Pages

Nay Wamitego ft Diamond - Muziki Gani {official video}

SILAHA ZILIZOPATIKANA KWENYE FAINALI YA COPPA ITALIA KATI YA LAZIO VS AS ROMA

 Coppa Italia
Fainali ya mwaka huu ya Coppa Italia kwa mara ya kwanza imezikutanisha timu kutoka Rome, Lazio vs AS Roma hivyo timu zote zikacheza kwenye uwanja wake wa nyumbani (Stadio Olimpico ambao unatumiwa na timu hizo zote). Kutokana na mechi hiyo kuhusisha timu zenye upinzani mkali tena zikigombania kombe mamalaka za usalama walihisi kungeweza kutokea vurugu kubwa hivyo wakaimarisha ulinzi mkubwa kwenye mji huo na viunga vyote vya uwanja wa Stdio Olimpico.
Kufuatiwa ulinzi huo Polisi jijini Roma walikamata silaha nyingi ambazo zingeweza kutoa uhai wa mashabiki ambao wenye upinzani mkali kutokana na mapenzi yao kwa vilabu hivyo viwili vya mji huo - ilipatikana mishale na visu ambazo vingeweza kuharibu mchezo huo wa kihistoria.
Mchezo huo ulifanyika kwa amani na mwishowe Lazio walifanikiwa kubeba kombe la Coppa Italia kwa kuwafunga Roma 1-0, likiwa kombe la 7 la Coppa na la kwanza tangu mwaka 2009.

MACAULAY CULKIN OF HOME ALONE MOVIE, BEFORE AND AFTER

Lost in New York
He became widely known for his portrayal of Kevin McCallister in Home Alone and Home Alone 2: Lost in New York. He is also known for his roles in Richie Rich, Uncle Buck, My Girl, The Pagemaster, and Party Monster, as well as Michael Jackson's music video Black or White. At the height of his fame, he was regarded as the most successful child actor since Shirley Temple. Culkin was ranked No. 2 in VH1 and E!'s respective lists, the "100 Greatest Kid-Stars" and "50 Greatest Child Stars".

The Roma Gipsy Beggars of Park Lane: 30 Romanians Camp Out With Soiled Duvets and Cardboard Boxes in Exclusive London Street

 Park Lane
Scene of squalor: Birds peck their way between the beggars sleeping rough in Park Lane - one of London's most expensive addresses
Romanians
Sleeping it off: A Romanian uses duvets and a mattress to turn a park bench into a bed. 'We're waiting for your Government to give us jobs and somewhere to live,' says their leader
Romanians
Rise and shine: The women prepare to spend the day begging for money and scavenging for food
Roma Gipsy Beggars
First cigarette of the day: A gipsy lights up while another huddles in blankets among the camp's detritus
Roma Gipsy Beggars
Bagged up: It is the women's job to put theduvets in plastic sacks to keep dry
*A group of 30 Romanians are camped out near Marble Arch in London
*Leader of Westminster Council says it's 'a source of absolute frustration'
Using a rusting pair of scissors to trim his greying beard, Vasile declares his love for the Queen.
‘It is the Queen who helps and protects her people,’ he says, brushing the hair clippings from the duvet under which he has been sleeping rough.
‘The Queen cares for her people — everyone knows that. That is why we came from Romania, so she can help us, too.’

The 52-year-old Roma gipsy is one of about 30 Romanians sleeping on a now grubby patch of grass on a central reservation in London’s Park Lane near Marble Arch.
The rag-tag encampment with rows of soiled duvets, battered suitcases and cardboard boxes is in stark contrast to the nearby luxury car showrooms and pristine Georgian terraces.
As the city comes to life shortly after dawn, bare feet are thrust into grimy trainers and flip-flops, and lighters flare as the first cigarettes of the day are sparked up.
The younger women are dispatched to get coffee from a café while the..

Mabesti wa Kijiji

Mabest

Waziri Membe Aelezea Umuhimu wa AU Kwa Nchi za Afrika

Wakati nchi za Afrika zikiadhimisha miaka 50 tangu kuwepo kwa umoja wao Tanzania imesema uwepo wa umoja huo umekuwa ni nguzo muhimu ya ustawi wa mataifa ya afrika ambapo viongozi walipo madarakani wameingia kwa njia ya demokrasia.
Akizungumza na mabalozi na viongozi mbalimbali waliohudhuria maadhimisho hayo yaliyofanyika jijini Dar es salaam ,waziri wa Mambo ya nje ya nchi Mh Bernard Membe amesema miaka ya nyuma Waafrika wengi walipoteza maisha kutokana na kuwepo kwa viongozi waliotaka madaraka kwa njia ya mtutu

SHUHUDIA JINSI MWANAMKE ALIVYOKUTWA JUU YA PAA LA NYUMBA NA KUHUSISHWA NA IMANI YA USHIRIKINA.

