneno
ya kashfa na matusi na kutishiana kupigana ngumi limemalizika baada ya
pande mbili zilizokuwa zikishutumiana kuombana radhi bungeni sambamba na
kuundoa kurasa zilizosababisha kadhia hiyo.
Mabadiliko ya Ratiba Kuhusu Mwili wa Ndugu Yetu Albert Mangwea Kuwasili TZ

Kwa Maana hiyo basi taratibu zote za kuaga mwili wa Albert Mangwea kwa Wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya Jirani zitafanyika siku ya Jumatatu ya tarehe 03/06/2013 kuanzia saa mbili asubui mpaka saa sita mchana , ambapo baada ya hapo safari rasmi ya kuelekea Morogoro kwa ajili ya mazishi itaanza. Tunaomba radhi kwa usumbufu wote uliojitokeza Asante
Simu Zisizosajiliwa Mwishon ni Kesho: TCRA
Mamlaka ya Mawasilino Tanzania, TCRA, imesema watumiaji wa simu ambazo hazikusajiliwa, watakatiwa mawasiliano ifikapo Juni Mosi mwaka huu.
Tamko hilo lilitolewa jijiji Mbeya na Mkurugenzi wa Sheria na Leseni wa mamlaka hiyo, Elizabeth Nziga wakati wa semina kuhusu utekelezaji wa sheria mpya ya mawasiliano ya elektroniki na posta ya mwaka 2010 kwa wadau mbalimbali.
Hiyo ni awamu nyingine katika mipango ya TCRA, kwani awali ilikuwa na kampeni za kuzima mitambo ya analogia nchi nzima na kuwataka wananchi kuingia katika mfumo wa dijitali ulioanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam Desemba 31, mwaka jana.
Mikoa mingine iliyoingia kwenye mfumo wa dijitali ni Arusha, Tanga, Dodoma, Mbeya na Mwanza. Nziga alisema mamlaka hiyo inasisitiza kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa makubaliano kati yake na watoa huduma za mawasilino ya simu na kufikia usiku wa Juni Mosi, namba za simu ambazo hazikusajiliwa zitakoma. Mmiliki wake hataweza kuitumia kupiga wala kupokea siku.
Alisema kuwa ni muda mrefu umepita ambao ulitolewa kwa ajili ya kusajili namba za simu lakini watu wengi hawakuweza kufanya hivyo kwa wakati na badala yake wamekuwa wakitumia simu vibaya ikiwa ni pamoja na kufanya uhalifu na kutoa lugha chafu.
Katika hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,
Abbas Kandoro, ilisema vyombo vya mawasiliano vimesaidia kukua kwa sekta mbalimbali .
Tamko hilo lilitolewa jijiji Mbeya na Mkurugenzi wa Sheria na Leseni wa mamlaka hiyo, Elizabeth Nziga wakati wa semina kuhusu utekelezaji wa sheria mpya ya mawasiliano ya elektroniki na posta ya mwaka 2010 kwa wadau mbalimbali.
Hiyo ni awamu nyingine katika mipango ya TCRA, kwani awali ilikuwa na kampeni za kuzima mitambo ya analogia nchi nzima na kuwataka wananchi kuingia katika mfumo wa dijitali ulioanzia katika Mkoa wa Dar es Salaam Desemba 31, mwaka jana.
Mikoa mingine iliyoingia kwenye mfumo wa dijitali ni Arusha, Tanga, Dodoma, Mbeya na Mwanza. Nziga alisema mamlaka hiyo inasisitiza kuwa hatua hiyo ni utekelezaji wa makubaliano kati yake na watoa huduma za mawasilino ya simu na kufikia usiku wa Juni Mosi, namba za simu ambazo hazikusajiliwa zitakoma. Mmiliki wake hataweza kuitumia kupiga wala kupokea siku.
Alisema kuwa ni muda mrefu umepita ambao ulitolewa kwa ajili ya kusajili namba za simu lakini watu wengi hawakuweza kufanya hivyo kwa wakati na badala yake wamekuwa wakitumia simu vibaya ikiwa ni pamoja na kufanya uhalifu na kutoa lugha chafu.
Katika hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,
Abbas Kandoro, ilisema vyombo vya mawasiliano vimesaidia kukua kwa sekta mbalimbali .
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YAMETOKA. YATAZAME HAPA KWA URAHISI ZAIDI
MATOKEO YA KIDATO CHA SITA
Serikali Yaomba Uraia wa Nchi Mbili Kwenye Katiba
Hayo yalisemwa jana bungeni na Waziri wa Wizara hiyo, Benard Membe, wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya wizara yake.
Membe alisema Watanzania wanaoishi nchi za nje wanaathirika sana na suala la uraia wa nchini mbili kwa kuwa kutokuwa na uraia wa nchi mbili kunawafanya wakose ajira za kueleweka, huduma za afya, elimu na kushindwa kuchukua mikopo katika taasisi za fedha kama wenzao wa nchi mbalimbali.