Mchawi Mchawi huyo akiwa amedondoka chini.Wakati Mtwara kukilipuka kwa vurugu za gesi na kusababisha maafa, jijini Dar kumeibuka taharuki ya aina yake baada ya mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Anna kudaiwa kuwa ni mchawi na kudondokea kanisani.
Tukio hilo lililochukua saa kadhaa lilitokea katika Kanisa la Yesu Kristo la Huduma ya Maombezi na Uponyaji linaloongozwa na Nabii Flora Peter lililopo Mbezi Beach Salasala, Dar hivi karibuni. Taarifa kutoka kwa mashuhuda wa tukio hilo ambao ni waumini wa kanisa hilo inadai kuwa mwanamke huyo, mkazi wa Bunju, Dar alifika kanisani hapo saa 4:45 asubuhi huku akiwa amebeba Biblia na pochi lake akionekana kuwa sawa waumini wengine.
Mbezi Beach Salasala, WAUMINI WABAKI VINYWA WAZI
Ilidaiwa kuwa muda mfupi baada ya maombi kuanza, katika hali isiyo ya kawaida, mwanamke huyo aliruka kupitia dirishani akapotea na kuacha waumini vinywa wazi.
Habari zilidai kuwa kuna baadhi ya watu walimuona kwenye paa ya nyumba ya watu waliojenga karibu na kanisa hilo, hali iliyozidi kusababisha mkusanyiko mkubwa wa watu wakiwemo askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) waliokuwa wakimshangaa.
Wakati taharuki hiyo ikiendelea, mwanahabari wetu alitonywa kuwepo kwa tukio hilo ambapo aliwasha ‘tukutuku’ yake na kuwahi eneo la tukio.
Kanisa la Yesu KristoWakazi wa eneo hilo wakishuhudia tukio hilo NI SIMULIZI NDEFU.
Akizungumzia tukio hilo, mmoja wa viongozi wa kanisa hilo aliyejitambulisha kwa jina la Octavian Mahembe alikuwa na haya ya kusema:
“Nakumbuka kulikuwa na waumini wengi kanisani, walikuja kwa ajili ya maombi, huyo mwanamke naye alikuja hapa kama waumini.
“Ilipofika saa 5:00: asubuhi watu wakawa wanasubiri maombi, baadaye nabii naye akawa amefika na kuanza kutoa maombi. Baada ya maombi kuanza, yule mwanamke alianza kuhangaika, akawa anahamahama, hatulii sehemu moja.
“Watu waliokuwa wanataka kuombewa waliambiwa wapite mbele.
“Yule mwanamke alikurupuka na kurukia ukuta wa futi sita na nusu, akadondoka nje.
“Nabii alisema afuatwe ili aombewe, alidai kwa kuwa si mtu mwema ni hatari na...

Crazy Daring Dog Licks Inside Lions Mouth Teeth. Plays Dentist to Lion.. (Video)


Tanzania Illivyowakilishwa Kwenye Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner

Tanzania nchini Marekan
Suleiman SalehKaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Lily Munanka akisindikizwa na Khamisa a.k.a Missy Temeke alipokua akiingia ndani ya ukumbi wa Tamasha la Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner Siku ya Alhamisi Mei 23,2013 ndani ya Ukumbi wa Hilton Hotel uliopo Connecticut Ave, Jijini Washington Dc.
Ofisa wa Balozi Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Bw. Suleiman Saleh kwenye Tamasha la Africa Day 2013-Golden Jubilee Gala Dinner Siku ya Alhamis Mei 23, 2013 ndani ya Ukumbi wa Hilton Hotel Jijini Washington Dc.
Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Iddi Sandaly kiwa na Abdul (katikati) pamoja na Mwana Mitindo mbunifu wa (Kwetu Fashion Design) Khamisa a.k.a Missy Temeke.
Khamisa a.k.a Missy Temeke 
Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico Mhe.Lily Munanka, akiwa na baadhi ya...

Illumination - Confused (Audio)

Illumination - Confused