Alisema Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni alikutana na Watanzania wanaoishi Ufaransa na Uholanzi na kuwahakikishia kuwa serikali yake inatambua na kuthamini michango yao hivyo kuwahimiza wakumbuke nyumbani.Membe alisema katika mkutano huo, Rais Kikwete aliwahamasisha Watanzania hao wawekeze kadri ya uwezo wao na wavutie washirika wao kuja kuwekeza hapa nchini.
Kuhusu changamoto kwenye balozi zake, Membe alisema ni za kiutawala na zingine ni za kibajeti kama ilivyoelezwa hivi karibuni katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),.Alisema ubalozi wa Tanzania nchini Abu Dhabi na Muscat zilipata hati zenye shaka kufuatia matumizi mabaya ya fedha zilizotokana na makusanyo ya maduhuli.
Membe alisema kwa upande wa Abu Dhabi, hati hiyo yenye shaka ilisababishwa na Mhasisbu wa Ubalozi mdogo Dubai kupeleka kiwango pungufu benki kwa kiasi cha Dola za Marekani 20,000 ambazo ni sawa na Sh. milioni 33.
Kwa upande wa Muscat, Waziri Membe alisema maduhuli ya kiasi cha fedha za Oman 20,965 hazikupelekwa benki ndani ya wakati uliostahili kama kanuni za fedha zinavyoelekeza.
Alisema katika kukabiliana na changamoto hizo, hatua za kinidhamu zimechukuliwa kwa mujibu wa sheria za UAE za kukata mshahara wa mhasibu huyo kila mwezi ili kulipa fedha zilizopotea.
NIPASHE
Membe alisema Watanzania wanaoishi nchi za nje wanaathirika sana na suala la uraia wa nchini mbili kwa kuwa kutokuwa na uraia wa nchi mbili kunawafanya wakose ajira za kueleweka, huduma za afya, elimu na kushindwa kuchukua mikopo katika taasisi za fedha kama wenzao wa nchi mbalimbali.
Alisema Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni alikutana na Watanzania wanaoishi Ufaransa na Uholanzi na kuwahakikishia kuwa serikali yake inatambua na kuthamini michango yao hivyo kuwahimiza wakumbuke nyumbani.Membe alisema katika mkutano huo, Rais Kikwete aliwahamasisha Watanzania hao wawekeze kadri ya uwezo wao na wavutie washirika wao kuja kuwekeza hapa nchini.
Kuhusu changamoto kwenye balozi zake, Membe alisema ni za kiutawala na zingine ni za kibajeti kama ilivyoelezwa hivi karibuni katika ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),.Alisema ubalozi wa Tanzania nchini Abu Dhabi na Muscat zilipata hati zenye shaka kufuatia matumizi mabaya ya fedha zilizotokana na makusanyo ya maduhuli.
Membe alisema kwa upande wa Abu Dhabi, hati hiyo yenye shaka ilisababishwa na Mhasisbu wa Ubalozi mdogo Dubai kupeleka kiwango pungufu benki kwa kiasi cha Dola za Marekani 20,000 ambazo ni sawa na Sh. milioni 33.
Kwa upande wa Muscat, Waziri Membe alisema maduhuli ya kiasi cha fedha za Oman 20,965 hazikupelekwa benki ndani ya wakati uliostahili kama kanuni za fedha zinavyoelekeza.
Alisema katika kukabiliana na changamoto hizo, hatua za kinidhamu zimechukuliwa kwa mujibu wa sheria za UAE za kukata mshahara wa mhasibu huyo kila mwezi ili kulipa fedha zilizopotea.
NIPASHE
Wenye Divisheni Ziro 30,000 Wapeta
Dar es Salaam. Wanafunzi 30,063 waliopata daraja sifuri katika matokeo yaliyopita, wameula baada ya kupandishwa hadi daraja la nne kutokana na ukokotoaji upya wa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne yaliyofanywa na Baraza la Mitihani la Taifa (Nacte) na kutangazwa jana.
Marekebisho hayo yalifanyika baada ya kufutwa kwa matokeo ya awali yaliyotangazwa Februari 18, mwaka huu.
Kufutwa kwa matokeo hayo, ilikuwa ni utekelezaji wa sehemu ya mapendekezo ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, baada ya wanafunzi 240,909 kupata daraja sifuri kwenye matokeo yaliyotangazwa mara ya kwanza.
Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema sasa watakaokuwa na sifuri ni 210,846 sawa na...
Marekebisho hayo yalifanyika baada ya kufutwa kwa matokeo ya awali yaliyotangazwa Februari 18, mwaka huu.
Kufutwa kwa matokeo hayo, ilikuwa ni utekelezaji wa sehemu ya mapendekezo ya Tume iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, baada ya wanafunzi 240,909 kupata daraja sifuri kwenye matokeo yaliyotangazwa mara ya kwanza.
Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa alisema sasa watakaokuwa na sifuri ni 210,846 sawa na...
Subscribe to:
Posts (Atom)